Anastacia Muema- Wewe ni Wangu (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ย. 2022
- Wimbo huu ukawe baraka kwa wote walio kwenye maisha ya ndoa na wale wanaotarajia kuingia katika maisha ya ndoa takatifu.
Baraka za Mungu zikawe juu yenu.
Wimbo: Wewe ni wangu
Mwimbaji: Anastacia Muema
Mtunzi: Ray Ufunguo
Kinanda: Ray Ufunguo
Audio & Video: RAJO Productions
Liturgical Dance: ARUSHA ELITE DANCERS
#weddingsong #wimbowandoa/harusi #valentine - เพลง
Wimbo huu ni kwa ajili ya wana ndoa wote na wale wote ambao wana ndoto ya kuwa kwenye ndoa. Walioshiriki kama bwana na bibi harusi kwenye wimbo huu wamefanya maigizo tu.
Mbarikiwe sana mpoendelea kutazama wimbo huu na mwenyezi Mungu alinde familia zote duniani nzima. Show Love by subscribing and sharing WIDELY. Nawapenda sana🥰🥰❤
Na Kwa taarifa Yako, waigizaji wooote wamefanya kazi Njema Kabisa na ya Ziada Hadi ikakaa real Kabisa... Keep up the good job and more love to all who contributed inc. Ray, my Friend "Bwana Harusi", Arusha Elite D and all... Ndoa Zote zizidi kubarikiwa na huu wimbo especially yangu. Pamoja Kabisa in this Princess🙏💪
Wonderful,may God bless you 🙏
Ata kama ni wimbo ambia mark hakuchangamka vizuri kama mzee mzima😂🤣it should look like real
The work is blessed. Be blessed too
Asante Sister ubarikiwe
God bless you Anastacia , it is a very good song🔥🔥🔥🔥🔥
Thankyou so much Fr. Peter♥️♥️
Wow...!!!!
Nice song hakika hujawahi kufeli katika muziki, hujawahi kuniangusha kwakweli. Hongera sana my beloved dada anastacia.💞💕❣️
Asante sana Frank❤
Asante kwa kuniaminia😃😃
Nitajaribu tu polepole.🙏🙏
Karibuni kwenye channel yangu ya pili. Kwenye hiyo channel nitawaletea matukio mbali mbali. Please support me. SUBSCRIBE, LIKE, SHARE and COMMENT.👉👉th-cam.com/video/GSmQt5JksC4/w-d-xo.html
Ahsante my dada, mungu azidi kukuinua ktk huduma yako, sauti tamu
Beautiful ❤️
Thankyou❤
Wimbo mtamu sana .Huu wimbo utakubalika kenya Tanzania na wote ambao wanapenda nyimbo za catholic
AMINA🙏🙏🙏🙏
This is dope👌 awesome piece
You nailed it.
Thankyou so much Sauti Tamu♥️
Go go girl,🥰🥰🥰
We r proud of you....sweet song
Harusi ninayoooooo💖💖💖
Asante sana Hellen❤
Wanandoa wanaskia ujumbe kupitia hii kwaya jaman tueshmu ndoa takatfu
Hakika 🙋♀️ Nimebarikiwa sana na wimbo huu!
Hongera na Mungu akupe afya Njema Ili uendelee kutuletea mengi Mazuri
Amina🙏🙏
Unlbarikiwe sana🎉
Kazi safi , sauti tamu, ujumbe bomba
Asante sana Mkulima Digital❤❤
Huu wimbo naupenda sana wqpendw
Wonderful one keep it up Anastasia
Thankyou so much Benedicta🙏🙏🥰
Can't wait to sing this song on my wedding day 😂😂🙈imebaki huyo man sasa 😂🙈
Mungu na akupatie
Anastacia, you have a very beautiful voice as always. very soothing music
Thankyou so much Janet🙏🙏🥰🥰
Kongole Tena mamaaaa. Wimbo uliotungwa kwenye mizani takatifu kweli kweli. Zidi kubarikiwa...
