MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ม.ค. 2024
- MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Bwana Yesu asifiwe,mtumishi hii kwakweli inatosha na inatufundisha kua kuna Mambo mengi ya sirini ambayo Duniani watu wanatenda,tunaomba Mungu ahusikike juu ya haya atuondolee vitu vya sirini ambayo vinatutesa
Dah!! Kweli nyakati zilizotabiriwa kuwa nizamwisho hatimae zimefika yani watu wanakamatwa maskio laivu kabisa na shetani jaman watu wa Mungu ebu funguen macho muone mbele rudini miguuni mwa Mungu na msome maandiko vizuri mtambue kuwa muda umeisha
Mm naitwa Emanuel Habibu Nyenzi nakuja japo sijawahi kukutana na wewe mm ni dreva wa mabasi ya kwenda nchi za nje Mungu naomba tuonane Ubarkiwe na Bwana Yesu uishi kama Mungu aishivyo
Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41
Amina baba nisaidie nikomboe mm na familia yangu
Bwana Yesu asifiwe Nabii kiboko ya wachawi naomba mchawi anayefuatilia maisha yangu na makusudi ya Mungu aliyoyaweka katika maisha yangu afe kwa jina la Yesu leo.Amen.
Bwana Yesu asifiwe Nabii wa Mungu naomba uniondolee hii roho ya uhari ifu iliyo tumwa na wachawi kufuatilia maisha yangu na kunisababishia magonjwa nndoto mbaya uangushe hiyo roho na kuirudisha huko iliko toka kwa jina la Yesu
Asante Mungu kwa kutuletea pastor dominic Mungu akupe maisha marefu-Amani
Yesu mkono wako si mfupi ha usiweze kuokoa mao u yeti yametufarakanisha na uso wako Niokoe Mimi na uzao wa tumbo langu Amina
Bwana yesu asifiwe mchungaji wng...
Naitwa Devotha Michael mteng
Naomba maombi yko nimjue anaye niroga baba!!
Bwana yesu asifiwe mtumishi Mama yangu anaumwa na hawezi kutembea miguu Haina nguvu
Amina baba nabii kiboko ya wachawe naitwa BILALI ABDi BAKALI naomba uni fungulie kiuchumi
Naomba roho iliyotumwa kufuatilia na kuharibu maisha yangu iharibiwe na kurudi huko ilikotoka kwa jina la Yesu
Naitwa maria nabii naomba unitabirie mm na mme wangu pamoja na familiy yangu maana najiona mwenye mikosi kwenye maisha yangu😭😭
Bwana asifiwe baba naitwa jastini mamboyangu yameyumba sana baba
Mama Amina mwenyewe Kama akili zake hazipo sawa 🤣🤣🤣
Bwana yesu asifiwe pole na kazi Baba
Bwana yesu asifiwe nabii kiboko ya wachawi naitwa Debora Mbanga nipo dodoma naomba ufungue maisha yangu.
Mwambie Mungu afungue maisha yako na sio binadamu mwenzio,,unamtukana Mungu
Ukiwa mchungaji mm nakushauli jalibu kuwa nahekima Ndio Hilo Tu Kaka yangu maana kunawatu ukiwambia papo hapo nyumban kwao huko wanaweza wakuwana
Ameen nabii ubarikiwe 2:48
Ameen nabii ubarikiwe 2:48 3:08
1.Wathesolanike 5:20 amina m2mishi. Mungu aendelee kukupa uzima
Amina baba naomba unifungulie nipate kazi
Pasta kiboko yawachawi miim Amina bilali niangalie maisha yangu mom namwanangu mohamedy nnamaisha yaashida sana mwanangu nae Ivo ivo
Absolutely right indeed Daddy
Aitwa yahaya mkewangu alifaliki miaka2 je alikufa kwahalali au❤❤
Bwana yesu asifiwe kwa majina naitwa Angel naomba uniombee mume wangu amenitelekeza na mtoto nisaidie mume wangu arudi
Sikuamini unatembea na bodigadi wa nn kaka ww ni nabii istoshe hayo ni maigizo mungu akubomoe
Kama ni maigizo na wewe fungua kanisa uigize
Umeona ee
Humwamini halafu unamwangalia au unmflow
Walinzi wake km majambaz
Hujui kazi ya bodigad au kusudu tu jamani
Bwana yesu asifiwe naitwa Aman niko goba naomba nitabirie uchumi wangu mbaya
MUNGU akulinde baba
Mungu akutunze baba yangu wa kiroho ipo siku Mungu atakulipa
Unawapeleka jehanam watu hao kwa uongo unaotengeneza.....Mungu aliye hai hatakuacha salama
Kanisa la wakongo matapeli wote.Shuhuda zote za usiku zimerekodiwa ni COMEDY, hata zile za kanisani zimepangwa wanaigiza
Dominick anafanya mazingaombwe tu,hakuna huduma yeyote ya kiroho.
