KIJANA ADAIWA KUUAWA NA MGANGA PUGU, WANANCHI WAMUUA BABA WA MGANGA, POLISI WATULIZA WANANCHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 189

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j 5 หลายเดือนก่อน +10

    Huu mwezi mbona umekuwa Wamoto sana matukio ya vifo yamekuwa mengi

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hiv mpk sasa bado watu mnaamin ugang jaman daah mpo dunia ipi

  • @Ma-star....Wakali
    @Ma-star....Wakali 3 หลายเดือนก่อน

    Ukweli utajulikana subirin washenz nyie michongo yote mnaijua na manyau wenu

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 5 หลายเดือนก่อน +9

    Hao mwisho wao sio mzuri wanajifanya waganga kumbe matapeli dua za wanaowatapeli zinaanza kufanya kazi😅😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😂😂😂😂

    • @zaitunisagwa2082
      @zaitunisagwa2082 5 หลายเดือนก่อน

      Hakika tena. Itakuwa Dua la kuku limempata mwewe😅😅.

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 5 หลายเดือนก่อน +7

    UGANGA upo Tena nikazi yaheshima, lkn Sasa UGANGA umevamiwa na matapeli, Hasan humo DAR nimtihani.

  • @HappinessDustan
    @HappinessDustan 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo sisi wantanzania unapenda sana mambo ya ushirikina

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 5 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa hafungwi ana vibuyu vingi Sanaa na akarudi mtakoma apo mtaani jamaa ameshindikana Kwa uchawi😅😮😢

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hakuna wa kuaminika kwenye hii dunia ya leo😢😢😢😢

  • @HusnaHusna-d1w
    @HusnaHusna-d1w 5 หลายเดือนก่อน +4

    Taz mshenzi sana na ni tapeli uganga wenyewe jau tu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 5 หลายเดือนก่อน

      Ndo mwisho wake sasa

  • @LilianJaphety
    @LilianJaphety 5 หลายเดือนก่อน +11

    Ila nilikua naona kweny tv yake akipost mna comment nakumshukuru mmefanikiwa leo mmemgeuka n tapeli😂😂😂😂

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 5 หลายเดือนก่อน +1

      Na mm ndo nimebak mdomo wazi hapa 😮

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน

      Binaadam kugeuka dakikatu

    • @MarryLeizer-di3ly
      @MarryLeizer-di3ly 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kawapanga watu wakutoa shuuda tapel mkubwa siku yake imefika

    • @bahatirobert1009
      @bahatirobert1009 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @aishahussein9348
      @aishahussein9348 5 หลายเดือนก่อน

      Iyo ni biashara,mimi unipage nitoe shuhuda,napewa hel naanzaje kukataa

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hapo huyo mlinzi kwa haraka haraka ndo kaiba hilo dude kwa kuwa anadai pesa yake! Na hapo kutakuwa na uvamizi umetokea kwa huyo mganga ila kwenye kupambana huyo mlinzi kauawa na baba mtu kauawa! Ukiskliza vizuri kwa hao majirani zake wana chuki binafsi na wivu mkubwa sana! Huyo dogo ndo kavamiwa! Ila kwa kuwa polisi wanaweza kwenye kupeleleza tutajua tu!

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 5 หลายเดือนก่อน

      Chefuu

    • @user-mu7yn9gr1w
      @user-mu7yn9gr1w 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@salmamlokela1987😂😂😂 eti chefuu

    • @gracemwingwa-jx7yy
      @gracemwingwa-jx7yy 4 หลายเดือนก่อน +1

      We nawe ninawasiwasi nawe itakuwa umeshiliki kununua hiyo mlinzi maana hapo Bila kuwaza sana moja kwa moja huyo huyo mganga wenyu ndo kamuuwa mlinzi wake

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie jamani,damu ya huyu askari itanena juu yao

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 5 หลายเดือนก่อน +8

    Jaman huyu c ndy yule mganga alitangaza apelekewe Hawa akamtibie bure kabisa kumbe ana roho mbaya hivyo hd kuua watu Subhannallah 😢
    Na tunguli zimechomwa moto Laahaula Wala Quwata😢😢😢

