Tatizo letu sisi wa africa hatutakagi kuwapa nafisi watoto wajieleze na kuwamini..kila kitu tunaonaga hawasemi kweli ni watoto. Japo watoto asilimia nyingi hawajuagi kumtungiaa mtu uongo wanasemaga yale walio yaona ama kuyaskiaa..wangemskiaga mapema yasinge wakuta .yalio wakutaa.✌🇳🇱🇳🇱
Kinachoniuma kila mara nikwa nini wanalazimisha mtoto mdogo kushiriki mambo ya ushirikina bila kuelewa hata kimachoendelea. Masomo na maisha ya mtoto inaharibika. Nahata akiwacha uchawi huwa ameshadhuru jamii. Makosa.
Kaz nzur kaka But ninaushaur mdogo kwako maana naona Kuna mda unaumia Ila unashindwa kujizuia Kwann usinunue ile stand ya mic 🎤 ili iweze kukufanya uwe free ktk mahojiano yako brother
Hini mtihani mzito sana,MUNGU anaeza kutanisha na mtu anashida,ini umsaidie,takapo mpita usimsaidie,siku ya mwisho MUNGU atakuku mbusha itakusababisha usingie mbinguni,ndo mana NENO LA MUNGU,linasema funikeni maisha yenu kwa DAMU YA YESU, kabla ujafanya chochote,tanguliza mungu kwa mambo yako yote,ANGALIA MUNGU ALIPO MTUMA MUSA,MUSA ALIMWAMBIA ENDA NAMI,SITOKI HAPA USIPOENDA NAMI,unaona kupitia hawa wazazi walio pokea huyu mtoto,wamesababisha akapona
Hiyo nimejifunza kitu kupata mtoto barabarani umpeleke kwako chunga sana, niliwahi Pata mtoto kazi I hotelini nilipokuwa nafanya mtoto mganda mwenye umri WA miaka 8 kumbe yule mtoto ni mwizi, wanajifanya Street children ukiwa peleka kwa nyumba Wanaiba wanatoroka
Je unasemaje kuhusu machungaji walokwenda nigeria kuchukua uchawi na kujifanya wanawatoa waumini majini. Na kuzidisha waumini kiuchawi. Hao unawaitaje? Ebu tuliza mshono tusikilize mkasa wa huyu jamaa usitutoa kwenye mada. Imefika au nizidishe volume
Sasa kama mashehe na waganga mbona huyo shehe alikuwa anatwaliwa na wachawi bila ya kujijua so acha fikra hizo ndugu yangu , mtu mchawi anaweza akawa ni mtu yeyote , Mimi mkristu lakin siwezi nikasema maneno hayo kwasababu hakuna mtu yeyote ajuaye yaliyo silini pa mtu
Point yangu hamjaielewa huyo shehe angejua uwezo wake mdogo angemtafutia shehe mwingine au angemruhu aende kwenye makinisa nasiyo kumpeleka kwa waganga tatizo mnachukulia hisia tu
@@butondodavid2105 huko kwa wachungaji wao ndio wamawatia majini waumini ili wawatoe mbele yenu muamini. Na nikisema hivi sio kama siamini ukristo hapana. Mm ni muislam ambae najua dini yangu na najua ukristo na naamini ni watu waloshushiwa kitabu kama waislam. Lkn kwenye uchungaji huu wa kutoa majini hapana. Kwani ukristo umekuja miaka hii? Mbona miaka ya zamani hatukuona haya mambo ya kutoa majini sijui kufufua wafu? Ina maana kuna wachungaji wa kweli na wako matapeli. Ni sawa na mashekhe wako wenye imani na wako wachawi na wazinifu pia. Hii ni nature ya binadamu. Sasa tusitukane na kukashifiana wakati wote cc ni binadamu na kila mmoja ana mapungugu na aibu zake. Mungu ndie anajua ukweli wetu
Tunamuomba Mungu atulinde na Mtihani Ya dunia amen 🙏
Amen 🙏🙏🙏
Hiii inatufundisha usipokee mgeni usiyemjua ukalala nae kwako jaman dunia ya sasa imebadilika mno Mungu atusaidie sana.
Kabsa
Hata unayemjua pia
kabisa
Yan sheik wa Allah anampeleka mgonjwa kwa mganga 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌waislam
Makubwa haya😂😂😂😂
Ndoapo wanapo nichoshaga😂😂😂😂🤣🤣🤣😁😁😁
@@roseuwambe8089 kina Nani?
