TAFSIRI YA NDOTO ZA KUOTA UPO SEHEMU ULIYOZALIWA AU KUKULIA. APOSTLE MICHAEL MWAKILAMBO.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ต.ค. 2023

ความคิดเห็น • 256

  • @MgayaJoyna
    @MgayaJoyna หลายเดือนก่อน +5

    Amina baba nimebarikiwa na neno sirudi kijijini Kwa jina la yesu- imeandikw mauti na uzima huwa ktk uwezo waulimii nakataaa

  • @neemajulius6403
    @neemajulius6403 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nabatilisha Kila njozi za kijijini kwa jina na damu ya YESU kristo Amen!!
    Navunja Kila maagano na Kila mazabahu za mababu na mabibi katika koo za wazazi wangu kwa jina YESU na kwa damu ya YESU kristo Amen 🙏🙏

  • @betridabernado
    @betridabernado 3 วันที่ผ่านมา

    Amen sana naona leo nimepata muujiza wa mafundisho hakika nimefunguka nimefunguka. Sana ubarikiwe sana mtumishi wa bwana 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Sarhamy
    @Sarhamy 6 วันที่ผ่านมา

    Nakataaa katika jina la yesu kurudi kijiji 🙏🙏

  • @CandySohia-mm9od
    @CandySohia-mm9od 6 วันที่ผ่านมา

    Thank you Jesus Christ 🙏

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ndoto hii inanisumbua sana mm

  • @lizmary-ss2kz
    @lizmary-ss2kz 7 หลายเดือนก่อน +2

    Amen pastor hizo ndoto ziishe katika jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Amina amina na iwe kwako. Jambo la kuzingatia ni kwamba ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi uwe sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.

  • @janechaula2870
    @janechaula2870 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji uko vizuri sana yaani umeongea ukweli kabisa unayajua maandiko kupita maelezo nimekukubali sana barikiwa na Bwana

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Amina amina ubarikiwe nawe pia. Thanks for your appreciation.

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 8 หลายเดือนก่อน +6

    Baba umenibariki na ujumbe huu asubuh ya leo. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri. Umenifungua kwakweli 🙏🙏

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน +1

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @SwaumuMustapha-dz6fs
    @SwaumuMustapha-dz6fs 16 วันที่ผ่านมา

    Ameen mtumishi yaani mim kila siku naota nipo shuleni huko kijinini nisaidie mtumishi

  • @GahimbalMarieCantal
    @GahimbalMarieCantal 2 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi wa Mungu mimi naota sana nikiwa kijijini upanda wa babaangu nikiwa naongea nawazazi wangu walie kufa handi ndugu walie kufa najikuta naongea nao mara naota nikiweko huko nikikimbizwa na babaangu mudogo ananikibiza tukiporomoka mirima yauko naoyijuwa nanikiziota nahamuka tayali shida zimeniandama

  • @user-lw8hp1zb8r
    @user-lw8hp1zb8r 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefunguliw kwa jina la yesu sitarud kijijn kwa kufilisik zaid nitaend kusalimia na kurud mjin amina

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 หลายเดือนก่อน

      Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu.

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h 22 วันที่ผ่านมา

    Ameen mtumish nakataa kabisa kurudi nyumaa kwa jina la yesu

  • @mariammachila6016
    @mariammachila6016 17 วันที่ผ่านมา

    Waaa hazina mamlaka katika jina la yesu eeh mungu nisaidie

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h 22 วันที่ผ่านมา

    Nakataa kabisa kurudi kijijin kwa jina la yesu

  • @HattaHatta-pk7hr
    @HattaHatta-pk7hr 29 วันที่ผ่านมา

    Kwa Damu ya Yesu Kristo ndoto za kijijin azina mamulaka na Yesu Mungu mkuu atusaidie 🙏 🙏 mtumishi

  • @GahimbalMarieCantal
    @GahimbalMarieCantal 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba mungu anishindie vita hivi nimeshinda kwajina la Yesu kristo Amen 🙏 kama kuna mutu ananifunga kwenye familia yangu upande wa babaangu hatofanikiwa kwajina ra Yesu kristo kama kuna mutu ananitowa kafala hatofanikiwa akufe yeye mwenyewe kwajinala Yesu kristo kama kuna lani zakifamilia kwenye maisha yangu nimezikataa zifutike ziniondokee ziniepuke ziwaludie wawo wauzika kwajina la Yesu kristo aliye hayi Amen 🙏🙏🙏

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  2 หลายเดือนก่อน

      Pole sana kwa changamoto hizo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.

