Assalam alaikum ndugu zang bwana yesu asifiwe wakubwa shkamoni wadogo muhali gani kila atakae soma hii comment Allah amjaalie aweze kuvuka mwaka salama na amjaalie aweze kupata hitaji la Moyo wake 🤲🌺🙏🌹💝💝🥀💕🤲🥀🌺❤️🙏👀🤲🥀🤲🥀🌺🤲🤲🤲🤲🤲
Malizieni zote watoto huku wameipenda hii season. Muda si mrefu wanafungua shule wengine wanaishi boarding. Kwahiyo wapeni Raha kabla hawajafungua wamebakiza siku chache sana🙏
Nailla na queen mnanivunja mbavu nakucheka nawakubali sana nawapenda sana mgu aendeleye kuwalinda ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yaani mzee likoma badala ya a bed eti Abedi ,nayla na queen wanajua mbinu za kivita nimeipenda hiyo kp hongera xana
Hongela😂😂
Hongereeni sana watto Kwa kutupa burudani nzuri,maua yenu hayo❤❤❤❤❤❤❤❤
Likizo hii jamani imetuletea kitu kinzuri KP hongera sana kaka kwakutu letea hii movie nzuri ❤❤❤🎉🎉🎉
Hahahaahahahahah wewe unapenda mbili mbiliii😂😂😂😂😂😂
🤭🤭 vinaumbua😂
Ni kweli 😂😂😂😂😂😂💔
😂😂😂😂😂 Mbavu zangu, Hawa watoi wako 🔥🔥🔥🔥🔥pokeani maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🌹🌹
Baada ya kusumbua sana naira na mwenzake hatimae wamekubali kuingia kazini kwa mara nyingine kazi nzuriiiii.....may allah blessing 🙌
Hivi hawa ni watoto wake nn?
Mtoto wake ni naira@@GeorgeAkasha-zx2rj
Mmoja wake na mwingine nahis ndugu yake likoma ila naila wa kp na zebuu@@GeorgeAkasha-zx2rj
Naira wake na queen ni likoma@@GeorgeAkasha-zx2rj
❤
😅😅😅😅😅aiseee hii movie nzur sn watoto wananogesha
Watoto wanaweza kweli ❤❤❤❤❤😂😂😂😂na Babu yenu mko moto kewli
Kama munafanya movie Kali...Ila iyi bwana 🤣🤣🤣🤣🤣kali kweli naipenda saaaana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂😂😂😂 hawa watoto 🔥🔥 kama wa Yanga 5G💚💛
😂😂😂😂😂
@@ElizaLeonad🤣🤣🤣
Kuna nayla na queenie ni balaa😂😂
2
3
Ninacheka jamani 😂😂😊😊 halafu ipo part 02
Yeaah❤😂
Hiki kipaji cha hawa watt mungu akizudishie🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kumekuchaaaa nimekumbuka Ancle jj na wanae nahiyo pandaa😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤ awawatoto nakosa chakusema mungu awalinde sana
😅😅😅 Hawa watoto kiboko hongera sana🎉🎉🎉🎉
Asee watot nime❤❤ bure kaz nzur sana kp na zebuu laz zebuu nzur sana😂😂
duuuuuuuuh kp umetisha san baba n hao watot nayla na queen mupewx maua yenu❤❤🎉🎉🎉🎉
Anae mkubali kp na hao watot gonga like
😅😅😅😅😅😅😅jamani watoto wangu munanifrahisha kwelii mfundisheni adabu huyo 😅😅😅😅
Jaman muwekee kila siku tunaenjoy mko vizuri sana
Mashaaallah mungu awabaliki wakina Queen nailya na kp
Kama ww unatazama ukiwa kitandan weka like hapa
Nikiwa naoga
😂😂😂
Hello
Ulijuaje😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉
Aki awa watoto Mungu awalinde mkue zaidi na zaid❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉mauwa yenu jmn
Jamn me na wapenda Sana haw watt ❤❤❤❤🎉🎉🎉 allah awap maisha mema na wamalize mwk salama
