HATUMTAKI HUYO MKULIMA, KAZI YAKE TU SITAIWEZA, ILA NIMEMPENDA - HELLO MR. RIGHT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 199

  • @EmiliaNuru
    @EmiliaNuru 10 หลายเดือนก่อน +6

    Am proud of you brother and I love that

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 10 หลายเดือนก่อน +19

    Huyu mkaka siyo mkulima. No mtu kazi yake mzuri sana kila amekuja kupima je kuna wenye mapenzi ya Kweli. CONGRATULATIONS MY BROTHER. Kwa kupima watu.

    • @esterpaschal6080
      @esterpaschal6080 10 หลายเดือนก่อน +4

      Kwan mkulima anashida gan

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@esterpaschal6080mi mwenyw nalima huko 😂😅 kwa hyo tunashida gani

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 10 หลายเดือนก่อน

      @@esterpaschal6080 tena ukulima ukikubali una pesa

    • @jeromeshirima2053
      @jeromeshirima2053 9 หลายเดือนก่อน

      @@esterpaschal6080ni wewe hiyo dp

    • @JonathanNelson-l8h
      @JonathanNelson-l8h 9 หลายเดือนก่อน +2

      Watu wengi hamjui kama kilimo ni bonge la mchongo....kilimo ni pesaaaaaa

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel8947 10 หลายเดือนก่อน +15

    Ila kumjudge mtu kimaumbile ni kumvunjia heshima na udhalilishaji Sijapenda hao wadada walichofanya. Please weken sheria kama mtu hajampendae mr right ni bora akatae! Kwa No bas!

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 10 หลายเดือนก่อน

      Yani nawaskiliza naona wenyewe ni Mungu asee wana judge had uumbaji 😂,

    • @ammydaniel8947
      @ammydaniel8947 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@theprincejr1417 na hao sijui madaktar wanaona kawaida tu , ila akifanyiwa hivyo bint yoyote ndio wanajifanyaga wanahasira na mr right , then wanamfukuza. Hakuna binadamu yoyote mwenye haki ya kukosoa! Yan hili limeniuma kama nimefanyiwa mm.

    • @EsterMajaliwa-u3b
      @EsterMajaliwa-u3b 10 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli,,hawana adabu kabisa waweke sheria jamank

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 10 หลายเดือนก่อน

      Kwanza mwanaume mwenye akili zake timamu hawez kwenda hapo na ndio maana hao wanaume wanaowahitaj hawawez kufika hapo

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 9 หลายเดือนก่อน

      Kiufupi hamna wanawake wa kuoa hapo wengi wanaangalia vitu vya kimwili

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 10 หลายเดือนก่อน +17

    Braza katudanganya hakuna mkulima hapa. Ila chaguo alilochagua wala hata hawaendani. Anitha anahitaji mubaba😢 by the way hakukuwa na haja ya kuingiza ufupi, just say No inatosha. Kila mtu kajikuta ameumbwa

    • @BlessingsJosephMsofe
      @BlessingsJosephMsofe 8 หลายเดือนก่อน

      Sasa na hao wamalaya wamekuja kuninadi nao wanachagua pumbavu kabisa nyie😂😂

  • @anthonykihanga2881
    @anthonykihanga2881 17 วันที่ผ่านมา

    Sio vizuri kabisa hizo lugha wanazo tumia hao wadada waelewe kilicho wapeleka na si kudhihaki watu kama hujampenda kausha tu

  • @williammussa5621
    @williammussa5621 10 หลายเดือนก่อน +7

    Hiki kipindii wapo serious kweli au ni comed 😂😂

  • @SalmaMnalidi
    @SalmaMnalidi 9 หลายเดือนก่อน +1

    Conglatration

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu huumba matumboni mwamama zetu atakavyo yeye.....tena kwa mfano wake ,yaani sio kwakufanananaye ,bali kwa namna yake anavyohitaji ,msije mkanifikilia nafananisha mungu na hinadamu , laa hasha .....ila kwa namna atakavyo yeye , so MTU mfupi au mrefu hujikuta tu hapo wala sio kwa mahitaji au kuomba.....huo ndio uweza wa mungu ambao watu huutilia shaka.