  • @DorisMwanyula
    @DorisMwanyula 27 วันที่ผ่านมา

    Asante baba

  • @user-zc2be1bj8n
    @user-zc2be1bj8n 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu anisaidie kwa Jina la yesu kwa roho za kuota nipo nyumbani.niweze kufanya vizuri kwenye masomo yangu

  • @shinemichael-oj7wc
    @shinemichael-oj7wc 8 หลายเดือนก่อน +4

    Amina baba nimebalikiwa kwa neno

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @AliceMakori-bs1ik
    @AliceMakori-bs1ik หลายเดือนก่อน +1

    ka Mimi naota Kila siku aki Niko home na Niko uarabuni but I know God will fight for me ooh pastor unlock that chain for me coz napata niliota mom ananiambia enda mwanangu Rudi had ananipa pesa hata dad aliaga two wks ago ananisukuma ktk home aliniambia enda usirudi hapa pigania familia

  • @user-vx5rb6rg1v
    @user-vx5rb6rg1v 2 วันที่ผ่านมา

    Amen 🙏

  • @JosephineAkinyi-cl6ql
    @JosephineAkinyi-cl6ql 7 วันที่ผ่านมา

    Ameeen mtumish nkweli kbsa

  • @kilalahamis1484
    @kilalahamis1484 2 หลายเดือนก่อน

    Amen amen Kwa jina la yesu nimeshida silud kijijin kuwa nimekosa kazi

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  2 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe sana. Endelea kuwa na msimamo huo katika maneno na matendo yako ya kila siku.

  • @theresiathiaka2866
    @theresiathiaka2866 8 หลายเดือนก่อน

    Amen .Mafundisho mazuri sana hii shida nimekuwa nayo kila mara mm uota kila siku niko kijijini. Nafanya kazi sioni fahida kila mara vifo ,magonjwa,ajali ..

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

  • @ombeninnko9332
    @ombeninnko9332 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mtumishi hii ni kweli mimi pia huota hizi ndoto sana ninafanya kazi mjini miaka mingi sasa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  4 หลายเดือนก่อน

      Pole kwa hiyo changamoto. Jitahidi kutafuta msaada wa kiroho juu ya changamoto hiyo. Isaya 28:1,22[22]Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.

  • @asanianselm6759
    @asanianselm6759 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amen amen mungu akubariki mutumishi wa mungu ni mepitiya izo do to sana na sasa ni funguliwa Kwa damu ya yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina . Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @javerymsangi2856
    @javerymsangi2856 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru sana mtumishi mungu azid kukubarki

  • @gudanemma1459
    @gudanemma1459 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe kwa mafundisho mm mme wangu anaota kila siku yupo kijijini kwako na marafiki zake ananiambia kaenjoy ndoto kila akisema anataka kwenda kwao anasema ana nauli miaka kumi sasa ajawai kwenda kwao kila anachofanya afanikiwi yani akipata ela anaishia kula tu mpka ishe yote ndo anakumbuka kwenda kazni tena ivo ivo tu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Pole sana kwa hiyo changamoto aliyonayo mme wako. Ulimwengu wa roho ndio huuamilia ulimwengu wa mwili. Pia changamoto ambayo huwa inajurudia rudia kwenye maisha ya mwandamu huwa ni kifungo. Kwahiyo mtu unapoona mtu anaota ndoto upo nyumbani kwenu, halafu kuna tatizo linakukuta punde tu baada ya kuota hiyo ndoto inamaana kwamba, ipo nguvu ya asili ya kijijini kwenu ambayo inamrudisha nyuma mara tu anapojaribu kuvuka mpaka fulani wa kimaisha. Kwahiyo wanaweza wasimzuie harakati zake ila watamzuia maendeleo yake. Mfano mtu anatembea, haendi mbele ila anaenda upande. Ni kweli anafanya bidii katika harakati zake lakini ni kama mtu azungukae. Tayari kuna mifumo ya nguvu za giza inayohusiana na eneo alilozaliwa au alilokulia ( yaani kijijini kwao ) linamzuia asiweze kupiga hatua mbele katika nyanja fulani katika maisha yake.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya ya Muhimu. Be blessed.