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน

      Ndio huyo huyo jaman daah 😢

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 5 หลายเดือนก่อน

      Nitapeliiii piaa

    • @fadhilimsafiri216
      @fadhilimsafiri216 5 หลายเดือนก่อน

      Katapeli wengi

    • @fatumakidoa4006
      @fatumakidoa4006 5 หลายเดือนก่อน

      Ni huyu mbwa sana na lisura lake kama KENGE MAJI

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 5 หลายเดือนก่อน +4

    nakingine ukiwa sikiliza wananchi wengi hapo pia wana onekana wana chukibinafsi na wivu na huyoo jamaa kwajinsi anavo ishi namajirani zake inaonekana hana ushirikiano mzuri ndio maana wana nchi wameongeza chuki pia

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 5 หลายเดือนก่อน

      Ni mjeuri kuua watu ndo kawaida yake

    • @GodloveMushi
      @GodloveMushi 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli

  • @gracemwingwa-jx7yy
    @gracemwingwa-jx7yy 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbe huyu mganga ni mshenzi sana kuanzia leo hapati like zangu

  • @salimtz6
    @salimtz6 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona huyu nyau kam ndo main 🎯 target inawezakanaje mtu mnalumbana kila siku half siku ya tukio unafika mwanzo 😅 Kwa waandishi? ila Tanzania bahna

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hilo john ni mwixi mla rushwa likamatwe.

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 4 หลายเดือนก่อน +1

    eti mfarume wa dawa manina zake uyo dogo anasema eti kun faya kun mungu leo kakuonesha kwamba yey ndomfalme wawa falume namungu endelea kuwanyosha

  • @PombeKali-cj1ex
    @PombeKali-cj1ex 5 หลายเดือนก่อน +3

    Yani huyojiniazi anasitahikiazabu kali mm namjuwavizuli jiniazi nimoja katiya waliofanya kazina yeye mm nifundi Magali nilio wahi kufanyanae kazi namjuwa kuwa nimtu mmoja muoga sanatuu IRA kwahiro anajutiaa sana maana bb ake yeye ndioo kirakitu kwake poresana jiniazi umenizulumu mpaka mm pombekali kunifayakuni 😮😮😮😮😮😮

  • @gefreymtalo5613
    @gefreymtalo5613 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa bado yupo uraiyani ? Mkuu wa police wa mkoa wa dar leta jibu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo n shetani lake limeelekeza achinjemtu ili uchawi ukoleee na mdogo wako nae kajiponza kafungiwa,badi ajirudisha ndoo kauliwa,hakili zero, alonae,

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 5 หลายเดือนก่อน

    Allah tupe Stara, Angalia kifo aluchokufa huyo mzee,Wewe Mganga kesho utajibu Mbele ya Allah,umesababisha kifo cha Baba yako pasipo hatia,

  • @hassansaid3833
    @hassansaid3833 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ila kweli mapaka paka ni noma yani umempiga shakizi la nguvu ukoo wa huyo Taz tapeli bado yeye lazima nae amalizwe 😂😂

    • @dvjkelly8449
      @dvjkelly8449 5 หลายเดือนก่อน +1

      shakizi ni nini?

    • @HappinessDustan
      @HappinessDustan 5 หลายเดือนก่อน

      Ni kitu cha kutupiwa mfano limbwata au kurushiwa jini la kujinyonga

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wivu tu tafuteni PESA acheni ubabaifu

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mtu kauwawa na ni nyumbani kwa huyo Taz. Wewe unasema wanawivu!!!! We mpumbavu kabisa

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 5 หลายเดือนก่อน +1

      Angekuwa ameuwawa mwanao au ndugu yako ungesema wivu?Temea mate chini yasikufike

  • @naomisintoyia-wo4ki
    @naomisintoyia-wo4ki 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani waganga wanauwa😮😮

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j 5 หลายเดือนก่อน +6

    Hapa ssa ndio amempa manyaunyau chakuongea😂😂😂😂

    • @smktv9659
      @smktv9659 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน

      Yn nakwambia huko tiktok mbona tutakoma 🤣🤣

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 5 หลายเดือนก่อน +1

    kwamatukio mawili yote yaliotokea ni ya kusikitisha sana ila kiukweli tuvi achie vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa vifo vyote viwili kifo cha mlinzi nakifo cha baba wa anaye hisiwa ndio kamuua mlinzi endapo uchunguzi utakamilika kwa wote walio husika kuji chukulia sheria mkononi nakuhusika na mauaji hayoo wachukuliwe hatua kari za kisheria

  • @kidykodyyusufukod-ud6vg
    @kidykodyyusufukod-ud6vg 4 หลายเดือนก่อน

    hili linaweza kua na taswira tofauti ata na tunavoliona

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chezanavyote siokaziyauganga wakujitangaza lzma upingwe tukio

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 5 หลายเดือนก่อน +2

    uyu taz mpumbavu sana yuajifanya anahasira ata maongezi yake simpenfi uyu mganga tapeli mungu ajalie spatikane auliwe pia

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 5 หลายเดือนก่อน +1

    Chomeni na hilo Jengo

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa5777 5 หลายเดือนก่อน

    Mwezi mmoja mbele Taz anarud hapo kaeni mbali nae hawezi kufungwa ni mchawi hafai

  • @ashaomary5558
    @ashaomary5558 4 หลายเดือนก่อน

    Chomeni nyumba hiyo asirud

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo angechomewa nyumba mshenz huyo😢😢😢😢

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa mweny t shirt nyeupe mnafki

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa uyo baba Ake mmemuuwa amefanya Nini mmemuonea ila mtamlipa kesho kiama mlikua mumuuwe mwenyewe

    • @adambakari9276
      @adambakari9276 4 หลายเดือนก่อน

      Hapo ndugu yng kuna utata sasa huyu baba kam kasema mdogo wako kauliwa mm nipo polic alf unaenda unamkuta huyu baba kajifungia ndan kwake na hajaenda huko polic utahic nn ikiwa tayari akili ishakuvuruga kwa kifo cha ndugu yko

  • @omarcpt1178
    @omarcpt1178 4 หลายเดือนก่อน

    Chomeni na nyumba, choma kilakitu nayeye mkimkamata tia moto tu

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo baba mliomuua mtakamatwa nyie mkome! Tena hao vimbelembele wa kumjibu muhandishi wa habari!

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwenye kapelo ni manyaunyau yy mwenyewe mganga tapeli

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 4 หลายเดือนก่อน

    Pole bro

  • @mwanatumukombo4497
    @mwanatumukombo4497 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ss niulize kwa nn mukamuua babake na aliye sababisha kifo cha mlinzi ni taz hamja fanya poa ata mbele ya Allah nyinyi munge dili na TAZ

    • @BenedictaMagantg
      @BenedictaMagantg 5 หลายเดือนก่อน

      Hawajafanya vizuri kabisa. Nashanfaa wengine wansona sawa tu. Na je sliyemuua huyo mlinzi ni nani?

    • @YusuphRashidi-b1j
      @YusuphRashidi-b1j 4 หลายเดือนก่อน

      Eti kwa nini wasimpeleke polisi

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani mtu ana mahabusu yake anafanya atakavyo. kisa pesa kisa mganga jamani tunaelekea wapi ? Hebu angalia mambo hayo sasa tanzania amani yetu inakuwaje hapo

    • @Commentsplus
      @Commentsplus 5 หลายเดือนก่อน

      Duh inaumaaa

  • @legallytallm7702
    @legallytallm7702 5 หลายเดือนก่อน

    What country is this?!

  • @scolasticastephano4366
    @scolasticastephano4366 4 หลายเดือนก่อน

    Tumutegemee Mungu binadamu siyo wema

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 4 หลายเดือนก่อน +1

    WANANCHI MMEFANYA VZR KUMUUUA HUYO BABA

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 5 หลายเดือนก่อน +6

    Ss kwnn mmemuuwa baba ake wkat yy ausiki wnanchi na jyie mkatwe mana mmeuwa vile vile na kwnn muibe fenucha za ndani nyie ni wezi

