BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
- BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
We mpumbavu useme ukweli kuwa alizuia ushoga dar halafu marekani haiko kama unavyo filkiri
Weww ndio mpumbavu ushoga sasa haupo au unaongea ujinga tu
8
Humana akili mpinzani wewe mpongeza makonda ungekuwa na akili makonda msaada wako
@@LovelyBrain-wz7si13:21
Natamani sana Mungu ampe kibali HECHE cha kuongoza nchi hii
😂😂😂😂 bangi tupu
Kenge
Pole
Muko vizuri wananchi hawana uelewa
Peoples power
Kweli kabisa CCM wameshindwa na makonda anafanya maigizo na kimsingi system imefeli
Viva Makonda🎉
Safi sana classmate nyota ilionekana all the way from Nyamaharaga primary schools
Uko sawa kamanda
Makonda anachapa kazi sanaaaa ccm oyeeeee kazi inaendelea mama samia oyeeeee wanawake jeshi kubwa
❤❤❤❤❤
Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra
Umeongea ukweli
acha ujinga ww mwananchi mwenye shida kila siku mambo yanakuwa magumu unaanza sifia makonda kweli??? basi bwana kwel Mtz amesha rogwa sio buree
Anapendwa na wajinga tu.
Magu alipendwa na nani labda wazazi wake na ndugu zake na wapenda kudanganywa kama ww mbona hakuwah kwenda mbeya
Nikweli watu wanasombwa kutoka vijijini
Makonda hammuwezi
Hawamuwezi kwa nini kwani wanashindana
Nimekuelewa sana Heche
Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.
@@iddiramadhani5111 mimi sijasema kama anafaa au hafai mimi nimesema nimemuelewa
uko vizuri sana ni wenye uelewa ndio wanakuelewa kaka good job
Jonh unaakiri nyingi Sana unajib point Sana chadema haiwezi kutoa Fara hats ck 1
Hapana saizi makonda anakubarika sana watu wamemwelewa sana saizi watanzania wengi wameweka Imani kubwa sana namakonda
Mmmh😂😂
Usiwasemee watanzania jisemee mwenyewe 😅😅😅😅😅
Watanzania wa aina gani labda ww na wenzako wajinga ambao shule hamna mnashabikia ujinga
Heche❤
Kwa mara ya kwanza nataka nikuite mjinga usijilinganishe na Makonda kabisa same like mbingu na ardhi. We heche mwongo
Ni lipi umeliona kwa Makonda hadi useme kuwa Heche sio size yake? Umesikia Heche alichoongea au ulishaziba kabisa masikio?
Kwel kabisa asijilinganishe na makonda
Yaani ni mwongo sana, weweeeee kwa nini unongea uwongo? Kweli hata kujibu huwezi, yaani hueleweki
Makonda ana nini
Bado hamjasema Makonda chukua maua🎉
Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini
Mimi Naendaga Mikutano Ya Mafisiemu Kutazama Wasanii tu ✌️✌️✌️
We heche unaropoka
Kweli.nimeamini.makonda kawa.shika.penyewe.heche.jidanganye.ogopa Makonda.mwamba
Mtu anaetuumiwa na kuuwa watu binadam unawezaje kumshangilia et mwamba au ndo utanzania wetu mtu kama aijakufika kuna kamsemo ka kwetu mbifamuki
@@JohnsonBagambihaijawafika ikiwafika watakuwa hawajui
Nikweli kabisa mheshimiwa heche ,CCM ndio waliosababisha matatizo na hawawezi kutatua matatizo.
CCM imetuletea shida kwa kuondoa ukoloni
Kweli waxngu wameharibu
👊✌️👍.
Huyu jamaa ni very very nice ...mikundu hawawezi kukuelewa Heche.