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 21 วันที่ผ่านมา

    Hizi zote zinanitokea Mimi mara Niko shule ya msingi niliyosoma na kijijini kwetu na nyumba niliyopanga zamani miaka mingi iliyopita

  • @CandySohia-mm9od
    @CandySohia-mm9od 6 วันที่ผ่านมา

    Ameeeeeen 🙏

  • @HamidaOmary-wh2ue
    @HamidaOmary-wh2ue 2 หลายเดือนก่อน

    Amen amen nmeshinda njozi na ndoto mbaya

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  2 หลายเดือนก่อน

      Amina amina Mungu akujalie sawasawa na haja yako.

  • @benardbonephace4896
    @benardbonephace4896 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amina sana mchungaji,nimepata ufunuo Sasa.... kumbe tukilala tukaota tunachokiona kwenye ndoto kinaonwa na nafsi zetu hivyo tunapoona chochote kupitia ndoto huo ndo uhalisia wa nafsi ya mtu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa unachosema. Maandiko yanasema aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Kwahiyo kama unaona upo kijijini kwenu basi huko ndipo uliko.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @user-zc2be1bj8n
    @user-zc2be1bj8n 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu aniongoze katika kila hatua yangu ninayopita kwenye maisha

  • @jacklinemwamsojo2955
    @jacklinemwamsojo2955 8 หลายเดือนก่อน

    Asantee Sana mtumishi kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa Sana mimi hizi ndoto za kuota nipo nyumbani zimenisumbua Sana yaani mpaka wiki ilio pita nimeota nipo nyumbani kabisaa nipo ndani naongea na mama lakini mama mwenyewe alisha kufa mwaka wa tatu sasa😢 ananiambia nimuangalie ndugu yangu chumbani anaumwa nae huyu ndugu yangu alishakufa miaka 17 iliopita nikaingia chumbani kweli nikamkuta ndugu yangu kweli anaumwa miguu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน +3

      Pole sana kwa changamoto hiyo. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria hatari fulani katika mfumo wako wa maisha. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

    • @user-dq5xt8ed7w
      @user-dq5xt8ed7w 8 หลายเดือนก่อน

      Yaan mm nmeota baba yangu anani chapa fimbo na uko Alisha kufa miaka makumi na alafu wakat naota nilkua cja lala nyumbni nili lala Kwa mchepuko je hii Ina maana gan paster

  • @VeronicaJane-em4rg
    @VeronicaJane-em4rg 5 หลายเดือนก่อน

    Amina, bwanagu huwa anaota akiwa nyumbani Kila wakati, mtumishi wa MUNGU muscadine

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  5 หลายเดือนก่อน

      Yohana 10:10
      [10]Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yesu yeye ndiye suluhisho la hayo yote. Kwa kumtii yeye tunakuwa na nguvu ya kumpinga shetani naye akakimbia kutoka kwenye maisha yetu. I'm just a servant of Jesus, kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Be blessed.

  • @BarakaRichard-pg3qz
    @BarakaRichard-pg3qz หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki maana leo nimepata Malibu juu yandoto ambayo imenitesa myaka mingi

  • @WinnieKagendo-zx1cv
    @WinnieKagendo-zx1cv 21 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi Mimi naish na mume wangu mjini lakini naota nikiwa nyumban na wazazi wangu Kila siku, najaribu kufanya kitu sifanikiwi, nisaidie nifanye Nini juu Naolewa na mume sio kabila yangu

  • @jinaop490
    @jinaop490 8 หลายเดือนก่อน

    Amen Apostle,hizi ndoto sinanitesaza sana kwa Kila mara,mungu nisaidie hizi ndotioziishe Kwa damu ya yesukristo

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน +1

      Pole kwa changamoto hiyo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน +1

      Amina na iwe kwako kwa Damu ya Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Be blessed

  • @user-rm5hp3lc6d
    @user-rm5hp3lc6d 9 หลายเดือนก่อน +1

    Amen mafundisho mazuri hakika

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

  • @elizabethmkasiwa
    @elizabethmkasiwa 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nafunguliwa na mwanangu na ndugu zangu kwa dam ya yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  5 หลายเดือนก่อน

      Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu Kristo. Zingatia taratibu zote zitakazokupeleka kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @rastonmwakifuna8583
    @rastonmwakifuna8583 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen,nimeelewa vizuri mno.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @ashuranzagamba6328
    @ashuranzagamba6328 8 หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiwe mtumush, mim nimepigwa uchumi , ila uwa naota mara kwa mara ninauza duka kubwa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.

