Ubarikiwe sana naomba hongera sana asante kwako darasa Mungu akubariki sana naomba kujua hizi maligafi za kutengeneza nazipataje kipenzi na marashi unachukua yoyote dukani au zipo kwa ajili ya utengezaji wa sabuni
Ahsante sana dada nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwako Mungu akuongezee maarifa zaidi na zaidi pia malengo yako unayoyatamani uyafikia, ngoja nami nifanye practic
@@LilianMollel-d8i amina dear ❤️ karibu pia ujipate mafunzo ya sabuni hii na bidhaa nyingine nyingi za viwandani kwenye kitabu. Wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Asante sana dada kwa upendo wakujitoa kutufundisha kupitia mtandaoni. Nimependa sana maana maligafi ni chache ambazo haziwezi kumchanganya mwanafunzi. Nataka nianze biashara ya kutengeneza sabuni dumu la lita 5 natakiwa niuze kwa shilingi ngapi?
@@AZIZAKAPITA-hn4dy Asante kipenzi, unaweka mwishoni kabisa. Karibu pia ujipatie kitabu kina mafunzo mengi zaidi ya bidhaa za usafi na urembo 0687786576.
@@UrsulaAurelian Hongera kwa kujaribi dear, karibu ujifunze zaidi kwenye kitabu cha jinsi ya kutengeneza bidhaa za viwandani za usafi na urembo 0687786576.
@@EvodiaThomas tafadhali, jipatie kitabu kina mafunzo mengi ya bidhaa nyingi zaidi na vipimo vyote. Gharama ni elfu 30, wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Dada asante kwa formular nzuri. Sabuni ni nzuri na nimefuata steps zote kama wewe....ila in less than 24hrs sabuni ilibadilika from Apple green to brown.....texture iko nzuri povu lipo vizuri preservative nimeweka nusu kopo kama ulivosema ila imebadilika rangi sasa...should i be worried? Au ndo nimepata hasara ivo😢😢
Karibu dear. Caustic inatabia ya kupausha rangi hata ikitumika kwenye sabuni za vipande, sasa inategemeana na rangi na rangi nyingine hazipauki. Nashauri ongeza rangi na ukiona usumbufu kuhusu rangi, utakapotengeneza tena usiweke rangi.
Pia dada naomba kujua kama umefundisha sabuni ya kunawia mikono na ile ya vyombo tu. Nimejarbu kuangalia video zako sijaona. Mungu akubarik sana kwa elimu hii nzuri
Hapo ulichangaya maji Lita tatu na caustiki soda, lakin kwenye maelekezo Yako unasema umetumia nusu ya caustiki kivipi? Wakati ulichangaya kilo Moja yote kwenye maji hayo ya Lita tatu.sijaelewa vzr.
ubarikiwe sana dada,, formula yako imenisadia sana. shida yangu ni kwenye rangi.. nikiweka rangi ya blue inabadirika kuwa pink baada ya mda fulani.. ninashindwa wapi?? naomba nisaidie
Habari dada...Mimi nataka kutengeneza sabuni ya maji Ila ni ya biashara na mtji wangu ni 100000 naomba nimpe ushauri nianze na Lita ngp?vifungashio viwe na ujazo wa kiasi gn? Rangi gn na parfurm gn inayo pendwa na wateja na nitumie dawa gani ya kuzuia isiharibike na je naomba unisaidie kudizaini nembo ya biashara. Asante mi Niko morogoro naitwa William mwaka huu 2024 nataka nitoboe mapema snsn
Nashauri anza na ya majaribio ya lita 20 kwanza ili uwe na hakika kuwa umejua vizuri kutengeneza. Nashauri kama utatumia formula hii utumie chumvi ya mawe badala ya dukani. Rangi ya bluu ni nzuri pia kwenye perfume lemon inapendwa kwenye multipurpose soap. Dawa ya kuzuia isiharibike tumia DMH. Nembo ya biashara wapo wataalamu wa hizo kazi.
Hello! Naomba kuuliza hy castic soda sio km itakuwa kali kw hy liquid soap? Mie navyojua ni kw ajili ya sabuni ya vipande! Plz naomba nieleweshe! Ok shukrani madame
Barikiwaaa Sana Dadangu ,Je naweza kutumia sabuni hiyo pasipo tumia sabuni ya mche katika kufua nguo chafu ? Mimi natengeneza sabuni ya mche hivyo naweka caustic kg 3na gm 400 .maji lita 10 . sasa je, naweza tumia hiyo caustic sonl yangu ktk kutengeneza sabuni ya maji uliyoielekeza?
