MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ม.ค. 2024
  • MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
    #church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig

ความคิดเห็น • 417

  • @user-th4ut7zw8m
    @user-th4ut7zw8m 5 วันที่ผ่านมา

    Bwana Yesu asifiwe,mtumishi hii kwakweli inatosha na inatufundisha kua kuna Mambo mengi ya sirini ambayo Duniani watu wanatenda,tunaomba Mungu ahusikike juu ya haya atuondolee vitu vya sirini ambayo vinatutesa

  • @MeshackNanyaro-xg8qg
    @MeshackNanyaro-xg8qg 9 วันที่ผ่านมา

    Dah!! Kweli nyakati zilizotabiriwa kuwa nizamwisho hatimae zimefika yani watu wanakamatwa maskio laivu kabisa na shetani jaman watu wa Mungu ebu funguen macho muone mbele rudini miguuni mwa Mungu na msome maandiko vizuri mtambue kuwa muda umeisha

  • @user-ol1mv8fc3t
    @user-ol1mv8fc3t 20 วันที่ผ่านมา

    Mm naitwa Emanuel Habibu Nyenzi nakuja japo sijawahi kukutana na wewe mm ni dreva wa mabasi ya kwenda nchi za nje Mungu naomba tuonane Ubarkiwe na Bwana Yesu uishi kama Mungu aishivyo

  • @user-qo7hz6jy4u
    @user-qo7hz6jy4u 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41

  • @StelaKomugisha-cb3zb
    @StelaKomugisha-cb3zb 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amina baba nisaidie nikomboe mm na familia yangu

  • @DanielDhahabu-bk9hd
    @DanielDhahabu-bk9hd 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu asifiwe Nabii kiboko ya wachawi naomba mchawi anayefuatilia maisha yangu na makusudi ya Mungu aliyoyaweka katika maisha yangu afe kwa jina la Yesu leo.Amen.

  • @DativaMassawe-wk2nz
    @DativaMassawe-wk2nz หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu asifiwe Nabii wa Mungu naomba uniondolee hii roho ya uhari ifu iliyo tumwa na wachawi kufuatilia maisha yangu na kunisababishia magonjwa nndoto mbaya uangushe hiyo roho na kuirudisha huko iliko toka kwa jina la Yesu

  • @amanibalama5251
    @amanibalama5251 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Mungu kwa kutuletea pastor dominic Mungu akupe maisha marefu-Amani

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu mkono wako si mfupi ha usiweze kuokoa mao u yeti yametufarakanisha na uso wako Niokoe Mimi na uzao wa tumbo langu Amina

  • @DevothaMichael-hp4oj
    @DevothaMichael-hp4oj 4 หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiwe mchungaji wng...
    Naitwa Devotha Michael mteng
    Naomba maombi yko nimjue anaye niroga baba!!

  • @MosesMbise-p2r
    @MosesMbise-p2r 17 วันที่ผ่านมา

    Bwana yesu asifiwe mtumishi Mama yangu anaumwa na hawezi kutembea miguu Haina nguvu

  • @JumaIddy-jr6lj
    @JumaIddy-jr6lj 3 หลายเดือนก่อน

    Amina baba nabii kiboko ya wachawe naitwa BILALI ABDi BAKALI naomba uni fungulie kiuchumi

  • @DativaMassawe-wk2nz
    @DativaMassawe-wk2nz หลายเดือนก่อน

    Naomba roho iliyotumwa kufuatilia na kuharibu maisha yangu iharibiwe na kurudi huko ilikotoka kwa jina la Yesu

  • @aishaoman138
    @aishaoman138 23 วันที่ผ่านมา

    Naitwa maria nabii naomba unitabirie mm na mme wangu pamoja na familiy yangu maana najiona mwenye mikosi kwenye maisha yangu😭😭

  • @JastiNjau
    @JastiNjau 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana asifiwe baba naitwa jastini mamboyangu yameyumba sana baba

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mama Amina mwenyewe Kama akili zake hazipo sawa 🤣🤣🤣

  • @user-nx4lx6jl6c
    @user-nx4lx6jl6c หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiwe pole na kazi Baba

  • @deborambanga5759
    @deborambanga5759 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bwana yesu asifiwe nabii kiboko ya wachawi naitwa Debora Mbanga nipo dodoma naomba ufungue maisha yangu.