  • @rebeccawangui8808
    @rebeccawangui8808 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mmi niko uarabuni hua naota niko place falani after few days naskia mtu amekufa😢 kuna siku niliota na kijiji ingine iko bali na kijiji yetu after somedays nikaskia msichana amekufa

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 8 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu azidi kukuimarisha.

  • @JamesOdhiambo-wu2pj
    @JamesOdhiambo-wu2pj 8 หลายเดือนก่อน

    Amen Mtumishi wa Mungu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @martinehussein7261
    @martinehussein7261 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiina🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @user-tx5sx1wu6l
    @user-tx5sx1wu6l 6 หลายเดือนก่อน

    Amina mungu nimwema kilawakati

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Amina. Mafundisho haya kama utaweza kuwashirikisha na watu wengine litakua ni jambo la baraka sana na adili hata mbele za Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 8 หลายเดือนก่อน

    Hakika kweli mwenyezi Mungu atusaidie

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina amina. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu akubariki sana.

  • @bbhv3568
    @bbhv3568 9 หลายเดือนก่อน +2

    Amina

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @evak8122
    @evak8122 7 หลายเดือนก่อน +2

    Amen

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Usisahau kufatiloa mfululizo mwingine wa. Mafundisho mengine mazuri kama haya.

  • @deoskimaro7905
    @deoskimaro7905 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nifunguliwe kwa Jina la Yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.

  • @agnesneema2398
    @agnesneema2398 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi naota Na shangazi yngu alikufa naota nikiongea Nae,bado naota Niko primary school,Mara naota nko kwetu kijijini Niko zaliwa,Naomba tu niweze kushinda izo ndoto kW Jina la yesu🙏

    • @user-wk2bg8zf3l
      @user-wk2bg8zf3l 3 หลายเดือนก่อน

      Uyo ndiyo aliyezima nyotayako ya mafanikio😢😢😢😢

  • @GahimbalMarieCantal
    @GahimbalMarieCantal 2 หลายเดือนก่อน

    Niliipata nikiwa saudia alabia nikahalibikiwa muda huo mama wanyumba akanipambasisha nikawa naonana akitaka kuniuwa nikaludi bila chochote mipango yangu ikawa imekufa kila nikiipata ndoto hiyo majilani wananikata maneno yakunichafuwa atajaa mutaa nimejalibu bunyumba bumekataa mimi sivilahisi 😭😭😭😭😭🙆

  • @user-ql1rw1me8y
    @user-ql1rw1me8y 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mm naotanga sana niko kijijini au niko shuleni kwetu nikosomea huko kijijini na watu waliyokufa naptanga sana do ndoto zangu 😢😢 nisaindie mxhungaji nateseka sana

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 หลายเดือนก่อน

      Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

    • @user-vh8on9zb7s
      @user-vh8on9zb7s 7 หลายเดือนก่อน

      Amina mchungaji tunamshukuru kwa neno nzuri la kutufundisha

    • @user-vh8on9zb7s
      @user-vh8on9zb7s 7 หลายเดือนก่อน

      Maana tunaota tu hatuelewi maana yake

  • @peterlaurent5969
    @peterlaurent5969 8 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa somo lako haliishi apostle ilitakiwa umalizie na namna yakujitoa..

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Asante. Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.

  • @agnesneema2398
    @agnesneema2398 4 หลายเดือนก่อน

    Niombee pastor 🙏🙏

  • @user-iu1fx2bo4r
    @user-iu1fx2bo4r 6 หลายเดือนก่อน

    Zishindwe Kwa jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Hatua stahiki zinapaswa kuchukuliwa kama umewahi kukutana na ndoto za namna hiyo. Ili neno hili ulilolipokea liwe na faida kwako. Be blessed. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio.

  • @JusterKaberia-ry2sh
    @JusterKaberia-ry2sh 5 หลายเดือนก่อน

    Amen apostle nisaidie mm naota ndoto za kwatu kijijini, ndoa yangu ilivujika nikarudi kwetu nyumbani ,sahii Niko Nairobi lakini naota nikiwa nyumbani , mpaka nimeshidwa nifanye nn.

