PATANISHO : DORIS - VINCENT ALIANZA KUWEKWA NA MUMAMA...SIRUDI KWA HIYO NDOA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.พ. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho #ongeausikike
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - วิทยาศาสตร์และเทคโนโลยี
I love this lady move on girl mapenzi itajileta
Good girl wise woman tell him the trueth
Amewekwa na mumama wa chums...I love that..
Huyu dem haezi rudi ju ali ingia Kwa ndoa akiwa mdogo na sai ndio amekomaa haezi jaribu ata kidogo
Walai 2009 ni mbali alikuwa 12yrs😢😢
True. Wanaume wamemwonesha mapenzi hapa nje
Jeuri masikini 😅
Wanaume wa hapa na pale, wasiwasi kama kuku mgeni.
Mwanamme mvumbavu sana
Nachukia hii ujinga ya "babangu ako na mabibi wawili...mara oòoooh...mara eeeeeh 😏😏😏😏...
Wacha watu waoe peleka ujinga kwenu
@@barygarcia3128 ata jina lako linakusaliti tu...kwani Kuoa,owa ni werevu 😏...?...uoe, uoleke it's you business 😏😏😏
Bro yamekuzindi.. Wife ako mature kuliko bwana..
💖💗🌺🌹🌺🌻 mama🤚
Jamaa amewekwa 😂😂
Nkt what if azae muschana Tena?huyu jamaa hauyuko sawa
Ana oa mwingine
A good woman amesha kutoka so Vincent wachana na huyu mrembo ,juu wewe ni mhanyaji ata unaweza pakanisha watu magonjwa nkt
Si watoto ni wako ata ukiwanunulia vitabu😂I like this woman. People don't want to take responsibility for their kids. Watoto ni wako shughulika mzee
Huyo jamaa akae na huyo side🦃awachane na Doris .huyu jamaa ni mkora mto anaoa bibi anarusha ocha anakuja tao anaoa bb mwengine nkt kula jeuri yako
Alo 39 na akili hakuna
Ni Daniel Mutua radio ukona shida pande za kitui town
Ako kwa jimama 😂😂😂eeeish gidi 💔💔💔huyo jamaa Hadi -serve huyo Dem hataa
Kwanza ujumbe unatumwa vipi radio jambo 😢
Huyu mwanaume ako confused
Hii nayo utacheka😂😂😂😂😂 uku inje ni kubaya jamani😂😂😂😂
😂😂😂😂mmama,
Mumama 😂😂
Hawa ni wale men wanataka mabibi wengi na hawajiwezi.anataka doris atambulike as first wife amuwache home na shida huku akulishwa na mmmama
Vincent aibu kubwa mno 😂😂😂
sema kimeumana😂😂😂
Hizi ni zile ndoa za ngono na taabu
Hao ni akina nani Ngono na Tabu ama ni title ya TV show?
Kwani Gidi ako Pregnant.waa aanze clinic mapema 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
Moshene atawachia nani😂😂😂😂😂😂😂
2024 Doris ako 26 yrs old. Walioana 2009🤔... alikuwa 11 yrs old!!! 😂😂 hii ni kipindi tu
Kama dem ako 26 yrs na wameoana 2009 alioleka akiwa teenager?
Nashindwa
It's like she was married at 11yrs!!!
Guess ni 2019
Aliolewa akiwa mdogo yawa😮
@@emilysawayi5787nikama ameandika vibaya
Kwa Sasa jamaa anastay eldi kwa Mumama jinake philis
Huyo mwanaume anajifanya mjuaji hile haiko ujinga ya kujiwekalea ni ng'ombe
Vinnie Vincent nickname ni tupatupa
Naombea huyo jimama apate baby girl 😅😅😅
Life is not a Nigerian movie
Vinny kula ujeuri wako nabhakolwe asha move on😂😂😂😂😂😂
Wakaniaru has graduated.. kudos Doris
Tafta pesa Doris
Nikupitia tu comments sina la kuongezea
Vincent hataki kuchoka
Wapi mumama
Huyo mwanamke haezi rudi mzee mjinga sana kile alikosa kw a1st wife si apate kwa uyo mmama jinga sana
U speak as if polygamy ni allien thing
Vincent ni mluhya😅😅😅😅
26!!! 2009!!!! How old were they when they got married?! Especially the girl?!!!
😢 she was ten years old
2014-2009 ni 15years
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
She was very young, Kuna kastage ka usichana hakupitia Na this is her time
Huyu mwanamme hakuingia biology class
True.
The gender of the child is determined by the father, upon conception. Atashinda akioa na kuzalisha mabibi ati anatafuta a male child.
Mwanamke akichoka hapo habanduki. Vincent kaa na limama lako wacha ujinga wewe.
Ridhikà na mumama achana na binti wa watu
Huyu jamaa alisoma bio kweli kati yake na bibi nani anapeana mimba
He is just useless guy
mko na whasapp number
Vincent ako na Madharau sana na tena sio Romantic😣
Mumama😂😂😂