Amkeni watanzania.
Amka mwenyewe,
Nimesikia Kuna mama kaibiwa tulubai kanisani Kwa kiboko mpaka sasa ajalipwa ukizingatia kiboko wewe tunakuamini uyu mama inakuaje tulubai lake au habali ujaisikia 😢😢😢😢😢
😂😂😂 Kiboko mwenyewe mwizi unamtafuta mwizi kwa kumshtakia mwizi mwenyewe
Amen nabii mm ninamatatizo Kuna mtu namdai hatak kunilipa naomba unisaidie nataka nizipate pesa zangu
Baba naomba ufungue maisha yangu, fungua uchumi wangu, na Vito vyote walivuonifanyiya
Ameen nabii ubarikiwe katika kaz zako
Amina baba naomba maombi nipate mume nakipato maisha nimagumusana
Mimi. Naitwa sadick Jerome Niko wazo. Mivumon. Ninashida Kuna. Mtu namdai million. Tisa. Hataki. Kunilipa nisaidie pasta
Jamani nakuelewa Sana nafunga safar kuja hapo mungu anitangulie
I love prophecy man of God
Amen. Amen. Amen. Nitabirie Mtumishi wa Mungu. Mimi Dr Maselle
Ubarikiwe nabii hakika wewe ni kiboko ya wachawi
Nabii sema na maisha yangu pamoja na familia yangu mungu akubariki sana
Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii
Piga kazi baba maneno siyo ishu
Thank you 🙏 Lord Jesus
Jambo usilojuwa kaa kimya, huyu ni Nabii wa Mungu kwelikweli
Hakuna nabii wa Mungu anayegombanisha watu soma vitabu vyote vya dini kama utakuta kuna nabii alikuwa wa hivi, huyu ni mganga wa kienyeji tu
Ombeni muwe na macho ya rohoni watu wa Mungu, Mungu wetu sio wa style hii 😢
Amina naamini ilo mtumishi
Baba tembea kwenye maisha Yangu. Niondolee dhiki nipate kuwasaidia wenye huitaji pia
Habari yako mutumishi
Namm naomba maombi nifunguriwe.nikama nimefungwa
Kwasababu natafta spati mtoto
Wangu mutundu sana naomba uniombee niko inchini.marecani mafanikio.sion
Bwana yesu asifiwe nabii naomba msaada baba
Baba mimi nina shida naomba nisaidie ninaota nalishwa vitu ndotoni na kuna vitu vime nikaba kooni sina ata rahaa naomba uni saidie vitoke baba nakuomba sana pia naomba nipate kazi baba niinuke kiuchumi
Baba naomba unitabirie unachokiona ndan ya maisha yng kwan nakuamini
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Acheni ujinga nyie mtumishi wa mungu tupi huyo?!
Kwa majina naitwa ibrahimu baba mm nimekuwa sifanikiwa kwenye kila jambo nalofanya na mjomba aliniambia ananipa miezi sita nitakuwa nimepotea
Ameen nabii ubarikiwe
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu
Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41 😢
Msiwe mnaita baba...apaswae kuitwa baba ni MUNGU wa mbinguni yan nyie watu haya bn😢
Nahitaji kutabiliwa mtumishi wa mungu maisha yangu siyaelewi
Baba naomba uniombee nifunguliwe kifungo cha madeni
Ila na sisi ifike mahara tumtafute mungu wa kwel kuliko kutafuta miujiza hyu mchungaji mwenyewe amejichubua hvi na mijitu imekalisha makalio inamsikiliza kwel jaman hapana
Igizo hao wote hapo wanaigiza mchungaji kajikoboa kama enock inonga
Wanaigiza, hadi mtoto mdogo akiangalia anaona maigizo
Mlichofanywa nyie mm sijui hii ni kweli
Kweli kabisa
Hayajakupata dada acha kuongea mdm utakuponza ,ndo nyinyi wachawi mnatutesa pumbafu zetu amekuja kiboko yenu acha awaue hata kama anajivhubua muache ni sehemu ya kupenda ngozi yake na ni asili yao achana nae
Baba naomba ufungue maisha yangu ya kupata watoto na kurudishwa kazini kwangu nilikokuwa nikifanya kazi
Amina baba naomba nitabilie toka kwa wazazi wangu na kwangu naitwa john toka kinyerezi
Nataka Kuona mafanikio ktk maisha yangu maana naona shetani ameniwekea mfumo wake nataka utoke pesanine mm naitwa Andrew jelemia
Nabii naomba nitabirie maisha yangu
Amina baba naitwa Rita damiani naomba umuombee baba watoto wangu anipe mtaji baba
Mpenda tu mumeo naanza kuomba wewe na kumshirikisha wewe zaidi
Hongera sanaaaa mtumishi wa Mungu
Acheni manabii wa mungu wagichue kweli ya mungu
Tabiri juu ya maisha yangu mtumishi
Kuna dini moja tu duniani ,yenye utukufu sana ,nyumba zao za ibada ni tukufu mno ,wakiinama na kuinuka kutwa mara 5 kumuomba mola wao mlezi.