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa wanawake woote siwo, wanataka wanaume waongo, mana mwanamme akiwa mkweli hawataki wanataka wanaume weny majumba na magari, kaz nzuri lkn wanaume weny kuhangaika na maisha hawataki

  • @PatsonSimpito
    @PatsonSimpito 10 หลายเดือนก่อน +19

    Johar afukuzwe kabisa mbwa huyuu

  • @Angelkilawe
    @Angelkilawe 10 หลายเดือนก่อน +24

    Huyu kaka nimtu mkubwa kadanganya wanawake hamna bahati😂😂😂

  • @mwanashasjambia8572
    @mwanashasjambia8572 10 หลายเดือนก่อน +4

    Madharau hayoo ndiomaana mkakosa wanaume wakuwaowa.wanawake mlokuja apoo nyote mnaila.

  • @rutherick255
    @rutherick255 10 หลายเดือนก่อน +3

    But it hasn't end oooh😢😢😢

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 10 หลายเดือนก่อน +4

    Duh hata hawaendani😂😂uyu dada mwili mkubwa

  • @jotoentertainment9225
    @jotoentertainment9225 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ko sie wakulima mnatuona watu waajab au sio😢😢😢

  • @flm1530
    @flm1530 10 หลายเดือนก่อน +49

    Hao ni Malaya wapo hapo

    • @paulmuhia7781
      @paulmuhia7781 10 หลายเดือนก่อน +1

      Makosa kuwaita hivo.

    • @JdnjdjdjEjjeejeie
      @JdnjdjdjEjjeejeie 10 หลายเดือนก่อน

      Makos gani?​ wamalay awo@@paulmuhia7781

    • @themalumbos4214
      @themalumbos4214 10 หลายเดือนก่อน +2

      kabixa kabisa😅😅

    • @SantaJumaa
      @SantaJumaa 10 หลายเดือนก่อน +3

      Umeniwahi nilitaka kucomment ivo ivo hao malaya tu kwanza mwanamke anayejiheshim na kujua thamana yake awez kwenda kujinadi ivo

    • @elvilamwambambale950
      @elvilamwambambale950 10 หลายเดือนก่อน +2

      ​plz niunganishe me na huyo kijana plz

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 10 หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo Johari ni mshamba wa KIGOMA

  • @Nelly-s3h
    @Nelly-s3h 10 หลายเดือนก่อน +6

    Na nyie wanaume bhna kwan huwez kudanganya kama una kazi nzuri unasema kazi ya uongo na kazi mbovu ili wazarau atakekukubali ndio unasema ukweli sasa maana ndugu zangu wanaonekana wapenda pesa

  • @AgnesJosephBikwato
    @AgnesJosephBikwato 9 หลายเดือนก่อน

    Wasichana mungu anawaona acheni mashauzi mkulima kwani siyo mtu kwani mnakula vilivyotoka wapi! Kama siyo mkononi jamani du!

  • @timamulituto
    @timamulituto 10 หลายเดือนก่อน +5

    Uyo dada ana laana ufupi una nn Mungu ampe laana uyo dada asipate mwanaume

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 7 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh kwani Mungu haajakosea kuumba muelewe hilo msijaji kuumbwa kwake

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mmh mbona kama udharirishaji jmn

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 10 หลายเดือนก่อน +2

    Safi Kijana huna Hasira, huo ndiyo Uanaume

  • @justinealex8020
    @justinealex8020 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo johar hatopata hata mwanaume wenda awe fara kama yeye make toka nmeanza kumuona hapo anaelekea kuchacha sasa Inaonesha tabia na tu mbov hyo ndoa ataitunza

  • @saidkombo9904
    @saidkombo9904 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo hakuna wake ni panya road tu wamejaa😂😂

  • @RebyTizo-mn6gh
    @RebyTizo-mn6gh 10 หลายเดือนก่อน +3

    Wote watafika mbinguni wamechoka maan hao wantk waume wenye pesa km wazazi wao wanazo

  • @MwajumShaban
    @MwajumShaban 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mkulima huyu jameni siungeenda kuoa kijijin ili mlime vizur 😂😂😂😂😂😂 Pole au twende tukalime wote

    • @RosemaryPius-cs5lh
      @RosemaryPius-cs5lh 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani mtu anajishugulisha na kilimo ni lazima ashike jembee????

