Hapo huyo mlinzi kwa haraka haraka ndo kaiba hilo dude kwa kuwa anadai pesa yake! Na hapo kutakuwa na uvamizi umetokea kwa huyo mganga ila kwenye kupambana huyo mlinzi kauawa na baba mtu kauawa! Ukiskliza vizuri kwa hao majirani zake wana chuki binafsi na wivu mkubwa sana! Huyo dogo ndo kavamiwa! Ila kwa kuwa polisi wanaweza kwenye kupeleleza tutajua tu!
We nawe ninawasiwasi nawe itakuwa umeshiliki kununua hiyo mlinzi maana hapo Bila kuwaza sana moja kwa moja huyo huyo mganga wenyu ndo kamuuwa mlinzi wake
Jaman huyu c ndy yule mganga alitangaza apelekewe Hawa akamtibie bure kabisa kumbe ana roho mbaya hivyo hd kuua watu Subhannallah 😢 Na tunguli zimechomwa moto Laahaula Wala Quwata😢😢😢
nakingine ukiwa sikiliza wananchi wengi hapo pia wana onekana wana chukibinafsi na wivu na huyoo jamaa kwajinsi anavo ishi namajirani zake inaonekana hana ushirikiano mzuri ndio maana wana nchi wameongeza chuki pia
Yani huyojiniazi anasitahikiazabu kali mm namjuwavizuli jiniazi nimoja katiya waliofanya kazina yeye mm nifundi Magali nilio wahi kufanyanae kazi namjuwa kuwa nimtu mmoja muoga sanatuu IRA kwahiro anajutiaa sana maana bb ake yeye ndioo kirakitu kwake poresana jiniazi umenizulumu mpaka mm pombekali kunifayakuni 😮😮😮😮😮😮
kwamatukio mawili yote yaliotokea ni ya kusikitisha sana ila kiukweli tuvi achie vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa vifo vyote viwili kifo cha mlinzi nakifo cha baba wa anaye hisiwa ndio kamuua mlinzi endapo uchunguzi utakamilika kwa wote walio husika kuji chukulia sheria mkononi nakuhusika na mauaji hayoo wachukuliwe hatua kari za kisheria
Hapo ndugu yng kuna utata sasa huyu baba kam kasema mdogo wako kauliwa mm nipo polic alf unaenda unamkuta huyu baba kajifungia ndan kwake na hajaenda huko polic utahic nn ikiwa tayari akili ishakuvuruga kwa kifo cha ndugu yko
Yaani mtu ana mahabusu yake anafanya atakavyo. kisa pesa kisa mganga jamani tunaelekea wapi ? Hebu angalia mambo hayo sasa tanzania amani yetu inakuwaje hapo
Huyu mganga aliye uwa kwakweli inasikitisha huyo mganga kwa maelezo hayo polisi walikuwa wanamlinda 😢 mimi nasema polisi igeni tabia ya polisi wa mkoa wa mbeya nasema haya kwakuwasifu wanafanya kazi kwa weredi ingekuwa ni mbeya yasinge fikia hapo mwalifu mbeya anazibitiwa mapemaa ili mwalifu asijeleta mazara hebu sikiliza maelezo hayo je polisi walipewa tarifa na wakaja awakuchukuwa tarifa yoyote mpaka imefikiwa hapo nani mzembe kama sio polisi Ingekuwa mbeya duu polisi mbeya na mkuu wa mkoa wake wako makini tunaa anani kwakweli uhalifu umepunguwa mbeya kwa msada wa polisi mbeya huyo mkamateni na anyongwee
@@fadhilimsafiri216kuna siku niliiona video kamkamata kijana anasema ni tapel anacopy dawa zake na tishert anapita bara baran akiuza dawa feki alikua anampiga sana nikajisemea huyu kijana sizan kama alitoka salama hapo ndani 😢
astakagirullah yani domo akiongea ni kama ansuwezo wa kukufua wafu anajufanya yuajua kila kitu jeur na majigsmbo chomeni kila kitu na mkimpata muweni mana amemdhulumu uyu marehem sans
Serikali hii ainauaminifu kabisa mpaka mtu anauwawa shauli ya rushwa tuu mpaka hapo ndiyo mujuwe kuwa pesa inasanabisha polisi kulete maafaa kama haya Sasa mtatuambia Nini kuhusu hicho kifoo serikali hii inasikitisha sana
