UCHAMBUZI: USAJILI WA ELIA MPANZU SIMBA/ VIGOGO SIMBA WATOA MAPANGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

ความคิดเห็น • 33

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน +2

    presentors wenye weledi ;bravo guys

  • @TithoMkaburu
    @TithoMkaburu หลายเดือนก่อน +1

    🔥 🔥 🔥

  • @Abdallajuma-rc3ur
    @Abdallajuma-rc3ur หลายเดือนก่อน +1

    Nawakubar sana

  • @SdMwayasin
    @SdMwayasin หลายเดือนก่อน +2

    Naomba tuongelee timu zote Za nyumbani 🇭🇹

  • @SamwelBonifance
    @SamwelBonifance หลายเดือนก่อน +3

    🎉

  • @TithoMkaburu
    @TithoMkaburu หลายเดือนก่อน +1

    Tupo pamoja kaka

  • @mikidadikiga90
    @mikidadikiga90 หลายเดือนก่อน +1

    Crown yamoto

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 หลายเดือนก่อน +1

    Baada ya Aubin Cramo kutolewa kwa mkopo Simba bado ina nafasi 2 za Wachezaji wa kigeni. Kwahiyo Mpanzu akipatikana bado Onana atakuwa na nafasi.

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 หลายเดือนก่อน +2

    Simba au Yanga haiwezi kuwekeza kwa mtazamo wa timu ya Taifa bro,mpira ni biashara,sera za kujenga timu ya taifa hiyo haiwahusu Gov.iwajibike.

  • @davidsabaya9362
    @davidsabaya9362 หลายเดือนก่อน +1

    Waooo

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi namkubali sana Onana. Ni game changer. Angalia anavyoingia hizo dakika chache za mwisho anachofanya. Lazima watamkwatua ipigwe penati au free kik. Aliwanyanyasa sana Wydad. Ni mchezaji ambaye anastahili kupewa support na kutiwa moyo. Inawezekana hakuonesha makali kwasababu kwanza alichelewa preseason na pili makocha hawakugundua kipaji chake mapema na kumpa muda wa kutosha. La mwisho timu nzima ya Simba msimu uliopita hakuna aliyekuwa na workrate kubwa labda Kibu tu na hawa vijana aliowachezesha Mgunda. Kwahiyo kosa la timu nzima tusimlaumu Onana. Msimu ujao atafanya maajabu mpaka mtashangaa. Lakini Mpanzu angepatikana basi ningekubali Onana ampishe kama nafasi zimejaa.

  • @Igauf3
    @Igauf3 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna umuhimu wa kuwa na salary cap per season ili timu ndogo ziweze kupata wachezaji wazuri na kuongeza ushindani.
    Vilevile kila ninaposikiliza uchambuzi ni Yanga, Simba na Azam. Ligi ni pana sana.

    • @mosessimon4570
      @mosessimon4570 หลายเดือนก่อน

      team zingine hawana vitu vya kuongelea. ukiongea juu ya team fulani ya chini leo kesho huna cha kuongea but hizo team 3 kila siku wana habari na updates.

    • @SdMwayasin
      @SdMwayasin หลายเดือนก่อน

      Soka Alina swala Hilo kaka

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiii.......!!

  • @JumaAbdalla-j5m
    @JumaAbdalla-j5m 11 วันที่ผ่านมา

    Simba ipo pea😮😅😅

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo Hans wewe hujui una mzungumzia mchezaji huyo ktk uhalisia na ukweli. Tatizo Geofray na Mkai ni usimba!!!

  • @SmilingCondorBird-wo3wk
    @SmilingCondorBird-wo3wk หลายเดือนก่อน +2

    Nikiwa Johannesburg naburudika kabisa

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 หลายเดือนก่อน

    Kiwango cha weredi katika uchambuzi kinaridhisha endeleeni hivyo Crown

  • @SayiMahangi
    @SayiMahangi หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mm naungana na wales

  • @Deokaliba
    @Deokaliba หลายเดือนก่อน

    Hayo ni maneno 2 maendeleo ya mpira wa vijana hautayaona sababu kule hamna hela mwekezaji hautaona.

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hiyo mmeiua wasafi arena hahahahah hii Noma sn

  • @alliepeppino8883
    @alliepeppino8883 หลายเดือนก่อน +1

    Corruption inatudondosha

  • @issatindwa6530
    @issatindwa6530 หลายเดือนก่อน +5

    Jaman naona mnanichanganya tu naomba jibu moja tu la.ukweli sio la kutafuta followers na viewers Je ni kweli Mpanzu kasajiliwa Simba 2024/25?

  • @michaelseti1287
    @michaelseti1287 หลายเดือนก่อน +1

    Nikiwa south Africa munatupa raha kabisa

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 หลายเดือนก่อน

    ni suala la muda sasa uwekezaji ktk soka la vijana liwekwe sawa, halafu ule udhamin uliopo ktk ligue kuu ujaribu kushushwa ht kwa nusu budget kwa ligue ya vijana hii itasaidia kupunguza gharama kwa timu husika na matokeo yake wadhamin wanapewa nafasi ya kuzibeba hizi timu. then kuhusu kutumia wachezaji wa maeneo mengine kupunguza gharama hii ni shida itokayo na usajili tu, ni muda sahihi timu za vijana ziingie ktk usajili na wachezaji walipwe mishahara na sio posho tu.

  • @Vitasafari-hr6ub
    @Vitasafari-hr6ub หลายเดือนก่อน

    Kibu kamwaga wapi

  • @bilaladdy6620
    @bilaladdy6620 หลายเดือนก่อน

    what's wrong with Jeff? isn't it very obvious with Onana? technically brilliant and skillful...he's got lack of concentration in the game as well as consistency throughout games. period!!!

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq หลายเดือนก่อน

    We jeff muongo kuna mchezaj yupo ihef tamim kama sikosei amecheza nigeria africon hii

  • @FeisaliMudathili-yt9ge
    @FeisaliMudathili-yt9ge หลายเดือนก่อน +1

    V

  • @TithoMkaburu
    @TithoMkaburu หลายเดือนก่อน

    🔥 🔥 🔥