la haula walaaquwata ila billahi. mtegemeeni mungu Allah. yeye ndio mwenye bingu na ardhi .mali iliyo kwenye ardhi hii .yote ni ya Allah. KIla mtu amuombe mungu utapata KIla kitu.
Hakuna utajiri mzr kama utajiri wa kupewa na mungu chakwanza hana mxharti cha pili yeye ndo mlinzi wa mali zako na wewe mwenyeo kikumbwa tumuche Allah ndo muwenza wa yote
Ally Idd Akizimana, kama hauamini hz story bac hauamini ktk Mungu wala dini kwani hakuna dini hisiyo tambua uchawi na hakuna anayemuamin Mungu na hacjue kuw hatui mkubwa ni shetani
Me wanavosema kuwa unafukiwa ndani ya kaburi, sasa what if akufukie huko alafu akiendoka afe kabla ajakutoa, au akienda asahau kurud😅😅😅😅😅😅 Watu wanajua kutake risk mweee!
Duuuu hayo masharti bn AI miaka tano duniani mara kidonda la tatu kafaraa yawatu hapo siungeua mana wataka utajiri hichokidondaa ndugu jamani tena huwa hakifungwii bnaweeee masharti zingine bn
Yani Ayo Nimakabuli Ya Mikoa Mingi Yaliozikwa Watu Maalufu Mikoa Yote Sio Kinondoni Tu Nimakabuli Waliozikwa Watu Maalufu Nasio Kinondoni Tu Kama Alivomwambia Kifupi
@@deelissa2746 Kwaivo Anaposema Makabuli Ya Watu Maalufu Tanzania Inamana Matajili Wa Tanzania Wamezikwa Apa Kinondoni Arusha Akuna Matajili Mwanza Mbea Dodoma Na Mikoa Mingine Wote Walizikwa Apa Kinondoni Akuna Sema Makabuli Yakiwa Njiani Nawe Kila Siku Unapta Apo Nilazima Yako Makabuli Au Kabuli Utakua Unalicheki Kila Siku Sasa Siku Usipoliona Unaweza Kupata Mstuko Na Kujaza Watu Kwa Mshaango Wa Kutokuliona Kabuli Na Ususha Makabuli Ya Apa Dar Au Seemu Yenye Makazi Ya Watu Jilani Wako Majilani Wataungana Nawewe Kwa Mshangao Wakutoliona Kabuli Apa Mjini Ususa Apa Dar Makabuli Mengine Ndo Kamba Za Makahaba Wauza K.Usiku Alafu Makabuli Yapotee Gafla Lazima Dar Ingekua Gumzo
la haula walaaquwata ila billahi. mtegemeeni mungu Allah. yeye ndio mwenye bingu na ardhi .mali iliyo kwenye ardhi hii .yote ni ya Allah. KIla mtu amuombe mungu utapata KIla kitu.
Mwambie Arudi Atubu na Ampokee Yesu Kristo kisha msaada atapata toka kwa Yesu na wandugu ktk Kristo Yesu tutamsaidia
michezo hiyo ya mashetani davista masha ALLAH uko makini namwenye kuhojiwa iko makini.
From Taiwan 🇹🇼🇹🇼🇨🇳🇹🇿🇹🇿
Hakuna utajiri mzr kama utajiri wa kupewa na mungu chakwanza hana mxharti cha pili yeye ndo mlinzi wa mali zako na wewe mwenyeo kikumbwa tumuche Allah ndo muwenza wa yote
Naam
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Mr DM naona leo huna kaz kuubwa, jamaa amekupunguzia kaz ya kuulza ulza maswali. Anajua kusimulia hatua kw hatua.
Njoeni kumekucha uku🔥🔥
Tupo
Sawa mwanachama
Tupo
🤝🤝🤝
Ndo naamka Sasa hivi
Dah dogo amepitia makubwa, mie Alhamdulillah, stori za hapa napendaga kusikiliza tu, lakini huwa siamini kabisa kama yapo
Ausio kwaiyo uongo au?
Ally Idd Akizimana, kama hauamini hz story bac hauamini ktk Mungu wala dini kwani hakuna dini hisiyo tambua uchawi na hakuna anayemuamin Mungu na hacjue kuw hatui mkubwa ni shetani
Shuda yoote ya nini?. Huo utajiri tuuu.Pole Sanaa.
Namba one
Hongera
Aiseee ulale na maiti
Wa kwanza 🎊🎉🎉🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎊🎊🎊
Hongera
@@fatmamucha4419 asante
@@sweetie6934 😂😂😂😂😂
@@sweetie6934 😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu uwiiiiiii😂😂😂😂😂😂
Hongera kipenzi😍😍
Subhanah Allah, makaburi kuhamishwa balaa hii hawa watu kufanya mazinga umbwe hivi hujuwa kama kesho atakuja kufa na atakuja mjibu nn Mola wake
huo uchawi huo kapelekwa kuzimu huyo
Vijana wetu Mungu awasaindie muweze kumtegea yeye
Davistar mbana unatuchangaya bro ile pisi kali yako story yake imeixha
Neema unamwandama davista aisee 😂😂😂😂 toka janaa
@@Teacher_01 haya nimeacha
Wew umekaa kwenye kaburi buree, umeishia kupata mikosi... Pole
Unahagaika kutafuta مال za dunia unapata unakufa unaziacha.. Turudini kwa Allah turidhike na umasikini wetu Kheir kidg kuliko kikumbwa
Du jamani maisha haya 🤔🤔🤔
Duh tutasikia mengi Kumbe kwenye hii dunia kuna mambo ya atar aseee
Chuma ulete hina maanisha nini ? jmn watanzani mna Kiswahili kirefu sana ❤️❤️❤️
yan tafuta pesa uilete ndiyo maana yake 🤝🤝
Cape town tuna enjoy good history
SUBHANNA LLAHA...
Hatarii
Me wanavosema kuwa unafukiwa ndani ya kaburi, sasa what if akufukie huko alafu akiendoka afe kabla ajakutoa, au akienda asahau kurud😅😅😅😅😅😅
Watu wanajua kutake risk mweee!
😂😂😂ni huzun kwa kweli
Ujumbe wa, asubuhi bandugu tufanye kazi kwa bidiii utajili auji km unakuvywa maji
kabsa
@@ayshamahariq6665 nikweli kabisa
Safi Sana kujituma nayo Niko number 78. 💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kwa Mara ya Kwanza niko na mgeni kutoka Simgifa
Aysha. Hamad. Khulood. Fatma. Kawthar. Sapna. Aiyam. Nguwalo. Jirani. Somoe. Griezmann. Amina. Najma. Kevarist. Kassim. Zuchu. Hushaby. Salim. Blessed. Zabiya. Fm morn. Njooni. 🎈🎈🎈🎈🎉🎊🎊🎊🎊🎈🎈🎈
@@sweetie6934 karibu kipenzi 😍😍😍😘😘
@@sweetie6934 pamoja sana wangu😍😍😍😍
@@sweetie6934 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu uwiiiii.
@@sweetie6934 sipajuwi. Ila mie juzi nimekumbuka mapupu na bandama. Nilikuwa napenda bandama hatari. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@sweetie6934 karibuu😍😍😍😍😘😘😘
Nitazidi kumtumanini Mungu aliyeniumba. Alijua kiwango cha kipato changu kabla nizaliwe. Mambo na ushirikina NO.
Njoo huku davistar kutuletea mambo yetu
Nimefika pamoja sana
Acha kabisa
Eti tulizamilisha sana😂😂😂😂tulilazimisha ee. Mbona muoga nawe unataka pesa za mteremko
Nenda ktk maombi ushafungua milango ya kuzimu kaka tena umelala kaburini...bila kufunga milango ya kuzimu Utofanikiwa
good job 🇨🇩🇨🇩❤️
Dah! Pole sana dogo mungu akujalie dv weka namba yake
Woi 😢😢😢😢😢 I better die poor
Hela hizi dah.. Xem ya duniaa tyu ukifa uyaoni wala nini
Waganga wote wakuda wapuuuuzi wa maadili😎😎😎😎
Oyoooooooo Kama kawa wa 2 Leo na nitaota usiku Ku cha😂😂
Hongera
Asante mwali wangu🤣🤣🤣🤣
Pole sana kk
Leta story ya yulee dada bhanaa😛😛😛😛 et wadau mnasemajee
Amlete tu 😏😏😜😜😜
Waziiiìii
Yapuuu
Hayo masharti hamna afadhali kk
Duuuu hayo masharti bn AI miaka tano duniani mara kidonda la tatu kafaraa yawatu hapo siungeua mana wataka utajiri hichokidondaa ndugu jamani tena huwa hakifungwii bnaweeee masharti zingine bn
Mungu akuponye
Mung akuongoze Kaka atakusaidia kl hatua dua
Hatr snaaaa
Ila hii story inatisha 😅😅😅
Bola nife masikini kuliko kufuata utajiri wakichaw alafu mwisho wa siku narud tena kwenye umasikini kama zamani tena zaidi ya mwanzoni 😥😥
Davistar yu makini sana,
Duuu makaburi yanahamishwaaa🤦🏻♂️🤦🏻♂️🤦🏻♂️🤦🏻♂️huyo mganga sio kidogo tena yawatu maarufu hao walixikwaa nasanduku za mamilioni
Anatia imani kweli
😥
😂🤣🤣🤣 kk Davi wadaisha watu wasaidie iende yote sio🤣🤣🤣🤣
hiii kal 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@ayshamahariq6665 kabisaa
Mchagaaaa ukanasaaa Haha wafikiria kila duka liko tuu
Watu wengine wanamioyo migumu loh
Me swala la kuona makabur ni hapo r.i.p mtafuta pesa za kichaw😂
Duuuuuuh MUNGU WANGU MUNGU WANGU NIANGALIE MJA WAKO NISOFIKE HATUA YA KUKIFULU 😭HAKIKA INATISHA
Ndio maana Mungu akisema Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko TAJIRI kuingia ufalme wa mbinguni
Hamchelewi
Daah!huyu mvulana kiboko..yaan anakubal kuzikwa kabisa na maiti juu..je mganga asingekuja kumtoa??iyo ni big noooo
Kulala makaburini simchezo tena uko hai utajiri zingine bn nomaa
Chapa nembo Davistar Nakubal
Amen
Kwan Watu wenye mikasa kama huu unawapataga wap DM
😂😂😂😂
aende msikitini akamuombe mungu wake.
Pamoja saana mzee baba🙄🙄🙄
Mbona kama kwa marasta 😂😂
Da mambo ni moto Davistas mtu makini oyeeee
Kumekucha alhamdulillah
🙏🙏🙏🤗🤗
Alhamdulillah 🤝🤝😍😍
Alhamdulillah rabil alamiin
Stor nzur
🤣🤣🤣 kk Davi eti wajuwa jamaa katuma mtoto sio
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuliko kupotelea kwa waganga weka number tukuchangie kaka
Flowing
Dah ....utajiri huo 😳
Baada ya kipigo ukaacha chuma ulete 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Inaogopesha lakini😭😭😥
Kaz inaendelea mchizi aliekuwa anaendesh baiskeli uchi karudi huku
Huyu jamaaa nimecheka mpka bc mchizi noma....!!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huku Akiogaa nakuchezaa uchii
Yaani hunishindi mm nilicheka anakatika mauno
@@sapnaabdallah1084 htr xna
Watu mnalala humu nini mi wa sekunde 16
Mganga wa kwel anakueleza shida sio wewe unaanza kumuambia shida bora huyo kuliko yule wa zablon
Wavijana awache uzembe kwua nini huweke maktaba na mashaitani? kwua shida ya kidonda, kaf m kuishi
Heheeeee tangazo linanifrahisha wote michepuko 🤣🤣🤣
kabsa kipenzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
tsha sana kipenzi Hongera 😍😍😍😍
@@ayshamahariq6665 ahsante
😘😘siku hizi tunapewa dozi Kutwa Mara ngapi?
@@sapnaabdallah1084 karbu kipenzi 😍😍 🤝🤝 tunapewa doz nanan wngu??
Uyu Alikua Muoga Sana Unatakiwa Uwe Jasili Usio Na Of Hata Kichembe Fanya Kama Igizo
Duuh watu wako fasta saanaaaaa
Wa kwanza leo
Hongera
@@fatmamucha4419 hahahaaaaa
Ndo maana hela hazikai chuma leta wapo
Yani Ayo Nimakabuli Ya Mikoa Mingi Yaliozikwa Watu Maalufu Mikoa Yote Sio Kinondoni Tu Nimakabuli Waliozikwa Watu Maalufu Nasio Kinondoni Tu Kama Alivomwambia Kifupi
We ndio ujaelewa
@@deelissa2746 Kwaivo Anaposema Makabuli Ya Watu Maalufu Tanzania Inamana Matajili Wa Tanzania Wamezikwa Apa Kinondoni Arusha Akuna Matajili Mwanza Mbea Dodoma Na Mikoa Mingine Wote Walizikwa Apa Kinondoni Akuna Sema Makabuli Yakiwa Njiani Nawe Kila Siku Unapta Apo Nilazima Yako Makabuli Au Kabuli Utakua Unalicheki Kila Siku Sasa Siku Usipoliona Unaweza Kupata Mstuko Na Kujaza Watu Kwa Mshaango Wa Kutokuliona Kabuli Na Ususha Makabuli Ya Apa Dar Au Seemu Yenye Makazi Ya Watu Jilani Wako Majilani Wataungana Nawewe Kwa Mshangao Wakutoliona Kabuli Apa Mjini Ususa Apa Dar Makabuli Mengine Ndo Kamba Za Makahaba Wauza K.Usiku Alafu Makabuli Yapotee Gafla Lazima Dar Ingekua Gumzo
@@awadhrajab9527 we kabila gn,alf jifunze kujiongeza na kuelewa😂
@@awadhrajab9527 iyo comment sijaisom maan ni ndefu Alf najua sitaielewa pia,😂
Alhamdulillah w mwishoo😭😭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Pole my
@@fatmaalrshdii7615 Asante kipenzi 😍😍😍😍
@@fatmaalrshdii7615 Za asubui
@@ayshamahariq6665 nashukuru Mungu mimi mzima wa afya njema
Ayshaaa!
Wewe wa wa-2 kutoka mwisho, mie wa kwanza.
Ila umekuwa adimu jmni! Pokea 😘😘
Duu, afadhali hukurudi, maana ungerudi SAA hizi tungekua tunaongea mengine....
Kwa mfano mganga akafa kabla ya kukufukua.
Itakuwa ndo imetoka
Inakula kwake😀
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
🙄🙄🙄🙄😔😔😔😔😔😔😔😔
@@dorcaskidoti249 kwema
@@fatmaalrshdii7615 kdg naumwa mimi kwa ajili ya kaka yako, vipi ww my uko poa??😔😔😔😔😔
@@dorcaskidoti249 jamani pole Mimi niko Poa
@@fatmaalrshdii7615 mbona hujanitafuta jana nilikupa number zangu?😥😥😥😥 kaka mtu hanipendi na dada mtu nae ivoivo😥😥😥😥😥😥😥😥😥😔😔
🇰🇪💬💪
😘😘😘😘😋😋😋💪💪
😱😱😱
😪😪😱😱😱😱
Sasa ikitokea babu huku nyuma kafa na wewe upo ndani ya kabuli aise
🤣🤣🤣🤣 ndo bas tena
Hatariii