Daaaaaa,naisikiliza hii nikiwa wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma, hongera sana bhudagala kwani nyimbo zako huwa hazina matusi kabisa hivyo endelea kutupa raha,na unatakiwa ufahamu kuwa nyimbo zako zinasikilizwa mpaka nje ya Tanzania.
Da yani budagala wewe unanyimbo nzuri sana da unatamani kuuludia kila mda tu nakupa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unaiheshimisha sana luga yetu mungu akupe uzma wa kutosha ubalikiwe sana tena sana
Hujawahi niangusha kwenye nyimbo zako kaka unajua Sana asanteee tupe mzik mzuri mungu aendelee kukupa weledi wa kutunga vzr zaidi mwanamalonja🔥🔥🔥by prince from mtwara tz
dah nyimbo hii nimeurudia mara nyingi sana nikisikiliza kwa makini kiukweli nikikumbuka enzi za malingika na bhudagala sijawai kusikia nyimbo kumsifia mganga wala kumtukana mtu yoyote aise nakukubali sana kaka pia unaheshima sana na sijawahi kusikia unagombana na wadogo zako kwenye mziki hongera sana kaka tupo mashabiki zako
Wambie Msanii ni mpelelezi wa kungundua nini hakipo sawa au nini wamesahau ukingundua unawakumbusha walipo sahau mashabiki wanasikiliza yani msanini ni mshauli pia ukiwa ni msanii mwenye heshima kama bundagala anatoa vitu vya kuaburudika ata ummekaa familia nzima seemu moja mavasi na maongezi yote safi
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu😅😅😅😅😅😅😅njoo geita utumbuize tunakusubili sana 11:57
Wakubwa wanakulaumu wewe make wewe ndo kila kitu kwetu wasukuma tunakutegemea wewe bhudagara wewe ndo kila kitu kwetu wengne wanafata tu Nko Arusha ILA natamani Sana japo siku MOJA bhudagara nikuone tu Mimi kwako cjawahi kukuchoka ata siku MOJA bro nasikuliza Sana nyimbo zako
Nyimbo safi San wasukuma tujuane nipen like zangu
Ngoma nzur my brother from dar pande za chamazi
Ngoma yenyekujenga sana dah"" good job my brother toka pande za moshi town
Hongera mwanangu Budhagala, piga kazi
kaka your the king of them akiwemo chizi wa ndagalu
oyeeee hongela sana budagala endelea kutoa ujumbe kwa wadogo zako uko sawa wanwise
daah hii ngoma imegusaa hisia nyingi Kwa upande wa wafatiliajii wa nyimbo za asiri, ujumbe umefika
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu
Nyimbo nzuri
Ww wakuache tu mwamba ni hatari Sana nakukubari sana
Kaka unajuwa kuelimisha Sana Mungu aendelee kukuweka huna baya kabisa tunakuombea kila ukicha Asante Kwa nyimbo zuri❤️❤️❤️
Mfalme wisee hongeraa san
Daaaaaa,naisikiliza hii nikiwa wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma, hongera sana bhudagala kwani nyimbo zako huwa hazina matusi kabisa hivyo endelea kutupa raha,na unatakiwa ufahamu kuwa nyimbo zako zinasikilizwa mpaka nje ya Tanzania.
budagala na shinje mmetukanana mno
Kazi nzuri mwamba
Fundisha jamiii braza tuko pamoja welcome majimoto 🔥🔥🔥🔊🔊🔊
kahayaga kati zaga, kakwiza kapye 🤣🤣🤣
Hiyo do nilikuwa naisubili kwàhamu asante Kwa kazi zuli
KISULA PHABIAN MNYETI
Budagala vzr sana shule zinasaidia uzr na shule ulipita ndo maana unatoa vyuma bomba
kazi nzuri mkuu npo mbeya apaa
Mmeniwahi na leoo duuuh, lakin Choppa hiyo
Nakubali sana kaka
Bhudagala Safi Sana kazi kali ujumbe Bomba Respect Kwako
Kazi zur sana kaka
Da yani budagala wewe unanyimbo nzuri sana da unatamani kuuludia kila mda tu nakupa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unaiheshimisha sana luga yetu mungu akupe uzma wa kutosha ubalikiwe sana tena sana
Limela,,mama leti,shughuli na innaga,,, hahahaha hauboi kaka❤❤❤❤❤.