    • @shaibusalim5751
      @shaibusalim5751 5 หลายเดือนก่อน

      Sikilza vizur kakamtu anavyoongea huyo baba nae kausika

    • @fatumakidoa4006
      @fatumakidoa4006 5 หลายเดือนก่อน

      Afe huko pia nae damu Moja ya uuwaji

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mganga aliye uwa kwakweli inasikitisha huyo mganga kwa maelezo hayo polisi walikuwa wanamlinda 😢 mimi nasema polisi igeni tabia ya polisi wa mkoa wa mbeya nasema haya kwakuwasifu wanafanya kazi kwa weredi ingekuwa ni mbeya yasinge fikia hapo mwalifu mbeya anazibitiwa mapemaa ili mwalifu asijeleta mazara hebu sikiliza maelezo hayo je polisi walipewa tarifa na wakaja awakuchukuwa tarifa yoyote mpaka imefikiwa hapo nani mzembe kama sio polisi Ingekuwa mbeya duu polisi mbeya na mkuu wa mkoa wake wako makini tunaa anani kwakweli uhalifu umepunguwa mbeya kwa msada wa polisi mbeya huyo mkamateni na anyongwee

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 4 หลายเดือนก่อน

    Não Police waliofika hapo mala ya kwanza wafungwe kifungo Cha milele

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ila huyo tazi aliambiwa Na Shekh suleima Allah atamuumbua 😢subuhhallaah ona leo hii kadhalilika japo kakimbia

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kaka

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ki2 kingn jeshi l police wanpo sikia taalifa km wanatkiw wawe kipaumbele kwend kumchkua mtuumiw il kuepush v2 km hv

    • @YusuphRashidi-b1j
      @YusuphRashidi-b1j 4 หลายเดือนก่อน

      Waende wakati wanataka rushwa

  • @ZainabuBita
    @ZainabuBita 4 หลายเดือนก่อน

    Siokweli waugovi namayauyau labud kawatma

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 4 หลายเดือนก่อน

    Bomoeni hayo majengo

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindo 5 หลายเดือนก่อน +1

    Manyaunyau anachuki naomba. Jeshilimkamate manyau nyau atowe ushahd

  • @rehmastyle4446
    @rehmastyle4446 4 หลายเดือนก่อน

    Aliye kuuwiya mdogo wako ni Manyaunyau

  • @mamaboizpure842
    @mamaboizpure842 4 หลายเดือนก่อน

    Si huyu jamaa anakua tiktok wah

  • @katotopesaofficial
    @katotopesaofficial 5 หลายเดือนก่อน +1

    8:42 Manyaunyau kapata pakujipigia promo😂😂

    • @GodloveMushi
      @GodloveMushi 4 หลายเดือนก่อน

      Umeonaee

  • @hyy4114
    @hyy4114 5 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanna Allah huyu mganga nilimuona Tik tok Ana majibu ya jeuri kwel

    • @jassminemubarak2828
      @jassminemubarak2828 5 หลายเดือนก่อน

      kwanz haja wahi kucheka mie namuelewa huyu mganga

    • @fadhilimsafiri216
      @fadhilimsafiri216 5 หลายเดือนก่อน

      Tapeli yule na katili sana

    • @hyy4114
      @hyy4114 5 หลายเดือนก่อน

      @@jassminemubarak2828 mm nilimuona tu Tik tok Ana majigambo Subhanna Allah

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@fadhilimsafiri216kuna siku niliiona video kamkamata kijana anasema ni tapel anacopy dawa zake na tishert anapita bara baran akiuza dawa feki alikua anampiga sana nikajisemea huyu kijana sizan kama alitoka salama hapo ndani 😢

  • @ZainabuBita
    @ZainabuBita 4 หลายเดือนก่อน

    Niwaogo bwana wanatak kuletea ujaja tu

  • @dnyotausa6154
    @dnyotausa6154 4 หลายเดือนก่อน

    Roho mbaya zinawasumbua masikini

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yote mipango ya manyau nyau kamsukumia afanye ayo

  • @officialsharifa
    @officialsharifa 4 หลายเดือนก่อน

    Aiseee !!!!?¿??

