NILITAKA KUWAFANYIA SIMBA USAJILI ILA HAWAKUNIAMINI | KUIZAMINI SIMBA PIA WALINIKATALIA |NAONA MBAL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • CATCH US BONGO FM 📻
    90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: bongo_fmtz
    TWITTER: https: BONGO FM
    FACEBOOK: BONGO FM
    #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
    #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
    Transcript

ความคิดเห็น • 99

  • @fedinandnjeleka4102
    @fedinandnjeleka4102 3 หลายเดือนก่อน

    Sawa kabisa nilikuona kule tulya kata ya kisilili 2012 ulikuja kuwaona vijana na kuwasaport mipira tukasalimiana.nikweli kabisa usemacho kule doromoni kuna vipaji sana mpira wa miguu

  • @shausijumanne1583
    @shausijumanne1583 4 หลายเดือนก่อน

    Yes,hii kichwa ni full package mungu akuweke mkuu huna baya

  • @elidifridajingu3153
    @elidifridajingu3153 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa na mm natamani siku moja nikuone. Naomba appointment. Samahami sana kama ikikupendeza naomba unipe nafasi yakuongea na wewe! Natumaini utaupata ujumbe wangu🙏🙏

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 4 หลายเดือนก่อน

    Wachieni MO dewji na Mh Gulamali na matajiri wengine tuwape uhuru wawekeze kwenye Virabu! Lakini waheshimiwa sana ninyi akina mwigulu endeleni na Siasa! Taifa hili lina changamoto ninyi! Na mwenyezi Mungu awape Rehema na toba!

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia1016 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa Mchemba nimesadiki kumbe wewe ni mashabiki mshiriki wa Mpira, bila kuingiza upenzi, hongera sana!

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 4 หลายเดือนก่อน

    Inchi hii SaSa imefika mahali tunadimba! Waheshimiwa Jaribuni kumheshimu mama ametulia na majukumu yake! Lini Waziri wa fedha akaingilia maswala ya wachezaji? Na ndo maana Ligi na mechi hazieleweki Tanzania! Tumwaamini mwigulu nchemba ILI iweje kwenye SsC! Pole Sana MO dewje kumbe tunakuonea sana!

  • @ignatiomatimba3554
    @ignatiomatimba3554 4 หลายเดือนก่อน

    Kuwa shabiki ni jambo la kila mwananchi lakini ukiwa kiongozi wa Taifa huhitaji kujifunua kuonyesha timu unayoishabikia. Kudhamini timu nyingi kwenye logi moja nimeiona hapa Tanzania. Haiwezekani eti mtu mmoja awe anashindanisha timu zaidi ya moja ili kutafuta mshindi hapo ni kutoa rushwa kwa timu ukiangalia timu nyingi zilizokuwa chini ya udhamini wa GSM zilikuwa zinafungwa kipindi cha pili ili timu iliyodhaminiwa ionekane imechoka kumbe ni janja yao hata baaadhi ya makocha wa timu pinzani walidiriki kukubali kuwa ni kwa ajili ya maokoto timu zao zilikubali kufungwa.

    • @valentinoswenya748
      @valentinoswenya748 4 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo ww kwa umli wako kipindi mo anaizamini Simba ,cost ,namungo ,na kadhalika inamana ww ulikuwa ujazariwa nini

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shida watanzania tunapenda timu kuliko mpira,wengi Wana comment Kwa Sabab za kishabiki.Mwigulu ni mtu wa mpira for sure

  • @FarmChoiceLtd
    @FarmChoiceLtd 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe mh apart from Siasa, ungeamua kuforcus n mpira ungelikua bonge La wakala

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 4 หลายเดือนก่อน

    Asante mheshimiwa unasaidia vijana kuna dogo anitwa Abisoni mwenda anakipaji cha mpira hana baba wala mama yuko itona mufindi anasoma kidatu cha pili naomba umsaidiee atomize ndoto zake yaani kwenye kiwanda chai mufindi

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 4 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana mungu anakuona kwa kukupa kila hitaji lako kiongozi ukweli naitaji sana kukuona kiongozi wetu

  • @sadih5333
    @sadih5333 4 หลายเดือนก่อน +4

    Muheshimiwa kama unayo ongea ni kweli mimi sikuchukii tena kimichezo.