    • @MwajumShaban
      @MwajumShaban 10 หลายเดือนก่อน

      @@RosemaryPius-cs5lh 😂ndio kilichomkosesha pale aliposem nimkulim yeangesem mjeda wote wangewasha taa

  • @juddykamau8618
    @juddykamau8618 10 หลายเดือนก่อน

    Nami sijui nice nipate wangu?

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 10 หลายเดือนก่อน +1

    malaya hao

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 10 หลายเดือนก่อน +3

    Haipendezi kumtoa mtu kasoro kama hajakuvutia tuliza kipago

  • @OmanJalan-xc8nx
    @OmanJalan-xc8nx 10 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo johari namuombea asipate mume asugue Gaga apo adi akome anamdomo sana na atakeye mchagua nishida

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 9 หลายเดือนก่อน

      Kashamba kametoka bush kamekuja mjini kalimbukeni

  • @FatumaMustafaShbani-vt1ir
    @FatumaMustafaShbani-vt1ir 9 หลายเดือนก่อน

    Amina ngade?? 😢😢

  • @amosmutasa3454
    @amosmutasa3454 9 หลายเดือนก่อน

    Hili ni dangulo lililo sajiliwa tuu tofauti kidgoo na aloyavunja Chalamila hili ni official

  • @swalhawerema57
    @swalhawerema57 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi hawajui kilimo kina pesa mno...basi tu hawaangalii pesa zinapatikan wapii

  • @ATWITYEMKALAWA
    @ATWITYEMKALAWA 10 หลายเดือนก่อน +4

    mbona anita mwenyewe nilimama kabisa afu anajishauwa angekuwa mzuri siangelinga

  • @MalandoDeusMalando
    @MalandoDeusMalando 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwan uyo Johar yupo kwaajr ya kulekebisha Mr right

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmmh hicho kidemu kinafanya kinajua ngoja nitokee Mimi nikakikatae pia

  • @zainaburashid1578
    @zainaburashid1578 10 หลายเดือนก่อน +2

    Yani nyie wadada sura mbaya hadi roho gara b shusha hao wanaojiona hapo na mtasubiri sana kupata wanaume kweli mtapata w kuwafunua tu🧐🤔

  • @Sparkog-G
    @Sparkog-G 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona uyo johari mjuwaji San na hapo podium hatobowiiii

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 10 หลายเดือนก่อน +1

    kujidhalilisha hivii mhmm

  • @LukiaMwaya
    @LukiaMwaya 10 หลายเดือนก่อน +2

    Me uyo mkaka nimempend BURE aje kwng ao wte malaya tu wanajiuza t

  • @WilliamEzekiel-hv9li
    @WilliamEzekiel-hv9li 10 หลายเดือนก่อน +4

    Johari utazeekea apo apo😂😂

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 10 หลายเดือนก่อน

      Huyo nikimkuta yuko na braza nitafukuza , mwanmke hajui kuongea na stara ya mwanmke

  • @laurian27
    @laurian27 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo johari atawapunguzia mashabik wa kipindi hicho hebu jaribuni kupunguza wahuni wengine wateja wetu tunawaona kabisa na mjue kbs kuwa madanguro yashaondolewa kwa sasa wanajitafutia na bahati mbaya kwakuwa ni wameshazoea kila aina ya wanaume ndo maana hawaishiwi machaguo na wanasumbua na kubaki hapo kuwaharibia kipindi.binafc gari b ntakuja hapo kama mr r lkn mtanifukuza kwa kuwachana hao malaya

  • @estermwakafwila9890
    @estermwakafwila9890 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu caren ni mpumbavu sana tena Sanaa tena malaya sana aisew

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 10 หลายเดือนก่อน +3

    Alau uyu jokhal.atoke

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 10 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba part 2 ya huyu boy coz lastly atasema kazi yake au mnipe no. Yake

  • @MashimbiWilliam
    @MashimbiWilliam 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii entertainment tu

  • @neemamkuchu
    @neemamkuchu 10 หลายเดือนก่อน +6

    Johar kaongea pumba😂

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hajuagi hata kuongea kwa utaratbu

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ukiona w,mke kaja kujianika hapo ujue anatatizo Mara kazi yake mby Mara mfup zaa wako akuow