Amina! Tumshukuru Mungu kwa yote🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Anastacia and Mark Miller ...... beautiful song there👏👏👏
Woo pongezi 🎓💫💫💝💞🎹🎹♩🎶🎵🎧🎤🎛🎺🎻📻📣📢 dada Ann kzi nzuri
Asante sana Roselyne🙏🙏🥰🥰
Hongereni sana Anastacia, Ray, Miller na wote waliofanikisha kazi hii nzuri. Inapendeza sana
Asante sana Martin🙏🙏🥰🥰
What a Great Job Miss Anne..👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏📯🎉
Thankyou so much Peter🙏🙏. Be blessed😊
Amazing awwwwww 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 congrats girl finally my wedding song is here..sasa natafuta mtu 😂😂😂👏👏👏🥳🥳🥳🥳
Thanks alot dear!!🥰🥰🥰🥰
Huyo mtu na apatikane haraka iwezekanavyo.🤦♀️😅😅
@@anastaciamuema kabisa namsaka 😅
Beautiful song💜💜😊
Thanks gal❤
Wow...
This Song is Very sweet
Keep the gear Siz
#Lovely$!z🥰💯
Thankyou so much my dear brother❤❤❤❤❤❤❤
Great piece in deed,i love everything about this song.
Keep scoring mumy 😊
Thankyou so much dear😊
Congratulations Annie.. finally we're at 1.1M views....kazi safi 👊👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️
Mungu niletee huyo Wangu Sasa nimengoja Kwa magoti miaka mingi
Amina🙏🙏🤓🤓
Utapata in Jesus name
Jamaaani kazk safi Sana'a hoongera sana Anne na Rajo productions kwa kazi nzuriii aseee
Asante sana. Baraka za Mungu ziwe juu yenu.❤
Wow....very smart🥰
Thankyou so much Pius🙏🙏🙏
Ukihitaji kutumia WEWE NI WANGU kama SKIZA TUNE yako send SMS “SKIZA 5968707” to 811.
Hongera Sana Classmate.Sauti ya Malaika.
Anastasia,somo,more love❤️❤️
Skiza
Sijaelewa hapo unatumaje Dada Muhema?
A good song. I love it.
Wimbo wakuimizana kwa mapenzi I love that song inanifanya nikumbuke my ex Claire aliye nipea penzi mwishowe akaniacha
Pole sana!🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Hizo ni changamoto ambazo zipo, ukiona unaachwa jiachishe mwenyewe kabla mda wenyewe haujafika wa kuachwa
Excellent job, hongera dada Annastancis. 👏
Asante sana Patricia🙏🥰🥰
Congratulations My Sister. Keep Shining for the Lord
Amen brother. Be blessed🎉
So touching 🔥🔥🔥🔥
Amen🙏♥️
I play this song in my weeding day god bless my prayer 💐🌹🌷🌸🌿🍃☘️🌴🌲💮🌻🌾🍁🍂🍀🌵🌱🌼🏵️🌺🥀
Mungu aendelee kukubariki dada yangu asante sana kwa nyimbo nzuri 👏👏👏❤🌹😍🙏
Asante sana Julita. Ubarikiwe sana❤❤
Top-notch 🔥
Thankyou so much Mwalimu Vincent❤
Wao.Its a nice song.God bless You.
Amazing song Anastasia Muema sijawahi kujjuta kusikiliza nyimbo zako👍
Amen🙏. Ubarikiwe sana mpendwa!
Wow! Wow! Good job girl....go go go
Thanks alot Celestine ❤
Hongera saaana dada yetu....nimeupenda saaana
Asante sana my dear❤
I love it so much it doesn't seem like an act but looks like a real you and your husband. Good job keep it up my siz.
It’s acting.😃😃😃
Thankyou and be blessed!
It doesn't look like an act😂😂
wow! congratulations 👏 my brother Mwalimu Mark na Anastasia Muema.
huyu Ni mfano Bora kwenu na pia kwetu Sisi. this is blessed song.
barikiwa Sana Ray Ufunguo Kwa Zawadi ya talanta yako.
Wooooow I'm the first 2 watch and 2 download...
Thankyou so much and be blessed🙏🥰
Very sweet...Amazing😍
Thankyou chairman🙏
Onyisi Steve from Kenya, nishapata wimbo imebaki tu huyo wangu sasa 😊🤩😍, this is excellent
💕onyisi tufanye Ile kitu song isambae bro
😅😅😅😅
@@stephenooko9323 please share widely🙏🙏
😂😂😂🤣🤣
Nko hapa
Kuchunguzana ni jambo jema kabula ya. Kuingia katika. Ndoa😂😂😂❤
Hongera sana Dada yani hii Dunia kuna RAY UFUNGUO MMOJA TU🙌🙌🙌🙌 Bravo and super @RAJO PRODUCTIONS🔥🔥🔥🔥🔥
Yaani haujakosea hata kidogo🙏🙏😊🥰. Ray please come here and see this good compliment!🤗🤗
Asante sana Anthony. Tunamshukuru Mungu kwa vipaji alivyotujalia. Ubarikiwe sana.