    • @HappyMunisi-ig6he
      @HappyMunisi-ig6he 3 วันที่ผ่านมา

      Mwambie Mungu afungue maisha yako na sio binadamu mwenzio,,unamtukana Mungu

  • @mr_voiceeyounghustler149
    @mr_voiceeyounghustler149 6 วันที่ผ่านมา

    Ukiwa mchungaji mm nakushauli jalibu kuwa nahekima Ndio Hilo Tu Kaka yangu maana kunawatu ukiwambia papo hapo nyumban kwao huko wanaweza wakuwana

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen nabii ubarikiwe 2:48

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen nabii ubarikiwe 2:48 3:08

  • @MozahGreyson
    @MozahGreyson 2 หลายเดือนก่อน

    1.Wathesolanike 5:20 amina m2mishi. Mungu aendelee kukupa uzima

  • @LovenessGrayson
    @LovenessGrayson 3 หลายเดือนก่อน

    Amina baba naomba unifungulie nipate kazi

  • @SwaleheSimba
    @SwaleheSimba 3 หลายเดือนก่อน

    Pasta kiboko yawachawi miim Amina bilali niangalie maisha yangu mom namwanangu mohamedy nnamaisha yaashida sana mwanangu nae Ivo ivo

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 4 หลายเดือนก่อน

    Absolutely right indeed Daddy

  • @Yahaya-o5m
    @Yahaya-o5m หลายเดือนก่อน

    Aitwa yahaya mkewangu alifaliki miaka2 je alikufa kwahalali au❤❤

  • @SalomeKundaely
    @SalomeKundaely 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiwe kwa majina naitwa Angel naomba uniombee mume wangu amenitelekeza na mtoto nisaidie mume wangu arudi

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 6 หลายเดือนก่อน +6

    Sikuamini unatembea na bodigadi wa nn kaka ww ni nabii istoshe hayo ni maigizo mungu akubomoe

    • @shubilabenjamin6597
      @shubilabenjamin6597 6 หลายเดือนก่อน +2

      Kama ni maigizo na wewe fungua kanisa uigize

    • @user-eg7ur6pk6u
      @user-eg7ur6pk6u 6 หลายเดือนก่อน

      Umeona ee

    • @margaritoraphael3805
      @margaritoraphael3805 5 หลายเดือนก่อน

      Humwamini halafu unamwangalia au unmflow

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 5 หลายเดือนก่อน +1

      Walinzi wake km majambaz

    • @modestagobe8678
      @modestagobe8678 5 หลายเดือนก่อน

      Hujui kazi ya bodigad au kusudu tu jamani

  • @amanterry5427
    @amanterry5427 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana yesu asifiwe naitwa Aman niko goba naomba nitabirie uchumi wangu mbaya

  • @user-nt6ng4ey1z
    @user-nt6ng4ey1z 4 หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU akulinde baba

  • @user-wk6tf1yg8g
    @user-wk6tf1yg8g 15 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze baba yangu wa kiroho ipo siku Mungu atakulipa

  • @dainessjoseph9296
    @dainessjoseph9296 5 หลายเดือนก่อน +2

    Unawapeleka jehanam watu hao kwa uongo unaotengeneza.....Mungu aliye hai hatakuacha salama

    • @neemajafali4468
      @neemajafali4468 4 หลายเดือนก่อน

      Kanisa la wakongo matapeli wote.Shuhuda zote za usiku zimerekodiwa ni COMEDY, hata zile za kanisani zimepangwa wanaigiza
      Dominick anafanya mazingaombwe tu,hakuna huduma yeyote ya kiroho.
      Amkeni watanzania.

