Tunakuelewa sana brother manyanya.. yaani ww ni zaidi ya mwalimu na unatufundisha mengi na hata jinsi ya kuwasifu wanawake zetu maana wanastaili kusifiwa every day... Na wao wafurahi. Tujitahid wanaume... Kama unaamin gonga like 👍 Yako tujuane...
Kaz nzur sana kaka mungu akubaliki sana na muendelee kutuletea Kaz nzur Kila siku nataman hata ingekuwa inatoka Kila siku maana haichoshi ukiwa unaangalia unataman isiishe
Jamani, daktari napenda mistari zako, ivi mwandishi wa script huwa anapanga maneno vile huwa unapanga nashuku😂...kazi nzuri manyanya, unafanya Vai anaanza kufall in love❤❤
Ila manyanya maneno yko kuntu,, wanaume wanapenda sna mwanamke acmzoee akajiachia..awe different kila cku n that's my husband also😂😂😂yaani km manyanya2 na anakuchana live ukizingua😂😂😅
Wangapi tunaamini kwamba manyanya atakuja kuwa muigizaji bora tanzania
Anawez ila anashind moja tu anakaw kutup série nyingin djamen kicheche yup
He is already. NI SUALA la Mda tuu
Nipo😂
Kwan hapo alipo Bado
Yeah mshikaj atafik mbal san
Wa 10 Leo naomba like zangu na wakubali Sana team manyanya mko vizuri ❤❤❤ from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩💥💥🌟💥
Tunakuelewa sana brother manyanya.. yaani ww ni zaidi ya mwalimu na unatufundisha mengi na hata jinsi ya kuwasifu wanawake zetu maana wanastaili kusifiwa every day... Na wao wafurahi. Tujitahid wanaume... Kama unaamin gonga like 👍 Yako tujuane...
Manyanya na vaileth mnajua paka mnakela na wapenda Sana ❤❤❤ from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩💥🎉🎉
Mungu awape afya njema waigizaji wote kweny hii season 🙏🙏
Congratulations my brother manyanya na dada angu vai na team nzima ya bichwa production
Mulevi na mke wake🎉🎉🎉🎉mauwa yenyu kutoka Zambia
Hila manyanya unasauti fulani hivi romantic ❤🥰
❤❤❤❤
Manyanya
Yupo romantic sana jaman dah manyanya
@@MwajumaSaid-dk3pe napenda ayo mashairi yake🥰
@@IreneIsambi yani hatali
Huyu mwanaume wa Vai yupo romantic xana nataman angekuwa wang❤
Sasa hayo si maigizo tu ukute kwa mkewe hayupo hivyo
😂😂😂😂@@MussaRasul
😂😂😂😂😂😂 kweli
Ushaanza kutaman vya kwenye movie kamuulize mwanamke wake anaishije nae
😂😂😂poleee
Japo sijui likes zinasaidia nini😂lakini naombeni🤗nimewaii
😂😂Ata mimi😅sijuwi
Wangapi atujui like zinasaidia nini kama mimi?
Acha tukupee tu sijui ni nini pia😂😂
Nakupenda sana sana jaman hii movie ❤❤🎉🎉
Kama unamkubali manyanya kwa mambo anayoyafanya na camera man chuga gonna like ❤❤
Eee namukubar saaana❤❤
K
Lo
Manyanya naomb utupunguzie kingereza😂😂😂😂😂wengn hatuelew...
😂😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂
Kaz nzur sana kaka mungu akubaliki sana na muendelee kutuletea Kaz nzur Kila siku nataman hata ingekuwa inatoka Kila siku maana haichoshi ukiwa unaangalia unataman isiishe
Waaa mm ndio wa kwanza kutazama hii video naomba like zangu nipo Mombasa kenya
Wa kwanzaaaaaaa
Nimewah Leo jmn wa kwanza
Wa Kwanza Leo from Doha Qatar 🇶🇦🇶🇦🇰🇪
mwanamke jiongeze udugu...utagongewa na sio mlango😂😂
Surely Mr manyanya big up sana, ila mke wa mudi mmmmm kazi unayo😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa manyanya daah aiseeh ananiacha hoi🥱🥱🥱
Mimi hapa wakwanza
Jaman Manyanya ni Mtu Muhimu Kwa Wanao Mkubali Naomba Like Zenu Manyanya Big Up...
Wa congo mpo🔙
Mimi wa kwanza Congo RDC 2pac DEPADU DRC
NISHATIA MIGUU KITAMBO 2
Hivi hizo like mnazo ombaga zinakazi gani,,? Namm naombeni hata chache tu nione kazi yake
Du leo wa kwanza
Nimekuwa wakwaza
Love from Kenya.🇰🇪 Likes Zangu
Iyi kali sanaaa❤
Natamani manyanya awe na matrida❤❤❤ wafarijiane maana kila mmoja wao anamajanga ya mapenz
Wa kwanza mkenya hapa. Dunia tunasonga, haki kazi nzuri na nawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Manyanya ok vzr sana ,unatafute mbinu za kumrejesha vai ktk uhalisia wa ndoa.
