HUTUMTAKI CAMARA ADAKE DERBY NA YANGA, TUNAMTAKA AISH MANULA AKAE GOLINI, WATAMFUNGA NYINGI CAMARRA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 32

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga huyooo

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff6555 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli huyu young,aliuza kaweka duka vifaa vya michezo,safari hii Manula atanunuwa mascania,tuwache na Camara wetu

  • @CharlesMlaponi-h6z
    @CharlesMlaponi-h6z 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe siyo kocha.

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 3 หลายเดือนก่อน

    Mahangaiko fc😂😂😂😂

  • @PhilipSanie
    @PhilipSanie 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa Yanga Kufa hapo mmm utaibika

  • @CHARLESJUMANNE-d3m
    @CHARLESJUMANNE-d3m 3 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr bro .tutawachakaza San .mchoke matus msichoke Kaz munayo

  • @GabrielMaganga
    @GabrielMaganga 3 หลายเดือนก่อน

    Ayubu yupo tulieni🎉🎉

  • @hamzanangameta6243
    @hamzanangameta6243 3 หลายเดือนก่อน

    Waweke wote wawili, tuendelee kuwaonesha matundu 😂😂😂

  • @peterchande957
    @peterchande957 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa timu ipi ya kuifunga Yànga 7 zinawahusu

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 หลายเดือนก่อน +1

    SIMBA WOTE MLIKUBALIANA KWAMBA MANULA ,CHAMA, NA WENZAKE NDIO WALIKUWA WANAUZA MECHI SASA HAPO MANULA SI MNAMTAFUTIA LAWAMA

  • @saidially5892
    @saidially5892 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee wangu said alisema
    Simba iliyofungwa 5
    Sio simba hii ya sasa,
    Haya mi nipo natunza risit😂😂😂😂😂

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 3 หลายเดือนก่อน

    Simba kupasuka kupo palepale

  • @PhilipSanie
    @PhilipSanie 3 หลายเดือนก่อน

    Bro Mie Yanga Ila unachosema ni kweli na kweli akidaka camara ataibika

    • @SaidJumanne-j1e
      @SaidJumanne-j1e 3 หลายเดือนก่อน

      Unataka adake aishi hili mpate urahis ni camara kama kawaida langoni

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 3 หลายเดือนก่อน

    Washatumwa hawa

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 3 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo manula yeye hawezi kuwaza hizo Tano unaongea pumba mwenye Tano na 2 nani zaifu unachekesha

  • @EmmanuelKamala-wy1ot
    @EmmanuelKamala-wy1ot 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe kaka tulia camala ajacheza nayanga dabi alifungwa ngapi na alitoa ngapi acha kujifanya msomi ulisomea mpira?

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo nyie ndio makocha mnaoamua..Nafikiri ni wachawi wa Yanga walioshindwa kuloga..lol..Hawamuwezi Kamala na ndio kipa namba moja msimu huu, 💯....

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 หลายเดือนก่อน

    Msimwingize Manula kishawishini. Acha na wengine wacheze derb.

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko 3 หลายเดือนก่อน

    Sio kwel Yale magoli ni atar kw kipa tuwapongoze waliofunga

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 3 หลายเดือนก่อน

    DUKA

  • @GermanaangeloMkemangwa
    @GermanaangeloMkemangwa 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo ndo atadaka spider uongo 2 hatutaki

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe umetumwa,kocha yupo anajua atakaedaka

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo ni yanga wametumwa.. inaweza kukuingia akilini? Manula kala 5 , kamala 2 alafu mnasema manala ndo anafaa huo ni ujinga

  • @HasaniKitumba
    @HasaniKitumba 3 หลายเดือนก่อน

    hakuna mwanasimba anatamani manula kukaa golili kufugwe na yanga na pirisni kiuzembe

  • @Isackkayanda
    @Isackkayanda 3 หลายเดือนก่อน

    Tunapiga kwenye mshono

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 3 หลายเดือนก่อน

    Wanatumia mbinu mbalimbali kuweka duka

  • @HasaniKitumba
    @HasaniKitumba 3 หลายเดือนก่อน

    Unafidagani na manula unataka afugwe 5 tena

  • @EmmanuelKamala-wy1ot
    @EmmanuelKamala-wy1ot 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi Simba ila uyu jamaa niwale wale ivi ulidhan akuna golikipa asiefungwa kadake wewe camala golin dabi, shida mnakuja na matokeo mfukon kufungwa kupo droo nakushinda

  • @hakimundabila7940
    @hakimundabila7940 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe ndo unamtaka usiseme sisis

  • @emanuelpetro9591
    @emanuelpetro9591 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe hili nalo vuta bangiii! Hanga anakufa! serikali bado wanayo kazi ya kufanya kuhusu vilevi bangi na gongo....

  • @SambweteMtepa-k9g
    @SambweteMtepa-k9g 3 หลายเดือนก่อน

    Mjinga wew huna akili wewe ni utopolo huwezi Kuwa Simba wew