Mtaji shilingi ngapi dada
Inategemea unataka kutengeneza ya lita ngapi mpendwa.
Hiv vitu vitapatika maduka gani jamn
Nimelipenda somo endelea kutufunza zaidi ❤
Nakupenda dada ❤
Iyo preservative unaweka ukishakuwa umechanganya au unaweka mwanzoni naomba nisaidie kujua
Ubarikiwe sana naomba hongera sana asante kwako darasa Mungu akubariki sana naomba kujua hizi maligafi za kutengeneza nazipataje kipenzi na marashi unachukua yoyote dukani au zipo kwa ajili ya utengezaji wa sabuni
@@theclamarealle6052 Karibu tuwasiliane ili upate kitabu utajifunza mengi 0687786576.
Ahsante sana dada nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwako Mungu akuongezee maarifa zaidi na zaidi pia malengo yako unayoyatamani uyafikia, ngoja nami nifanye practic
Amina dear. Ubarikiwe.
Asante nimewiwa kujifunza ubarikiwe.
Asante Sana dada mi nitakutafuta na je sabuni ya kunawisha mikono inatengenezwaje
@@UpendoMwakyusa-hp6lg kuna video nilishapost angalia dear.
Hongeraaa mdada ,,,na Asantee kwa elimu nimejifunza kitu Mungu akutunze
Amina, asante kwa kutazama.
Dada nashukuru sana kwa elimu nzuri Mungu azidi kukuinua katika ndoto zako na maono yako ya kusaidia vijana
Amina 🙏🏾 tubarikiwe sote.
Asante sanaa mpendwa Mungu akubariki sanaa anaomba unisaidie hizo maligafi inapatikana wapo mpendwa
Hongera sana kwa ubunifu nzuri je usipoweka gricelin haitakata mikono na je unnaweza kuoshea vyombo
@@praxedachenya4101 asante, glycerine ni muhimu sana kuweka. Inafaa ndio.
Asnte Sana dad's mnzuri hauna hauna choyo nimekuelew nimefanya nikapat matokeo ma nzuri kaisa Mungu akubariki
Amina dear, Mungu akubariki pia.
Mali ghafi zinapatikana kwa bei affordable au ni ghari
@@franzoonlinetv3641 bei nafuu
Nimependa malighafi ni chache sabuni bora kabisa asante
❤ Mungu akubariki saana....
@@LilianMollel-d8i amina dear ❤️ karibu pia ujipate mafunzo ya sabuni hii na bidhaa nyingine nyingi za viwandani kwenye kitabu. Wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Hongera. Sana Mungu akubariki sio mchoyo
@@loicymwakyanjala2828 amina dear, asante na Ubarikiwe.
Asante sana dada kwa upendo wakujitoa kutufundisha kupitia mtandaoni. Nimependa sana maana maligafi ni chache ambazo haziwezi kumchanganya mwanafunzi. Nataka nianze biashara ya kutengeneza sabuni dumu la lita 5 natakiwa niuze kwa shilingi ngapi?
Asante dear. Lita 5 uza elfu hadi elfu 11 ndio bei zake.
wow!👏👏👏
@@Clements8814 ❤️
Nashukur dada Kwa daras zur mungu akupe uwezo na kipato Zaid ila naomba msaada kuusu rebo nazipataje
@@AshaNyanga Amina 🙏🏾 tuwasiliane
Barikiwa umenitoa mahar good bless you
Amen 🙏🏾
Asante je nikitengeneza lt 20 naweza kutumia coastic soder kg 1 na je nahitajikankuweka glyceline ilikizui kuchubua ngozi
@@praxedachenya4101 karibu ujipate mafunzo ya sabuni hii na bidhaa nyingine nyingi za viwandani kwenye kitabu. Wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Chumvi umesema nusu, mfuko mzima Ina ujazo gani?
Asante dada ila nlkua nauliza hizo marighaf zinapatkan kweny maduka yapi??
@@yaholakuyi7986 kwenye maduka ya malighafi. Kwa mafunzo zaidi karibu ujipatie kitabu 0687786576.
Asante sana, Tunaomba pia utuandalie darasa la kutengeneza Shampoo kwa malighafi chache kama hizo
Sawa dear. Nitabuni ya design hiyo.
Hii njia rahisi sana ila cjackia ukiitaja glycerin na DMH au sio lazima?
Hongera sn dear, nimejifunza kitu kizuri barikiwa mumy.
Amina dear. Karibu.
Ubarikiwe sana Somo ni zuri mno
Asante dear ❤️
Preservative unaweka wakati gani?
