PATANISHO : TUNAPIGANANGA ALAFU TUNARUDI TUNAONGEA - PETER WAMBUA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Let me take this opportunity to thank Radio Jambo especially you Gidi and Ghost for the commendable work you are doing to unite broken families rather than them going to the witch doctors seeking for help. On this issue, allow me thank Mama Matilda for her understanding, she's a sweet mother-in-law that doesn't need to be loose. My brother Wambhua should style up. Ongera sana Gidi na Ghost.
At least we got clients who can express themselves wisely 😊. It was clear and on spot!
Gidi tafadhali hawa jamaa wanataka kupatanishwa wengi ni come we stay.so tafadhali waulize ikiwa hawajaenda kwa wazazi,achana na hio patanisho.coz wamezoea kuchezea watoto wa watu.
Kwani kukaaa kwa majirani ni makosa kweli,uenda hikawa hana poeka kwa nyumba peke yake ??? Lazima huyu jamaa hako na maneno.
Na hata hashughuliki kitu😅😅..na kumchapa
Aki wazazi upitia mingi
Very good mum😊😊
Mwanaume bwege huyo
Always mwanamke akienda kwao anajitetea hata kama alikosa ili mwanaume aonekane na makosa.
Kama umewacha watoto wako kwenu hio ni ndoa gani my sister?? Ngombe iende na kamba yake
Wambui ana ID na haendi hustle kazi yake ni kukaa nyumbani kama mja mzito? Bure kabisa, mavi ya kuku.
Huyu jamaa alitesa mkewe Sasa anataka arudi amlee mama usiruhusu arudi alee watoto
Hata mm nikue Matildah sitaki huyo mwanamme kabisaaa .
Team Spain gonga like
I just like that mother's wisdom,how i wish other women could follow that path instead of favouring one side
Mko na bahati mkipigana mnarudiana
This is my best redio ever,I love you gidi na gost❤❤❤
Watoto waende Kwa baba zao
Gidi punguza maswali meeeeeengi wakati mtu anajieleza.Unapenda kuvunja watu mioyo na kutetea wanawake.Wakati mwanamume anajieleza hautaki kumupatia mda ajieleze,lakini mwamamke unamupatia mda.Hajana upaguzi wewe
Umesema ukweli
@@cliffnyariki1513 Afadhali ghost mara mia kuliko Gidi.Gidi nikama yeye ni malaika hajawai kosana na bibi yake.
Huwa Gidi hampi nafasi ghost aongee@@EricAbega-n1e
Gidi yuko tu sawa hawezi side na ubaya,mbona asiende kwa kina bibi kama hana hatia?hakuna mzazi ataona son inlaw kwake na amutendee uovu lazima watasikia both sides,so don't blame Gidi yeye anafabya kazi yake kulingana
Gidi ni fala Sana, afadhali Ghost maze. At least this time hawatoki western wueh!
WANAUMEE mnatoanga wapi nguvu ya kuoa na kuzalisha ma single mothers? Nani aliwalea
Giving wacha kuonea huyu mwanaume
Unaongea kama single mum si watu..na umejazaa watoto kila mahali...
Hata huyu wambua wako hana pesa na adabu..
@@priscaooko4626 WEWE unaeza taka mtoto Wako wa kijana akuletee single mother wa watoto wawili ati amepata bibi? Alafuu kama wambua Hana pesa mbona huyo single mother alikubali kuolewa na yeye?