Mchawi ni mtu hana maana kabisa yani akikosewa kidogo yuampa mwenzake adabu ya kifo hivi tutajibu nini tukirudi kwa hakimu wa haki,Eee Mungu tuongoze🙏🙏
@@dorcaskidoti249 sijui atajibu nini,ingekua Mungu anahukumu kama mwanadamu dunia ingekua haina mtu,ila Mungu wetu Amelia huruma na upendo, licha yakua tunamkosea kila sekunde😢😢
Sasa hao misukule wanapolima,je watu wa kawaida huwa hawawaoni?na kulima kwa usiku na giza wanaona vipi?na je majirani hawashangai kuona shamba limelimwa?
Kama atakuwa BORA KULIKO MIMI je KWA mwenyezi mungu tuna juwa nasamehewa KWA makosa lakini si yakichawi elewa bro hilo JAMBO la uchawi mwenyezi mungu alilikemea kabisa😭😭😭
@@hamidaalhabsi8568 usimuhukumu mwenzako dada ni kweli cjakataa ila mungu husamehe madhambi yote icpokuwa kushirikishwa ila huweza pia na hilo kusamehe kwa amtakae na Allah (s.w) humuingiza peponi mja wake kwa rehma zake ila sisi tuachie hapo Allah ndo anaeijua hatma yake na Allah atusamehe yeye pamoja na sisi na in sha Allah siku ya miadi atujaalie kuwa ni miongoni mwa watakaokipata kivuli chake na kuingia peponi in sha Allah. ASSALAAM ALAYKUM
Tabu yote hiyo kuua ndugu halafu faida yake ni kuwanga tu na dhambi juu Hawana maendeleo yoyote na wakipata hela za masharti sasa raha iko wapi. Duniani mateso na kesho kwa Mungu mateso ili mradi balaa tupu
Yesu ww ni mzuri sana umetuokoa, YESU ni kila kitu wachawi hawana jipya kwa kweli!
Wachawi hawana maana kabisa faida yenyewe wanayopata ni hamna,roho mbaya bila huruma ,sasa furaha yao ni kuua na kutesa watu,bila kosa.
Listening and learning a lot from the show,,,big up Mr fact
Dah uchawi noma sasa wanapataga faida gani
Kazi yaujingaa usiokuwa nafaidaa yani Mali yakafaraaa 👐👐👐👐👐👐👐 Eee MOLA nijalie nisiwe na tamaaa kamahiyo
Ahsantee YESU nimekujuwa ww na kukutumikia... Jamani ww unafurahia kuwauwa ndugu zako jmn.😭😭😭😭
Mchawi ni mtu hana maana kabisa yani akikosewa kidogo yuampa mwenzake adabu ya kifo hivi tutajibu nini tukirudi kwa hakimu wa haki,Eee Mungu tuongoze🙏🙏
@@hebronsdaughter1661 Amina🙏🙏🙏🙏hakuna mtu mkatili na mwenye roho ngumu kama mchawi..shangazi yake ameshaenda kwenye hukumu yake.
@@dorcaskidoti249 sijui atajibu nini,ingekua Mungu anahukumu kama mwanadamu dunia ingekua haina mtu,ila Mungu wetu Amelia huruma na upendo, licha yakua tunamkosea kila sekunde😢😢
@@hebronsdaughter1661 anatakiwa kuombewa ili roho yake iingie peponi..Roho nyingi zinateseka toharani zimezuiliwa kuingia kwa Baba
Duuhh AISSEH mbona mtiani uhuu doo AISSEH mungu hatunusuru na Wachawi
ushirikina ushindwe kabisa kwa uezo wa ALLAH.
Amina
Bro big up naomba tuongee
Mm pap💃💃💃Nawakilisha🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Moyo wangu unavuja dam binadam tumegeuka wanyama😢😢😢😢😢
👊✌
Hey Mr Davistar Mata,How did you search and find stories like this? And why did you decide to do it?
Nmewahi Leo pamoja sana bro
Cameraa yako iko powaa my davista yaani picha iko good Sana had raha....
Yesu ndie kiboko yao
Dah! Wachawi motoni ndio itakuwa makazi yenu ya milele!
Amiin 😁
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂🤣 Amen 🙏🙏
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka toka nimeanza kufatilia izi stori sijasikia wachawi mmepata utajili wa kudumu
Sasa hao misukule wanapolima,je watu wa kawaida huwa hawawaoni?na kulima kwa usiku na giza wanaona vipi?na je majirani hawashangai kuona shamba limelimwa?
Pamoja sana Davistar 🤝
Makini sana
Mfalme wauchawi 😂😂😂yeye akiitwa ivyoana furahi kumbe anamaliza ndugu🤣🤣🤣
Wa kwanza leo naomba like nyingi
Duh wachawi wote hawataenda mbinguni
xanaaaa mana mmmmmh cio kama ukatili huo
Kabisa hawatauona ufalme wa Mungu
Oya kwa wale wakaz wa dar kama na ww umesikia kijiji kinachoitwa magomeni gonga Like tujuane 😂
😃😃😃kakosea tu sio kijiji ni mtaa mtwara mjini
Nimekidikia
Subhanallah is very sad sad sad
First to like first to watch
Duh !