Najua tu hapo umeanz kulenga polisi hapo polis ana kosa gani ? Wakat unaona kabisa polis alishaenda na akamtoa dogo, we sema hii Tz yetu ya kimaskini koz mtu inabidi kung'ang'ania sehem unayo fedheheshwa na kisingiziw uizi ili tu ujipatie mshahara wako ukizani hizo zote ni changamoto za kazi ndo hivyo sasa kifo kimemkuta , umaskini wetu Tanzania ndo unao tufanya tudhalilike hata humo maviwandani kwa wahindi,wachina na wazungu manyanyaso yapo saan yani muhindi kukutandika kofi la uso kwake wala sio tatizo na ww ulie tandwika kesho unaenda kzn kama kawaida sa unazani hapo shida nini ? Shida ni unaskini watu wanang'angana ili wapate risk
Mnachelwesha chomeni hiyo nyumba na Kila kitu chake serikali haipo kwa masimulizi hayo atuna polisi tuna wafuga maovu rushwa imesababisha kifoo je mtatuambia Nini chomeni Kila kitu iwe fundisho
Mtihani kweli kama mmepisha. Kauli si bora angemwmabia kama kazi aliyompa basi jamani kuliko kukatisha uhai wa mwezake kikatili afu ukimuangalia uwezi mzania kipi kikichomsibu au keshapigwa juju na wajanja
Huu mwezi mbona umekuwa Wamoto sana matukio ya vifo yamekuwa mengi
Hiv mpk sasa bado watu mnaamin ugang jaman daah mpo dunia ipi
Ukweli utajulikana subirin washenz nyie michongo yote mnaijua na manyau wenu
Hao mwisho wao sio mzuri wanajifanya waganga kumbe matapeli dua za wanaowatapeli zinaanza kufanya kazi😅😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😂😂😂😂
Hakika tena. Itakuwa Dua la kuku limempata mwewe😅😅.
UGANGA upo Tena nikazi yaheshima, lkn Sasa UGANGA umevamiwa na matapeli, Hasan humo DAR nimtihani.
Tatizo sisi wantanzania unapenda sana mambo ya ushirikina
Jamaa hafungwi ana vibuyu vingi Sanaa na akarudi mtakoma apo mtaani jamaa ameshindikana Kwa uchawi😅😮😢
Mungu pekee ndiye mshindi hakuna
,😂😂😂😂
Hakuna wa kuaminika kwenye hii dunia ya leo😢😢😢😢
Taz mshenzi sana na ni tapeli uganga wenyewe jau tu
Ndo mwisho wake sasa
Ila nilikua naona kweny tv yake akipost mna comment nakumshukuru mmefanikiwa leo mmemgeuka n tapeli😂😂😂😂
Na mm ndo nimebak mdomo wazi hapa 😮
Binaadam kugeuka dakikatu
Kawapanga watu wakutoa shuuda tapel mkubwa siku yake imefika
😂😂😂😂😂
Iyo ni biashara,mimi unipage nitoe shuhuda,napewa hel naanzaje kukataa
Hapo huyo mlinzi kwa haraka haraka ndo kaiba hilo dude kwa kuwa anadai pesa yake! Na hapo kutakuwa na uvamizi umetokea kwa huyo mganga ila kwenye kupambana huyo mlinzi kauawa na baba mtu kauawa! Ukiskliza vizuri kwa hao majirani zake wana chuki binafsi na wivu mkubwa sana! Huyo dogo ndo kavamiwa! Ila kwa kuwa polisi wanaweza kwenye kupeleleza tutajua tu!
Chefuu
@@salmamlokela1987😂😂😂 eti chefuu
We nawe ninawasiwasi nawe itakuwa umeshiliki kununua hiyo mlinzi maana hapo Bila kuwaza sana moja kwa moja huyo huyo mganga wenyu ndo kamuuwa mlinzi wake
Mungu atusaidie jamani,damu ya huyu askari itanena juu yao
Jaman huyu c ndy yule mganga alitangaza apelekewe Hawa akamtibie bure kabisa kumbe ana roho mbaya hivyo hd kuua watu Subhannallah 😢
Na tunguli zimechomwa moto Laahaula Wala Quwata😢😢😢
Ndio huyo huyo jaman daah 😢
Nitapeliiii piaa
Katapeli wengi
Ni huyu mbwa sana na lisura lake kama KENGE MAJI
nakingine ukiwa sikiliza wananchi wengi hapo pia wana onekana wana chukibinafsi na wivu na huyoo jamaa kwajinsi anavo ishi namajirani zake inaonekana hana ushirikiano mzuri ndio maana wana nchi wameongeza chuki pia
Ni mjeuri kuua watu ndo kawaida yake
Kweli
Kumbe huyu mganga ni mshenzi sana kuanzia leo hapati like zangu
Mbona huyu nyau kam ndo main 🎯 target inawezakanaje mtu mnalumbana kila siku half siku ya tukio unafika mwanzo 😅 Kwa waandishi? ila Tanzania bahna
Hilo john ni mwixi mla rushwa likamatwe.