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  5 หลายเดือนก่อน

      Pole kwa hiyo changamoto. Nikushauri kutafuta msaada wa kiroho juu ya jambo hilo kwa haraka maana hiyo siyo ndoto ambayo ni kama taarifa tu. Adui amepata nafasi ya kuyashambulia maisha yako hivyo ni muhimu kuchukua hatua thabiti. Kama ulipo una kiongozi wako wa kitoho unaweza ukamuekeza kuhusu changamoto hiyo na akakusaidia pia. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Hongera kwa kuyapata mafundisho haya.

  • @user-lw8hp1zb8r
    @user-lw8hp1zb8r 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde cn meng

  • @malaikalihuda2831
    @malaikalihuda2831 8 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru sana mtumishi nami huwa naota hivyo hivyo

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

    • @PeninahMwendwa
      @PeninahMwendwa 8 หลายเดือนก่อน

      Hizi ndoto Sina uchungu tufanye nini😢

  • @user-cx7xy5cq1d
    @user-cx7xy5cq1d 8 หลายเดือนก่อน

    Amina kwa neno

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @ShakirashakiraKiuno
    @ShakirashakiraKiuno 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi nazioto sana ndoto izo naoto niko kijijini kwetu. 😢 Sehem nilipo zaliwa namimi nipo ndia lakn naoto sana ndoto izo mungu anisaidie

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina. KKama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.

  • @nzivoalbanus2240
    @nzivoalbanus2240 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi niko Nairobi lakini huwa naota nikiwa kijijini Kila siku na maisha yangu inaedelea vibaya

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Polesana kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

  • @aimeebusime5849
    @aimeebusime5849 27 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa sana Mtumishi najifunza mengi nikumbuka kwa maombi plz nateseka sana nahi zo ndoto

  • @user-ny1ev1bi8u
    @user-ny1ev1bi8u 5 หลายเดือนก่อน +1

    Aminaa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  5 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana na ubarikiwe na Mungu. Mungu huzungumza nasi kupitia mafundisho ya Neno lake pia. Natumai umepat kitu cha kujifunza. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @user-bi1em9ji4s
    @user-bi1em9ji4s 6 หลายเดือนก่อน

    Naota sana hizo ndoto Mungu nisaidie

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Amina Mungu akusaidie. Ila usisahau kuchukua hatua stahiki. Kumbuka palipo na haki kuna wajibu. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Maana somo la namna ya kutoka kwenye vifungo vya ndoto linaandaliwa na punde litakuwa youtube. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @ireengrimbe7492
    @ireengrimbe7492 8 หลายเดือนก่อน

    Nafunguliwa leo kwa jina la Yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina na iwe kwako. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.

  • @hellinahombuya5174
    @hellinahombuya5174 8 หลายเดือนก่อน +1

    Powerful

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pongezi sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

  • @HOPESIMONY-kp7ug
    @HOPESIMONY-kp7ug 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante YESU Sasa nimekombolewa kwa DAMU YA YESU,ndoto mbaya Haina nafasi tena kwenye MAISHA YANGU

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @irinechoi8204
    @irinechoi8204 7 หลายเดือนก่อน

    Nifunguliwe kwa jina la yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  7 หลายเดือนก่อน

      Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0) 755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240. Usisahau ku subscribe katika channel hii. Be blessed in Jesus name.

  • @VinaelKerry
    @VinaelKerry 6 หลายเดือนก่อน

    Amen parikiwa sana pastor

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.

  • @nesmoskanyuto6715
    @nesmoskanyuto6715 4 หลายเดือนก่อน

    Tafsiri yako siyo Sahihi

  • @stevenmwalwiba6164
    @stevenmwalwiba6164 8 หลายเดือนก่อน +1

    Naanza kuelewa baba ubarikiwe

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.

  • @makimbiliochannel
    @makimbiliochannel  9 หลายเดือนก่อน +1

    KANISA LA THLIC- MAKIMBULIO HM LINALOONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU MICHAEL MWAKILAMBO LINAPATIKANA KINYEREZI DAR ES SALAAM

    • @PeninahMwendwa
      @PeninahMwendwa 8 หลายเดือนก่อน

      Pia mimi nilikua naota nikifanyia mtu wa nyumbani kazi,nanilikua warabuni, na kwakweli nilirundi Niko kwake namfanyia kazi,inauma sana😔

    • @linajoseph5296
      @linajoseph5296 8 หลายเดือนก่อน

      Kinyerezi sehemu gani?

