Ibraah Feat. Billnass & Whozu - Tubariki (Official Dance Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
- Download and Stream on all Digital Platforms
Link; onerpm.link/Tubariki
Produced By S2kizzy
Subscribe for more official content from Ibraah:
/ ibraah
Follow Ibraah
Instagram: / ibraah_tz
Twitter: / ibraah_tz
Facebook: / ibraah255
Listen to Ibraah
/ ibraah
Audiomack: audiomack.com/ibraah-tz
Apple Music : / ibraah
Spotify : open.spotify.com/artist/0Dxcb...
Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/a...
The official TH-cam channel of Ibraah. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: Ibraahmanagement3@gmail.com
Call: +255 718 712 420
#Ibraah #Billnass #Whozu #Tubariki - เพลง
IBRAAH amewafunika wote kama unaamini weka like hapa
😊
Nakubali sana sisi tinakubali sana subindi obrigado harmonize no Ibarra adeu ficar com tigo ❤❤❤
Porque aqui e pemba nao chega brw chega la kaka
Ibraah ni mkali
Salute kwako Ibraah big song number one❤❤❤🎉🎉🎉
Tunakwenda kumtoa yule alie juu palee wote kwa pamoja tufanye mapuziii 🎉chingaaaaa
Mungu baba atubariki sisi sote. Like za wakenya wote zipitie huku... 🇰🇪🇰🇪👍👍
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
❤❤
Mimi Leo ni wa kwanza from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za ibraah and whozu and bilinas weka hapa like zotee🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Tubarikii twende🎉🎉 dance 🩰🩰
❤❤❤
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
mimiLeoniwakwnzafrmkanya
mimiL
Ibrah amewafunika nipeeni likes please 🥰🥰🥰🥰
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
We kumbe bdo mandaz
Mambo Moto Sana wangap wanamkubar chinga tugonge like apa🎉🎉🎉
Mwaka huu mapiano kali zote zinatoka bongo😂😂😂
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Jaman tuipeleke hii nambari uno tuwatoe wale vigogo pale juu kwenye ubaridii. Chinga lets goo maGee
Kuna maisha mengine ndugu zangu baada ya Leo msijisahau sana,,,tutarejea kwa ALLAH tukiwa watupu bila ya chochote.
Tujitahidini kufanya ibada kwa sanaa ndugu zangu maisha ya duniani ni machache sanaa😢😢
I was looking for this comment
🙏🙏🙏
Huyu. Ndio. Ibra. Wa moto moto. ❤ Be bles you. Kijana mdogo. Mwenye. Kipaji. Chake mjini 🎉🎉🎉🎉
Ngoma isambe ndio hit ya mitaa ya Mombasa Kenya 🇰🇪 saa hii... Tubariki Baba....🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
Oya weeh talent inaongea CHINGA AMETISHA SANA 🔥🔥@ibraah ni noma wakuachie mziki wako na maua hayo apo💐💐🎉❤️ HAWAKUWEZI tumpe like hapa
Wa kwaza mimi ni peni like zangu 👍🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Pp
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Asante ibrah uniletea furaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kila mtu wa kwanza nipeni likes za kuchelewa bas 😂😂
😂😂 umetishaa
Sasa hivi amapiano kali zinatoka Tanzania
@@albertkatuga2434 yeah tunakimbiza🇹🇿
😂😂😂😂
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Oyaaaa tuipeleke namba MOJA TRENDING 😢
Wazee mm APA wa kati kwakati minipe like zangu za kati basi boy from DRcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 like me please
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Kenyans stands up,tumebarikiwa✊🇰🇪
Bonge moja la ngoma umetuwakilisha vyema team konde
Ibra kaweka bezi , hio ndio ameua nayo , nipeni likes zangu...❤❤❤ Kutoka 254
"Noma club watoto wanashindana kuonyeshana chupi😂😂" Much love from kenya🇰🇪
Ambao wanaona dogo anajua like apa❤❤❤❤
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Tubariki noma sanaaaa👍👍👍👍👍👍👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bado sikuu hiziiih mbili tuuuh kwenda number moja ndo tunataka tukuone chinga ❤❤❤❤❤❤❤
Zaidi ya Awa é Chinga❤❤❤❤❤
Chingaaa unyama mtoto wa konde gang
Muda waku fanya matusi good job🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nenga huu mwaka umeamua 🔥🔥
Wa kwanza kutoka +254🇰🇪🇰🇪
acha ujinga
wa kwanza upewe nini
@@TIZZOBOYOFFICIAL mnifollow
@@TIZZOBOYOFFICIAL I think ni wwe ukonayo
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
cyaze 🔥 ibraah hit
wakenya mko na kiherere sana😂😂😂
Kazi kubwa ...mbona chinga anajua sana🎵💯🔥🔥
wa kwanza kutoka kenya wadau. wapi likes zamgu
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Napenda verse ya IBRAAH❤❤❤
Wasaka tonge weto kwa uwezo wa Allah twende pamoja
Kuna msanii mpya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩jina ninita
American🇺🇸,Nigerians🇳🇬,South Africans 🇿🇦, Tanzanians🇹🇿, burundians🇧🇮, Rwandans 🇷🇼,kenyans🇰🇪,ugandans🇺🇬, Zimbabweans🇿🇼, Canada🇨🇦, ghananians🇬🇭,cameroonians🇨🇲, togonians🇹🇬, Congolese🇨🇩, my wicked landlord and I approve this song as our unite anthem
Nani ametaza zaidi ya mara moja kama yuko agoge like
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
BAddést Yani MWAKI from Ibraah ⚡⚡Gonga like
Nione like hapa kwa Ibrah ❤
Mwana katusua nimependa sana konde kapoze kidogo dogo anawakilisha gang
Kama wewe ni konde gang weka like apa
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Kali kweli ! Ibraa ni mkali sana
Ni moto 🔥🔥🔥💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪like za ibra
Wakwanza toka Congo 🇨🇩
Baba unajua umeua kilakitu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Umetisha baba.