  • @Sweetnaah
    @Sweetnaah 8 หลายเดือนก่อน

    Ndo maan tunadanganywa kumbee😂😂😂😂😂😂😂

  • @MaryamaAlly
    @MaryamaAlly 10 หลายเดือนก่อน +7

    nilkua najiuliza why mr right hawaji kumbe hawataki jichoresha😂

  • @AminaShaibu-g5p
    @AminaShaibu-g5p 9 หลายเดือนก่อน

    Hv kwa nini nyinyi watt mnajidhalilisha hv ama kweli dunia hadaa

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 10 หลายเดือนก่อน +3

    Bora kile kipindi cha Kenya ichi cha uku ni ufala alafu hawana adabu wako kama wanadanga tu atakama niihari ya mtu kuchagua ila hawa wanazalilisha watu,,ata hao waongoza kipindi wanashindwa kumfariji mtu wan mcheka haya tuone kma iki kipindi kitaendelea kwa haya mambo hakuna mwanaume anapenda fedhea

  • @elvilamwambambale950
    @elvilamwambambale950 10 หลายเดือนก่อน +1

    Plz naomba huyo kijana mniunganishe me namempenda plz naomba mc garab

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 10 หลายเดือนก่อน +2

    Broo tafuta hela ufupi hutaonekana😂😂😂

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 9 หลายเดือนก่อน

      Alfu pesa ikiisha ufupi si unarudi palepale

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 9 หลายเดือนก่อน

      Mtu akikupenda hawezi kuangalia kasoro zako za kimwili

  • @yassingawaza5097
    @yassingawaza5097 5 หลายเดือนก่อน

    Ila kaz ngum hiii daaaa😂😂

  • @AbdallahMkone
    @AbdallahMkone 8 หลายเดือนก่อน

    Weng Malaya tu hapo

  • @NuludiniRajabu-cb9oc
    @NuludiniRajabu-cb9oc 10 หลายเดือนก่อน +1

    Awo madem makuma

  • @Itsblackghost
    @Itsblackghost 10 หลายเดือนก่อน +2

    Watupandishe wanaume n sis tuwazalilishe kma walivyo mshusha chalii asee

    • @victoremanuel29
      @victoremanuel29 10 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisaa na wenyewe waone raha

  • @czechzyamwaga1021
    @czechzyamwaga1021 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wafupi wana dudu ndefu sanaaa ❤😂

  • @Zarrahmauwa
    @Zarrahmauwa 10 หลายเดือนก่อน +1

    Johar anasifa sanaa

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 10 หลายเดือนก่อน +1

    kwel maisha yanaenda Kasi muolewaji anachagu wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa wakati huo wenyewe Hali mbay

  • @fikiriisaya5803
    @fikiriisaya5803 6 หลายเดือนก่อน

    Hayo wa dada wote niwamalaya akuna anaye taka mme Wana taka pesa tu

  • @giliadijackson66
    @giliadijackson66 6 วันที่ผ่านมา

    mwamba we mtot wa kiume aowapaka mekap uwawez

  • @robertkyalo5328
    @robertkyalo5328 9 หลายเดือนก่อน +1

    Good script!

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 8 หลายเดือนก่อน

    Muwe na maneno ya hekima wanatazama niwatu wengi

  • @jayBabakaila9883
    @jayBabakaila9883 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo johari nimshenzi

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 9 หลายเดือนก่อน

    Gara B simamia kipindi vizuri baadhi ya hao mabinti hawana kauli nzuri kwa mr right

  • @IddaJovent
    @IddaJovent 2 หลายเดือนก่อน

    Carene mpumbav kwel Kwan ufup ndo nn ad yy ana liumb libovu jaman.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kina Anitha ni wakarimu na wapole sana na wakweli

  • @JdnjdjdjEjjeejeie
    @JdnjdjdjEjjeejeie 10 หลายเดือนก่อน +2

    Akun mwanamuk mweny heshim Zak utamuona hap wote niwamaraya tu afu johari hatapatag bwana mimi uyu😮😮😮

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 10 หลายเดือนก่อน

      Atapata wapi na kiburi alichonacho mdomo dharau uso tu unaonyesha akiongea ndo usiseme

  • @jimmylevoyo2539
    @jimmylevoyo2539 10 หลายเดือนก่อน +1

    Anita kamkonyeza huyo jamaa, kashamulewa ila anazuga.😂

  • @ibrahimyusuph4908
    @ibrahimyusuph4908 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wa kwanza leo😊

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mi napenda kuelewa kitu kimoja je bila kuwa nakipato ni vigumu kupata mwanamke? Wamalaya ndo wanakuja kujitafutia tu

  • @AgnesJosephBikwato
    @AgnesJosephBikwato 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba niulize kwani wazee hawapo mbona vijana tu!