eti mfarume wa dawa manina zake uyo dogo anasema eti kun faya kun mungu leo kakuonesha kwamba yey ndomfalme wawa falume namungu endelea kuwanyosha
Yani huyojiniazi anasitahikiazabu kali mm namjuwavizuli jiniazi nimoja katiya waliofanya kazina yeye mm nifundi Magali nilio wahi kufanyanae kazi namjuwa kuwa nimtu mmoja muoga sanatuu IRA kwahiro anajutiaa sana maana bb ake yeye ndioo kirakitu kwake poresana jiniazi umenizulumu mpaka mm pombekali kunifayakuni 😮😮😮😮😮😮
Huyo jamaa bado yupo uraiyani ? Mkuu wa police wa mkoa wa dar leta jibu
Huyo n shetani lake limeelekeza achinjemtu ili uchawi ukoleee na mdogo wako nae kajiponza kafungiwa,badi ajirudisha ndoo kauliwa,hakili zero, alonae,
Allah tupe Stara, Angalia kifo aluchokufa huyo mzee,Wewe Mganga kesho utajibu Mbele ya Allah,umesababisha kifo cha Baba yako pasipo hatia,
Ila kweli mapaka paka ni noma yani umempiga shakizi la nguvu ukoo wa huyo Taz tapeli bado yeye lazima nae amalizwe 😂😂
shakizi ni nini?
Ni kitu cha kutupiwa mfano limbwata au kurushiwa jini la kujinyonga
Wivu tu tafuteni PESA acheni ubabaifu
Mtu kauwawa na ni nyumbani kwa huyo Taz. Wewe unasema wanawivu!!!! We mpumbavu kabisa
Angekuwa ameuwawa mwanao au ndugu yako ungesema wivu?Temea mate chini yasikufike
Kwani waganga wanauwa😮😮
Hapa ssa ndio amempa manyaunyau chakuongea😂😂😂😂
Kabisa
Yn nakwambia huko tiktok mbona tutakoma 🤣🤣
kwamatukio mawili yote yaliotokea ni ya kusikitisha sana ila kiukweli tuvi achie vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa vifo vyote viwili kifo cha mlinzi nakifo cha baba wa anaye hisiwa ndio kamuua mlinzi endapo uchunguzi utakamilika kwa wote walio husika kuji chukulia sheria mkononi nakuhusika na mauaji hayoo wachukuliwe hatua kari za kisheria
hili linaweza kua na taswira tofauti ata na tunavoliona
Chezanavyote siokaziyauganga wakujitangaza lzma upingwe tukio
uyu taz mpumbavu sana yuajifanya anahasira ata maongezi yake simpenfi uyu mganga tapeli mungu ajalie spatikane auliwe pia
Chomeni na hilo Jengo
Mwezi mmoja mbele Taz anarud hapo kaeni mbali nae hawezi kufungwa ni mchawi hafai
Hahaha
Chomeni nyumba hiyo asirud
Huyo angechomewa nyumba mshenz huyo😢😢😢😢
Huyu jamaaa mweny t shirt nyeupe mnafki
Sasa uyo baba Ake mmemuuwa amefanya Nini mmemuonea ila mtamlipa kesho kiama mlikua mumuuwe mwenyewe
Hapo ndugu yng kuna utata sasa huyu baba kam kasema mdogo wako kauliwa mm nipo polic alf unaenda unamkuta huyu baba kajifungia ndan kwake na hajaenda huko polic utahic nn ikiwa tayari akili ishakuvuruga kwa kifo cha ndugu yko
Chomeni na nyumba, choma kilakitu nayeye mkimkamata tia moto tu
Huyo baba mliomuua mtakamatwa nyie mkome! Tena hao vimbelembele wa kumjibu muhandishi wa habari!
Huyu mwenye kapelo ni manyaunyau yy mwenyewe mganga tapeli
Pole bro
Ss niulize kwa nn mukamuua babake na aliye sababisha kifo cha mlinzi ni taz hamja fanya poa ata mbele ya Allah nyinyi munge dili na TAZ
Hawajafanya vizuri kabisa. Nashanfaa wengine wansona sawa tu. Na je sliyemuua huyo mlinzi ni nani?
