Ndugu yangu I'm speechless naomba kama inawezekana uurekodi huu wimbo uwe none stop hata dakika 30 kiukweli sitochoka kuutazama and kuusikiliza, MyAlmaght GOD continue to bless and protect you Brother Joshua
Nakubali sana mtumishi mm ni shabiki yako toka nikiwa mdogo nakumbuka nikiwa mdogo mlikua mkija kijinjini kwetu moshi nilikua nawah kanisani nakua wakwanza nikawahi kukaa sitii ya mbele nakupenda sana
Mlianza vizuri jitahidini mmalize vizuri tupo nyakati mbaya na shetani yupo speed vibaya sana kuhakikisha mwisho wa mwanadamu ni mbaya hakuna mwanamke mtakatifu anaweza ingia mbinguni na suruali lkn km watumwa wa Bwana pikicha mwili kabisa maana hatutakiwi kuifanya kazi ya Bwana kwa ulegevu ila hao vijana ni km wanacheza kidunia zaidi pole km nimewakwaza na mbarikiwe sana
Umetisha sana kaka ,very tactical song siyo kila tunakopita tusikie nyimbo za mapenz ,keep it bro,naona umepiga mpk kinyalu,mnyalu niko pale nakusikiliza😁
Mimi nasemaga Miongoni mwa watumishi wakuu wa Mungu hapa Africa na Duniani Jushua Mlelwa yumo mpaka muonekano wake unaonesha ana Yesu Kristo.
HALELUYA.!
Uzidi kubarikiwa.!
Ndugu yangu I'm speechless naomba kama inawezekana uurekodi huu wimbo uwe none stop hata dakika 30 kiukweli sitochoka kuutazama and kuusikiliza, MyAlmaght GOD continue to bless and protect you Brother Joshua
Amen Amen.
Ahsante sana ndugu.
Ubarikiwe sana.!
Nakubali sana mtumishi mm ni shabiki yako toka nikiwa mdogo nakumbuka nikiwa mdogo mlikua mkija kijinjini kwetu moshi nilikua nawah kanisani nakua wakwanza nikawahi kukaa sitii ya mbele nakupenda sana
Ahsante sana rafiki.
Uzidi kubarikiwa.
Kiukweli mtumishi mlelwa nimekuelewa sana kupitia hii KUELEKEA YERIKO Nashukuru sana ubarikiwe zaidi na zaidi
Ooh,,
Ahsante sana.
Ubarikiwe zaidi.
Karibu tena Alhamisi ijayo.
Mlianza vizuri jitahidini mmalize vizuri tupo nyakati mbaya na shetani yupo speed vibaya sana kuhakikisha mwisho wa mwanadamu ni mbaya hakuna mwanamke mtakatifu anaweza ingia mbinguni na suruali lkn km watumwa wa Bwana pikicha mwili kabisa maana hatutakiwi kuifanya kazi ya Bwana kwa ulegevu ila hao vijana ni km wanacheza kidunia zaidi pole km nimewakwaza na mbarikiwe sana
Huo siyo wimbo wa Injili rafiki.
Huo ni wimbo wa TAIFA TANZANIA.
Bila shaka haujasikiliza vizuri...
Amazing song Brother Joshua .it's our beloved Country.naumepiga ile Tai ya Mwigulu Nchemba hahahaha.Hongera Sana kazi nzuri Sana
😀😀😀
🙏🙏🙏
Nzr hyooo🇹🇿🎧🎤
🙏🙏🙏
Bro we ni mnyalu nimeona maneno ya kimombo hapa.
Uirudishe upendo group Kama mpo wote au new upendo group tumekumiss Brother Mambo sawa sawa
Ndiyo,
Mi Mnyalu
Taifa Letu Tanzania Yetu.
Zidi Kubarikiwa.
Uzidi kubarikiwa..!
Mjanja wewe haleeeeeeee e haleluyaaa aa oh haleluyaa aa vya zing
hahahahaha 😂😂😂
Ongera sana bro wangu kazi nzuri sana
Ahsante sana kaka
Barikiwa Watumishi, Wimbo mzuri wa uzalendo wa nchi! Vizuri kusifia mahali tulipowekwa na Mungu!!
Amen Amen.
Ubarikiwe zaidi.
Wataelewa tu Joshua Mlelwa ni nani, mi nilishamuelewa Siku nyingi sana. Bro is very talented
HALLELUJAH...!!
Barikiwa sana
Hakika unajua mpaka unakera👏👏
Barikiwa sana
Wimbo mzur sana hongera 🔥🔥🔥
🙏🙏🙏
Wimbo nzuri sana 🔥🔥
🙏🙏🙏
Kazi nzuri sana kaka mkubwa 🔥
Barikiwa zaidi bro
Nakuelewa sana
Big up!
Ubarikiwe baba mtumishi
Ubarikiwe zaidi
Safi sana brother Joshua nakuelewa sana
🙏🙏
Kazi nzuri kaka...barikiwa
Amen.
Barikiwa sana.
Upigwe kwenye royal tour
Isaya 18
😊😊
Umetisha sana kaka ,very tactical song siyo kila tunakopita tusikie nyimbo za mapenz ,keep it bro,naona umepiga mpk kinyalu,mnyalu niko pale nakusikiliza😁
😅😅🔥🔥
ahsante sana mnyalu....
@@joshuamlelwa pamoja mkuu
Mzee Joshua pamoja na Lilian uko vizuri! Isipokuwa tu guitar rhythm lilikuwa off tune kidogo[Producer!!!!
Duh.!
Kweli...
Amen
Hongera Bro,nime uelewa huu wimbo wetu wa Taifa
Ahsante sana kaka..
🙏🙏🙏
Blessing brother Joshua Mlelwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯🙏🙏
🙏🙏🙏
Safisana anko 🙌🙌🙌, such a good song👏👏👏👏
👍👍
Bariki wa sana 🙏 🙏🙏🙏🙏
Barikiwa zaidi
Wow awesome I love this
🙏🙏🙏
Kaka nakubari
🙏🙏🙏