BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
  • BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 266

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  7 หลายเดือนก่อน +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @LovelyBrain-wz7si
      @LovelyBrain-wz7si 7 หลายเดือนก่อน

      We mpumbavu useme ukweli kuwa alizuia ushoga dar halafu marekani haiko kama unavyo filkiri

    • @michaelkwatlema2124
      @michaelkwatlema2124 7 หลายเดือนก่อน

      Weww ndio mpumbavu ushoga sasa haupo au unaongea ujinga tu

    • @AvelinMarunda-po8cp
      @AvelinMarunda-po8cp 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​8

    • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
      @RoseKimishabhalemi-oz9bn 7 หลายเดือนก่อน

      Humana akili mpinzani wewe mpongeza makonda ungekuwa na akili makonda msaada wako

    • @joshuatowo
      @joshuatowo 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@LovelyBrain-wz7si13:21

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 7 หลายเดือนก่อน +4

    Natamani sana Mungu ampe kibali HECHE cha kuongoza nchi hii

  • @ChristopherKayuni-k6r
    @ChristopherKayuni-k6r 7 หลายเดือนก่อน +5

    Muko vizuri wananchi hawana uelewa

  • @magabemkami6653
    @magabemkami6653 7 หลายเดือนก่อน +5

    Peoples power

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 7 หลายเดือนก่อน +5

    Kweli kabisa CCM wameshindwa na makonda anafanya maigizo na kimsingi system imefeli

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 หลายเดือนก่อน +1

    Viva Makonda🎉

  • @philipalengachi5729
    @philipalengachi5729 7 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana classmate nyota ilionekana all the way from Nyamaharaga primary schools

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 7 หลายเดือนก่อน +2

    Uko sawa kamanda

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda anachapa kazi sanaaaa ccm oyeeeee kazi inaendelea mama samia oyeeeee wanawake jeshi kubwa

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @makulileboniface7962
    @makulileboniface7962 7 หลายเดือนก่อน +11

    Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 7 หลายเดือนก่อน

      Umeongea ukweli

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 7 หลายเดือนก่อน

      acha ujinga ww mwananchi mwenye shida kila siku mambo yanakuwa magumu unaanza sifia makonda kweli??? basi bwana kwel Mtz amesha rogwa sio buree

    • @ulomirabiel6980
      @ulomirabiel6980 7 หลายเดือนก่อน

      Anapendwa na wajinga tu.

    • @prosperreuben1724
      @prosperreuben1724 7 หลายเดือนก่อน

      Magu alipendwa na nani labda wazazi wake na ndugu zake na wapenda kudanganywa kama ww mbona hakuwah kwenda mbeya

    • @JoshuaStanley-qu3im
      @JoshuaStanley-qu3im 7 หลายเดือนก่อน

      Nikweli watu wanasombwa kutoka vijijini

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 7 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda hammuwezi

    • @DeusiMorisi
      @DeusiMorisi 6 หลายเดือนก่อน

      Hawamuwezi kwa nini kwani wanashindana

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf 7 หลายเดือนก่อน +10

    Nimekuelewa sana Heche

    • @iddiramadhani5111
      @iddiramadhani5111 7 หลายเดือนก่อน

      Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 7 หลายเดือนก่อน

      @@iddiramadhani5111 mimi sijasema kama anafaa au hafai mimi nimesema nimemuelewa

  • @paulinakatemi7119
    @paulinakatemi7119 6 หลายเดือนก่อน

    uko vizuri sana ni wenye uelewa ndio wanakuelewa kaka good job

  • @AmiliNkalamula
    @AmiliNkalamula 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jonh unaakiri nyingi Sana unajib point Sana chadema haiwezi kutoa Fara hats ck 1

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hapana saizi makonda anakubarika sana watu wamemwelewa sana saizi watanzania wengi wameweka Imani kubwa sana namakonda

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn 7 หลายเดือนก่อน

      Mmmh😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 7 หลายเดือนก่อน

      Usiwasemee watanzania jisemee mwenyewe 😅😅😅😅😅

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 4 หลายเดือนก่อน

      Watanzania wa aina gani labda ww na wenzako wajinga ambao shule hamna mnashabikia ujinga

  • @Ernestlaiza
    @Ernestlaiza 7 หลายเดือนก่อน +2

    Heche❤

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 7 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa mara ya kwanza nataka nikuite mjinga usijilinganishe na Makonda kabisa same like mbingu na ardhi. We heche mwongo

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ni lipi umeliona kwa Makonda hadi useme kuwa Heche sio size yake? Umesikia Heche alichoongea au ulishaziba kabisa masikio?