Chingaa boy on 🔥🔥🔥🇹🇿🦁🦁🦁
Nipeni lik zanga❤
Wa kwanzaa leo
Ibraah amepiga sana🎉
Oyaaa weeeee hii ni kubwa kuliko ✊🏾💥🙌🏾
Wa 86 ibraah 🔥🔥🔥 ebu nipe like hapa 🇨🇩🇨🇩☝️
Sada boy " VUMILIA song" anaimba ka j Melody
Burundi 🇧🇮 we are here to show love ❤❤❤
Kwa jina baba, na la mwana ..na la roho mtakatifu....Ameen 🔥🔥🔥🔥 #Chingaaaaa
Ni nare wazing❤❤❤💥💯🔥🇰🇪❤️
Benediction
Tolingi Benediction eeeee!!nzambe
Hizi siku akunamatata
Ibraah forever
Maansii 🙏
Mm mkenya wa kwanza wapi likes ❤❤❤
Ametisha sana good job🇧🇮🇧🇮
Ebana Eeeeh.....Kama unaamin Baraka zinatoka Kwa MUNGU pekee🙏🙏🙏🙏
Gonga lakin kama Zote
Wakwanz npen like zang 🙌🙌🔥
th-cam.com/video/GOTvYSe4qss/w-d-xo.html
Kijana wake Jeshi,,daima siku zote Konde Gang
Goma isambee dandia dandia bonge ra voice
Mimi sija wai ata Pata like jamani❤
Anyone from 254 Kenya 🇰🇪 ..anatamani hii song Kwa club 😊😊
Mimi wa mwisho kukoment like nitapata au bas mungu tubarikiii
Dandia dandia ,bambia bambia
Billnass billnenga,,chupa imeamka na chai,umetishaaaaa mze
Team chinga apa wot
Wa tano kutoka 254 😂😊
Safiii bongo flavour inarudii❤
Chinga,Billnass whozu kaua hapa saana +254
Ngoma mzuri wote mafundi❤❤❤
Unajua sana yani huna baya 🔥💯
Mimi ndie wakwanza
Chingaa kawafunika wote anafata nengaa mwishoo wz gom 💥💥💥
Mungu baba tubariki 🙏❤️🔥
Remix ongeza Marioo hapo🔥
Hata mimi naitaji lk moja tuh😂😂😂 ukipita bila lik Yani humpendi Ibraaahh😢
King 👑 ibraah too much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 🙏#tubariki
🎉chinga again big song❤
Boss wangu kaubiwa msemo wa Bambia #dullastarr naomba boss uje
wakwanza from burundi naomba ya like zang plz
💯💯💯💯💯
Oooyaaa eeeeeeh!!!!!! Konde gang ndan ya mjeng wa s2kizzy upend uzidi kudum #WASAFI NA KONDE GANG #nidondoshee like zangu kwa ibraa tafadhali 🇹🇿🇹🇿❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Zombiee limetorokaa mirembee mbona imefichwaaa😂😂😂
Number one DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Barikiweni sana wanangu 🙏🤲❤❤ likes za wakenya hapa
Ibraah welcome to mozambique 🇲🇿🙏
Yes my brada plyss!!!
❤❤❤❤❤❤ Ibraah bana ume uwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
The best collaboration in Tanzania 2024❤ wanao amini weka like
Wpi likes ya waganda 😢❤love you ibraah 🎉
Oyaaaah chinga noma from 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩 congo nakukubali sanaaaa paka basiiiiiii ❤
Kuuubababaaaaakeee nyie hili goma ni fire 😂😂😂
Mjukuu Wa DIAMOND WCB Baba yake ya Konde Boy Label
❤❤❤🎉🎉nikiwa Bujumbura burundi nawafuata mia kwa mia song kali sana chinga kaua sana
Goma letu limefika namba 1on trending
Hakuna mmachinga mshamba🎉💣💥 video Kali sana
Konde Gang FC aijawai kosea