Eti kwa nini wasimpeleke polisi
Yaani mtu ana mahabusu yake anafanya atakavyo. kisa pesa kisa mganga jamani tunaelekea wapi ? Hebu angalia mambo hayo sasa tanzania amani yetu inakuwaje hapo
Duh inaumaaa
What country is this?!
Tumutegemee Mungu binadamu siyo wema
WANANCHI MMEFANYA VZR KUMUUUA HUYO BABA
Ss kwnn mmemuuwa baba ake wkat yy ausiki wnanchi na jyie mkatwe mana mmeuwa vile vile na kwnn muibe fenucha za ndani nyie ni wezi
Sikilza vizur kakamtu anavyoongea huyo baba nae kausika
Afe huko pia nae damu Moja ya uuwaji
Huyu mganga aliye uwa kwakweli inasikitisha huyo mganga kwa maelezo hayo polisi walikuwa wanamlinda 😢 mimi nasema polisi igeni tabia ya polisi wa mkoa wa mbeya nasema haya kwakuwasifu wanafanya kazi kwa weredi ingekuwa ni mbeya yasinge fikia hapo mwalifu mbeya anazibitiwa mapemaa ili mwalifu asijeleta mazara hebu sikiliza maelezo hayo je polisi walipewa tarifa na wakaja awakuchukuwa tarifa yoyote mpaka imefikiwa hapo nani mzembe kama sio polisi Ingekuwa mbeya duu polisi mbeya na mkuu wa mkoa wake wako makini tunaa anani kwakweli uhalifu umepunguwa mbeya kwa msada wa polisi mbeya huyo mkamateni na anyongwee
Não Police waliofika hapo mala ya kwanza wafungwe kifungo Cha milele
Ila huyo tazi aliambiwa Na Shekh suleima Allah atamuumbua 😢subuhhallaah ona leo hii kadhalilika japo kakimbia
Pole sana kaka
Ki2 kingn jeshi l police wanpo sikia taalifa km wanatkiw wawe kipaumbele kwend kumchkua mtuumiw il kuepush v2 km hv
Waende wakati wanataka rushwa
Siokweli waugovi namayauyau labud kawatma
Bomoeni hayo majengo
Manyaunyau anachuki naomba. Jeshilimkamate manyau nyau atowe ushahd
Aliye kuuwiya mdogo wako ni Manyaunyau
Si huyu jamaa anakua tiktok wah
8:42 Manyaunyau kapata pakujipigia promo😂😂
Umeonaee
Subhanna Allah huyu mganga nilimuona Tik tok Ana majibu ya jeuri kwel
kwanz haja wahi kucheka mie namuelewa huyu mganga
Tapeli yule na katili sana
@@jassminemubarak2828 mm nilimuona tu Tik tok Ana majigambo Subhanna Allah
@@fadhilimsafiri216kuna siku niliiona video kamkamata kijana anasema ni tapel anacopy dawa zake na tishert anapita bara baran akiuza dawa feki alikua anampiga sana nikajisemea huyu kijana sizan kama alitoka salama hapo ndani 😢
Niwaogo bwana wanatak kuletea ujaja tu
Roho mbaya zinawasumbua masikini
Yote mipango ya manyau nyau kamsukumia afanye ayo
Aiseee !!!!?¿??
Umpige mtu na kitu kizito had anyonyoke nywele😢😢😢😢Mungu tutetee
Mtihani
Manyau nyau kaja kuakikisha km. Dawa zake zimefanya kz yn unekuja kbs unaht haibu
Yan
Sasa ata mukijoma si ataunda zingine
Huyu mujawi
Anamdom Huy Taz khaaa sijawah kuona majivuno sasa
Utajiri wenyew wa kutapeli watuuuuu
tunaomba mkono wa shelia umfuatilie uyo tuz
Manyaunyau kwake nifuraha ya kunguru😅😅😅😅😂😂badala ya masikitiko😢😢😢
Tena kapata la kusemea tiktok huko 🤣🤣
Mbona mna focus sana kwenye hayo matunguri 🥱
vita ni akiri vita ya uchumi ndo hii.
