Pastor Dominic wewe kweli ni mwamba wewe nisimba wewe nikiboko mungu akutunze kwaunayotenda nimakubwa sana kweli umetumwa na Mungu pastor mimi naitwa Genoveva nikomboe mtumishi hali yangu haipigi hatua nisaidie
Kila aliyecheza na Mimi kidogo kidg ndani ya familia yangu awe ndugu yeyote asiishi,yeyote anayeniroga,yeyote ambaye ni sababu ya mateso ninayoyapitia asiishi wafe,amen mtumishi
Bwana yesu asifiwe mitumishi Naitwa Henry e Mwampash nipo songwe vwawa Namba nimeipata TH-cam Mtumishi naomba maombi napata ajali ya pikipik mugu ukateguka unanisumbuwa sana na mtumishi nisaidie nipo chini ya migu yako
Naomba uponyaji juu ya mwili wangu baba nasumbuliwa na tumbo , mgongo,miguu na ubavuni upande wa kulia Kuna maumivu kama ndani Kuna kidonda nimepima hospital vipimo vinaonesha Niko na PID na vidonda vya tumbo ila nimetumia Kila aina ya dawa sipati ahueni bado homa inazidi ASANTE 🙏
Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii
Naitwa stella mbega baba naomba niombee nipate mtoto mwez huu nanirudiane na mwanaume wangu nilipata mimba mama akasema nitoe mimba baba naomba nisaidie nipate mtoto mwengine baba nanirudiane na mwanaume wang
Namie aliyeroga maisha yangu ade kwa jina la Yesu kristo aliye hai😊
Naita chales Naomba baba ukani inue kwasiku yaleo ukafungue milango yangu yamafanikio katika jina la yesu amina
Amina nabii na mimi kupitia huyo aliye jaribu uzao wangu na kuharibu maisha yangu afe kwa jina la yesu
Tunamshukulu mungu Kwa kutuletea mtumishiwa kututetea wanyonge mungu akupe miaka mingi ya kuishi
Bwana yes asifiwr nabii naumwa sana miguu naomba uniombee
Naomba Mungu akumbuke maisha yangu Leo,yoyote anaye niroga afe Kwa jina la YESU
Washawi katika maisha yangu wakufe.amen
Naomba baba uni funguliye milango ya baraka ni fanikiwe maishani mwangu
mm naitwa Amina kutoka bg moyo baba yangu nimekuelew San nitakutafuta baadae
Ameen wote walio cheers kizazichangu na familiya yangu wafe kwadam ya yesu
Amina baba nimekuelewa sana hakika nitakufuata
Njoo kenya tumetezeka sana..niombee pia mm nabii
Kwa kweli aliyeniroga asiishi afe kama neno la mungu lisemavyo,,mtumishi kiboko ya wachawi kupitia matamshi Yako afeeeeeeeh Kwa damu ya yesu,ameeeeen
Pastor Dominic wewe kweli ni mwamba wewe nisimba wewe nikiboko mungu akutunze kwaunayotenda nimakubwa sana kweli umetumwa na Mungu pastor mimi naitwa Genoveva nikomboe mtumishi hali yangu haipigi hatua nisaidie
Kila aliyecheza na Mimi kidogo kidg ndani ya familia yangu awe ndugu yeyote asiishi,yeyote anayeniroga,yeyote ambaye ni sababu ya mateso ninayoyapitia asiishi wafe,amen mtumishi
Nabii kiboko ya wachawi mungu akuinuwi Tena mungu akutie nguvu
Amen baba ubarikiwe sana losilida gerald
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu na usidi kuwauwa wachawi Tanzania inzima
Mim Emanuel saitabau mollel nip arusha tupo pamoja baba unatusaidia sana ubarikiwe
Amina baba
Mimi mungu wa hapo nsmkubali Sana huwa natoka Zanzibar Kila mwezi na j4 ya tarehe6 nakuja ibadani ipo siku na Mimi nitapokea siji Bure huko
Ameena afe
Baba.naomba unitabirie maishayangu
5:04 yeyote anaye cheza na maisha yangu afe kwa jina la yesu
Amen wanaoroga familia yangu wafe
Yeyote anayeniloga au kuloga watoto wangu natamka kwa jina la yesu afe
Bwana yesu asifiwe mitumishi
Naitwa Henry e Mwampash nipo songwe vwawa
Namba nimeipata TH-cam
Mtumishi naomba maombi napata ajali ya pikipik mugu ukateguka unanisumbuwa sana na mtumishi nisaidie nipo chini ya migu yako
Naomba nsaidie na mm nifunguliwe kwenye familia yetu
Jamani Huwa natamani kuona mpaka mwisho,lkn inaishia patamu
Kwel had waboa
Na mm wachawi n'a watabichaji wa maisha yangu wote wa kufee Leo wana nitesa nimechoka n'a magonywa sugu baba naomba usinipite 🇨🇩
Aminaaaa baba
Jambo Pastar . nashukuru sana sana tu kufuatilia Chanel yako naona nitapana uponyaji wa uwakika
Naomba mungu aniontole lana
Amen
Hongera mtumishi kiboko ya wachawi
Naomba uponyaji juu ya mwili wangu baba nasumbuliwa na tumbo , mgongo,miguu na ubavuni upande wa kulia Kuna maumivu kama ndani Kuna kidonda nimepima hospital vipimo vinaonesha Niko na PID na vidonda vya tumbo ila nimetumia Kila aina ya dawa sipati ahueni bado homa inazidi
ASANTE 🙏
Amina
Baba na mimi naomba maombi yako kupitia jina la yesu aniponye aniondolee matatizo kwenye familia yangu mwanangu pia amponye siko cell
Aminaa
Where is its PART-2?