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 2 หลายเดือนก่อน

      Amka mwenyewe,

  • @Hitqari
    @Hitqari 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nimesikia Kuna mama kaibiwa tulubai kanisani Kwa kiboko mpaka sasa ajalipwa ukizingatia kiboko wewe tunakuamini uyu mama inakuaje tulubai lake au habali ujaisikia 😢😢😢😢😢

    • @Marjeby
      @Marjeby 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 Kiboko mwenyewe mwizi unamtafuta mwizi kwa kumshtakia mwizi mwenyewe

  • @ShebyKandome
    @ShebyKandome 4 หลายเดือนก่อน

    Amen nabii mm ninamatatizo Kuna mtu namdai hatak kunilipa naomba unisaidie nataka nizipate pesa zangu

  • @AndrewMbembati
    @AndrewMbembati 2 หลายเดือนก่อน

    Baba naomba ufungue maisha yangu, fungua uchumi wangu, na Vito vyote walivuonifanyiya

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os 4 หลายเดือนก่อน

    Ameen nabii ubarikiwe katika kaz zako

  • @jasmineissa3778
    @jasmineissa3778 5 หลายเดือนก่อน

    Amina baba naomba maombi nipate mume nakipato maisha nimagumusana

  • @SadickIssa-cw6kj
    @SadickIssa-cw6kj 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi. Naitwa sadick Jerome Niko wazo. Mivumon. Ninashida Kuna. Mtu namdai million. Tisa. Hataki. Kunilipa nisaidie pasta

  • @sophiahalfani1870
    @sophiahalfani1870 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani nakuelewa Sana nafunga safar kuja hapo mungu anitangulie

  • @zakariamwamburi-7940
    @zakariamwamburi-7940 2 หลายเดือนก่อน

    I love prophecy man of God

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 4 หลายเดือนก่อน

    Amen. Amen. Amen. Nitabirie Mtumishi wa Mungu. Mimi Dr Maselle

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo8724 21 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe nabii hakika wewe ni kiboko ya wachawi

  • @johnbanga1055
    @johnbanga1055 3 หลายเดือนก่อน

    Nabii sema na maisha yangu pamoja na familia yangu mungu akubariki sana

  • @user-qt2ht7sk5f
    @user-qt2ht7sk5f 6 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii

  • @user-sr5ys7jv4p
    @user-sr5ys7jv4p 7 วันที่ผ่านมา

    Piga kazi baba maneno siyo ishu

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 4 หลายเดือนก่อน

    Thank you 🙏 Lord Jesus

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jambo usilojuwa kaa kimya, huyu ni Nabii wa Mungu kwelikweli

    • @geofreymaina3838
      @geofreymaina3838 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hakuna nabii wa Mungu anayegombanisha watu soma vitabu vyote vya dini kama utakuta kuna nabii alikuwa wa hivi, huyu ni mganga wa kienyeji tu

    • @TheddyBasili-gv5tz
      @TheddyBasili-gv5tz 3 หลายเดือนก่อน

      Ombeni muwe na macho ya rohoni watu wa Mungu, Mungu wetu sio wa style hii 😢

  • @user-yp9pt8tw1p
    @user-yp9pt8tw1p 4 หลายเดือนก่อน

    Amina naamini ilo mtumishi

  • @JamilaHija
    @JamilaHija 3 หลายเดือนก่อน

    Baba tembea kwenye maisha Yangu. Niondolee dhiki nipate kuwasaidia wenye huitaji pia

  • @floridandayisaba
    @floridandayisaba 2 หลายเดือนก่อน

    Habari yako mutumishi
    Namm naomba maombi nifunguriwe.nikama nimefungwa
    Kwasababu natafta spati mtoto
    Wangu mutundu sana naomba uniombee niko inchini.marecani mafanikio.sion

  • @SaimonEmmanuel-qm2xk
    @SaimonEmmanuel-qm2xk 3 หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiwe nabii naomba msaada baba

  • @SalomeMkada-su4qg
    @SalomeMkada-su4qg 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba mimi nina shida naomba nisaidie ninaota nalishwa vitu ndotoni na kuna vitu vime nikaba kooni sina ata rahaa naomba uni saidie vitoke baba nakuomba sana pia naomba nipate kazi baba niinuke kiuchumi

  • @ABDALAHSALUM-rf3dt
    @ABDALAHSALUM-rf3dt 3 หลายเดือนก่อน

    Baba naomba unitabirie unachokiona ndan ya maisha yng kwan nakuamini

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

    • @Marjeby
      @Marjeby 5 หลายเดือนก่อน

      Acheni ujinga nyie mtumishi wa mungu tupi huyo?!