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 7 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisa asijilinganishe na makonda

    • @kanoa645
      @kanoa645 7 หลายเดือนก่อน

      Yaani ni mwongo sana, weweeeee kwa nini unongea uwongo? Kweli hata kujibu huwezi, yaani hueleweki

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 7 หลายเดือนก่อน

      Makonda ana nini

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 หลายเดือนก่อน

    Bado hamjasema Makonda chukua maua🎉

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 7 หลายเดือนก่อน +4

    Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini

  • @PeterBaton-v9z
    @PeterBaton-v9z 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi Naendaga Mikutano Ya Mafisiemu Kutazama Wasanii tu ✌️✌️✌️

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 7 หลายเดือนก่อน +2

    We heche unaropoka

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli.nimeamini.makonda kawa.shika.penyewe.heche.jidanganye.ogopa Makonda.mwamba

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 7 หลายเดือนก่อน

      Mtu anaetuumiwa na kuuwa watu binadam unawezaje kumshangilia et mwamba au ndo utanzania wetu mtu kama aijakufika kuna kamsemo ka kwetu mbifamuki

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@JohnsonBagambihaijawafika ikiwafika watakuwa hawajui

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli kabisa mheshimiwa heche ,CCM ndio waliosababisha matatizo na hawawezi kutatua matatizo.

    • @nuranzubail8134
      @nuranzubail8134 7 หลายเดือนก่อน

      CCM imetuletea shida kwa kuondoa ukoloni

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj หลายเดือนก่อน

    Kweli waxngu wameharibu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 หลายเดือนก่อน

    👊✌️👍.

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ni very very nice ...mikundu hawawezi kukuelewa Heche.

  • @MgangaDaud
    @MgangaDaud 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ndo mana viongoz wakubwa wa vyama vya upinzani sitak wapewe nchi maana vinaabudu xn marekani taifa la kishetani

    • @AmiliNkalamula
      @AmiliNkalamula 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe elim yako ndogo chadema wanajifunza kwamtu ariye faul hawawezi kujifunza kwa ariye fel kwahyo ndoo maana anataja marekan huyo ndoo ariye faul

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia

    • @TiffuAbdallah-of5os
      @TiffuAbdallah-of5os 6 หลายเดือนก่อน

      Na wale wanafunzi wanaolazimishwa p1 na walimu wao mhm

    • @mohamedwwnurumasagcom8171
      @mohamedwwnurumasagcom8171 6 หลายเดือนก่อน

      @@TiffuAbdallah-of5os hakuna mtu anayelazimishwa kuudhulia mikutano ila ni mapenzi ya wananchi kwa chama chao

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 7 หลายเดือนก่อน +2

    hakili kubwa eche jembe eche

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Heche honereni sana mnafanya kazi nzuri. Mnawapambania watu lakini wenyewe hawaelewi. Ccm wanatumia ujinga wa watu kuwatawala

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 7 หลายเดือนก่อน

      Chadema inatumia wavivu wa kazi kuwakamata akili waandamane.

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 7 หลายเดือนก่อน

      Chadema haiwezi kufika popote pale mpaka viongoz wake waache ujingq

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe mnalipwa milioni 100 halafu mnasema ndogo mwee ngoja nipambane na madagaa zangu

  • @youngchezo2744
    @youngchezo2744 7 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 7 หลายเดือนก่อน +2

    Heche mpumbavu ndo wawezi kukuerewa lakin mwe akiri hukusikiriza nakujitambua !!

  • @charlesmokiwa6323
    @charlesmokiwa6323 6 หลายเดือนก่อน

    Tema mate tumchapee mwananguu😅😅😅

  • @allyhamonizhamad4459
    @allyhamonizhamad4459 6 หลายเดือนก่อน

    MWEHU WEWE

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle 3 หลายเดือนก่อน

    Baadhi ya watu hamuelewi makonda hakuna kitu atakachobadilisha hanauwezo huo ndani ya ccm

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 7 หลายเดือนก่อน +1

    Now wanashindana na makonda walihangaika na jpm kisa kusikiliza matatizo ya masikini kwahiyo makonda kuja na mfumo huo mnampinga poor kbsa chadema

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 7 หลายเดือนก่อน +4

    Uyu heche akili yake ni kubwa makonda anafanya sanaa tu hakuna uwalisia kile anachofanya jukwaani ni propaganda

    • @josephkabelege1622
      @josephkabelege1622 7 หลายเดือนก่อน

      Heche gombea uenyekiti wa chadema . Unaweza sana.

  • @ThomasMakarius-x9n
    @ThomasMakarius-x9n 7 หลายเดือนก่อน +4

    Bigup Makonda.

    • @dandeal2269
      @dandeal2269 7 หลายเดือนก่อน

      unasema nini

    • @kanoa645
      @kanoa645 7 หลายเดือนก่อน

      Big up makonda

    • @kanoa645
      @kanoa645 7 หลายเดือนก่อน

      Kwani shida ni nini,....

