Amekumbushwa hapo unaisikia sauti ya othman maalim Karudia Siimahu na yy akaisoma.. Ukamilifu ni wake Allah na Ukamilifu wa Ibada zetu anaujua yy zaidi.. tunamuomba atukubalie ibada zetu kwa ukamilifu wake InshaAllah
Sisi waislam sijui wapi tunaelekea Yani yatakiwa tukiona wenzetu wame fanya jambo la kheri inatujuzu tulifurahie na kumpa pingezi ktk kheri akiyifanya lkn tunarudisha nyuma na kuwapa nafasi wanao tupinga kupata nguvu na kutufikiria makosa tukiona mwenzetu amejitolea kufanya kheri basi anapo teleza ebu tujaribu kujuwa njia gani yafaa kumkosoa yafaa useme MASHAALLAH kwanza alafu ustadhi iyangalie vuzu Aya fulani hiyo yatosha kumjuza na pia atakuwa na nguvu yakutaka kujua Zaid tuwacheni husda na vijicho na tukiwacha haya basi waislam tutakuwa mbali sana
Sitatizo kuwepo na mushkeli tatzo ni mushkeli upi .?? Lakini pia usikute ulieona mushkeli ikawa unamushkeli kila kitu. Labda urud kuangalia vzr than utuambie maana dini haizaniwi kila kitu ni ushahidi tu
#Yussuf Salim usidhanie mambo ya dini weka wazi kama naww hujui kaa kmy. Vilevile Quran ina usomaji wa aina telee so ukisema ktk usomaje wake bimaana hajakosea Quran ila usomaji wake tu inawezekana ww hupendezwi nao au nivipi
Masha'Allah
Nahc Chozi Kunidondoka Jnc Gn Navyoipenda Qur an Kwa Kufwata Hukmu Zote....Alhamdulillah Kwa Kuzaliwa Ktk Dini Ya Khak
Maashaallah yaa sheikh akhi twaalib
mashaAllah TabarakAllah
Allah akbar
Masha Allah tungeomba tupate majina na hawa Mashekhe na account zao hawa Ndyo wakuwafatlia unaskilza Nyumban na watoto rahaa Masha Allah
Masha allah
Maa Shaa Allah😢😢
Mashallah
MashaALLAH
Mashaallh
Hakika n sauti mzur
Naam
Masha Allah hajakosea popote katamka vzr TU mbona ..
Yafaa kusomwa,,muhammadu rasulullah,waladhina ma'ahu ashiddau a'alal kuffari ruhamaau bainahum,taraahum rukka'an sujadda yabtaghuna fadhlan mina llahi waridhwana,siimahum fi wujuhihim min athari sujud,dhalika mathaluhum fi tauraa wamathaluhum fil injil
Sio "dhalika mathaluhum fi tauraa" kisha "siimahum fi wujuhihim"
Amekumbushwa hapo unaisikia sauti ya othman maalim Karudia Siimahu na yy akaisoma.. Ukamilifu ni wake Allah na Ukamilifu wa Ibada zetu anaujua yy zaidi.. tunamuomba atukubalie ibada zetu kwa ukamilifu wake InshaAllah
Mkamilifu ni Allah pekee ukijua hili to hauwezi kutafuta umaarufu ukajiona ww ndio wajua kuliko mwengine
Sisi waislam sijui wapi tunaelekea Yani yatakiwa tukiona wenzetu wame fanya jambo la kheri inatujuzu tulifurahie na kumpa pingezi ktk kheri akiyifanya lkn tunarudisha nyuma na kuwapa nafasi wanao tupinga kupata nguvu na kutufikiria makosa tukiona mwenzetu amejitolea kufanya kheri basi anapo teleza ebu tujaribu kujuwa njia gani yafaa kumkosoa yafaa useme MASHAALLAH kwanza alafu ustadhi iyangalie vuzu Aya fulani hiyo yatosha kumjuza na pia atakuwa na nguvu yakutaka kujua Zaid tuwacheni husda na vijicho na tukiwacha haya basi waislam tutakuwa mbali sana
Na nyny ....mna ujinga...mtu kafanya jamb kwa ikhlasw mnaanza kumsifu mitandaoni aanze kufanya kwa ajili ya watu...
Kukosea kupo hakuna mkamilifu na hakuna anaependa kukosea inatokea tu kibinadamu
Mmmmh sijui ila hapo Aya ya mwisho ya suratul fathi kuana mushkel
Kwenye usomaji wake
Kaiyangalie tena
Sitatizo kuwepo na mushkeli tatzo ni mushkeli upi .??
Lakini pia usikute ulieona mushkeli ikawa unamushkeli kila kitu.
Labda urud kuangalia vzr than utuambie maana dini haizaniwi kila kitu ni ushahidi tu
#Yussuf Salim usidhanie mambo ya dini weka wazi kama naww hujui kaa kmy.
Vilevile Quran ina usomaji wa aina telee so ukisema ktk usomaje wake bimaana hajakosea Quran ila usomaji wake tu inawezekana ww hupendezwi nao au nivipi
Naona kuna sehem kaeka mbele na mbele kaeka nyuma iskilize hio aya halafu fungua na msaafu utaona
Amekosea ayah ya mwisho kidogo
Dakika 2:40 mpaka 2:47,,,hicho kipande chafaa kua dakika 2:47 mpka 2:54...na hicho cha mbele chafaa kua nyuma
Masha allah