Aziz KI atua Dar kininja na mabegi sita, atuliza presha za mashabiki Yanga, kumaliza utata leo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
- Taarifa itakayowashusha presha mashabiki wa Yanga ni kwamba hatimaye kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Stephanie Aziz KI, amewasili nchini huku alitolewa Uwanja wa Ndege kininja.
Aziz KI, amewasili nchini alfajiri ya leo Julai 10, 2024 akitokea mapumziko nchini kwao kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia lakini akatoka kimkakati uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere terminal 3.
Alichofanya Azizi Ki, kwanza akamtanguliza mfanyakazi mmoja wa Uwanja wa Ndege kutangulia mbele na mabegi yake makubwa sita aliyotua nayo.
Hatua ya pili ikawa Ofisa mmoja wa Yanga Godlisten Anderson 'Chicharito' aliyekuja kumpokea uwanjani hapo kumpenyezea kofia maarufu kwa jina la kepu, ambayo kiungo huyo ilipomfikia akatoka akiwa ameishusha kijanja mithili ya mtu asiyetaka kujulikana.
Hatua ya tatu akatoka akiwa peke yake huku Ofisa huyo wa Yanga akitangulia mbele wakiachana kwa hatua sita na kiungo huyo kisha kupanda kwenye gari moja aina ya Toyota Alphard iliyotoka uwanjani hapo kwa kasi.
Hatua ya nne mara baada ya kufika nje ya uwanja wa Ndege kiungo huyo akakuta gari nyingine aina ya Toyota Harrier ikimsubiri kisha kupanda humo huku ile Alphard ikiondoka na mabegi yake pekee.
Ujio wa Azizi Ki ambaye ndiye mfungaji Bora wa Ligi msimu uliopita akimaliza na mabao 21 utawashusha presha mashabiki wa Yanga ambao wanadhani anaweza kuondoka.
Yanga bado haijatangaza kwamba Azizi Ki ameongeza mkataba lakini Mwananchi linafahamu kwamba kiungo huyo raia wa Burkina Faso bado ataendelea kuitumikia timu hiyo kufuatia kukubaliana na mabosi wa timu hiyo kwamba atasalia.
Pia, kupitia mitandao ya kijamii ya Yanga imetangaza kuwa staa huyo atazungumza mchana wa leo.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj - กีฬา
KAMA SIO SIMBA MNGEMJUWA AZIZI KI MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Utopolo fc mpoooooooo
Asante
Akibaki asibaki ni juu yake na Maisha yake sisi wengine hayatuhusu
Wewe ni KOLO
Kama hayakuhusu si ukae kimya kwa nini unachangia? Unachangiaje kitu kisichokuhusu?
Kolo wewe
Upo apa wafanya nn na haikuhusuuu 😂😂😂
Lisilokuhusu lakuwashia nn Sasa???
Kwaio??????
Aende TU sis yang hatujinyongi
Wewe sio Yanga mwehu tu wewe wa makolobwanji. Roho imekuuma mlidhani anaondoka. Jiandaeni aibu yenu.
@@brighlusemsomba3014TULIZA KIJAMBIO HICHO WEWE
Nyie msisumbuliwe na mashabiki wa simba ss ni levo nyingine
LEVO YA EDA MIAKA 26 😂😂😂😂
Chama anazidi kusahalika
Yanga wamsamehe tu, atawafilisi pesa anazozitaka ni nyingi.
Amekuwa kama Mayele.
NYIE MAKOLO MMESHINDWA KUMLIPA CHAMA MNATAKA KUSEMA NINI, KUWENI TU WAWAZI YANGA TUNAJIWEZA, TUKIMTAKA MCHEZAJI LAZIMA TUMPATE
@@amramthobias6303MSHAMBA WEWE UMETOKEA WAPI HUYO CHOGO FC MWEZAKO SIO SIMBA MJINGA WEWE
MADENI MPAKA MIKUNDUNI MWENO MATOPOLO MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Sasa mie sijui nini shida hebu aendelee ili kusiwe na sabab