Ndo mana viongoz wakubwa wa vyama vya upinzani sitak wapewe nchi maana vinaabudu xn marekani taifa la kishetani
Wewe elim yako ndogo chadema wanajifunza kwamtu ariye faul hawawezi kujifunza kwa ariye fel kwahyo ndoo maana anataja marekan huyo ndoo ariye faul
Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia
Na wale wanafunzi wanaolazimishwa p1 na walimu wao mhm
@@TiffuAbdallah-of5os hakuna mtu anayelazimishwa kuudhulia mikutano ila ni mapenzi ya wananchi kwa chama chao
hakili kubwa eche jembe eche
Heche honereni sana mnafanya kazi nzuri. Mnawapambania watu lakini wenyewe hawaelewi. Ccm wanatumia ujinga wa watu kuwatawala
Chadema inatumia wavivu wa kazi kuwakamata akili waandamane.
Chadema haiwezi kufika popote pale mpaka viongoz wake waache ujingq
Kumbe mnalipwa milioni 100 halafu mnasema ndogo mwee ngoja nipambane na madagaa zangu
Nice
Heche mpumbavu ndo wawezi kukuerewa lakin mwe akiri hukusikiriza nakujitambua !!
Amekuibia mkeo mbona utafoka
Wekweli ndezi
Tema mate tumchapee mwananguu😅😅😅
MWEHU WEWE
Baadhi ya watu hamuelewi makonda hakuna kitu atakachobadilisha hanauwezo huo ndani ya ccm
Now wanashindana na makonda walihangaika na jpm kisa kusikiliza matatizo ya masikini kwahiyo makonda kuja na mfumo huo mnampinga poor kbsa chadema
Uyu heche akili yake ni kubwa makonda anafanya sanaa tu hakuna uwalisia kile anachofanya jukwaani ni propaganda
Heche gombea uenyekiti wa chadema . Unaweza sana.
Bigup Makonda.
unasema nini
Big up makonda
Kwani shida ni nini,....
Kijana mmoja anawachemsha wote nyie,
Ndio chama kubea
Wewe ni mnafiki mbona umekua chawa Kwa Mbowe ,unatetea kila jambo la mbowe
Upinzani acheni kuabudu nchi za watu.hata magu mlimkataa lkn sisi wananchi wa chini alitufaa mno
Alivo wa faa baadae ikawaje?? kuna mambo muyaelewe jaman watz mbona ss vichwa ngumu kuelewa
Wewe umeelewa nini?? Kila mtu na nafasi yake kwani ukkmchukia makonda nini unaongezeka??
Jaribu kuelewa anachozungumza yy hajasema anamchukia huyo uliemtaja
Kwa hiyo chadema wanapata pesa wapiii.ina maana kuna ,mabeberu wapo nyuma yao,wanawagadhili. Hii ni hatari
Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2
Marekani huo unafki wamepata wapi kama sio nyinyi wapinzani ? Kikulacho kinguoni mwako !
💪
Tatizo CHADEMA ni waongo sana, hakuna mkutano wa Makonda ambao watu wamesombwa
Mimi nishahidi acha ujinga,, mbashite anafanya mkutano bunju sisi tumetolewa kigamboni temeke ilala,, Kwa magari!!
Acha uongo wewe kila eneo na shida zake utasombwa ukaeleze shida wakati anayehojiwa hayupo@@jonasdaniel1025
@@jonasdaniel1025wambie waelewe
Wanafunzi na walimu wao wnafata nn kama sio kulazimishwa na ndo wanaojaza
Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute
Eche shikamoo
Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa
TANZANIA
We unaishi nchi gani
Makonda Wamenfungia kwenda huko nje vile hakutaka watu wa jinsia moja sio mauaji
Hehe muongo. Hana aibu kabisa .
Iyo mifano ya utoton inanikosha sana
H😂😂😂😂😂😂 mtoa taarifa na mpokea taarifa
Wewe ukimgusa mbowe utakuwepo cdm Ili liongo mpaka linapitiliza
Nenden kaishini marekani tuacheni
Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.
Weeee una ushahidi gani kwamba kapoteza uhai wa watu
Unataka ushaidi hujui kuna ushaidi wa mazingira pia fiisiem mkubwa wewe
😢
ACHA UONGO WEWE
Joto la kiasa linaongezeka. Ahsante mama na Makonda kulianzisha.