  • @SharifaSelemani-ix4xs
    @SharifaSelemani-ix4xs 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani hawa wadada wanatafuta wanaume wa kuwaoa au wanatafuta wanaume wenye pesa, wadangaji wakubwa wanaboa sana wanakuwa kama malaya bwana wanachagua utasema wao wanamaisha mazuri vile hawana lolote

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio mana hawa wasichana wanaishia kuwa vimada kwasababu hawana heshima

  • @MonicaBwaola
    @MonicaBwaola 9 หลายเดือนก่อน

    Watu awaataki kulima jamani😂😂😂 jembee

  • @emanuelayubu5021
    @emanuelayubu5021 10 หลายเดือนก่อน +12

    huyu jamaa ni mtata, itakuwa amedanganya kwenye shughuli na kuna kitu anapima.

    • @PaulAbel-no1xy
      @PaulAbel-no1xy 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hata mm nahc icho

  • @massatujeli3158
    @massatujeli3158 9 หลายเดือนก่อน

    😊😊😊😊huyu annitha ni mchaga

  • @nuratirama
    @nuratirama 10 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani hawo wanawake wa mr right siyo kwamba wanampenda mtu bali huwa wanapenda pesa na kazi ya mtu si kumpenda mtu mwenyewe

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 10 หลายเดือนก่อน

    Ila kina mwaisha wengi mmmmm hawajatulia

  • @dianajanes7661
    @dianajanes7661 10 หลายเดือนก่อน

    Johari ata ukipata sizan

  • @giliadijackson66
    @giliadijackson66 6 วันที่ผ่านมา

    uyo ndio mwamba mkulima ote kimya

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo luludiva nae hanabwana

  • @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk
    @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk 9 หลายเดือนก่อน

    Hao wote nimalaya

  • @zainaburashid1578
    @zainaburashid1578 10 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu sio mkulima...wadada mnapenda pesa na sio mtu kwendraaaa

  • @SalmaPaschal-v6o
    @SalmaPaschal-v6o 10 หลายเดือนก่อน +1

    tobhaaaaa Si shangazi yake huyu🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

  • @FawziaKhamis-d3f
    @FawziaKhamis-d3f 9 หลายเดือนก่อน

    Hawanawake ni mangumengume ya mtaani

  • @ElsonAsimwe
    @ElsonAsimwe 9 หลายเดือนก่อน

    Joari bado upo 😂 utazeekea apo

  • @JosephKaka-s4k
    @JosephKaka-s4k 6 หลายเดือนก่อน

    Wadau sorry hawa wadad wa mr right n malaya au

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 10 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu Johari hawutapata mwana umme kwa tabia hizo Nakwambiya hawutapata sijuwi unajionaje

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 9 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi ningekuwa mwanamke huu jama ningezima taa

  • @thetrends472
    @thetrends472 10 หลายเดือนก่อน +1

    hiyo midem ni mikahaba tu

  • @MudyBoy-q9h
    @MudyBoy-q9h 9 หลายเดือนก่อน

    Ao hawaitaj wanaume tu ila wanataka matajili wadanganyaji tu

  • @chongorekevin
    @chongorekevin 9 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa huna kazi ya kueleweka usijisumbue kwnda hapa Kila mtu anataka maokoto

  • @agnessmduma7581
    @agnessmduma7581 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa kuna makahaba tu hamna mke wa kuoa apa kwa mwanaume anae jielewa hawezi kuja kutafuta mke apa

  • @SabrSeleman
    @SabrSeleman 8 หลายเดือนก่อน

    Mmh hao warembo hata wakiolewa hawawez kudumu kwenye ndoa maana hawapendi mtu wanapenda vituu alivyonavyo mista laiti

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa wanawake wote mafala