Ni Mungu aliyegawa vipaji. Tuzidi kumshukuru. Asante sana Anthony
Sauti nzuri mbarikiwe,,,kazi safi Ufunguo
Asante sana na Ubarikiwe pia.🤗
Mungu awabariki sana kwa kazi nzur
This is wonderful Anne, keep it up x🙏
Thankyou so much Alloys❤
From wema wako then this one 🔥🔥🔥🔥you were born to do this
Aaawww❤❤❤. Thankyou so much Caroline🙏🙏🥰🥰
@@anastaciamuema Anytime dear...proud Catholic#proud choir member🙏🙏🙏❣️
Congratulation Dadaetu kwa wimbo huoo Mungu akuzidishie Imani
My best song ever and finally was played as walked down the aisle ❤❤
Wooow!! Congratulations 🎉❤
Congratulations 🎉🎉🎉❤❤❤
NA MWENYEZI MUNGU ATUJALIE SOTE SACRAMENTI YA NDOA
Amina🙏🙏
@@anastaciamuema I'm
Nzuri afu nzuri Tena congrats madam
Asante sana❤❤
Wimbo mzur sana big up dada
Thankyou so much Ezekia❤
Tamuuu...
Asante sana Clem❤
Ann mimi sijui nitakufanyia nini ili tuweze kupongeza hii talanta nzuri ambao ulipewa na mwenyezi mungu na unitimiza kwa kuitumia vizuri but first let me just begin by praying for you my dear sauti ulipewa mno salimia raymond pia
Hahaha!!! Hata usiwaze sana rafiki yangu. Cha mno ni uniombee kwa Mungu anipe nguvu, afya na uwezo wa kuimba zaidi.
Shukran sana❤🙏
@@anastaciamuema Nyimbo nzuri🥰🥰 mungu azidi kukubariki
@@clarablantinakorir2426 asante sana mamii♥️♥️
I miss you🤦♀️☺️☺️
@@anastaciamuema Hope to See you soon dear❤️
Wimbo nishapata huyo sasa ndo amebaki..great song
Wow congrats gal....nice song
Thankyou Christine🙏😍
A very beautiful song and well done 👌❤️🔥🔥🔥
Keep blessing us with your good music girl💗🎵❤️
Thankyou so much baby girl🥰🥰♥️♥️
Congratulation my dear friend Anastacia.Uko vizuri dada.Mungu bariki kazi ya Dada yetu
Asante sana dada Eva🙏♥️
Mungu akupe maisha marefu ana
wow😍😍,Amazing song
Thankyou so much Sally🙏🙏🥰🥰♥️
I pray that I will have this song played on my wedding day as our exit song.
So God hear me🙏
Hongeren sana washiriki wote, Mungu akubariki Anne kwa kuendelea kutuletea kazi nzuri sana ya kuinjilisha
Asante sana mwalimu wangu❤
Asante kwa sapoti🙏😊
@@anastaciamuema Pamoja mamy
nimefurahi sana kubarikiwa kupitia huu wimbo
Sweet song may God give me my partner soon
Amen 🙏
How I love love your songs.i usually listen continuously, repeat,repeat!what a talent. Anna you're going far. God bless you for blessing us withsongs. Tamu sana!tamu sana.
Asante sana Bridget. Asante sana kwa matamshi mema kwangu. Ubarikiwe mno dada yangu.🙏🥰🥰🥰
Inapendaza ajabu. Zidi kutubariki kwa sauti tamu.
Asante sana🙏🙏🙏♥️♥️
Awesome . You should sing at my wedding I love this song
I will sing for you.
Thankyou so much♥️
🙏🙏🙏🌹🥰🥰🥰♥️👍AmenAmen👏👏👏
Amen🙏🙏
ii imeenda ii....blessed the guy who won the heart of this beutiful creature...nyimbo tamuuu
Just wooow
Thanks gal❤❤🎉
Safi Sana Anna.hongera Sana Kwa wimbo Mzuri.
Asante sana dadangu Despina.🙏🥰♥️♥️
Anna may God bless you
@@restitutadaniel6102 Amen. God bless you too
Ann am closely following all your songs and i can say, you are doing alot of evangelising, na nengi niiw'a muyo noona ann witu aendeeye o nesa, keep up my sister😍🥰
Ni muvea muno Benedictus.