Ahsante sana,nimejifunza
@@AZIZAKAPITA-hn4dy Asante kipenzi, unaweka mwishoni kabisa. Karibu pia ujipatie kitabu kina mafunzo mengi zaidi ya bidhaa za usafi na urembo 0687786576.
Costic si ndio sodash dada auuu
@@JaneOnyango-fb7li hapana
Asante sana dada kwahii elimu, naomba kuuliza malighafi hizi zinapatikana ktk maduka gn
Kwenye maduka ya malighafi dear.
Inaitwaje?
@@juliethmunhambo4116 nini inaitwaje?
@@annaclaireshijaduka inaitwaje
Nzuri sana dada na nimejaribu imekuwa nzitooo ila haishiki rangi cjui kwann ipo rangi ya gold
@@UrsulaAurelian Hongera kwa kujaribi dear, karibu ujifunze zaidi kwenye kitabu cha jinsi ya kutengeneza bidhaa za viwandani za usafi na urembo 0687786576.
Asante sana dada.kwa elimu uliotupatia .
Karibu sana mpendwa.
Asante dear kwa kufundisha vzr lkn naomba kuuliza presevertiv ambayo umetumia ni ipi ili kuhakikisha sabun haiharibika
Inaitwa DMH dear.
Aksante kwa darasa lenye manufaa. Naomba jina la hiyo preservative
DMH.
Asante kwa somo zurii, naomba kuiliza isipoweka glycerine haiwez kakamaza mikono?? Na kuifanya sabuni isiwe soft??
Ila glycerine inapausha mikono kwahiyo ni muhimu kuongezea.
Upooo vizur mungu akiinue saana na zaid
Amina dear 🙏🏾
Unaweza weka glycerin nkiac gan
Robo lita.
Naomba majina ya vifaa ulivyoyumia ili na mimi nijaribu kutengeneza
@@EvodiaThomas tafadhali, jipatie kitabu kina mafunzo mengi ya bidhaa nyingi zaidi na vipimo vyote. Gharama ni elfu 30, wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Hivyo vitu vinapatikana sehem gan
@@ElissaMweli-pb1pp tafadhali wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Dada asante kwa formular nzuri. Sabuni ni nzuri na nimefuata steps zote kama wewe....ila in less than 24hrs sabuni ilibadilika from Apple green to brown.....texture iko nzuri povu lipo vizuri preservative nimeweka nusu kopo kama ulivosema ila imebadilika rangi sasa...should i be worried? Au ndo nimepata hasara ivo😢😢
Karibu dear. Caustic inatabia ya kupausha rangi hata ikitumika kwenye sabuni za vipande, sasa inategemeana na rangi na rangi nyingine hazipauki. Nashauri ongeza rangi na ukiona usumbufu kuhusu rangi, utakapotengeneza tena usiweke rangi.
Nimekuelewa asante sana my dear,je ungekua umetengeza kwavipimo hivoulivo lakini kwabiashara ungeweka maji lita ngapi ?
Nashauri maji hayo yanatosha ili sabuni iwe na ubora, pia usisahau kuweka glycerine ili sabuni isichubue mikono.
Asante mno mpenz nimekuelewa hasa mwalimu wangu. Ombi langu naomba unielekeze sehemu ama duka la kununulia material plz dear
Zinapatikana kwenye maduka ya malighafi. Nenda ofisi za SIDO Mkoa uliopo.
Kazi nzr, inshallah nami niandae mtaji Ili nianze kijibiashara.
Karibu dear na endelea kufuatilia channel hii kwa mafunzo mengi zaidi. Ubarikiwe.
Hata Mimi nimeipenda sana na ni nzur sana
@@SophiaShelukanya asante sana dear.
Asante sn na ubarikiwe sn ndo naenda kununua hayo malighaf
Amina dear. Kila la heri. Utaongezea glycerine ili sabuni isipaushe mikono.
Nimedurahi sana nitajitahidi kutengeneza asante sana. Vifaa navipqta wapi my 0⁸
Karibu sana dear. Utapata kwenye maduka ya malighafi na ofisi za SIDO kwenye Mkoa ulipo.
Asantekwa mafunzo mazuri
@@DavisKenyolwa karibu sana.
Hongeraa sana dada mungu akubariki sana
@@OnestaZablon Amina dear 🙏🏾
Naomba no yako my dear
Ahsante sana dada mungu azdi kukupa afya njema
@@NuratNgeeni Amina dear 🙏🏾🙏🏾
@@annaclaireshijanaomb contact zako plz
@@khadijahhyder1449 0687786576.