  • @leusissa3855
    @leusissa3855 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona kila ukiondolewa kwenye uwazir huwa timu zako zinakufa??

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ya kagoma kumbe simba ndio walikataa…naamin sasa kahoma anaenda yanga msim huu

  • @HenricPelegric
    @HenricPelegric 4 หลายเดือนก่อน

    kama pesa za Tanzania zinatumika tanzania mimi nipo sawa na mwigulu. piga kazi.
    you might say what you want to say. but i support local sports

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 4 หลายเดือนก่อน

    RAHA KWELI❤❤❤ ASANTE MHESHIMIWA😮

  • @ningamriri6350
    @ningamriri6350 4 หลายเดือนก่อน +1

    Binafsi unachokiongea nakiona kinatoka moyon na si mdomon tu ,mpira wa miguu Tz utapiga hatua kukiwa na wadau weng wa aina yko,,

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 4 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa upo sahihi kabisa kabisa we una roho nzuri kaka

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ni simba nimekuelewa mzee wa trab na trat

  • @NchunguyeFesto
    @NchunguyeFesto 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa maelezo haya Simba ina moles wengi sana. Background ya wachezaji ni muhimu sana; wasaliti wanaweza kuwa wa kutosha

  • @TimothGerson
    @TimothGerson 4 หลายเดือนก่อน

    Na mtoto wangu mheshmiwa anaitwa Enjo Timoth Mlewa amekaa azam miaka mitatu toka Ander seventyn mpaka Ander twent sasa hiv yupo kagera suger naomba msaidie

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga693 4 หลายเดือนก่อน

    Wengine humu niwatoto siyo ❤wakuhangaika nao sisi tuliozaliwa kabla hata tv hazijafika wala kujulikana zipo duniani tunaelewa kuhusu wanasiasa ambao walishakuwa wanasoka kabla ya siasa badala wachukue nakujifunza mazuri ya mwigulu wao wanaacha mema wanatafuta mabaya wanaleta ushabiki 🤔🤔🤔sijui wanaelekea wapi

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 4 หลายเดือนก่อน

    Jembe la wananchi

  • @PeterMsafiri-ik3tm
    @PeterMsafiri-ik3tm 4 หลายเดือนก่อน

    Bw. Mwigilu achakutudanganya sisi wapenzi wa simba,ongelea timu yako ya yanga.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani huyu bwana kukabidhiwa bank akajikuta yeye ni mfanya biashara anataka apambane na wafanyabiashara na kusahau kama ile pesa pale bank kuu ni ya watanzania. Unataka kuwekeza kwenye mpira unaleta tamaa aisee. Huyu ni mwizi guys mchunguzeni hana kitu,oneni Singida saivi iko wapi na yeye yuko wapi!???

  • @paulsamuel6265
    @paulsamuel6265 4 หลายเดือนก่อน

    huyu jamaa akawe msajili wa yanga , atuachie uwaziri

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 4 หลายเดือนก่อน

    Kunawakati inabidi tutafutane kwa maendeleo ya watu wetu. Nivigumu lkn ikibidi tutafutane naona utafaa.

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga9370 4 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio Tz

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwigulu upo vzr wewe waache wanaosajili kwa majina cy vitendo. Km unapenda michezo basi wasaidie SIMBA wanafeli wapi kweli usajili au wanapiga hela tuu

  • @TimothGerson
    @TimothGerson 4 หลายเดือนก่อน

    Msaidie mwnangu yupo kagera suger amepita akadem ya Azam Anaitwa Enjo Timoth Mlewa

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 4 หลายเดือนก่อน

    Kwanza fanya utajiri mzuri kwenye wizara yako yafenza tozo zisizo namsingi mfumuko wabei kwenye mahitaji muhimu hilo ndio jukum lako lakwanza😢

  • @andrewdaudindullu1749
    @andrewdaudindullu1749 4 หลายเดือนก่อน +1

    Vipi Tchakei ataruhusiwa

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo muheshimiwa unatumia ela ya nchi kununua wachezaji wa Yanga

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla7884 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni Waziri wa fedha wa Nchi.