  • @GODLuck-h1f
    @GODLuck-h1f 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kijana mmoja anawachemsha wote nyie,

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio chama kubea

  • @MarcoMahemba
    @MarcoMahemba 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ni mnafiki mbona umekua chawa Kwa Mbowe ,unatetea kila jambo la mbowe

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla 7 หลายเดือนก่อน +3

    Upinzani acheni kuabudu nchi za watu.hata magu mlimkataa lkn sisi wananchi wa chini alitufaa mno

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 7 หลายเดือนก่อน

      Alivo wa faa baadae ikawaje?? kuna mambo muyaelewe jaman watz mbona ss vichwa ngumu kuelewa

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe umeelewa nini?? Kila mtu na nafasi yake kwani ukkmchukia makonda nini unaongezeka??

    • @hatibuadam3022
      @hatibuadam3022 6 หลายเดือนก่อน

      Jaribu kuelewa anachozungumza yy hajasema anamchukia huyo uliemtaja

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo chadema wanapata pesa wapiii.ina maana kuna ,mabeberu wapo nyuma yao,wanawagadhili. Hii ni hatari

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 7 หลายเดือนก่อน +1

    Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 7 หลายเดือนก่อน +1

    Marekani huo unafki wamepata wapi kama sio nyinyi wapinzani ? Kikulacho kinguoni mwako !

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 7 หลายเดือนก่อน

    💪

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 7 หลายเดือนก่อน +6

    Tatizo CHADEMA ni waongo sana, hakuna mkutano wa Makonda ambao watu wamesombwa

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 7 หลายเดือนก่อน +2

      Mimi nishahidi acha ujinga,, mbashite anafanya mkutano bunju sisi tumetolewa kigamboni temeke ilala,, Kwa magari!!

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 7 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo wewe kila eneo na shida zake utasombwa ukaeleze shida wakati anayehojiwa hayupo​@@jonasdaniel1025

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@jonasdaniel1025wambie waelewe

    • @TiffuAbdallah-of5os
      @TiffuAbdallah-of5os 6 หลายเดือนก่อน

      Wanafunzi na walimu wao wnafata nn kama sio kulazimishwa na ndo wanaojaza

    • @hatibuadam3022
      @hatibuadam3022 6 หลายเดือนก่อน

      Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rf 7 หลายเดือนก่อน +1

    Eche shikamoo

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 7 หลายเดือนก่อน

    TANZANIA

  • @KidijeiNuru
    @KidijeiNuru 7 หลายเดือนก่อน +2

    We unaishi nchi gani

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 7 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda Wamenfungia kwenda huko nje vile hakutaka watu wa jinsia moja sio mauaji

  • @thomasmallya670
    @thomasmallya670 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hehe muongo. Hana aibu kabisa .

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 7 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo mifano ya utoton inanikosha sana

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 6 หลายเดือนก่อน

    H😂😂😂😂😂😂 mtoa taarifa na mpokea taarifa

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ukimgusa mbowe utakuwepo cdm Ili liongo mpaka linapitiliza

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nenden kaishini marekani tuacheni

    • @peterjengela1770
      @peterjengela1770 6 หลายเดือนก่อน

      Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.

  • @kanoa645
    @kanoa645 7 หลายเดือนก่อน +7

    Weeee una ushahidi gani kwamba kapoteza uhai wa watu

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 7 หลายเดือนก่อน +1

      Unataka ushaidi hujui kuna ushaidi wa mazingira pia fiisiem mkubwa wewe

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 7 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 7 หลายเดือนก่อน +2

    ACHA UONGO WEWE

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 7 หลายเดือนก่อน

    Joto la kiasa linaongezeka. Ahsante mama na Makonda kulianzisha.

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa kwani sisi marekani? Chadema been on the siasa almost or near4o years but ni ushuzi mtupu

  • @chandengao8795
    @chandengao8795 6 หลายเดือนก่อน

    Makonda anaua chama
    Mama mtoe

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 7 หลายเดือนก่อน +2

    Unaongea poit san unasimama kwenye ukweli, ila hii nchi. Ukisem ukweli ni shida tup , mafisad tup wamejaa ng aaa

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan2264 7 หลายเดือนก่อน

    Watanzania waliowengi hawajaelewa mbinu za ccm na Makonda .

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 6 หลายเดือนก่อน

    Mwizi nimwizitu wanaibiana wenyewe kwawenyewe

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 7 หลายเดือนก่อน +1

    Heche uko sawa 🎉🎉

  • @LameckKomba-r7b
    @LameckKomba-r7b 7 หลายเดือนก่อน +2

    Leo kk unamawazo yachuma chakavu

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wananunuliwa hao wanao mshangilia tunaelewa ishu zote

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 7 หลายเดือนก่อน

      Na hao wanaopewa pesa ili watangaze ushoga hii nchi tumekataa ushoga wa marekani hawawezi ipenda Tanzania lazima wawatumie wapinzani wa serikali.