  • @user-yu9vw3db1p
    @user-yu9vw3db1p 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa majina naitwa ibrahimu baba mm nimekuwa sifanikiwa kwenye kila jambo nalofanya na mjomba aliniambia ananipa miezi sita nitakuwa nimepotea

  • @MohamedHassan-eq9os
    @MohamedHassan-eq9os 4 หลายเดือนก่อน

    Ameen nabii ubarikiwe

  • @mercyjohn9676
    @mercyjohn9676 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu

  • @user-qo7hz6jy4u
    @user-qo7hz6jy4u 4 หลายเดือนก่อน

    Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊❤ 3:41 😢

  • @MishyBeka
    @MishyBeka 12 วันที่ผ่านมา

    Msiwe mnaita baba...apaswae kuitwa baba ni MUNGU wa mbinguni yan nyie watu haya bn😢

  • @mercyjohn9676
    @mercyjohn9676 2 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kutabiliwa mtumishi wa mungu maisha yangu siyaelewi

  • @friminakiwale7017
    @friminakiwale7017 5 วันที่ผ่านมา

    Baba naomba uniombee nifunguliwe kifungo cha madeni

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 4 หลายเดือนก่อน +14

    Ila na sisi ifike mahara tumtafute mungu wa kwel kuliko kutafuta miujiza hyu mchungaji mwenyewe amejichubua hvi na mijitu imekalisha makalio inamsikiliza kwel jaman hapana

    • @athumannyungundileki9799
      @athumannyungundileki9799 3 หลายเดือนก่อน +2

      Igizo hao wote hapo wanaigiza mchungaji kajikoboa kama enock inonga

    • @kandilesteven7889
      @kandilesteven7889 หลายเดือนก่อน

      Wanaigiza, hadi mtoto mdogo akiangalia anaona maigizo

    • @ThadeusShao-er5jq
      @ThadeusShao-er5jq หลายเดือนก่อน

      Mlichofanywa nyie mm sijui hii ni kweli

    • @JanethNathan
      @JanethNathan หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @HappyMallya-mg1gr
      @HappyMallya-mg1gr หลายเดือนก่อน +1

      Hayajakupata dada acha kuongea mdm utakuponza ,ndo nyinyi wachawi mnatutesa pumbafu zetu amekuja kiboko yenu acha awaue hata kama anajivhubua muache ni sehemu ya kupenda ngozi yake na ni asili yao achana nae

  • @rauhiyasoudy9988
    @rauhiyasoudy9988 หลายเดือนก่อน

    Baba naomba ufungue maisha yangu ya kupata watoto na kurudishwa kazini kwangu nilikokuwa nikifanya kazi

  • @John12Mapunda-iw4mq
    @John12Mapunda-iw4mq 4 หลายเดือนก่อน +3

    Amina baba naomba nitabilie toka kwa wazazi wangu na kwangu naitwa john toka kinyerezi

  • @HamisSalmin
    @HamisSalmin 4 หลายเดือนก่อน

    Nataka Kuona mafanikio ktk maisha yangu maana naona shetani ameniwekea mfumo wake nataka utoke pesanine mm naitwa Andrew jelemia

  • @SaraAloyce-hm2vu
    @SaraAloyce-hm2vu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii naomba nitabirie maisha yangu

  • @user-nq7rm3lr7w
    @user-nq7rm3lr7w 6 หลายเดือนก่อน

    Amina baba naitwa Rita damiani naomba umuombee baba watoto wangu anipe mtaji baba