Niite tosha Kanda za manyoni nakukubali kaka
Kazi nzuli sana kaka budagala mie nipo tabora konanne
Safiii sana bms
Huo wimbo wa Innaga unaitwaje
Hongera san kak kalibu simiyu wilay meatu
Nakubali san huu mwimbo
Daima kaka dhidi kuwaelimisha watanzania kwa ujumla waelimishe jamii na si vingnevyo
Waacheni t watukananee tupate hamasa kufuatilia ngoma zetu mnawazuia kwann
Mimi 1 ❤
❤❤❤ Nakumbuka nyumbani
Wewe ushakuwa mzee wa kazi asante chukua maua Yako baba🎉
Sahihi kabisa mjomba mtoto wa mwamba dendei hapa nyambureti nakufatilia nikiwa iringa mjomba ❤❤❤❤
Pamoja sana mjomba
Hujawahi niangusha kwenye nyimbo zako kaka unajua Sana asanteee tupe mzik mzuri mungu aendelee kukupa weledi wa kutunga vzr zaidi mwanamalonja🔥🔥🔥by prince from mtwara tz
Wakwanza Leo ndani ya BMS
Kweli sikuizi Mambo ni kutukanana na mabifu Kama yote tuachane nayo hayana maana
Hakika wewe no mfalme wa nyimbo za asili,, mungu akuzidishie na kukulindaaa,,by msukuma kutoka arusha
leo mmeniovertake so mbaya nishafika kwa legend wetu na gomma limefika salama pande za sumbawanga kali sana big up sana
Ushauri mzuri Sana kwa wasanii,matusi waache,waelimishe jamii,nikiwa Bukoba tz
dah nyimbo hii nimeurudia mara nyingi sana nikisikiliza kwa makini kiukweli nikikumbuka enzi za malingika na bhudagala sijawai kusikia nyimbo kumsifia mganga wala kumtukana mtu yoyote
aise nakukubali sana kaka pia unaheshima sana na sijawahi kusikia unagombana na wadogo zako kwenye mziki hongera sana kaka tupo mashabiki zako
karibu kwetu bariadi simiyu gambosi Tanzania 🎸🎸🎸
Kaka mwanamalonja kz nzr saaana wafundash
Uhakika kabisa wasanihi wengi wa mebaki kutukana good job banemhi moja❤❤
Uko sawa brother barikiwa kwa kumbuka hilo Aman itawale
Hongera sana bhudagara kwa nyimbo nzr kaka
Kaka nakukumbal sana ❤❤❤❤❤
kweli kaka, wasinii ni sehemu ya shule lakn matusi yanasababisha tuamini wasanii ni wahuni tu!
😂😂😂 ni kweli saiv mzk umekua wa matusi tu 😊😊😊
Kaka adi Zanzibar ngoma yako inatimba.
Pamoja sana kakak
Makini sana 😢😢
Budaghala kazi nzur. Mkaguzi. Wa NYIMBO za asili
buroo tisha sanaa
Bwana mkubwa wewe ni zaidi ya Mwalimu kwenye Jamii yetu ya Tanzania Wasukuma tuna muwakilishi makini sana
waambie hao nyani
Kaka bhudaga unanitisha sana
Ujumbe mzur
Chamazi moja
Nimekupata bhudagala nikiwa chunya mbeya
Pongezi kubwa sana obaba kaza roho tu mungu atusaidie
hongera
Wambie Msanii ni mpelelezi wa kungundua nini hakipo sawa au nini wamesahau ukingundua unawakumbusha walipo sahau mashabiki wanasikiliza yani msanini ni mshauli pia ukiwa ni msanii mwenye heshima kama bundagala anatoa vitu vya kuaburudika ata ummekaa familia nzima seemu moja mavasi na maongezi yote safi
Namba 8 naombeni like 🙏🙏🙏
Tupo pamoja kiongozi
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu😅😅😅😅😅😅😅njoo geita utumbuize tunakusubili sana 11:57
Wambie wakusikie mimi nakusikiliza kutoka mukoa siminyu bariadi mutaaa wa budeka hogera sana bhudagala kwakweri inauminza dungu tunako rekeewapi kwahalihii
Blood kazi njema sana aminia sana kaka mkuu
Kweli bro
Keep it up! Hadi Tz nzima ijue kuna mziki huu upo
Nseyantemi ❤❤
Wakubwa wanakulaumu wewe make wewe ndo kila kitu kwetu wasukuma tunakutegemea wewe bhudagara wewe ndo kila kitu kwetu wengne wanafata tu Nko Arusha ILA natamani Sana japo siku MOJA bhudagara nikuone tu Mimi kwako cjawahi kukuchoka ata siku MOJA bro nasikuliza Sana nyimbo zako
Kaz nzur sana nipo dar pande za Kigamboni hapa
Nyimbo zuri saaaaaana nipo malya seneta kamanda
Katinga dj faida kutoka bulige
Piga kaz kaka
Unazidi kuwa wa moto 🔥🔥🔥🔥
nikweli ujumbe umewafikia wale wasanii wasiokuwa na maono na mafundisho pia wajue usanii ni kalama na sio kalamu wajifunze kupitia huu wimbo
Ngoma nzuri sanaaa hii
uhakika kaka 🙏
huna kazi mbovu legend bhudagala
Nyimbo ni nzuri inao ujumbe
Master Ni Master Tu
Nyanda wakanya nadekeleka kwa wiza
bora hvy ww utukani mtu
Saf. Sana
👏👏👏👏👏🔥🔥🙏
👍👍👍👍👍
Ww ni Baba wa wawasanii ❤❤
Kazi nzuri sana
Nzuri Sana👍
Bhudagala 🕺🕺🕺🕺🕺
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯
Tarh 5/3/2024 tunakusubiri kabila karibu sana!!!
Poa poa
Eeehee
Bhudagala ukabehaga njemu
Nakubariiiii
Asate
Safi sana
Hatar ogopaaaa