Anaenda kutibiwa Hapana ubaya wowote
Davistar Thanks for the good work wachawi wako na kazi kweli
Pole sana wanayaona sasa KWA mwenyezi mungu
Tatizo letu sisi wa africa hatutakagi kuwapa nafisi watoto wajieleze na kuwamini..kila kitu tunaonaga hawasemi kweli ni watoto. Japo watoto asilimia nyingi hawajuagi kumtungiaa mtu uongo wanasemaga yale walio yaona ama kuyaskiaa..wangemskiaga mapema yasinge wakuta .yalio wakutaa.✌🇳🇱🇳🇱
kweli hio ndilo tatizo la waswahili wala si uwongo
Kinachoniuma kila mara nikwa nini wanalazimisha mtoto mdogo kushiriki mambo ya ushirikina bila kuelewa hata kimachoendelea. Masomo na maisha ya mtoto inaharibika. Nahata akiwacha uchawi huwa ameshadhuru jamii. Makosa.
Sio mbaya 77 naomba likes zenu jmani
🤣🤣
Leo mm wa kwanza naombeni like zenu
Pamoja sana Mr fact
Loooh Mungu awalaani wanga na wachawi wote
kila muda nakuja kuchungulia humu nakuta hola....hatimaye davista umefanya kweli
Thanks alot for the episode
Mchaw afadhilik pia watu weng wamepata mattzo sabbu ya wema wao plz ndg zng tuwe makn na binadam wenzetu japo cyo wote
Dah hiyo noma sana
Nakupata vizuri kutoka hapa Singapore
Nimekubali
Kk Davi, migomba ipo mikavu haina ndizi hapo😄😂😂😂
😂😂😂😂😂
@@hebronsdaughter1661 😄😂😂
Simulizi inasisimua sana.afadhali kaacha uchawi ila maskini baba yake sijui atakuwa na hali gani huko, baada ya bibi na shangazi kufariki.
Leo nimewai kinoma,nipeni like wa sita,DM mambo vip
Chukuwa
Poa sana
Poa 🤗
yan haw wachawi wataponza ht wenye matatizo kweli wasipokelew wl kusaidiwa jaman Kwan wachawi mna tatizo gn
Pamojaaaaaaaa
Pamoja sana
🙏✌️
Alivyobeuwa huyu dogo... davister km kashtuka hivi na harufu 😂😂
16:22 😂😂😂 Davista leo umeceka saaana
Safi kwa maamuzi
Pamoja saana
Ni vizuri ulitoka walaaniwe wachawi wato kwa yale wanayo wafanyia watu
Kaz nzur kaka
But ninaushaur mdogo kwako maana naona Kuna mda unaumia Ila unashindwa kujizuia
Kwann usinunue ile stand ya mic 🎤 ili iweze kukufanya uwe free ktk mahojiano yako brother
.. Wickedness...
Mungu atunusuru jaman🤔
Pat4 chap
Kuna kitu nmejifunza kikubwa mno TUACHE KUWASAIDIA WATU TUSIOWAJUA NA KUWALETA NYUMBANI
Hini mtihani mzito sana,MUNGU anaeza kutanisha na mtu anashida,ini umsaidie,takapo mpita usimsaidie,siku ya mwisho MUNGU atakuku mbusha itakusababisha usingie mbinguni,ndo mana NENO LA MUNGU,linasema funikeni maisha yenu kwa DAMU YA YESU, kabla ujafanya chochote,tanguliza mungu kwa mambo yako yote,ANGALIA MUNGU ALIPO MTUMA MUSA,MUSA ALIMWAMBIA ENDA NAMI,SITOKI HAPA USIPOENDA NAMI,unaona kupitia hawa wazazi walio pokea huyu mtoto,wamesababisha akapona
Nyumbani sitoenda ukinipa hela nitakula aiseee😄😂😂 hadi Davi kafurai
Davistar anavyocheka sasa 🤣🤣...cheko lake linaambukiza unajukuta na ww unacheka cheka tu😅😅🙌
Mmmmmmmmh
Wacha nicomments before ni watch 😂😂😂😂
Umeweza leo😄😄😄
@@farhadhassansaid1297 kujihami kwanza😂😂😂😂
Umeonaeeh
@@beatricekweka6683 eee ukisema wa watch ndio ucomments utajikuta wa mwisho
@@hebronsdaughter1661 kabisaa
Sio mbaya 29..nimechungulia hadi nimelala juu ya simu.😂😂😂
😂😂😂😂😂usinichekeshe eti umelala juu ya sim ndio ngoma ikiingia tu unaskia kama alarm 😂😂😂😂😂
@@hebronsdaughter1661 ndio maana nimekodoa macha TH-cam hadi yameuma
@@dorcaskidoti249 pole 😂😂😂
@@hebronsdaughter1661 nimepoa baada ya kupata prt3...uko my
My!
Kijana Mrudie tu mungu wako hakuna asilo liweza nakushukuru hukumtoa mamako
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli
Mmmh!