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV 5 หลายเดือนก่อน

    Umpige mtu na kitu kizito had anyonyoke nywele😢😢😢😢Mungu tutetee

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 5 หลายเดือนก่อน +1

    Manyau nyau kaja kuakikisha km. Dawa zake zimefanya kz yn unekuja kbs unaht haibu

    • @Iamzaqee
      @Iamzaqee 5 หลายเดือนก่อน

      Yan

  • @Blandinakanini
    @Blandinakanini 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa ata mukijoma si ataunda zingine
    Huyu mujawi

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 5 หลายเดือนก่อน

    Anamdom Huy Taz khaaa sijawah kuona majivuno sasa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 5 หลายเดือนก่อน

      Utajiri wenyew wa kutapeli watuuuuu

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 5 หลายเดือนก่อน

    tunaomba mkono wa shelia umfuatilie uyo tuz

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 5 หลายเดือนก่อน

    Manyaunyau kwake nifuraha ya kunguru😅😅😅😅😂😂badala ya masikitiko😢😢😢

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน

      Tena kapata la kusemea tiktok huko 🤣🤣

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona mna focus sana kwenye hayo matunguri 🥱

  • @BakariSalum-j6b
    @BakariSalum-j6b 5 หลายเดือนก่อน

    vita ni akiri vita ya uchumi ndo hii.

  • @candy9969
    @candy9969 5 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu jamaa sio Ndio Anafany uganga wake tiktok

    • @DorahAlbert-eb9zv
      @DorahAlbert-eb9zv 5 หลายเดือนก่อน

      Me pia namuona km ni yule anajitangaza Sana mitandaoni zaidi titok

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 5 หลายเดือนก่อน

      Ni yeye ambae anajufanya mungu mtu pumbavu sana ameniudhi mungu amlani sliko

    • @GodloveMushi
      @GodloveMushi 4 หลายเดือนก่อน

      Ndo yeye

  • @elizajoseph7209
    @elizajoseph7209 5 หลายเดือนก่อน

    Macat cat jamaniiii

  • @SimbaPuyatz
    @SimbaPuyatz 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w 5 หลายเดือนก่อน

    Mnasubiri nini chomeni moto vibanda vyake hivyoo mtu mmoja anasumbua jamii sababu ya tunguli zake huyo ni taperi tu

  • @ElizabethRaju-sx2vu
    @ElizabethRaju-sx2vu 4 หลายเดือนก่อน

    Chuki tu

  • @EmanuelMnubi
    @EmanuelMnubi 4 หลายเดือนก่อน

    Atari sana

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 5 หลายเดือนก่อน

    mbona amekimbia fomo kubwa tu kuuwa mwenzio ajifanya mganga lakini uyu mshenzi sana auliwe pia slafu yuko live tik tok mbona kskimbia nyumbani

  • @AbdonRenatus
    @AbdonRenatus 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo mganga aukumiwe mara moja maana anajuwa kile alicho kifanya na uchunguz uwe wa mda mfupi sana ili haki itendeke

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 5 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmm hiii dunia inamambo mengi

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน

    Manyau nyau salute kuanzia leo nakupa salute 🕴

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 5 หลายเดือนก่อน

      Wote ao wanajuana mm nilimuamin ila sijawai kumtafuta nilikuwa namfatilia kumbe ni zaid ya shetani anamana kabisa

    • @WaridiTambi
      @WaridiTambi 5 หลายเดือนก่อน

      Ukifikia kumuuwa mwezako ww sio mtu wakawaida

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน

      @@WaridiTambi yn ht mm nilomuamin asilimia zote kumbe hafai kabisa 😥

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@WaridiTambi kabisa kwanza huna roho km ya binadamu wenzio ni roho ya ukatili sana

  • @JabilOmary-b7r
    @JabilOmary-b7r 4 หลายเดือนก่อน

    Maisha aya bwana

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk 5 หลายเดือนก่อน +2

    Auliwe na yy kumalamamaake

  • @rosemneney3244
    @rosemneney3244 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo 5 yako sogeza pembeni

  • @merrymichael6126
    @merrymichael6126 5 หลายเดือนก่อน

    Manyaunyau noma xn anavutia kwkr

  • @HaleemSimba
    @HaleemSimba 5 หลายเดือนก่อน

    Imani zakipuzi tuu

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 5 หลายเดือนก่อน

    Matapeli dawa yao ndo hiyo,kwa nini umfanyishe kazi mtu alafu usimlipe hela yake,uyo tapeli msimuache ua kabisa na yeye amfate mwenzie