Amen baba
Amen 🙏 Daddy
Nimekuku Bari mungu anakua pamoja nawewe
baba njoo arusha
Maadui zako wawe adui wa Bwana watesi wako wawe adui wa Bwana Mtumishi
Naomba uendelea kunitendea kwa hoja niliyokuomba Imani yangu nitafanikiwa
Amen afee katikati Jina la yesu
Mwanamke mchawi afee Kwa jina la Yesu
Naomba aliyeniloga afe Kwa jina la YESU
Barikiwa mtu mishi wa mungu
Aminaaaaaaaa
Baba nawomba unitabiriye na Mimi nani anaye niaribiya maisha yangu naitwa supat kukay
Bwana Yesu asifiwe nabii naitaji maombi Yako maana changamoto. Nayoipitia naisi kukataa tamaa majaribu yamekuwa meng peke yangu siwez kila mwaka nnn mmm tu nabii nafukuzwa kazi naomba unisadie nabii
Baba ingilia Kati maisha yangu ester
Nabii naomba uniombee nyota yangu irudishwe yoyote aliyoichukuwa,naitwa ritha nickolaus mwakasege,natokea kisemvule
Majoka Tahoe kwangu najiunganisha na upako
Amina wafe
Wafe wachawi wote kwa jina Ia Yeeeeeeeeeesu
Baba Nisaidie baba baba niokoe baba
Came lamani anazingua anaweka video vaisvesa
Naooba unisaidie nabii mwanangu hatembei ana miaka miwili na miezi hakai hatembei shingo haikaz nakuomba unitabilie
Baba mungu unaentumikia azidi kutu komboa
Ameeeen
Amina baba Mimi Sophia Massami naomba uniponye
Mama yangu namimi amenifanya ivo 😭😭😭😭 mungu awasame tuu
Amen Amen Amen
amina mtumishi
Baba ikomboe familia na kazi yangu
Mimi Gloria Ndunguru naomba unisaidie mtoto wangu Chizostomus haelewi shuleni kwasasa baba yake tuliachana na ameniachia watoto
Nisaidie mtoto wangu ulevi umezidi na usinzi kupitiliza nimeteseka sana naye
Ameeeeeen na afeeee
Baba Naomba uniponye.
Amiina waliochezea kizazi changu wote wafe,wafeeeeeee
Najiunganisha na ibada ktk jina la Yesu
Baba Niko ichi za kiarabu niombee nipandishe mshara
Uk vizr
Mtumishi nisaidiwe maisha magum naomba nitabilie mtumishi au nije uko niko mbeya
Naomba reo naamini naaza kupata Balaka kwanzia jioni yaleo
Baba.naomba
Unisai.kuomba baba.yangu alifaryki.kwenye.mazingira yakutata Nisha.naoma.alieshiryki.avee
Amiina Afee
Familia yangu inamagonjwa ya sukari Mungu tusaidie
Niombee namimi uniokoe mtumishi
Mungu ni mkuu
Yoyote aliye sababisha mimi niumwe afe leo kwa Jina la Yesu
Mchugaji naomba uniopee familiy yangu naitwa eliza wambura
Naitwe dani naomba nabii uniombee nadawa pesa nyingi niweze kulipa nauzagari Nanyumba. Sipati wateja wakija kuangalia awarudi niombee mtuwamungu
Aaaaaaasmina wakufe
Naitwa stella mbega baba naomba niombee nipate mtoto mwez huu nanirudiane na mwanaume wangu nilipata mimba mama akasema nitoe mimba baba naomba nisaidie nipate mtoto mwengine baba nanirudiane na mwanaume wang
Anayetuloga afe kwajina la yesu
Afe kabisa ktk jina la yesu
Nabii isaidie familia yangu pamoja namimi mwenyewe
Baba naomba utabiri juu yamaisha yng
Hakiki wewe ni kiboko ubarikiwee Sanaa
Na biii naumwa.na kichwa.sana
Apostle m naomb nioe
Ameeeeeeeeee
wakufe
Naomba muchawi wamaishayangu afee
Nabii na mm aliyeroga familia afe
Amiina
Njoo kenya nabii utuombe nyota ya kazi zifunguke
Nabii kiboko ya wachawi naomba uniombee mm na familia yangu bwana