Mungu Akubariki sn Mtumishi.
Naomba mungu wa kiboko ya wachawi anisaidie nso yangu inateketea uchumi wangu ufunguke naitwa coreta Niko buguruni
WACHA kupoteza watu..hio ni ZINAA kubwa sanaa.DUA GANI HIZOO MNAZOZISOMAA
Baba naomba unitabirie unachokiona kwangu
Nami mume wag anagufu mungu msaidie mume wag
Sema ukweli baba siku zote msem kweli apendwi ila sisi tunakupenda bwana aimidiwe🙏
Amina mtumixhi wa mungu
Jaman wew kam uwamin ni wew wacha kumu mtukn Mt w amin unap amin bwan s tunaamin na tunamuamin bwan
Valentine bofaai njiku nine chaga Gamoto mtoto wangu ana umwa uvibe kwenye shavu pampa na taya nabishala ya ngu inakuwangum na ndowa inasubua sana baba nao
Mba unisadie baba
Naitwa baraka adam magesa baba nabii, ubarikiwe sana
Mimi Othman nina matatizo nguvu za kiume na uchumi mdogo mno nami nipo Zanzibar
Mungu amuinue zaidi
Naitwa Pendo nipo dodoma,naumwa mgongo nakiuno mda mrefu,tena namwanaume kanitelekezea watoto,naomba nitabilie,nakutafuta sikupati
Amen Amen Nabii kiboko ya uchawi naitwa Hellen John Mushi
Wachaw wafe tuu na bila miujiza kama hii wachawi walikua wanafupisha maisha ya watu tabir baba,anayeongea vibaya hayajampata
Exactly
Baba nisaidie .mama yangu anaumwa mwaka wa saba anateseka .na baba yangu nae hivyo2 .Dada yangu nae alifiwa na mtt wake alijinyonga .na mama yake akapalalazi pia ila maisha ya nyumbani nimagumu sn baba nisaidie
amina aminaa mimi anastazi swsy 12:29
Baba Mimi Othman Wazir nipo Zanzibar shida ni nguvu za kiume nana uchumi mdogo nilikuwa nnavua kazi imekataa nipo sinakazi
Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊
Watu washapewa hela waje kujibizana upuuzi
Naitaji maombi yko baba..naisi nimefungwa katka riziki zangu
Abii nisaidie nimedhulumiwa mahindi maroba 60
Nimehangaika sana
Niko manyara uwezo wa kuja dar sina
Nisaidie nabii
Badala umuombe Mungu unamuomba binadamu mwenzio ila nyie😢
Hahaa,,watu wanakataa baraka za Mungu
Mchungaji wng naomba maombi kwa ya mama yngu anaumwa huu mwaka wa nne yupo chin asogei wa aendi baba ... Nimeshaangaika mpka nimechoka baba yng... Maombi yko tafathali mchungaji wng
Amen yesu ni kweli tuseme kweli nakweli itatuweka huru.
Paulina mombo
Babati manyara
Paulina mombo
Babati manyara
Nabii na mwomba mungu anisaide nilipwe mahindi niliyo dhulumiwa maroba 60 na Abdala manyungu aweze kunilipa naomba nabii unisaidie katika maombi
Inaniuma mno nabii
Bwana yesu asifiwe sana
Ndonini kutembea na bordgard jukwaa zima
AMINA MUNGU WAKIBOKO.YA WACHAWI NAITW3 LATIFA NIPO TANGA NINA MIAKA 43 CNA HATA WATT NISAIDIE BABA MTUMISHI NAKUJA HUKO MWEZI WA SITA ALAFU. NAUMWA MWILI MZIMA PASTA NIFUTE MACHOZI YANGU MM NAITWA TASA SINA FAIDA YA KUISHI ILA NAAMINI NIKIKANYAGA HAPO NAFUNGULIWA KWA JINA LA YESU AMINA.
Baba nina omba unisaidie mamboyangu yameyumba sana baba
Baba naomba nisaidie baba niokoe baba nakuomba baba angu
Naitwa Flora .Naomba unitafute Baba