Lkn pia nampenda mke wa moud ,anaonyesha uhalisia wa upendo
Mtumishi wa mungu hongeta sana ,kama lilivyo jina lako IMAN ,,, Imani yako imekuponya.matlida anafaa kuolewa na manyanya
Namkubali sana bro Manyanya wewe Mimi nakupa nafasi ya kwanza unajuwa kupangilia mv KBs
Mimi wa kwanza kama una mukubali manyanya gonga like asante❤❤
Jamani, daktari napenda mistari zako, ivi mwandishi wa script huwa anapanga maneno vile huwa unapanga nashuku😂...kazi nzuri manyanya, unafanya Vai anaanza kufall in love❤❤
Movie nzuli sana aiseeee Mungu awaongezee nguvu mzidi kuelimisha jamii
Nakubali sana brother Manyanya, salute sana kwa movie hii, itapendeza zaidi Manyanya aanzishe mahusiano na Maty ili Vai ajifunze, so kwa miyeyusho hii
Amo muito o vosso trabalho, sucesso sempre 🎉❤
Good job jamaa nawapenda sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naomba like mimi
Iii movi mme tisha san weken at vipande vi wili nzuli ina funza maisha mengin ya uha lisiq
Nimekua wa kwanz leo naombeni lik zen
Manyanya chukua sindi uyu ni mkemwema mashaaAllah anavumilia shida japo mudi mweu😂
Matrida na Manyanya msije tumiza vichwa,maana ngoma itazdi kua tam,mwandishi hongera tena
Matlida kapata mponyaji 😂😂manyanya jipe amani apoooo❤❤❤
Manyanya yupo romantic uyu mkaka,,,ananivuruga walah❤
Ivi huyu MANYANYA ni mbongo kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila Vay na Manyanya wataja kuwa waigizaji bora kama Kanumba na Elizabeth Michael..Kubali kataa Like🎉
Ila huyu dada mzuri nampenda sana dada ake mke wa mudi
Sema via ni kisanga anajua kuigiza tena ni mzuuuuuuriiii
Wangapi huwa mnasifiwaga km vai
Naipenda sana ndoa ya mudi😅😅😅 dá wanapendana sana
Mimi wa kwanja munipe like zanguuu❤
Msumbiji 🔥🔥 🇲🇿 movie tumeipokea kwa mikono miwili
Hiii kweli DUNIA😢😢😢
Manyanya unaupiga mwingi sema unatumia sana kingereza ni,, kweli tunakuelew lakin nataman tukuze kiswahili chetu kama wakorea na wachina
Mnachelewa saaaaaaaana kutupa wallah sio vizuli basi siku mbili mtupe apana mpaka week😢😢😢😢😢😢
Wangapi tunaamini kwamba manyanya atakuja kumpenda Mathilde gonga like hapa🎉🎉🎉🎉🎉
Likolo vraiment 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mm apa wakwanza leo like npeni jamai
Kak manyanya honger kaz nzuri San nakubar San brother ❤❤❤❤
Mungu aku ongoze kwenye kazi zako una jua brother
Brother unajua kupangilia maneno hongera sana mume wa vai
Manyanya's very complete actor ✌✌✌
Kujituma ndosili ya mafanikio
Wakwanza kutoka serengeti national park gonga likes apo😂😂😂😂😂😂 leo nmewahi
Mudi jmn mkeo anakupanda Sana maana anaangaika na Mlevi chapombe we Uogopi😂😂😂😂
WAp mleviii unatumia vizur uhusika wako 😊😊😊❤❤
weka like hpo we unaeachwa had chachi boy kwel😢😢😢
Uyo mke wa manyanya jaman uwiiii hapendekiiiii, hy next pleaz
Twendelee vivyo hivyo naipenda dunia❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakwaza kutoka Oman 🇴🇲
One way nawafaatilia sana Kila hatua Dua💪🏾❤️🇹🇿🎭
I Like this film,This Love is From Burundi 🇧🇮
Matrida hongera sana kazi nzr,
Inaniumiza sana situation anayopitia Matilda kwakweli it look like real
Wanaokubali uhusika wa MATILDA na anayoyapitia ktk mahusiano..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukistaajabu ya Musa utayaona ya mudi waaaH
Wasema😂😂
Manyanya umejua kotongoza 😂😂😂❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Aki napenda hii family y mody I wish ingekua wanaishi wote kiuhalisia ise wameendana sana😅😅😅😅😅😅😅😅 18:38
Nawapenda sana toka🇲🇼🇲🇼🇲🇼
Mwanamke waivyo Asubuhi 2 namuacha
Wakwnza mimi naomb like zangu hapa❤
Achen kua mnatupa série mnakawa
Djamen
Kicheche yup
Wangapi tunaamini matilindq ndo ashapata mme hapo ...na huyo mke wa huyo kijana atajuta mda sio mrefu
Manyanya saut yako tyu na vile unaongea kingereza Maashallah
Kiukweli dunia inafunza bila kalamu wala kalatasi duuh😢😢
Nafwata tango part1 hamujakoseya...nikama reality
i proud of this movie walai ❤❤❤💪💪🔥🔥🔥
Mudi pamoja na mkewe bananiuwa kiukweli 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Tupo angaliya serie zote, Angola 🇦🇴🇦🇴🇦🇴🇦🇴 wotching
Unae soma comment Hii japo kuwa sikujui mungu akubariki sana 🙏🙏
Amin
Ila manyanya maneno yko kuntu,, wanaume wanapenda sna mwanamke acmzoee akajiachia..awe different kila cku n that's my husband also😂😂😂yaani km manyanya2 na anakuchana live ukizingua😂😂😅
Manyanya unajua san nakubali movies zake 🎉🎉🎉
Mimi naomba titre ya hii wimbo tafadhali
Sema penzi la muddy 😂😂😂😂😂😂😂
Mko vizuli sana ila kanji na mkewe wananifurahisha sana 😂😂😂😂🇹🇿
Kutoka burundi nawapenda sana