daaah shukran saaana Rashid mama amejaaliwa sauti adhim matamshi matamu ya kipekee na weledi wa hali ya juu....hata akitamka hilo jina lake tu bas aaah burdaaan wallah
Wakati huo ,enzi hizoo bado makao makuu ya Dw bado yapo mjini Cologne ...aaaah zamani sana Enzi hizo naiskiya sauti ya Bwana Othamani Miraji mdogo wa marehemu Pr.Haroub Othman.
We need a clip that takes around 10 minutes... I love her voice and accent..
I love her voice..what a blessed one!
daaah shukran saaana Rashid mama amejaaliwa sauti adhim matamshi matamu ya kipekee na weledi wa hali ya juu....hata akitamka hilo jina lake tu bas aaah burdaaan wallah
Wakati huo ,enzi hizoo bado makao makuu ya Dw bado yapo mjini Cologne ...aaaah zamani sana Enzi hizo naiskiya sauti ya Bwana Othamani Miraji mdogo wa marehemu Pr.Haroub Othman.
Kumbe una fatilia vzr sna
I do love her voice May god bless her
Walaahi mama ana sauti ya kipekee
Gold voice
.....kutoka Boooon aa!
Nenda salama mama
Kongore Rashid kutuletea gwiji,mama niliyemkuta aking'ara na mpaka anastaaf anang'ara