Asante FD ibarikiwe
Nikwann hujatumia chumvi ya mawe?
Pia dada naomba kujua kama umefundisha sabuni ya kunawia mikono na ile ya vyombo tu. Nimejarbu kuangalia video zako sijaona.
Mungu akubarik sana kwa elimu hii nzuri
Hiyo sijafundisha bado dear. Nitaleta video.
Asante sana kwa darasa dada.
Karibu dear.
Sante sana dada kwa mafunzo mazuri naomba utuonyeshe kutengeneza soap Base
@@ShikoPeter-wi7qc hello dear, kwa mafunzo mengi zaidi karibu ujipatie kitabu 0687786576.
Yaani dada ubarikiwe unafundisha vizur sana nimekuelewa sana
Amina dear, nashukuru kwa kutazama.
❤uko wap dada mzuri
Dar dear.
Nakushukuru pia Sana nimekuelewa
Asante 🙏🏾
Asante sana dada nakupenda sana
Asante dear ❤️
Hapo ulichangaya maji Lita tatu na caustiki soda, lakin kwenye maelekezo Yako unasema umetumia nusu ya caustiki kivipi? Wakati ulichangaya kilo Moja yote kwenye maji hayo ya Lita tatu.sijaelewa vzr.
Nimetumia nusu lita ya maji ya yaliyochanganywa na caustic.
Nikweli ungetufafanulia plz
Nikweli ungetufafanulia plz
Asante sana
@@charlotteminani7046 karibu pia ujipatie Kitabu kina mafunzo mengi zaidi.
Asante kwa somo, samahan malighafi hz znafaa kwa hair shampoo?
@@RosemariaKabula Hapana dear, jifunze zaidi kwenye Kitabu changu kuna mafunzo mengi zaidi ya bidhaa mbalimbali za usafi na urembo. 0687786576.
Congratulations for good Idea
Je formula hii naweza kuitumia kutengeneza hand soap?
Hapana. Video ya hand soap ipo nilishapost.
Ahsante kwa darasa zuri
ubarikiwe sana dada,, formula yako imenisadia sana.
shida yangu ni kwenye rangi.. nikiweka rangi ya blue inabadirika kuwa pink baada ya mda fulani..
ninashindwa wapi?? naomba nisaidie
@@bethamwasenga4834 Asante dear, nashauri sabuni zenye caustic bora usiweke rangi maana inatabia ya kupausha rangi au kuibadili.
asante sana
Asante sana. Binafsi naomba kitabu kama kipo tayari
Bado. Tutatangaza.
Asante sanaa imenisadiaa Mungu akubariki sana, na je naweza tumiaa perfume hata zile za nguo au ipo special?
Amina dear. Perfume unaweka maalum za sabuni za maji.
@@annaclaireshija anhaa Asante na mtu anaweza akakutafuta what's up binafs?
@@ChristinaMathias-xr3tk Ndio dear 0687786576.
Ahsante kwa somo zuri
Karibu dear 👍🏾
Mungu akubariki sana
Amina 🙏🏾 Ubarikiwe pia.
Kuna rangi maalum au hata hizo za unga kama niliyoona ya kufungia barafu?
@@euphrasiaignas9450 rangi maalum za kutengenezea sabuni.
@@annaclaireshija Asante
leo nimejifunza njia mpya ya gharama nafuu sana asante sana mwl wangu
Ni nzuri mno. Tumia chumvi ya mawe.
Dada sina zaidi ila Mwenyezi Mungu akupe umuombalo hapa duniani na akhera,ubarikiwe sana nakizazi chako kibarikiwe pia
Amina dear. Asante kwa maombi haya. Napokea baraka hizi.
Amina dada Ubalikiwe
Amina dear.
@@annaclaireshija tufungulie dalasa my sijawai ona sabun kama hii nzur
Dada nakushukuru sana wallah allah akulipe kher lakin naomba unijibu tafadhali je hizo malighafi zinapatkana kwenye maduka ya aina gani
Amina dear, yanaitwa maduka ya malighafi na pia kwenye ofisi za SIDO huwa yanakuwepo.
Kariakoo duka la wajasiliq mali
Asante sana dada na hizo malifhafi zinapatikana wapi kwa dar
Asante sana barikiwa
Amen dear.
