daaah.. nmevutiwa mnooo kaka na historia ya mzee wa kaliua! best hustle ever. ILA MSAMEHE BURE YULE JAMAA WA AZAM MEDIA ALIYEKUFUKUZISHA KAZI. "JAMAA YETU"
Daaaaaaah Oscar Oscar uko vzr na umeshukru ulipo Toka na Aliye tumika kuwa ngaz ya wewe kupanda umemkumbuka umempa Ujasiri hata kesho Aweze kuwasaport wengine
"Maulid Baraka wa kitenge " aka "CHUMVI",Ukiwa Senior tumeona na tunatambua mchango wako wa kuinua Majunior ,Hongera Maulid Kitenge na Oscar Oscar kwa kutambua mchango wa Maulid Kitenge kwenye mafanikio yako.
Huyu ndugu yetu asiye tajwa apo ni Jemedari saidi huyu jamaaa anajifanya kila kitu anajua yeye mpk nmeacha kusikiliza sports hq ya Efm sababu yake mchambuz wa kawaida sana na anaonesha anaroho mbaya sana mmakonde huyu.
daaah.. nmevutiwa mnooo kaka na historia ya mzee wa kaliua! best hustle ever. ILA MSAMEHE BURE YULE JAMAA WA AZAM MEDIA ALIYEKUFUKUZISHA KAZI. "JAMAA YETU"
Masha Allah M,mungu atamlipa Maulid Baraka wa Kitenge kwa Roho Nzuri na kusaidia Watu.
Story nzuri sana interview zifuatazo mlete jeff lea ama jemedari said.
Daaah__umetishaa sanaaa bro alafuu unajuaa sana sanaa snaaa
Safi sana, leo ndio nimejua Oscar ni mwananchi. Hongera sana!
Bonge moja la finishing. Superrr
Aminia Big Boss Bihondo 💪🏻💪🏻
Aisee Maulid Kitenge yuko vzr sana
Duh..! Asante mzee wa Kaliuwa..ila Maulid ki ukweli ana roho sana ya kusaidia amefanya hivyo kwa watu wengi
Kitenge 💯
Jamaa comedy sana
Very sensitive story haki ya Mungu
Safi sana. Vijana hawa wapambanaji sana. Mungu awanyooshee njia kwa kweli. Kipaji kikubwa sana cha kuelezea mkasa.
huyu anaehoji c nd msimamizi wa ligi
Halaf ziko nying kichwani
Mbona kama amelewa
Wema hauozi, bora umemshuru Maulidi bado akiwa hai. Allah akulipe sana wewe na Maulid Kitenge.
Kumbe kuna watu wa dizain ya maulidi Dunia ....ajabu kabisa
Daaaaaaah
Oscar Oscar uko vzr na umeshukru ulipo Toka na Aliye tumika kuwa ngaz ya wewe kupanda umemkumbuka umempa Ujasiri hata kesho Aweze kuwasaport wengine
Wanasimulia maisha yao
Wewe mchambuz namba moja Tz nakukubar sana sana
Ww jamaa uko serious unamjua ahmed ambangile ww
Huyu Jamaa anastahili kuwa alivyo
Nimeipenda Kaka TAFUTA nyingune
Oscar Kama kanywa bia hivi
Kichwa cha kazi Mzee Wa kaliuwa tabora
Safiiii Nimependa sanaaa
Kumbe Oscar ikifungwa Yanga unaumia Yaaani unakuwa umelegeaaaa😁😁😁😂😂😂
Huyo boya tu Oscar na pale Efm kulikuwa huyu pamoja na Mahuridi kitenge wanazi Sana wa Yanga Sana tena Sana
Huu niungwana uliotukuka kushukuru kwaukubwa mtu alionyesha kukusaport
Kwa maelezo hayo tu ya kufukuzwa kazi it means Azam na simba ni kitu 1
Duh una akili mbovu 😂😂😂😂
Bonge la shoo. GOOD!.
Pamoja mwamba
Duh pole kaka ndy maisha kaka
nakukubali.sana broo.sana sana
Du mungu amupe maisha marefu kitenge
Mungu/MUNGU sio mungu
"Maulid Baraka wa kitenge " aka "CHUMVI",Ukiwa Senior tumeona na tunatambua mchango wako wa kuinua Majunior ,Hongera Maulid Kitenge na Oscar Oscar kwa kutambua mchango wa Maulid Kitenge kwenye mafanikio yako.
Njoo kum mbili, mm saa kumi 11
😂😂😂
Leo ndo nimejua Oscar Oscar anashabikia tim gan hapa bongo.
Timu gani
😀😀😀hiki kichwa bhan
Inapendeza sana kushukulu mtu na kuusema ukweli wa moyo wako hongera sana ndugu yangu
Mzazi naona umechangamka
Anayetajwa apo ni jemedari said kazumari alivyokuwa azam fc
Kumbe jamaa mnonko
Jamaa simkubar kafanya Nisisikilize HQ siku Hizi yeye mjuzi Wa kila kitu kumbe Hovyo tu
Kwa interview zote za Mzee wa kaliua hii no nouma
Interview moja nzuri sana Karim,Mkoka.
Ahsante sana kaka mkubwa Mkoka 💪🏻💪🏻
@@BOIPLUSTV mzee umepiga bonge ya interview
Nakuona mbali
Lakini usiingie kwenye media nyingine kazana na hii yetu ikue
Ahsante@@mkungamedia6090 ...tunakomaa hapa hapa
Mwananchi ndio kwenu
Kazumar Mnoko tu
Hii story ndo imenifanya kujua kwanini mwanzoni pale Efm alipokuja jamaa mlikua hampatani 😂😂😂😂
historia ya maisha hata miaka 40 hujafikisha dah
Dah nataman kumjua huyo mshakaji wetu
jemedali said mnafki sana
Hongera kwakuwa muwazi na kumpa mtu shukrani nasifa kabla hajafa bigup dogo
Tatizo mkiaminiwanyie ndio mnatumia nafasi ya kutudanyanya
Mzee wa kaliua unafaa kuwa mbunge wa kwetu huko wesisoga sana mnyemwezi
Oscar sisi kama wadau Wa media tumepigana sana kucoment upewe mkata efm ninazo hadi voice za msg zetu tukikupigania
Kipa mshambuliaji🤣🤣🤣🤣
duuu
Wasafi media
Chumvi @maulidi kitenge ni mtu wakipekee sanaa
Dd
Naikubali ile caption yake ya #alisikika mlevi mmoja... Uirudishe bc😂😂
Huyu ndugu yetu asiye tajwa apo ni Jemedari saidi huyu jamaaa anajifanya kila kitu anajua yeye mpk nmeacha kusikiliza sports hq ya Efm sababu yake mchambuz wa kawaida sana na anaonesha anaroho mbaya sana mmakonde huyu.
Cmpendi huyu jamaaa
Ko jemedar yy ni simba au
Nampenda saaana Jemedar
bora wewe umekumbuka hata maulid kitenge aliye kuonyesha njia ila kuna mmakonde flan alionyeshwa njia sasa hivi anajenga fitina.
Kabisa kabisa...simpendi kweli yule mmakonde...