  • @leonelleo4425
    @leonelleo4425 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi.
    Acheni kutukuza sana wazungu

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 6 หลายเดือนก่อน

    😂sababu anapinga ushoga huyo ndiyo mwanaume

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 7 หลายเดือนก่อน

    Very convincing guy😂😂

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 7 หลายเดือนก่อน +2

    We lifisiemu acha kutuzonga tunasikiliza heche akili kubwa we kakojoe ulale

  • @LovelyForestHills-qe8pe
    @LovelyForestHills-qe8pe 7 หลายเดือนก่อน

    Anae mpiga makonda mungu usimone

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 6 หลายเดือนก่อน

    Usipokuwa muelewa anayekusababishia matatizo unaweza ukamwomba Masada CCM inamtumia makonda waonekane wema ili 2025 tuchague

  • @BakariMuesi
    @BakariMuesi 6 หลายเดือนก่อน

    Mikutano ya makonda imesaidia watu wengi sana

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 7 หลายเดือนก่อน

    Kwenye kudhurumu uhai wawatu kama hiyo ndiyo sababu ya America wamedhurumu zaidi kuliko yoyote duniani makonda anayo haki kwenda popote apendapo akiamuwa kwenda

    • @Mura422
      @Mura422 7 หลายเดือนก่อน

      Ss hatuwezi kuwadhibiti Ila wao wanaweza. Pili Makonda haku wakosea wamerekani kawa kosea watanzania, marekani katusaidia kujulisha ulimwengu uwezo wa jamaa kutoa roho. Ukizingatia taarifa zinavyobanwa cyo rahisi hayo tukayasikia popote kwenye media zetu kuu. Najua utapinga Ila kbala jiulize ulisikia wapi tuhuma nzigo namna hii hazichunguzwi angalau pakatoka tamko rasmi kuokoa sura ya serikali? Makonda yupo kwajili iko wazi wabongo wanapenda umbea kuliko FACTS.

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj หลายเดือนก่อน

    Chadema si ni wahuni tu

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 7 หลายเดือนก่อน +2

    HECHE WACHA UJINGA WEWE KIUFUPI TU CHADEMA HANA KITU HAPO

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 7 หลายเดือนก่อน

    Heche

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa makonda asipoenda ulaya hatoishi ?

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 7 หลายเดือนก่อน +3

    Halafu wamarekani hawapigi kura tanzania wewe nenda kwenye ushoga wako huko

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 6 หลายเดือนก่อน

    Jana nimekutana magari kibao Mto wa Mmbu yamebeba watu kutoka Karatu je hao wamekuja wenyewe kwenye maandamano yenu Arusha?

  • @kanoa645
    @kanoa645 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mbona mnaanza majibizano? Sindano imeingia pahaala pake?

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂HECHE BWANAAA ETI TEMA MATE HII NI AKILI KUBWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv8551 6 หลายเดือนก่อน

    Wazungu wangejua kua binadam ndio kitu cha kulindwa namba moja kwanini ndio wakwanza kuuwa watu pia kutengeneza vifaa vya kuuwa watu hebu acha zako.

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.

  • @WaziriMdolloh
    @WaziriMdolloh 6 หลายเดือนก่อน

    Yan hadi ruzuki munapewa

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 หลายเดือนก่อน

    Chama Ni Dubwasha Na Makonda Ni Mtu Aliyekuja Kubadili Muelekeo Wa CCM

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 6 หลายเดือนก่อน

    Mtoa taarifa na mpokea taarifa

  • @romamtalambuga7
    @romamtalambuga7 6 หลายเดือนก่อน

    Heche akili hana

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbowe huwa hawasilizi nyie hata kwa lowasa mlimkataa akampokea

  • @samuelmbogo7448
    @samuelmbogo7448 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu bwana mkubwa analalamika sana. Nashindwa. Kuwaelewa, nini wanataka.

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa maswala ya malekan na tanzania inakujaje kwama nyie mnasikiliza marekqn sasa

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 7 หลายเดือนก่อน

    Baanda ya kumalizia mahojiano na mwadishi agaria komerdi za wachagiaji ndo ujue makonda alivyokugalangaza

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 7 หลายเดือนก่อน

    Chadema mlitakiwa kumtumia makonda kama kioo cha watanzania

  • @brucardkomba616
    @brucardkomba616 7 หลายเดือนก่อน

    Kwan hii nchi imewah ongozwa na chama kingine, Maigizo yataturudisha nyuma Kila siku..

  • @chezariboy
    @chezariboy 5 หลายเดือนก่อน

    Kamwaga damu sana kipindi cha magufuli,, the foolish people don't understsnd that.. Damu za watu hazitamuacha salama makonda ngoja afanye maigizo mbele za macho ya watu but there's a day and time, he will pay