  • @jumagubikhan8212
    @jumagubikhan8212 4 หลายเดือนก่อน

    Mkuu kweli tunajua unapenda mpira lakini pia Kuna unfair kwa football yetu means , mbona husajili wachezaji kwa vilabu vingine vidogo

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Jamaa anazungumza uharo, is he related to Manara. Kazi I? What do you actually do! Hawa ndiyo viongozi, nchi inaenda wapi?

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma9729 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu wetu wa nguvu wanchi

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 4 หลายเดือนก่อน

    Unauliza pesa anatoa wapi mmh waziri wa fedha huyo

  • @KareemMandela-d5l
    @KareemMandela-d5l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anabalance story mwigulu na huyu ndo anaeisumbua simba toka Amekua mbunge na ndio Anaetoa hela za usajiri za yanga na ndio wanaoikwamisha simba upande transformation pamoja na huyu jamani nieleweni ila hawataki kusema ukweli watanzania

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 4 หลายเดือนก่อน

      Anaisumbua vipi wkt kila timu inawazamini wakee?
      Nanyinyi mandunduka tafuteni wazamini, msimtegemee Mo peke yake.

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 4 หลายเดือนก่อน

      Makolokwinyo mnajisumbua wenyewe acheni visingizio

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu si mwizi tu anakula hela za serikali

    • @anastahiliutawala3879
      @anastahiliutawala3879 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu msenge ndo anaharibu mpira wa tanzania

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 4 หลายเดือนก่อน

      @@anastahiliutawala3879 Alipokuwa Mo anaidhamini Simba kikamilifu na wakabeba ubingwa mara tatu mfululizo alikuwa haharibu mpiraaa?

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 4 หลายเดือนก่อน

    Uishi miaka mingi na afya tele

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 4 หลายเดือนก่อน

    Hii pesa unaitoa wapi mh mbona nyingi Sana ?

  • @kheirahmad4064
    @kheirahmad4064 4 หลายเดือนก่อน

    Tutafika tu siku moja.

  • @SeleKandiwit
    @SeleKandiwit 4 หลายเดือนก่อน

    Nilicho kinasa kikubwa huyu jamaa ni yanga dam hata u ingwa wao kawasaidia yanga waupate

  • @venancebanda291
    @venancebanda291 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbe mh.wewe ni wakala lakini ume base kwa yanga na kumiliki zaidi ya timu mbili kwenye ligi moja hi si sawa mh.

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwenda huko utopolo mmoja

  • @JuliasOnai
    @JuliasOnai 4 หลายเดือนก่อน

    mkuu ninakijna anaenda 5 Anamika 18 anakipaji mkuu anajua nisaidie kaka hata atoke nae

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 4 หลายเดือนก่อน

    Nchi ngumu hii sijawahi kuona

  • @IbraimSanga-fg4hv
    @IbraimSanga-fg4hv 4 หลายเดือนก่อน

    Uwe na adabu unaacha kutoa maoni ya maana unatukana usenge unaujua?