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 5 หลายเดือนก่อน

    Manyau kama manyau oyeèeeee

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 5 หลายเดือนก่อน +1

    astakagirullah yani domo akiongea ni kama ansuwezo wa kukufua wafu anajufanya yuajua kila kitu jeur na majigsmbo chomeni kila kitu na mkimpata muweni mana amemdhulumu uyu marehem sans

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c 5 หลายเดือนก่อน

    Amebaki huyo kijana naye mmalize kabisaa wapuuzi sana hawa

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 5 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa kwanini wananchi wamuue huyo baba jamani 🥹🥹🥹

    • @rashidmsuya5721
      @rashidmsuya5721 5 หลายเดือนก่อน

      We unaona alikua anafanya vizuri kutishia watu

    • @Mrsmussa-wn6kv
      @Mrsmussa-wn6kv 5 หลายเดือนก่อน

      Sasa nawaowashajitia hatiani kwakuua huyomzee wangeachanserekali ifanye yake

    • @shaibusalim5751
      @shaibusalim5751 5 หลายเดือนก่อน

      Selikali gani

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@Mrsmussa-wn6kvserikal ipi unaambiwa kuua ndo zake na akikamatwa lisaa tu kaachiwa na anajitapa kabisaa

    • @Mrsmussa-wn6kv
      @Mrsmussa-wn6kv 5 หลายเดือนก่อน

      @@salmamlokela1987 niyeye sio wao kilamtu na bahatiyake unambiwa usisafirie nyota ya mwezio sio km yy kafanya makosa naww ulipize makosa acha vyombo vinavyohusika vitashulikia

  • @FatmaZena
    @FatmaZena 5 หลายเดือนก่อน

    Innalillah wainnaillah raj'uun

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu8539 5 หลายเดือนก่อน

    Manyaunyau ukafurahi kweli

  • @OmanBuraimi-wl4tm
    @OmanBuraimi-wl4tm 5 หลายเดือนก่อน

    Wana vibali vyaoo wagangaa

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 5 หลายเดือนก่อน

    Serikali hii ainauaminifu kabisa mpaka mtu anauwawa shauli ya rushwa tuu mpaka hapo ndiyo mujuwe kuwa pesa inasanabisha polisi kulete maafaa kama haya Sasa mtatuambia Nini kuhusu hicho kifoo serikali hii inasikitisha sana

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 5 หลายเดือนก่อน

      Najua tu hapo umeanz kulenga polisi hapo polis ana kosa gani ? Wakat unaona kabisa polis alishaenda na akamtoa dogo, we sema hii Tz yetu ya kimaskini koz mtu inabidi kung'ang'ania sehem unayo fedheheshwa na kisingiziw uizi ili tu ujipatie mshahara wako ukizani hizo zote ni changamoto za kazi ndo hivyo sasa kifo kimemkuta , umaskini wetu Tanzania ndo unao tufanya tudhalilike hata humo maviwandani kwa wahindi,wachina na wazungu manyanyaso yapo saan yani muhindi kukutandika kofi la uso kwake wala sio tatizo na ww ulie tandwika kesho unaenda kzn kama kawaida sa unazani hapo shida nini ? Shida ni unaskini watu wanang'angana ili wapate risk

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 หลายเดือนก่อน

    Wananchi nawapendaga bure.

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 5 หลายเดือนก่อน

    Mnachelwesha chomeni hiyo nyumba na Kila kitu chake serikali haipo kwa masimulizi hayo atuna polisi tuna wafuga maovu rushwa imesababisha kifoo je mtatuambia Nini chomeni Kila kitu iwe fundisho

  • @MwanaHamis-y4e
    @MwanaHamis-y4e 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mtihani kweli kama mmepisha. Kauli si bora angemwmabia kama kazi aliyompa basi jamani kuliko kukatisha uhai wa mwezake kikatili afu ukimuangalia uwezi mzania kipi kikichomsibu au keshapigwa juju na wajanja

  • @RehemaSaid-rg5mr
    @RehemaSaid-rg5mr 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona roo yake ngum

  • @damasiibrahimu8892
    @damasiibrahimu8892 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe uganga ni tasnia

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 5 หลายเดือนก่อน

    Manyaunyau ataingia live amedhapata content😂😂😂