    • @user-mf9tu4yu3p
      @user-mf9tu4yu3p 4 หลายเดือนก่อน

      Mpenda tu mumeo naanza kuomba wewe na kumshirikisha wewe zaidi

  • @vickymeikasi1628
    @vickymeikasi1628 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sanaaaa mtumishi wa Mungu

  • @NeemaGladsoni
    @NeemaGladsoni 4 หลายเดือนก่อน

    Acheni manabii wa mungu wagichue kweli ya mungu

  • @pamelaroya5693
    @pamelaroya5693 3 หลายเดือนก่อน

    Tabiri juu ya maisha yangu mtumishi

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 16 วันที่ผ่านมา

    Kuna dini moja tu duniani ,yenye utukufu sana ,nyumba zao za ibada ni tukufu mno ,wakiinama na kuinuka kutwa mara 5 kumuomba mola wao mlezi.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 หลายเดือนก่อน

    Mungu Akubariki sn Mtumishi.

  • @user-wu1kl8ci5z
    @user-wu1kl8ci5z 6 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba mungu wa kiboko ya wachawi anisaidie nso yangu inateketea uchumi wangu ufunguke naitwa coreta Niko buguruni

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 4 หลายเดือนก่อน

    WACHA kupoteza watu..hio ni ZINAA kubwa sanaa.DUA GANI HIZOO MNAZOZISOMAA

  • @ABDALAHSALUM-rf3dt
    @ABDALAHSALUM-rf3dt 3 หลายเดือนก่อน +1

    Baba naomba unitabirie unachokiona kwangu

  • @AnaMauricioPatricio
    @AnaMauricioPatricio 19 วันที่ผ่านมา

    Nami mume wag anagufu mungu msaidie mume wag

  • @angelsaid7869
    @angelsaid7869 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sema ukweli baba siku zote msem kweli apendwi ila sisi tunakupenda bwana aimidiwe🙏

  • @user-ww8pv5qw2v
    @user-ww8pv5qw2v 5 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumixhi wa mungu

  • @AsteriaJoseph
    @AsteriaJoseph หลายเดือนก่อน

    Jaman wew kam uwamin ni wew wacha kumu mtukn Mt w amin unap amin bwan s tunaamin na tunamuamin bwan

  • @ValeNtini-nl7vy
    @ValeNtini-nl7vy 3 หลายเดือนก่อน

    Valentine bofaai njiku nine chaga Gamoto mtoto wangu ana umwa uvibe kwenye shavu pampa na taya nabishala ya ngu inakuwangum na ndowa inasubua sana baba nao
    Mba unisadie baba

  • @baraboe
    @baraboe 3 หลายเดือนก่อน

    Naitwa baraka adam magesa baba nabii, ubarikiwe sana

  • @othmanothman4849
    @othmanothman4849 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi Othman nina matatizo nguvu za kiume na uchumi mdogo mno nami nipo Zanzibar

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu amuinue zaidi

  • @pendoufinyu1830
    @pendoufinyu1830 2 หลายเดือนก่อน

    Naitwa Pendo nipo dodoma,naumwa mgongo nakiuno mda mrefu,tena namwanaume kanitelekezea watoto,naomba nitabilie,nakutafuta sikupati

  • @hellenjohn3484
    @hellenjohn3484 3 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen Nabii kiboko ya uchawi naitwa Hellen John Mushi

  • @SakinaMohamed-up6eo
    @SakinaMohamed-up6eo 2 หลายเดือนก่อน

    Wachaw wafe tuu na bila miujiza kama hii wachawi walikua wanafupisha maisha ya watu tabir baba,anayeongea vibaya hayajampata

  • @JackobMjiti-xw8uu
    @JackobMjiti-xw8uu 5 หลายเดือนก่อน

    Baba nisaidie .mama yangu anaumwa mwaka wa saba anateseka .na baba yangu nae hivyo2 .Dada yangu nae alifiwa na mtt wake alijinyonga .na mama yake akapalalazi pia ila maisha ya nyumbani nimagumu sn baba nisaidie

