ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Yanga huyooo
Kweli huyu young,aliuza kaweka duka vifaa vya michezo,safari hii Manula atanunuwa mascania,tuwache na Camara wetu
Wewe siyo kocha.
Mahangaiko fc😂😂😂😂
Kwa Yanga Kufa hapo mmm utaibika
Uko vzr bro .tutawachakaza San .mchoke matus msichoke Kaz munayo
Ayubu yupo tulieni🎉🎉
Waweke wote wawili, tuendelee kuwaonesha matundu 😂😂😂
Kwa timu ipi ya kuifunga Yànga 7 zinawahusu
SIMBA WOTE MLIKUBALIANA KWAMBA MANULA ,CHAMA, NA WENZAKE NDIO WALIKUWA WANAUZA MECHI SASA HAPO MANULA SI MNAMTAFUTIA LAWAMA
Mzee wangu said alisema Simba iliyofungwa 5Sio simba hii ya sasa,Haya mi nipo natunza risit😂😂😂😂😂
Simba kupasuka kupo palepale
Bro Mie Yanga Ila unachosema ni kweli na kweli akidaka camara ataibika
Unataka adake aishi hili mpate urahis ni camara kama kawaida langoni
Washatumwa hawa
Kwahiyo manula yeye hawezi kuwaza hizo Tano unaongea pumba mwenye Tano na 2 nani zaifu unachekesha
Wewe kaka tulia camala ajacheza nayanga dabi alifungwa ngapi na alitoa ngapi acha kujifanya msomi ulisomea mpira?
Kwa hiyo nyie ndio makocha mnaoamua..Nafikiri ni wachawi wa Yanga walioshindwa kuloga..lol..Hawamuwezi Kamala na ndio kipa namba moja msimu huu, 💯....
Msimwingize Manula kishawishini. Acha na wengine wacheze derb.
Sio kwel Yale magoli ni atar kw kipa tuwapongoze waliofunga
DUKA
Huyo ndo atadaka spider uongo 2 hatutaki
Wewe umetumwa,kocha yupo anajua atakaedaka
Hapo ni yanga wametumwa.. inaweza kukuingia akilini? Manula kala 5 , kamala 2 alafu mnasema manala ndo anafaa huo ni ujinga
hakuna mwanasimba anatamani manula kukaa golili kufugwe na yanga na pirisni kiuzembe
Tunapiga kwenye mshono
Wanatumia mbinu mbalimbali kuweka duka
Unafidagani na manula unataka afugwe 5 tena
Mimi Simba ila uyu jamaa niwale wale ivi ulidhan akuna golikipa asiefungwa kadake wewe camala golin dabi, shida mnakuja na matokeo mfukon kufungwa kupo droo nakushinda
Wewe ndo unamtaka usiseme sisis
Kumbe hili nalo vuta bangiii! Hanga anakufa! serikali bado wanayo kazi ya kufanya kuhusu vilevi bangi na gongo....
Mjinga wew huna akili wewe ni utopolo huwezi Kuwa Simba wew
Yanga huyooo
Kweli huyu young,aliuza kaweka duka vifaa vya michezo,safari hii Manula atanunuwa mascania,tuwache na Camara wetu
Wewe siyo kocha.
Mahangaiko fc😂😂😂😂
Kwa Yanga Kufa hapo mmm utaibika
Uko vzr bro .tutawachakaza San .mchoke matus msichoke Kaz munayo
Ayubu yupo tulieni🎉🎉
Waweke wote wawili, tuendelee kuwaonesha matundu 😂😂😂
Kwa timu ipi ya kuifunga Yànga 7 zinawahusu
SIMBA WOTE MLIKUBALIANA KWAMBA MANULA ,CHAMA, NA WENZAKE NDIO WALIKUWA WANAUZA MECHI SASA HAPO MANULA SI MNAMTAFUTIA LAWAMA
Mzee wangu said alisema
Simba iliyofungwa 5
Sio simba hii ya sasa,
Haya mi nipo natunza risit😂😂😂😂😂
Simba kupasuka kupo palepale
Bro Mie Yanga Ila unachosema ni kweli na kweli akidaka camara ataibika
Unataka adake aishi hili mpate urahis ni camara kama kawaida langoni
Washatumwa hawa
Kwahiyo manula yeye hawezi kuwaza hizo Tano unaongea pumba mwenye Tano na 2 nani zaifu unachekesha
Wewe kaka tulia camala ajacheza nayanga dabi alifungwa ngapi na alitoa ngapi acha kujifanya msomi ulisomea mpira?
Kwa hiyo nyie ndio makocha mnaoamua..Nafikiri ni wachawi wa Yanga walioshindwa kuloga..lol..Hawamuwezi Kamala na ndio kipa namba moja msimu huu, 💯....
Msimwingize Manula kishawishini. Acha na wengine wacheze derb.
Sio kwel Yale magoli ni atar kw kipa tuwapongoze waliofunga
DUKA
Huyo ndo atadaka spider uongo 2 hatutaki
Wewe umetumwa,kocha yupo anajua atakaedaka
Hapo ni yanga wametumwa.. inaweza kukuingia akilini? Manula kala 5 , kamala 2 alafu mnasema manala ndo anafaa huo ni ujinga
hakuna mwanasimba anatamani manula kukaa golili kufugwe na yanga na pirisni kiuzembe
Tunapiga kwenye mshono
Wanatumia mbinu mbalimbali kuweka duka
Unafidagani na manula unataka afugwe 5 tena
Mimi Simba ila uyu jamaa niwale wale ivi ulidhan akuna golikipa asiefungwa kadake wewe camala golin dabi, shida mnakuja na matokeo mfukon kufungwa kupo droo nakushinda
Wewe ndo unamtaka usiseme sisis
Kumbe hili nalo vuta bangiii! Hanga anakufa! serikali bado wanayo kazi ya kufanya kuhusu vilevi bangi na gongo....
Mjinga wew huna akili wewe ni utopolo huwezi Kuwa Simba wew