#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • #EXCLUSIVE: SAID BWANGA Ajibu KUCHEZA na SAID CHINO, AWATUPIA LAWAMA MAPROMOTA - "ANANISAIDIA NINI?"
    BAADA ya kumaliza pambano lake na kuibuka mshindi dhidi ya Said Mkolla, bondia kutoka Mbagala Said Bwanga amefunguka kuhusiana na ombi la mashabiki la kumtaka ampige na Said Chino.

ความคิดเห็น • 56

  • @saidmlali8559
    @saidmlali8559 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea point sana champion,, Lazima uwe na focus maana hyo ndio ajira Yako, lazima uwe na malengo juu ya ndoto zako. Mungu aendelee kubariki kazi za mikono Yako.

  • @ismailmwekilinga1203
    @ismailmwekilinga1203 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ukimskiliza dogo kwa skio la uteam lazma utachukia nikama anajikweza ila huyu dogo anaongea ukweli na yuko sawa. Malengo yake ni boxing iwe na watu wakubwa kidunia na sio kitanzania au Africa mashaliki no.

  • @imanimussalacky3078
    @imanimussalacky3078 2 หลายเดือนก่อน

    ❤ Upcoming champion side bwanga

  • @MoosaMzinga
    @MoosaMzinga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safiii bwanga......Mejaa SEMUNYU KASIKIAA.....mabondia wakubwa hawana mabadiliko mpaka xaxa.....Mda wenu kubadilishaa maisha kwenye mchezo wa ngumi.....STOP.......MKALI NANI

  • @NandoliHabiby
    @NandoliHabiby 2 หลายเดือนก่อน

    Dogo yupo vizuri sana.
    Allah atakufanyia wepesi

  • @NandoliHabiby
    @NandoliHabiby 2 หลายเดือนก่อน

    Dogo yupo vizuri sana.
    Allah atakufanyia wepesi

  • @KambiAsso
    @KambiAsso หลายเดือนก่อน

    Dah kaka saidi bwanga umeongea maneno point sanaaaa respect malume

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 หลายเดือนก่อน

    Bwanga endelea na hiyo self respect beo itafika mbali sana

  • @makambaally6317
    @makambaally6317 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sure focus mbele mkali nani haina maana kwasasa

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 2 หลายเดือนก่อน

    Bwanga nomaaa

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 2 หลายเดือนก่อน

    Upo vzr kaka

  • @KarimAbush
    @KarimAbush 3 หลายเดือนก่อน

    Mdogo angu bwanga umeongea point kubw sn lzm ifikie mahali maboxer wetu waje kuwa na mafanikio makubw kupitia kipaji walicho sio kuwanufaisha mapromota tu na hizi comments zetu zifanyiwe bc kwa wadau wa ngumi

  • @HassanKibandulo
    @HassanKibandulo 3 หลายเดือนก่อน +2

    Safi 26 umengea yamoyoni nahayo uliyongeea kila bondia inabidi awe nakauli kama izo ili mpate maendeleo juu yaichokipaji sio mnawatajilisha maplomotar.26 alalali nanjaa anachelewa kula tu subra na misimamo inshallah utafika kwenye malengo salute

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

    Safi champion

  • @ramadhaninassoro3445
    @ramadhaninassoro3445 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa sana ameongea fact tupu

  • @HatibuRajabu-p5q
    @HatibuRajabu-p5q 3 หลายเดือนก่อน +1

    We mtegemee allah2 one day yes kua nasubra

  • @FarajiFundi
    @FarajiFundi 3 หลายเดือนก่อน

    Saf sana bwanga fact

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 3 หลายเดือนก่อน +1

    SAFI SANA BWANGA

  • @muckyamos5433
    @muckyamos5433 3 หลายเดือนก่อน

    Umeongea point bwanga mkali nan hazina faida kwa mabondia wetu

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 3 หลายเดือนก่อน

    Maneno hayo ya mkali Nani apewe gari akiyaongea Mwakinyo utawasikia akina Mfaume na taarabu zao za vidole juu😂😂