  • @rebeccawangui8808
    @rebeccawangui8808 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nifanye nni niko Saudi niliona na familia ya boss sister yako mndogo wakiwa na nice yake sasa after some days sister yake mkubwa kuliko huyu niliota naye amepata ajari but hakukufa,

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008. Kwa msaada wa kiroho zaidi. Mungu yuko pamoja nawe.

  • @user-lm7xx3pp7q
    @user-lm7xx3pp7q 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu nisaidie yani mimi haipiti siku mbili bila yakuota nipo kijijini 😢😢

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  3 หลายเดือนก่อน

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 8 หลายเดือนก่อน

    Ahsante baba

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน +1

      Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.

    • @damarisnjerunjeru399
      @damarisnjerunjeru399 8 หลายเดือนก่อน

      @@makimbiliochannel ahsante

  • @ireengrimbe7492
    @ireengrimbe7492 8 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa Mungu yaan naona kama unanisema Mimi yaan Niko uwarabuni lakini ndoto zangu ni kijijini nilikolelewa ujombami

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .

    • @linajoseph5296
      @linajoseph5296 8 หลายเดือนก่อน

      Mm Niko dar ila naota Niko tanga upande wa mamangu nilipozaliwa kwa bibiangu . Niko jikoni kwa Bibi alikokua anapikia nakula tu . Na Bibi alishafariki kwa sasa nyumba hamna mtu. Ila haipiti wiki naota Niko jikoni kwa Bibi nakula tu. Na maisha yngu hayaend😢

  • @VeronicaJane-em4rg
    @VeronicaJane-em4rg 5 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa MUNGU nisaidie huwa naota ivyo na kufanikiwa ni shida. Am in kenya

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  5 หลายเดือนก่อน

      Marko 9:23
      [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Amini kisha fuata hatua za kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hiko, Amini kwamba ukombozi utakua ni sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Ubarikiwe.

  • @user-ny6dp1iz2g
    @user-ny6dp1iz2g 8 หลายเดือนก่อน

    Nimefunguliwa leo na damu ya yesu

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 4 หลายเดือนก่อน

    Niombee pastor

  • @charleslamai3341
    @charleslamai3341 8 หลายเดือนก่อน +1

    acheni kuongeza maneno (hakuna mtu) aonae nafsini mwake

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน +1

      Mithali 23:7
      [7]Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo....
      Baada ya kusoma hilo andiko ninakukaribisha kuuliza swali tena. WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255)0768385240

  • @rebeccawangui8808
    @rebeccawangui8808 8 หลายเดือนก่อน

    Mmi hua na subuliwa sana na ndoto hua naomba sana nitafanya nni.hizo ndoto hua fulfilled

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu atakutia nguvu.

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 4 หลายเดือนก่อน

    Ziiishe kwa jina layesu

  • @user-oy9ly1sb8z
    @user-oy9ly1sb8z 6 หลายเดือนก่อน

    Kiukwel....na mengi nataman kuyaeleza lakn Leo nimefunguliwa ahsant San ubarikiwe nimeota ndoto hizo mar Kwa mara na kwel mambo hayaend napata ajali nakata tanaa natamani kurud nyumban lakn nasimama nafunga nakusali ahsant mtumish

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  6 หลายเดือนก่อน

      Amina Asante na hongera. Uwepo wa vikwazo kuelekea lile tunalolitaka haimaanishi kwamba sio jema lile tunalolielekea kama tukiwa upande wa Mungu. Tunapoelekea kwenye ukuu wetu shetani huwa haachi kuturudisha nyuma. Ongeza kiwango chako cha kumtafuta Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Be blessed.