  • @jumaally8538
    @jumaally8538 4 หลายเดือนก่อน

    Singida unawasaidia nn acha kujiona unajua mpira

    • @zablonrobert1522
      @zablonrobert1522 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu jamaa anajimbo kubwa na ana mwaga moto vbaya mno

  • @YahayaNgenda
    @YahayaNgenda 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wapi anapata nguvu hizo

  • @AdaniAthumani-nc2oq
    @AdaniAthumani-nc2oq 4 หลายเดือนก่อน

    Matusi humu hayana nafasi kukibwa uelewa ty

  • @IlhamKhalid-mt3jp
    @IlhamKhalid-mt3jp 4 หลายเดือนก่อน

    Misallocation of governmental funds YANGA bila ya CCM hamna kitu Sawa na (kuku + yai)

  • @officialfestochimulimuli9426
    @officialfestochimulimuli9426 4 หลายเดือนก่อน

    th-cam.com/video/AirjxNk9O0A/w-d-xo.html&feature=shared
    Fesal na Simba imeishaiyo Tazama ujionee

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani mpira na siasa wapi na wapi ndiyo maana soka letu haliendi mbali

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 4 หลายเดือนก่อน

      Mpira ni Starehe! Siasa ni maisha.

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla7884 4 หลายเดือนก่อน

    CCM na Yanga kunani?

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo singida ipo kwa akili ya yanga hatuitaki

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani unamjua George weah? Alikuwa mchezaji bora duniani, je hakuwa rais wa Libria? Unashangaa mpira na siasa? Nchi hii ilijihusisha sana kwenye michezo katika upatikanaji uhuru, unashangaa siasa na michezo? Wewe bure kabisa.

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 4 หลายเดือนก่อน

    Tuna ku Amini. Lakini wewe ni yanga.
    .

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani muwage na aibu sometimes

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pesa ya Serikali hiyo

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani mkuu ww ni msaji wa timu, sijakusoma mkuu,

  • @MakariousIdarous
    @MakariousIdarous 4 หลายเดือนก่อน +1

    Simba haikuhitaji wewe ni kati ya wanaoharibu soka la bongo badala ya kushindana kwa haki wewe unanunua mechi ( marefa na wachezaji)!

  • @KareemMandela-d5l
    @KareemMandela-d5l 4 หลายเดือนก่อน

    Na mmeamini kua yanga ni ccm?

    • @ameirfaki9277
      @ameirfaki9277 4 หลายเดือนก่อน

      Umeamin ww 2....mwenye akil mgando

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo viongozi wa CCM wapenzi wa Simba mfano Spika na waziri mkuu nao ni Yanga?

    • @KabungaKalla-fw4pp
      @KabungaKalla-fw4pp 4 หลายเดือนก่อน

      Kwani simba ni chadema au ACT.?mbona hutwambii?

  • @KareemMandela-d5l
    @KareemMandela-d5l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anaongea kitapeli tapeli tu

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala3879 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu msenge anatumia hela ya nchi kuharivu mpira wa tanzania

    • @b.warron4631
      @b.warron4631 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanini unamtukana mtu ambaye ajakukosea..

    • @alphajohn3761
      @alphajohn3761 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tuache matusi kwenye viongozi wetu WA nchi,kama huridhiki nae nyamaza Tu.
      Heshima muhimu

    • @hamisisalimu6908
      @hamisisalimu6908 4 หลายเดือนก่อน +1

      Uwe na heshima na Adabu kwa watu, sio kutukana watu. Angekua babako ungemtukana?

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 4 หลายเดือนก่อน

      Kaharibu nini hapo?? Acha wivu

    • @detlantamarooned1809
      @detlantamarooned1809 4 หลายเดือนก่อน

      Kuwa makini kijana,acha kutukana tukana Baba zako hovyo.

  • @BasilSikanyika
    @BasilSikanyika 4 หลายเดือนก่อน

    Petty theft

  • @OmaryMkungwa
    @OmaryMkungwa 4 หลายเดือนก่อน

    Yanga ilianza kabra ya wewe mpumbavu mkubwa we yaani unavyo jitanua kama iyo yanga ni mali Yako kwenda

  • @SurprisedCherryPie-xp3fi
    @SurprisedCherryPie-xp3fi 4 หลายเดือนก่อน

    Acha upumbavu unamtukana Mwigulu kwa sababu yy ni yanga? Hata kabla hajawa waziri wa fedha alikua anaimiliki singida. Acha wivu wa kijinga msenge ww.