Ilaaa huyu Queen kachangamkaa balaaaaa😂❤❤❤❤❤
Huyu Queen mkubwa kidogo huyo Naiyla hata mwili wa uchanga haujamwisha
😂😂😂😂Punguzakamdomo naongezamwaka wamapumzikokamakizazindo iki nawapendaburemie❤❤❤
😂😂😂😂😂Yan nimefurai kuion ten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂
Yani mbio zote umeshindwa pakujificha😂😂😂na mlango ujafunga mashuzi juu 😂😂😂😂
Jamani kazi nzuri ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉nawapenda hawa watoto
😂😂😂😂😂😂😂 kingereza nikazi babu likoma na wajuku wake 😅😅😅
Wow ahsantee tuliosubiri kwa hamu saana tujuane kwa ku like
Hongeren sana jamani Mungu awaongoze kwa kazi nzuri ❤❤❤
Siwezi ishi bila zebuu😂tumuone zebuu plz myself i missed her❤
Nilikutana nae ana mimba kubwa Naona ataigiza akishajifungua
Kivumbi na jasho leo mbavu zangu😂😂😂😂😂😂❤❤🎉🎉 dar najikuta nacheka kwanguvu zote
Ao watoto nihatar Sanaa wapewe mauwa yao❤🥰💪🇸🇦👌🇧🇮💯😊
Mzee likoma na utajiri duh 😂😂😂af kp na minyambo koma 🫵😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
nakubali kaka kazi nzuri ila naira ni moto sanaaa
Kaz nzr vitt vyang😂😂💕💕
❤ni kiboko ya movie kweli😂😂❤
haki hawa watotot wanakufaa kp daaah inanoga mnooo HAPPY NEW YEAR KP NA ZEBU
😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤ nawapendasana watoto awa niimefurai sanakwavipanji
Yaan aliyetunga hii stori amenigusa sana big up ❤
😂😂😂😂😂 uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ntakufa na kicheko mie siyo kwa how are you hiyo😂😂😂😂😂😂😂😂
Nayla kafanana na kp queen kafanana na zebuu 😂😂😂kama wa kwao file
Mambo ya utajiri ndio anayopenda mzee Likoma 😂😂😂😂
Ila nailla na queen mnaivunja mbavu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂
Kp punguza kujamba😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kali kama pasi😂😂😂😂 watoto wa 2024 dio hawo 🎉🎉
Hi move ni noma chukueni mauwa yanu❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ila kubwa jinga likanasa alafu kofia ka muuza utumbo😂😂😂 duh 🙌 ...my girls 🎉🎉🎉
Queen na naila mnanivunja mbavu vyivyi watoto ❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
na mimi naomba like zangu wa 21 please please please please please please please please please please please musinivunje moyo jamani 💔
😂😂yani hivi vitt dah❤❤
Courage Nawapenda san ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Naona mabinti zangu washashiba ice cream 🎉🎉masha Allah Allah awalinde na shari za watu na majini In sha Allah ❤❤
Assalam alaikum ndugu zang bwana yesu asifiwe wakubwa shkamoni wadogo muhali gani kila atakae soma hii comment Allah amjaalie aweze kuvuka mwaka salama na amjaalie aweze kupata hitaji la Moyo wake 🤲🌺🙏🌹💝💝🥀💕🤲🥀🌺❤️🙏👀🤲🥀🤲🥀🌺🤲🤲🤲🤲🤲
Amen 🙏 ❤❤❤❤
Ameen
Allahum amin
😂 kumbe kuna mbini mpya ya kutafuta like na hamsemi 😂 HII NDIO DUNIA BWANA Oo Oo Oo, Oo Oo Ooo 🎉 Yaliyopita, kwenye dakika
Walaikum salamu waramathullah wabarakatu