  • @NestoryAgatoni
    @NestoryAgatoni 3 หลายเดือนก่อน

    Mm namkubari sn huyu dogo Ana nizamu sn

  • @thabitgoboss3715
    @thabitgoboss3715 3 หลายเดือนก่อน

    Dogo anaakili sana anajua malengo yake anataka kwenda wapi. Big up Bwanga Boy keep moving forward 💪💪💪

  • @issagym8615
    @issagym8615 3 หลายเดือนก่อน

    Bwanga umekua mdogowangu acha Nana mkalinani chezea hela jina taali ambae hajakujua aache

  • @EyshaAlly-bo6fn
    @EyshaAlly-bo6fn 2 หลายเดือนก่อน

    Bwanga nibondia mwenyekipaj kikubwasana

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 3 หลายเดือนก่อน +1

    UYU MTANGAZAJI MTU WA KULOPOKA SANA

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 2 หลายเดือนก่อน

    Baada ya hii imesha potea kwenye gem 😅😅😅 dogo

  • @ahadjuma8356
    @ahadjuma8356 2 หลายเดือนก่อน

    champion boy nakubar Sana dog

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 3 หลายเดือนก่อน +6

    Bwanga mdogo wangu mshukuru Mungu kupata Ile knock down maana Saidi Mkola alikuzidi round zote bila ubishi yeye ndiye angekuwa bingwa kwa maana nyingine umebahatisha.

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio mchezo mzee....ndio maana hua tunasema HAIJAISHA MBAKA IISHE😅

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kiufupi amebebwa Bwanga

    • @KambiAsso
      @KambiAsso 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ww macho yako kengeza eee😂

    • @ramsootz
      @ramsootz 3 หลายเดือนก่อน

      wewe mchezo unaatokeo matatu Tu kaka so akuna cha kubahatisha apo

    • @saidseif941
      @saidseif941 2 หลายเดือนก่อน

      Hizo ngumi ulianglia peke yako

  • @SalumkifuLukwe-wk7sp
    @SalumkifuLukwe-wk7sp 3 หลายเดือนก่อน

    Bwanga mtu mbayaa

  • @zamuga1991
    @zamuga1991 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu dogo atakuja kuw bondia mkubwa sana km atajitunza na akipata wa2 sahihi wa kumsimamia ana nizamu sana hata anavyoongea unajua huyu ni bondia kwl big up kwke hiki ni kipaji sahh cha nhumi😮😮😮😮

    • @InnertraderGreyson
      @InnertraderGreyson 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika kabisa champ

    • @InnertraderGreyson
      @InnertraderGreyson 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika kabisa champ

    • @InnertraderGreyson
      @InnertraderGreyson 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika kabisa champ

    • @JumaIddi-o6f
      @JumaIddi-o6f 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa style iyo utakaa mwaka mzima ndio utacheza game

    • @manoramatv858
      @manoramatv858 3 หลายเดือนก่อน

      Haropoki anapanga maneno pia ana future.

  • @EyshaAlly-bo6fn
    @EyshaAlly-bo6fn 2 หลายเดือนก่อน

    Kikubwa dogo atafute kochi wenyeuweled mkubwaaa

  • @KahemaJuma-g5n
    @KahemaJuma-g5n 3 หลายเดือนก่อน

    Ninakukubali bwanga

  • @tonnyelias9454
    @tonnyelias9454 3 หลายเดือนก่อน

    Dogo komalia humo humo lazima kuna maisha baada ya ngumi.

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 3 หลายเดือนก่อน

    Chino umuwezi huyo class tu amepewa juu ya chino ila amepigwa sana

    • @OsmanDembele-z7h
      @OsmanDembele-z7h 2 หลายเดือนก่อน

      Daaa we broo we yani utopolo wako chino ndo ampige class

    • @ShaibuMavumila
      @ShaibuMavumila 2 หลายเดือนก่อน

      Kama hujui ngumi na namna zinavyohesabiwa point zake usizungumzie huyo chino ni bondia wa kawaida sana tena kapigika round zote

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 2 หลายเดือนก่อน

      @@OsmanDembele-z7h Kolo wewe kaangalie pambano tena

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 2 หลายเดือนก่อน

      @@ShaibuMavumila Tulizeni vishundu hvyo