  • @seraphinamsacky5393
    @seraphinamsacky5393 3 หลายเดือนก่อน

    Pastor mimi kila diku naonta nyumbani kwetu tena kwenye nyumba mbazo hata leo hazipo ni za zamani na mimi nipo mjini kwa miaka mingi. Niombee pastor

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  3 หลายเดือนก่อน

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240

  • @HappyPyramids-dj7iy
    @HappyPyramids-dj7iy หลายเดือนก่อน

    bwana asifiwe nikweli mchungaji mm naota hizo ndoto Kila wakati Kwa sahi Niko saudia lakini huota Niko kijijini niliko zaliwa Kila mara

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  หลายเดือนก่อน

      Pole kwa hiyo changamoto na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240

  • @makimbiliochannel
    @makimbiliochannel  9 หลายเดือนก่อน

    KWA MSAADA WA USHAURI PAMOJA NA MAOMBEZI KATIKA MAMBO YOYOTE YA KIROHO IKIWA NI PAMOJA NA HAYO MAFUNDISHO YA NDOTO WASILIANA NA MTUMISHI WA MUNGU KWA NAMBA ZIFUATAZO
    WATSAPU +255-755021008.
    CALL 0768385240.

    • @yesesimoni
      @yesesimoni 8 หลายเดือนก่อน

      Mungu wa mbinguni akubariki

  • @bbhv3568
    @bbhv3568 9 หลายเดือนก่อน

    Mm hua naota sana izo ndoto

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Ooooh pole sana wasiliana na mtumishi kwa watsapu 0755 021008

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur 8 หลายเดือนก่อน

    Naota kila siku naota nko kijijini na mm nko ngambo ad sielewi,mpaka nmechoka nazo

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

  • @nesmoskanyuto6715
    @nesmoskanyuto6715 4 หลายเดือนก่อน

    Maana ya kuota uko kijijini inatafsiri nyingi sana, Ukiota uko kijijini muhusukabanatakiwa kujihoji, umetoa tafsiri ya ujumla ambayo siyo Sahihi

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  4 หลายเดือนก่อน

      Hongera mpendwa kwa kuyapata Mafundisho haya. Na hongera kwa ufahamu huo ulionao juu ya Tafsiri ya ndoto ya kuota upo kijijini au sehemu uliyozaliwa au kukulia. Kitu unachotakiwa kufahamu ni kwamba maarifa kwa habari ya neno la Mungu kila mtu hufunuliwa kwa sehemu yake na ndiyo atakayoifundisha. Kuishia hapa kufundisha, haimaanishi ndo mwisho wa tafsiri nyingine kwa habari ya ndoto. Kama wewe unazifahamu tafsiri nyingine ni sahihi. Kila mtu hutoa kile alichojaliwa kupewa na Mungu. Asante kwa mchango wako. Ubarikiwe.

  • @JanethLukuna
    @JanethLukuna 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi mwenyewe nimechoka kuota ndogo hizi za vijijin

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 4 หลายเดือนก่อน

    Nifunguliwe kwajina layesu

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 8 หลายเดือนก่อน

    Kweli mtumishi mimi naota sana nipo kijijini kwetu kwa sasa nipo uarabuni

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pole sana. Unaweza ukanitafuta kwa njia ya WhatsApp namba 0755021008, kwaajili ya msaada zaidi wa kiroho. Be blessed

    • @PeninahMwendwa
      @PeninahMwendwa 8 หลายเดือนก่อน

      @@makimbiliochannel code namba ni gani

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      @@PeninahMwendwa +255 Karibu sana

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      +255 755 021 008 for watsapu and call welcome

  • @user-qk7zi9cw6w
    @user-qk7zi9cw6w 8 หลายเดือนก่อน

    Baba mungu akubariki sana sana umeniponya hayo madoto kila mara tena shuleni nilikosoma naota kweli siku hii imekuwa yangu naenda kufanikiwa

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Unapoota upo shuleni maana yake haiishii kama ya kuota ukiwa upo kijijini kwenu au sehemu uliyokulia. Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi, na Mungu akubariki sana.

  • @HappyPyramids-dj7iy
    @HappyPyramids-dj7iy หลายเดือนก่อน

    Tusaidie mchungaji maana ndapata shida sana

  • @user-eg4bz1zn1c
    @user-eg4bz1zn1c 8 หลายเดือนก่อน +1

    Apostle tunaomba utufundishe tufanye nini ili tufunguliwe?

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Majibu ya hilo swali lako utayapata baada ya muda mfupi. Unachotakiwa ni ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Au WhatsApp namba 0755021008.

  • @Kenzowakitaa-lm3uf
    @Kenzowakitaa-lm3uf 8 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.

  • @user-ns7bw5ps9f
    @user-ns7bw5ps9f 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani mimi ndioo ndoto zangu kila siku

    • @makimbiliochannel
      @makimbiliochannel  8 หลายเดือนก่อน

      Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .