Ahsantee sana shkhe othuman maalmu Allah akulipe ujira uliokua juu zaidi kutokana na daawa unayoitoa kwa ummaty w mtume Muhammad ( S.a.w) ,,namuomba Allah akupe umri mrefu wenye mafankio inshallah uzidi kuitangaza kalma yake Allah (s.w)
Masha allah sheh Othman Maalim. May the almighty allah protect you sheh and all brothers and sisters in faith. Actually I thank you for your time to translate the holy Q'uran sheh. From Mozambique - Nampula.
السلام عليكم ورحمة لله وبركاته Natamani mashekh wazanzibar watengeneze darsa za tafsiri Qur'an sura kwa sura na Aeleze maana ya maneno yafahamike Kama wanavyofanya nchi nyengine za kiislaam tele Bil-asaf tunavyuo vya Qur'an vingi kuliko school zaserikali lakini Qur'an inasomeshwa kwa kuratili tu hata watoto wanaohifadhi ukiwaauliza maana ya walichokihifadhi hawakijui Nihasara kuhifadhi kitu usichokijuua maana yake na inapelekea kutokufanyia kazi ulichokihifadhi na kukisahau mara tu unapokiiacha kukipitia Ndio maana pia wanahifadhi halafu wakiwa wakubwa utawasikia *ilikuwa nimehifadhi juzuu kadha lakini nishazisahau* Hili linatakiwa lishughulikiwe ili tuelimike kwa haki ya kukifanyia kazi na isiwe hoja siku ya Malipo السلام الله عليكم
Mwenyezimungu akupe mwisho mwema Sheikh Othman,na uzidi kutupa burudani(amin)
Asanteni sana koo mzima ya ktv tz online kwakutuletea vipindi hivi vizuri na vilivo muhimu kwetu shukrani ktv tz online hakika hii ni Fahari yetu 👍
Mashaallah sheikh wetu my Allah akjaalie umri mrefu grant you jannatu naeem uzidi ktufunza maalim.
Mwenyezi Mungu akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha insha'Allah .
Sheik wetu aki tunakupenda Sana kwa ajili ya Allah Allah akupe ilmu zaidi na afia na nguvu uzidi kutulingania ameen
Amen
Yani utaona watu weeengi wana comment mambo ya liyokua ayana maana alafu vitu Kama ivi wana acha cucoment shekh Allah akulipe Kira la kheri
Ahsantee sana shkhe othuman maalmu Allah akulipe ujira uliokua juu zaidi kutokana na daawa unayoitoa kwa ummaty w mtume Muhammad ( S.a.w) ,,namuomba Allah akupe umri mrefu wenye mafankio inshallah uzidi kuitangaza kalma yake Allah (s.w)
Masha Allah
Kheri nyingi ziwe kwako sheikh wetu
Mwenyezi Mungu akupe Umri sheikh wetu. Uzidi kutupa elimu.
MASHA ALLAH. SH. othman maalim.
Masha allah sheh Othman Maalim. May the almighty allah protect you sheh and all brothers and sisters in faith. Actually I thank you for your time to translate the holy Q'uran sheh.
From Mozambique - Nampula.
Barakllahu fiik
Tutakuaa kilasasiku tunarudiaa sualaa mojaa tuu hatusogii mbeelee nisawa tu wachatuogeze imani plz sijui umenielewa
Jazaka allah kheri
السلام عليكم ورحمة لله وبركاته
Natamani mashekh wazanzibar watengeneze darsa za tafsiri Qur'an sura kwa sura na Aeleze maana ya maneno yafahamike
Kama wanavyofanya nchi nyengine za kiislaam tele
Bil-asaf tunavyuo vya Qur'an vingi kuliko school zaserikali lakini Qur'an inasomeshwa kwa kuratili tu hata watoto wanaohifadhi ukiwaauliza maana ya walichokihifadhi hawakijui
Nihasara kuhifadhi kitu usichokijuua maana yake na inapelekea kutokufanyia kazi ulichokihifadhi na kukisahau mara tu unapokiiacha kukipitia
Ndio maana pia wanahifadhi halafu wakiwa wakubwa utawasikia *ilikuwa nimehifadhi juzuu kadha lakini nishazisahau*
Hili linatakiwa lishughulikiwe ili tuelimike kwa haki ya kukifanyia kazi na isiwe hoja siku ya Malipo
السلام الله عليكم
Shukran wajazaka llahu heri
Djazaakumullahu khayran
Kamaa zahazii alitoiii nangaaa
mashallah
Kulaaa sikuuu unapenaa alassmaa ya mashuaaa husikaa tena kesho unajuaa nyegine basi nisawaa wachas nisubri
Shekh muulizee mzee hapo chini mim nilivo nilikua jirani yakee shekh nasoro khami
Naombeni namba ya shekh othmani malim
Allahu Akbar
Nzuri sana
Sheke sudsi