Uyu jamaa sio Ndio Anafany uganga wake tiktok
Me pia namuona km ni yule anajitangaza Sana mitandaoni zaidi titok
Ni yeye ambae anajufanya mungu mtu pumbavu sana ameniudhi mungu amlani sliko
Ndo yeye
Macat cat jamaniiii
Mmmmh
Mnasubiri nini chomeni moto vibanda vyake hivyoo mtu mmoja anasumbua jamii sababu ya tunguli zake huyo ni taperi tu
Chuki tu
Atari sana
mbona amekimbia fomo kubwa tu kuuwa mwenzio ajifanya mganga lakini uyu mshenzi sana auliwe pia slafu yuko live tik tok mbona kskimbia nyumbani
Huyo mganga aukumiwe mara moja maana anajuwa kile alicho kifanya na uchunguz uwe wa mda mfupi sana ili haki itendeke
Mmmmmm hiii dunia inamambo mengi
Manyau nyau salute kuanzia leo nakupa salute 🕴
Wote ao wanajuana mm nilimuamin ila sijawai kumtafuta nilikuwa namfatilia kumbe ni zaid ya shetani anamana kabisa
Ukifikia kumuuwa mwezako ww sio mtu wakawaida
@@WaridiTambi yn ht mm nilomuamin asilimia zote kumbe hafai kabisa 😥
@@WaridiTambi kabisa kwanza huna roho km ya binadamu wenzio ni roho ya ukatili sana
Maisha aya bwana
Auliwe na yy kumalamamaake
Hiyo 5 yako sogeza pembeni
Manyaunyau noma xn anavutia kwkr
Imani zakipuzi tuu
Matapeli dawa yao ndo hiyo,kwa nini umfanyishe kazi mtu alafu usimlipe hela yake,uyo tapeli msimuache ua kabisa na yeye amfate mwenzie
Manyau kama manyau oyeèeeee
astakagirullah yani domo akiongea ni kama ansuwezo wa kukufua wafu anajufanya yuajua kila kitu jeur na majigsmbo chomeni kila kitu na mkimpata muweni mana amemdhulumu uyu marehem sans
Amebaki huyo kijana naye mmalize kabisaa wapuuzi sana hawa
Sasa kwanini wananchi wamuue huyo baba jamani 🥹🥹🥹
We unaona alikua anafanya vizuri kutishia watu
Sasa nawaowashajitia hatiani kwakuua huyomzee wangeachanserekali ifanye yake
Selikali gani
@@Mrsmussa-wn6kvserikal ipi unaambiwa kuua ndo zake na akikamatwa lisaa tu kaachiwa na anajitapa kabisaa
@@salmamlokela1987 niyeye sio wao kilamtu na bahatiyake unambiwa usisafirie nyota ya mwezio sio km yy kafanya makosa naww ulipize makosa acha vyombo vinavyohusika vitashulikia
Innalillah wainnaillah raj'uun
Manyaunyau ukafurahi kweli
Wana vibali vyaoo wagangaa
Serikali hii ainauaminifu kabisa mpaka mtu anauwawa shauli ya rushwa tuu mpaka hapo ndiyo mujuwe kuwa pesa inasanabisha polisi kulete maafaa kama haya Sasa mtatuambia Nini kuhusu hicho kifoo serikali hii inasikitisha sana
Najua tu hapo umeanz kulenga polisi hapo polis ana kosa gani ? Wakat unaona kabisa polis alishaenda na akamtoa dogo, we sema hii Tz yetu ya kimaskini koz mtu inabidi kung'ang'ania sehem unayo fedheheshwa na kisingiziw uizi ili tu ujipatie mshahara wako ukizani hizo zote ni changamoto za kazi ndo hivyo sasa kifo kimemkuta , umaskini wetu Tanzania ndo unao tufanya tudhalilike hata humo maviwandani kwa wahindi,wachina na wazungu manyanyaso yapo saan yani muhindi kukutandika kofi la uso kwake wala sio tatizo na ww ulie tandwika kesho unaenda kzn kama kawaida sa unazani hapo shida nini ? Shida ni unaskini watu wanang'angana ili wapate risk
Wananchi nawapendaga bure.
Mnachelwesha chomeni hiyo nyumba na Kila kitu chake serikali haipo kwa masimulizi hayo atuna polisi tuna wafuga maovu rushwa imesababisha kifoo je mtatuambia Nini chomeni Kila kitu iwe fundisho
Mtihani kweli kama mmepisha. Kauli si bora angemwmabia kama kazi aliyompa basi jamani kuliko kukatisha uhai wa mwezake kikatili afu ukimuangalia uwezi mzania kipi kikichomsibu au keshapigwa juju na wajanja
Mbona roo yake ngum
Kumbe uganga ni tasnia
😅😅😅😅
Manyaunyau ataingia live amedhapata content😂😂😂