Baraka tele kwako.🤗🤗
Hongera sana dada kwa kipaji chako na nyimbo nzuri
Asante sana Anesie. Ubarikiwe zaidi♥️
Nzuri tena zaidi! Hongera kwa kazi safi ya kumtumikia Mwenyezi Mungu.
Amina🙏🙏🥰🥰
Ubarikiwe sana Dennis🙏
Such a wonderful piece, i feels like wedding by listening to this cool piece, may the Lord bless u Dear Anastacia- My daily meal from Uganda. Big ups from my choir in Adjumani (CAC-Choir)
Thankyou so much Okudra🙏
Be blessed abundantly!😊
If you talk of good music talk of Anastasia. pure talent keep it up
Aaaawwww😊. Thankyou so much Robert.😊
We celebrate the voice, message and the 'play'. The pianist I like and the director did his/her work. Great combination in the whole work, God bless you.
Aaaawwww🥰🥰🥰. Thanks for the compliment. Be blessed🙏
Abundant blessings upon you!
Wimbo ni mzuri Sana,unanishawishi nianze kutafuta wangu wa maisha sasa
Mungu akutangulie!🙏
My girl at it again🥰🥰🥰
Thankyou so much❤
Mtu Yuko tayari, wimbo ndio huu
Imebaki harusi takatifu.
Anastacia muema ndie atakuwa mgeni wa heshima apaform huu wimbo
Asante sana. Nitafika niperform😊😛
Wow! It's soooooo amazing Anne..Go! Go! Gal 🥰🥰🥰
Thankyou so much Moureen🙏🥰🥰
The song is 🔥🔥🔥🔥🔥 I just love it
Thankyou so much🎉❤❤
Mnipee huyo pianist
Mimi napenda sana kuimba and one day l will come to Tanzania to sing with see you.🇺🇸🇺🇸 mungu akubariki sana dada Anastacia ❤️❤️
Asante sana Noella. Ubarikiwe sana❤
@@anastaciamuema Hongera mamaa, one day it will be in reality when others will sing to you. Keep on praying to God
@@anastaciamuema Actually I like your talent, keep it up
🙏🙏🙏🙏😅
Thankyou so much🙏
Wimbo mzuri sana, Mungu akujalie mme bora toka kwa Mungu. Mimi ni shabiki yako sana. Ubarikiwe sana
🙏
Wimbo mtamu 🤗🤗🤗🤗 Mungu azidi kukubariki
Amina🙏
Ubarikiwe pia🎉🎉
Jambo Landon sio jambo dogo ndoa inaitajita uvumimlivu ndio maana wazazi wetu waliweza kutulea wamevumilia mengi na sisi tuige mifanno kwao
Umenena kabisa
Tunaomba ata sisi tufuke hapo tupate sacrament ya ndoa Kam wakatoloki
Amazing... Uolewe sasa🤓🤓🤓
Asante.
😂😂😂😂
@@anastaciamuema 😂😂😂😂
Asante anastacia kutuwekea dedication wanandoa ubarikiwe sana
Karibu sana! Mwenyezi Mungu abariki ndoa zote alizozianzisha yeye.🙏🙏🙏
Dada tumsifu yesu kristo
Milele Amina kaka
Are you really married to Mark Miller, because according to the Marian concert you said that he was just a friend. I am one of the kids who were dancing for you . This is one of my favorite songs
Just be a kid and enjoy the song. Kids do not ask such questions.
God bless you!!
😂😂😂😂😂
@@anastaciamuema😂😂😂😂😂😂
@@anastaciamuema😂😂😂😂😂😂😂😂
Duru za kuaminika zinasema congratulations....the song is sooooo nice
Hahaha!
Asante sana dear❤
Nice song indeed 💕💕💕💕
Thankyou so much Claire❤
To support my ministry
Till Number: 9057903
Mpesa No: +254795457774
INANAKUAJETUNASIKIA MANENO
U r talented Anastasia 👏
Una sauti nzur mno
Nyimbo zako zapendeza
Blessings to you sister
Nyimbo nzuri sana dada annastazia. Tafadhali noamba namba yako ya simu.
Asante sana. Gmail anastaciamuema95@gmail.com
Mungu akubariki, nyimbo zako nzuri sana
@@josephmushi9644 amina kiongozi