Haya mm nafuatilia tu na kuzidi kujifunza mengi
Duh!!hii shida kwa kweli
Mungu wangu HAWA wa chawi wanapata faida gani huyo shangazi yako bibi yaka NA wewe pia laana tullah mtasema nini KWA mwenyezi mungu 💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭
Kama katubia kweli na karudi kwa mola wake basi elewa kuwa huenda akawa ni bora kuliko ww
Jamani c ametubu!!!huenda atasamehewa!!
Kama atakuwa BORA KULIKO MIMI je KWA mwenyezi mungu tuna juwa nasamehewa KWA makosa lakini si yakichawi elewa bro hilo JAMBO la uchawi mwenyezi mungu alilikemea kabisa😭😭😭
@@hamidaalhabsi8568 usimuhukumu mwenzako dada ni kweli cjakataa ila mungu husamehe madhambi yote icpokuwa kushirikishwa ila huweza pia na hilo kusamehe kwa amtakae na Allah (s.w) humuingiza peponi mja wake kwa rehma zake ila sisi tuachie hapo Allah ndo anaeijua hatma yake na Allah atusamehe yeye pamoja na sisi na in sha Allah siku ya miadi atujaalie kuwa ni miongoni mwa watakaokipata kivuli chake na kuingia peponi in sha Allah. ASSALAAM ALAYKUM
Davister hem uliza wakila nyama za watu kichawi wanashiba katika hali ya kawaida ya ubinadamu?
Mr Fact wachelewesha sana Episodes
Davi, hebu uliza kwa nn wanachukuwa mwili alafu sana wanaeka mgomba manake sana hutumia mgomba uliza tujue
Uliza swali vizuri
@@adamalfred9348 hujaelewa kwani hapo
Part 3,unachelewesha Davista
Kwa Mungu kuna mengi dah watu hawafi kiukweli
Dunia Hii🤔🤔🤔
Tabu yote hiyo kuua ndugu halafu faida yake ni kuwanga tu na dhambi juu
Hawana maendeleo yoyote na wakipata hela za masharti sasa raha iko wapi. Duniani mateso na kesho kwa Mungu mateso ili mradi balaa tupu
🙂Stori inatisha,usiombe yakukute🙂
Kweli kabisa.
Nimewi wai wallah!!!😁😁😁
Kaka mung akulind.
wakwanza leo
Oy a wanazengo na mm leo nimewah ila #davistar awa watu wenye hii mikasa unawatoaga wapi au na ww mchawi 🤣😂
Kwa iyo kibao kimegeuka hahahahaa wabongo bwana
😁😂
😂😂😂😂😂kaaga kwao kaka angu
Emma mbn wamfokea davst
#Jackline 😂 tunafokeana
Changamka kuongea yan kweny story zote juma ndo nomb 1 nilikua nasikiliza had rahaa
Mimi yule wa migodini aiseee story ile ilikua tamu
You
Wachawi wanaroho za wajumbe
Wachawi hawana huruma kweli.
Uzingizi mwingi"Mchawi"
DM waulize hawa wachawi wanauwa m2 vipi, wananyonga, sumu ama? Na njia yakujikinga na madhara ya uchawi
Ayat kursiy,aya mbili za mwisho za surat baqrah,al ikhlas,al falaq na annas
Yani hii balaa aisee
Nipo hapa Makini wa kwanza
Mmh haya Mambo..nisikie tuu...😭😭
Niwaulize wa tz hii misukule hua ni watu wameuliwa ama ni watu wamepotea kwa mazingira tata halafu wachawi wanawabadilisha akili wanakua hawajielewi?
Yeah wanakuchukua kwa njia ya kiroho then unafanya kazi mwisho Mungu akitaka kukuchukua ndo unakufa lkn duniani watu wanajua ushakufa kitambo
Teh
Kk Davi, hizi story venye watu wamefanya mikasa hii huwa haezi shtakiwa ama polisi kumshika ama kuhukumiwa
kesi kifungu gani??, haiwezekani maana selikali haiamini uchawi, alafu hawa wapo kwenye majuto, kwahiyo haiwezekani.
@@momadeatibo6729 Sawa kwa kunifahamisha
ila hawa jamaa wanakera sana!!!!!.
@@momadeatibo6729 si watamloga hata hakimu hawa ???
Da mungu tusaidie eee kimbe tunaonaga misb mwaka huu kaf mud kafa mwingine kumbe unauliwa na nduguuu mungu turehemu sana unamchezache sasa du
Alie sikia ucha ilishaanza kuninogea gonga like twende sawa omon 1🇹🇿🇴🇲
😂😂😂😂
Nmekuadd af umekausha tu
Wewe hutaki kuwa na cheo kama cha hassani
Hey guys
Duuuu! Mtu unaweza kusema kwa utani !! Mchawi nn kumbe unaenda kufanyiziwa kweli!
Duh wachawi jamani
Mh mbona me sielew mchawi akimchukua mtu si anamuweka kwanz mpk 40 ndio anakatwa ulim Hawa mbona wakiwachukua usiku wanawakata kabs🤔
Express hiyo 😀😀😀
Dooh hatar sana
Uchawi mwisho wake mbaya
Mumerauka leo wadau
Anataka kuwa kama hasani nakichwa chake kama sahani😂
😁😂
kumbe utumwa bado upo duniani
Jamani watu warauka😂😂😂
😂😂😂😂 zege hailali my friend
@@dorcaskidoti249 😂😂😂😂😂
@@hebronsdaughter1661 😝😝😝😝