ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Naomba jina la uu wimbo unaonza 5:12. This is my best choir ever. I love it. God bless you guys
th-cam.com/video/ckfLB24mV2k/w-d-xo.html
But ofcourse KMK did it better. 😅
Hongereni sana kwaya Mwenyeheri Anuarite Makiburi.
Or Makuburi
Kama hautajali nikuelekeze namna ya ku- edit neno ulilokosea.
He who started the good work in you shall complete it! Good job and I really love the song Tembea nami
Hongereni mungu mwema kawajalia ushirikiano mmetuletea nyimbo nzuri zaid
Hongereni wanakwaya wote. From Qatar
Napenda sana kwaya hii wako vizuri
Hongereni sana wapendwa hio nikarama nzur sana bas msichoke kumuimbia bwana
Huo wimbo unaoanzia 11.00. This choir is the goldstandard of catholic choiring.
Asanteni sana...Mungu azidi kuwamiminia Baraka zake kwa uinjilishaji huo....nimeupenda Sana'a huo wimbo wa Nne....mmeimba vizuri sanaaa.......
Hongereni sana mwenye Heri Anuarite Choir kwa uzinduzi as album. Best best songs and creativity. God bless you.
Mimi ndo sijaona au? Kuna bwn mdg sana hapo ndo organist......aisee hongera yake sana.
Mdg kwa umri lakini ni mkubwa kimuziki bro, ni mtoto wa mtunzi wa hizo nyimbo
Napenda nyimbo zenu ,mbalikiwee
Hongeleni sana makuburi mko vizuri
Safi sana!
Sauti nzuri mavazi super!Mungu awabariki sana!
Very clean
Mbarikiwe sana wanakwaya
Huyo kijana wa kinanda ni hazina kwa kanisa. Alelewe katika maadili ya Kanisa,asilewe sifa
Natembea kwa Imani,,,God bless KMK
Hongereni sana Wana wa Mungu.
Congrats guys, may God continue blessing you.
Mko Vzr Wanakwaya
Mungu Azidi kuwainua
album nzuri. Twaweza inunua vipi huku Kenya?
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ujumbe mzuri nayo madhari pia
Kwa imani nakuja hapo ulipo. Naomba ujaze maneno yako kinywani mwangu. Nikayahubiri ulimwenguni.
Nawtakia heliya mwkampya
Naomba kuuliza wimbo wa 4 walioimba mt kizito sijui ,nitakuja hapo ulipo , mtunzi ni nani na unaitwaje
Ninavyowasubir kwa hamu huku TH-cam 😘😘😘plz msichelewe kutuma huku maana wengne tuko mbali
Naomba jina la uu wimbo unaonza 5:12. This is my best choir ever. I love it. God bless you guys
th-cam.com/video/ckfLB24mV2k/w-d-xo.html
But ofcourse KMK did it better. 😅
Hongereni sana kwaya Mwenyeheri Anuarite Makiburi.
Or Makuburi
Kama hautajali nikuelekeze namna ya ku- edit neno ulilokosea.
He who started the good work in you shall complete it! Good job and I really love the song Tembea nami
Hongereni mungu mwema kawajalia ushirikiano mmetuletea nyimbo nzuri zaid
Hongereni wanakwaya wote. From Qatar
Napenda sana kwaya hii wako vizuri
Hongereni sana wapendwa hio nikarama nzur sana bas msichoke kumuimbia bwana
Huo wimbo unaoanzia 11.00. This choir is the goldstandard of catholic choiring.
Asanteni sana...Mungu azidi kuwamiminia Baraka zake kwa uinjilishaji huo....nimeupenda Sana'a huo wimbo wa Nne....mmeimba vizuri sanaaa.......
Hongereni sana mwenye Heri Anuarite Choir kwa uzinduzi as album. Best best songs and creativity. God bless you.
Mimi ndo sijaona au? Kuna bwn mdg sana hapo ndo organist......aisee hongera yake sana.
Mdg kwa umri lakini ni mkubwa kimuziki bro, ni mtoto wa mtunzi wa hizo nyimbo
Napenda nyimbo zenu ,mbalikiwee
Hongeleni sana makuburi mko vizuri
Safi sana!
Sauti nzuri mavazi super!
Mungu awabariki sana!
Very clean
Mbarikiwe sana wanakwaya
Huyo kijana wa kinanda ni hazina kwa kanisa. Alelewe katika maadili ya Kanisa,asilewe sifa
Natembea kwa Imani,,,God bless KMK
Hongereni sana Wana wa Mungu.
Congrats guys, may God continue blessing you.
Mko Vzr Wanakwaya
Mungu Azidi kuwainua
album nzuri. Twaweza inunua vipi huku Kenya?
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ujumbe mzuri nayo madhari pia
Kwa imani nakuja hapo ulipo. Naomba ujaze maneno yako kinywani mwangu. Nikayahubiri ulimwenguni.
Nawtakia heliya mwkampya
Naomba kuuliza wimbo wa 4 walioimba mt kizito sijui ,nitakuja hapo ulipo , mtunzi ni nani na unaitwaje
Ninavyowasubir kwa hamu huku TH-cam 😘😘😘plz msichelewe kutuma huku maana wengne tuko mbali