Sasa kwani sisi marekani? Chadema been on the siasa almost or near4o years but ni ushuzi mtupu
Makonda anaua chama
Mama mtoe
Unaongea poit san unasimama kwenye ukweli, ila hii nchi. Ukisem ukweli ni shida tup , mafisad tup wamejaa ng aaa
Watanzania waliowengi hawajaelewa mbinu za ccm na Makonda .
Mwizi nimwizitu wanaibiana wenyewe kwawenyewe
Heche uko sawa 🎉🎉
Leo kk unamawazo yachuma chakavu
Wananunuliwa hao wanao mshangilia tunaelewa ishu zote
Na hao wanaopewa pesa ili watangaze ushoga hii nchi tumekataa ushoga wa marekani hawawezi ipenda Tanzania lazima wawatumie wapinzani wa serikali.
Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi.
Acheni kutukuza sana wazungu
😂sababu anapinga ushoga huyo ndiyo mwanaume
Very convincing guy😂😂
We lifisiemu acha kutuzonga tunasikiliza heche akili kubwa we kakojoe ulale
Anae mpiga makonda mungu usimone
Usipokuwa muelewa anayekusababishia matatizo unaweza ukamwomba Masada CCM inamtumia makonda waonekane wema ili 2025 tuchague
Mikutano ya makonda imesaidia watu wengi sana
Kwenye kudhurumu uhai wawatu kama hiyo ndiyo sababu ya America wamedhurumu zaidi kuliko yoyote duniani makonda anayo haki kwenda popote apendapo akiamuwa kwenda
Ss hatuwezi kuwadhibiti Ila wao wanaweza. Pili Makonda haku wakosea wamerekani kawa kosea watanzania, marekani katusaidia kujulisha ulimwengu uwezo wa jamaa kutoa roho. Ukizingatia taarifa zinavyobanwa cyo rahisi hayo tukayasikia popote kwenye media zetu kuu. Najua utapinga Ila kbala jiulize ulisikia wapi tuhuma nzigo namna hii hazichunguzwi angalau pakatoka tamko rasmi kuokoa sura ya serikali? Makonda yupo kwajili iko wazi wabongo wanapenda umbea kuliko FACTS.
Chadema si ni wahuni tu
HECHE WACHA UJINGA WEWE KIUFUPI TU CHADEMA HANA KITU HAPO
Heche
Sasa makonda asipoenda ulaya hatoishi ?
Halafu wamarekani hawapigi kura tanzania wewe nenda kwenye ushoga wako huko
Mmebakiza makasiriko tu
Jana nimekutana magari kibao Mto wa Mmbu yamebeba watu kutoka Karatu je hao wamekuja wenyewe kwenye maandamano yenu Arusha?
Sasa mbona mnaanza majibizano? Sindano imeingia pahaala pake?
😂😂😂😂HECHE BWANAAA ETI TEMA MATE HII NI AKILI KUBWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Wazungu wangejua kua binadam ndio kitu cha kulindwa namba moja kwanini ndio wakwanza kuuwa watu pia kutengeneza vifaa vya kuuwa watu hebu acha zako.
Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.
Yan hadi ruzuki munapewa
Chama Ni Dubwasha Na Makonda Ni Mtu Aliyekuja Kubadili Muelekeo Wa CCM
Mtoa taarifa na mpokea taarifa
Heche akili hana
Mbowe huwa hawasilizi nyie hata kwa lowasa mlimkataa akampokea
Huyu bwana mkubwa analalamika sana. Nashindwa. Kuwaelewa, nini wanataka.
Sasa maswala ya malekan na tanzania inakujaje kwama nyie mnasikiliza marekqn sasa
Baanda ya kumalizia mahojiano na mwadishi agaria komerdi za wachagiaji ndo ujue makonda alivyokugalangaza
Chadema mlitakiwa kumtumia makonda kama kioo cha watanzania
Kwan hii nchi imewah ongozwa na chama kingine, Maigizo yataturudisha nyuma Kila siku..
Kamwaga damu sana kipindi cha magufuli,, the foolish people don't understsnd that.. Damu za watu hazitamuacha salama makonda ngoja afanye maigizo mbele za macho ya watu but there's a day and time, he will pay