😂😂😂😂😂 hii likizo nomaa
😂😂😂😂😂😂 yaan awa watoto ni hatari
Mayra ni mempenda jaman nikazuri hongeren sana 💝💝💝
😂😂😂😂😂😂Tunamtaka na zebuuuuu😢😢
Atimae vimekubali kushoot baada ya kununuliwa axlimu😂😂😂
Umeona eeh 😂😂🙌hatar balaa 🔥🔥
@MwanamkasiBakari-pb2gw nimeona dada🤣🤣🤣
@@UmmyChilumba ila wanafurahsha sana😅😅
Miyayusho kp huyo jambaz si anasilaha kwann asivunje halafu mmekaa mmestaeehe km hamna jambaz ndani
Watoto hao jaman wameipendezexha movie kama upo na mm gonga like
Nimerauka vipi napenda hao watoto kwa kweli 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉
hatimae wamakumbali 😂😂😂wajuaji nawapeda sana watoto hawa🫶
Kazi nzuri Jo Na Hao watoto kweli wanafanya acting poa
Wajukuu na babu yao mumeweza😂😂😂😂😂
Mmejipanga kp nimeipenda hii😂😂
😂😂😂eti kubwa jinga limesha nasaa😅😅awa watoto
😂😂😂 kuna rambo na bandame kha!!! Kazi io
😂😂😂😂😂😂et upunguze ka mdomo😂😂duuuh nyie watot nowma chukueni mauwa yenu🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Hawa wanafaa kuwa n matwins bebs 🥰😆
Kp na zebuu mnajua sana hongera na mzee likoma
Wakwanza leo😂 naomba like zangu zebuuu🎉🎉
😂😂😂😂Mze wg likoma wewe ni mupiganyaji sana wa vita njoo tusaidie kwetu congo😂😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂😂😂 mbona hayau 👌 jamani Babu mbavu zangu mie
Kp na na watoto wako tixha xana nimeipenda❤❤❤❤❤❤❤
Ety kofia Kama muuza utumbo jmn nayla umejua kunichekesha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mh kp vitasa umevipiga wap wewe😂😂😂😂😂😂
Yani hawa watoto kuongea kweli 2 kama kuingiza wanajua na wanajua tena km unalikubali hilo gonga like hapo
A
😂😂😂😂nimefurahia kabisa,, hii nayo ni antdot
Queen umetisha hongera Nayra🎉🎉mmetisha kwakweli 😅😅...
Awa watoto na wapenda sana jamani naomba like ata moja
Nimekuunga
Sijachukua mali ndugu jambazi😂😂😂😂
Kp wallahi weye nirofa Sana baba yaani unachekesha hadi najikojoleya
Malizieni zote watoto huku wameipenda hii season. Muda si mrefu wanafungua shule wengine wanaishi boarding. Kwahiyo wapeni Raha kabla hawajafungua wamebakiza siku chache sana🙏
Sawa na Hii ni Zawadi kwao🎉🎉
Daah hzo sounds mnaweka znafurahisha sana yanin mie nmeachia, mkono juu mwendo wa mateka😂
Mateka kuko je
😂😂😂watoto mnavitmbwi sana jaman 🎉🎉🎉🎉🎉🎉mauwa yenu
😂😂😂😂😂wajuku na babu yenu munamambo😂😂😂😂
Kp kwa kujijambia🙌🙌🙌
Kbsa 😅😅😅😅 anajamb san bn 🎉🎉🎉🎉
Leo ni leo zebu na kp wametuletea waigizaji wa😊 ajabu
Ni kweli
Haya wuu 😂😂 Iyo vita vya majimaji bilifanya makosa kwl 🇧🇮
Nani amesikia mali gani ndugu jambazi😂😂😂😂
Nawapenda sana nom ❤❤❤
Mpaka watoto warudi shule kp atakuwa ashachanganyikiwa
Nani anamtambua mzee Likoma🎉😂😂piga 👍 How ya wooo😅😅😅
Awa watoto ni noma sana
😂😂😂😂😂lkoma tamaa ilkuponza hata kwa mr money ilkua jiwe
Hahahaha nimecheka sana watoto wanavipaji awa 😂😂😂
A cat = chapati 😂😂😂😂, yani daaaahhh maua yenu kabisa❤❤❤🎉
Kazi nzuri sana nayla n queen