Mrudia Munguu wako mana umepitia mengi nyamazawatu kula loo
Hii wa kwanza wa mwisho sijui niliwahai ina faida gan mso kaa mukasikiza hadithi...
Bro kua Makin sana ama upikwe ju izo interviews zao Hao wtu.. wengine mitego
Leo mapema ila nimechelewa😊
Umejaribu
@@hebronsdaughter1661 umeona pia 😄
Nimefika
Mfalme wakichawi😂😂😂😂
Hiyo nimejifunza kitu kupata mtoto barabarani umpeleke kwako chunga sana, niliwahi Pata mtoto kazi I hotelini nilipokuwa nafanya mtoto mganda mwenye umri WA miaka 8 kumbe yule mtoto ni mwizi, wanajifanya Street children ukiwa peleka kwa nyumba Wanaiba wanatoroka
Duumtu kakusaidia tenauna muwangia nakumfanyisha kaziusiku wachawi hawana akilihata kidogo😔😔😪😪
Mh, hawa ma bibi hawa sio poa
Wachawi nao hawana haya looh yani umekaribishwa bado mnawachezea dooh
Dooh mmh
Huyu jamaa kweli Phd
Tuna walogaaaaaa 😂😂😂😂😂😂
Tunawalogaaaaaaa
Iv ni kwel shehe anaweza kufanyiwa ivo?..... au iman haba
Ongela sana na pole sana🙏🤲🙏
Mm napenda anavyoongea tu huyu mzee wa kuchapa watu bakola
Nimekuwa wa 9 najipongeza
Mim nasemaga mashehe na waganga lao moja
Je unasemaje kuhusu machungaji walokwenda nigeria kuchukua uchawi na kujifanya wanawatoa waumini majini. Na kuzidisha waumini kiuchawi. Hao unawaitaje? Ebu tuliza mshono tusikilize mkasa wa huyu jamaa usitutoa kwenye mada. Imefika au nizidishe volume
Wewe ulishawah kusikia mganga mkristo
Sasa kama mashehe na waganga mbona huyo shehe alikuwa anatwaliwa na wachawi bila ya kujijua so acha fikra hizo ndugu yangu , mtu mchawi anaweza akawa ni mtu yeyote , Mimi mkristu lakin siwezi nikasema maneno hayo kwasababu hakuna mtu yeyote ajuaye yaliyo silini pa mtu
Point yangu hamjaielewa huyo shehe angejua uwezo wake mdogo angemtafutia shehe mwingine au angemruhu aende kwenye makinisa nasiyo kumpeleka kwa waganga tatizo mnachukulia hisia tu
@@butondodavid2105 huko kwa wachungaji wao ndio wamawatia majini waumini ili wawatoe mbele yenu muamini. Na nikisema hivi sio kama siamini ukristo hapana. Mm ni muislam ambae najua dini yangu na najua ukristo na naamini ni watu waloshushiwa kitabu kama waislam. Lkn kwenye uchungaji huu wa kutoa majini hapana. Kwani ukristo umekuja miaka hii? Mbona miaka ya zamani hatukuona haya mambo ya kutoa majini sijui kufufua wafu? Ina maana kuna wachungaji wa kweli na wako matapeli. Ni sawa na mashekhe wako wenye imani na wako wachawi na wazinifu pia. Hii ni nature ya binadamu. Sasa tusitukane na kukashifiana wakati wote cc ni binadamu na kila mmoja ana mapungugu na aibu zake. Mungu ndie anajua ukweli wetu
Part 3 dah kila saa nilikuwa nachungulia yuotube jaman hatimae iyoooo
🙄🤔
Wakuchelewa
Kwani Mwalala Huku😂😂😂
Hahahaha et olewako useme!
Uchawi nibalaa
Wa 18 sio mbaya
🇹🇿🇴🇲
Kimbia fasta
🙄🙄🙄
wachelewaji tupo km kawaida davi...
Wachawi Mwapata Faida Gani😏😏😏😏🙄🙄🙄
Maostadhi wanabebwa na wachawi 😂😂😂😂😂alafu wanajifanya wananguvu
Huyo akuwa ustadh wala shehe ,huyo msimuliaji yeye ametaja tu majina aunt vyeo ata hivyo sikila kiongozi wa dini Ana nguvu ya kutambua wachai ,
@@gadafimasoud310 wala usipate tabu kumfahamisha huyo mimi mimi anataka kukera watu hana lake jambo. Kuna watu wanakuja hapa kukera watu
ovyoooo kwedraaaaaa🙄🙄🙄🙄
ni kweli wp wt wanakuj kuker wtu hp
Mambo ya ajabu kabisa,yaani Shekh anampeleka mchawi kwa mganga? Ngoja nikae kimya tu nisichafue hali ya hewa.
My!