NEBUKADREZA MTAWALA WA DOLA YA BABELI .

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za TH-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

ความคิดเห็น • 17

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 4 ปีที่แล้ว +1

    Hatuwezi kufa wote kwa corona, wapo watakaobaki, na Kila mtu ana siku yake, si lazima iwe kifo Cha corona tu🌹🌹🌹kufa Ni faida na Ni lazima tufe siku ikifika. Usemayo Ni kweli kweli. Mungu aendelee kukuongeza siku zako ili uendelee kuihubiri injili ya Kristo.

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 2 ปีที่แล้ว

    Nadhani nimesha sikiliza hili somo karibu mala 100 sasa.
    Nabarikiwa

  • @lilianemanuel2928
    @lilianemanuel2928 4 ปีที่แล้ว +3

    nabarikiwa sana na uwepo wako ktk nchi yangu.TANZANIA.GOD BLESS YOU MY DADY.

  • @user-fg4hy9xk5z
    @user-fg4hy9xk5z 6 หลายเดือนก่อน

    Amina baba,

  • @samsonmtaki3226
    @samsonmtaki3226 2 ปีที่แล้ว

    Amen baba

  • @user-fg4hy9xk5z
    @user-fg4hy9xk5z 6 หลายเดือนก่อน

    Baba uishi maisha marefu

  • @rojazgabriel8029
    @rojazgabriel8029 4 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi wa mungu balikiwa sana

  • @ShukuluSaimoni-gh8wg
    @ShukuluSaimoni-gh8wg ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa yuko vzr kwa kufundisha

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 4 ปีที่แล้ว

    Tutashida tu Daddy, Mungu yupo anatuona Kila mmoja. Simama imara mteteeni Bwana Vita Ni vikali.

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 4 ปีที่แล้ว

    Amina mchungaji🙏

  • @johnboscomgaya2624
    @johnboscomgaya2624 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe baba

  • @calvinkivishe7916
    @calvinkivishe7916 4 ปีที่แล้ว

    Vizur

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 4 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @allymangosongo5570
    @allymangosongo5570 2 ปีที่แล้ว

    Russia Ni super power na Putin ndio nabii wa kizazi hiki mbele ya mabii wa bahari

  • @calvinkivishe7916
    @calvinkivishe7916 4 ปีที่แล้ว

    Vizur