Hongera madam nimeipenda
Asante dear ❤️
Habari dada...Mimi nataka kutengeneza sabuni ya maji Ila ni ya biashara na mtji wangu ni 100000 naomba nimpe ushauri nianze na Lita ngp?vifungashio viwe na ujazo wa kiasi gn? Rangi gn na parfurm gn inayo pendwa na wateja na nitumie dawa gani ya kuzuia isiharibike na je naomba unisaidie kudizaini nembo ya biashara. Asante mi Niko morogoro naitwa William mwaka huu 2024 nataka nitoboe mapema snsn
Nashauri anza na ya majaribio ya lita 20 kwanza ili uwe na hakika kuwa umejua vizuri kutengeneza. Nashauri kama utatumia formula hii utumie chumvi ya mawe badala ya dukani. Rangi ya bluu ni nzuri pia kwenye perfume lemon inapendwa kwenye multipurpose soap. Dawa ya kuzuia isiharibike tumia DMH. Nembo ya biashara wapo wataalamu wa hizo kazi.
@@annaclaireshijaplease nifafanulie hiyo DMH unaitumiaje yaani vipimo vyake
@@RameenTabranee Hello dear, nimeeleza kwenye video, please tazama.
Hello! Naomba kuuliza hy castic soda sio km itakuwa kali kw hy liquid soap? Mie navyojua ni kw ajili ya sabuni ya vipande! Plz naomba nieleweshe! Ok shukrani madame
Ahsant dad ang nmeelewa kidg make umeniacha apo kwnye maji imekuaje litre kumi akat mwnzo tumeona ulivoeka caustic ilkua ni litre3
Hujaelewa sikiliza video yote utaelewa dear.
Nagarama zake maana ata bei sizijui vinapatatikana wapi
Nimependa sana maana Sio. Mara ya kwanza kuanagalia Ila nimechukua namba yako madam nitakupigia kwa Maswali msaada na maelezo zaidi asante
Unapatikana wapi nataka kujifunza zaidi🙏
@@AmidaBihilwe Karibu uwasiliane nami kwa namba 0687786576.
Uko vzr dada,materio yanapatikana wap
Asante dear. Kwenye maduka ya malighafi.
Ubarikiwe sana na Mungu
Amina dear, Asante.
Malighafi 3 bei ngani dadaang natamani pia
@@SabinaDudiveek tafadhali wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Ahsante kwa Somo nzuri lakini ningependa kufahamu spelling ya ingredients ya kwenye chupa hiyo ya lita moja
@@mwakahaji8943 karibu ujifunze zaidi kwenye kitabu 0687786576.
Asante dada kwa elimu nzr sana " ila haujatuambia Jina la dawa inayotumika
Karibu sana. Dawa ya kuzuia sabuni isiharibike ni DMH.
Asante sana sister nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki
Amina dear. Asante sana.
Ili nitoe lita 30 costic soda inatakiwaa iwe kias gan dada??
Ahsante natamni xan kufany hii biaxhar
Karibu sana.
Naomba utuandiye ibyo vifaa vya kutengeneza sabuni za maji
Ubarikiwe dada
Asante dear ❤️
Salaam Dada ahsante sana na mie mdg wk nataka kutegeneza niuze naomba msaada wako hvy vitu nitavipata wapi ... naomba nisaidie.
Kwenye maduka ya malighafi dear.
Inadumu kwa muda gani?
Habari, samahani vifaa napataje np arusha
Kwenye maduka ya malighafi au nenda ofisi za SIDO mara nyingi maduka ya malighafi huwa yanakuwa hapo.
Kweli sabuni ni nzuri
Asante dear.
Mm ningeenda kujua maduka ya aina gan vinapatikana vifaaa hivi vya kutengeneza sabuni za maji
Karibu ujipatie kitabu, utajifunza vitu vingi sana.
Shower jell za kuogeaa dear
Sawa tutafanya.
Ahsante kwa darasa naweza kupata wap hayo matrio
Kwenye maduka ya malighafi.
Samahani dear hii huweki giliseline kwa ajili ya kuleta ulaini au kuzuia mtumiaji mikono kupauka?
Muhimu sana kuweka mpendwa. Hata mimi niliweka ila nilisahau ku record.
Shukrani saana
@@felichinakihaga509 karibu sana.
Barikiwaaa Sana Dadangu ,Je naweza kutumia sabuni hiyo pasipo tumia sabuni ya mche katika kufua nguo chafu ? Mimi natengeneza sabuni ya mche hivyo naweka caustic kg 3na gm 400 .maji lita 10 . sasa je, naweza tumia hiyo caustic sonl yangu ktk kutengeneza sabuni ya maji uliyoielekeza?
Hii unatumia bila kuhitaji sabuni ya kipande.
Naomba unielekeze
Nashukuru sana sister lakini nilikuwa naomba nisaidie upatikanaji na hivo ingredients
Unapata kwenye maduka ya malighafi.