  • @anastaziaswai-es6rt
    @anastaziaswai-es6rt 3 หลายเดือนก่อน

    amina aminaa mimi anastazi swsy 12:29

  • @othmanothman4849
    @othmanothman4849 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba Mimi Othman Wazir nipo Zanzibar shida ni nguvu za kiume nana uchumi mdogo nilikuwa nnavua kazi imekataa nipo sinakazi

  • @user-qo7hz6jy4u
    @user-qo7hz6jy4u 4 หลายเดือนก่อน

    Mume wangu ni mtumishi lakin Jana upako, anatamani kuwa kama wewe baba😊

  • @HappyMunisi-ig6he
    @HappyMunisi-ig6he 3 วันที่ผ่านมา

    Watu washapewa hela waje kujibizana upuuzi

  • @user-xm9jl7xf8g
    @user-xm9jl7xf8g 2 หลายเดือนก่อน

    Naitaji maombi yko baba..naisi nimefungwa katka riziki zangu

  • @user-ow6tx2is8b
    @user-ow6tx2is8b 5 หลายเดือนก่อน +1

    Abii nisaidie nimedhulumiwa mahindi maroba 60
    Nimehangaika sana
    Niko manyara uwezo wa kuja dar sina
    Nisaidie nabii

    • @ticia950
      @ticia950 5 หลายเดือนก่อน

      Badala umuombe Mungu unamuomba binadamu mwenzio ila nyie😢

    • @HappyMunisi-ig6he
      @HappyMunisi-ig6he 3 วันที่ผ่านมา

      Hahaa,,watu wanakataa baraka za Mungu

  • @DevothaMichael-hp4oj
    @DevothaMichael-hp4oj 4 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji wng naomba maombi kwa ya mama yngu anaumwa huu mwaka wa nne yupo chin asogei wa aendi baba ... Nimeshaangaika mpka nimechoka baba yng... Maombi yko tafathali mchungaji wng

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 6 หลายเดือนก่อน

    Amen yesu ni kweli tuseme kweli nakweli itatuweka huru.

    • @user-ow6tx2is8b
      @user-ow6tx2is8b 4 หลายเดือนก่อน

      Paulina mombo
      Babati manyara

    • @user-ow6tx2is8b
      @user-ow6tx2is8b 4 หลายเดือนก่อน

      Paulina mombo
      Babati manyara
      Nabii na mwomba mungu anisaide nilipwe mahindi niliyo dhulumiwa maroba 60 na Abdala manyungu aweze kunilipa naomba nabii unisaidie katika maombi
      Inaniuma mno nabii
      Bwana yesu asifiwe sana

  • @HappyMunisi-ig6he
    @HappyMunisi-ig6he 3 วันที่ผ่านมา

    Ndonini kutembea na bordgard jukwaa zima

  • @LatifaSelemani-ft8of
    @LatifaSelemani-ft8of 2 หลายเดือนก่อน

    AMINA MUNGU WAKIBOKO.YA WACHAWI NAITW3 LATIFA NIPO TANGA NINA MIAKA 43 CNA HATA WATT NISAIDIE BABA MTUMISHI NAKUJA HUKO MWEZI WA SITA ALAFU. NAUMWA MWILI MZIMA PASTA NIFUTE MACHOZI YANGU MM NAITWA TASA SINA FAIDA YA KUISHI ILA NAAMINI NIKIKANYAGA HAPO NAFUNGULIWA KWA JINA LA YESU AMINA.

  • @JastiNjau
    @JastiNjau 2 หลายเดือนก่อน

    Baba nina omba unisaidie mamboyangu yameyumba sana baba

  • @eaglegirl907
    @eaglegirl907 5 หลายเดือนก่อน

    Baba naomba nisaidie baba niokoe baba nakuomba baba angu

  • @FloraAMassawe
    @FloraAMassawe 4 หลายเดือนก่อน

    Naitwa Flora .Naomba unitafute Baba