TENGENEZA SABUNI NZURI NZITO YA MAJI KWA MALIGHAFI 3 TU| MAKE LIQUID SOAP WITH ONLY 3 INGREDIENTS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 541

  • @EdwardMyinga
    @EdwardMyinga 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mtaji shilingi ngapi dada

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  9 หลายเดือนก่อน +2

      Inategemea unataka kutengeneza ya lita ngapi mpendwa.

    • @dorcasreuben5955
      @dorcasreuben5955 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hiv vitu vitapatika maduka gani jamn

    • @dorcasreuben5955
      @dorcasreuben5955 6 หลายเดือนก่อน

      Nimelipenda somo endelea kutufunza zaidi ❤

    • @ZainabMwinyiakida-ow8uq
      @ZainabMwinyiakida-ow8uq 6 หลายเดือนก่อน

      Nakupenda dada ❤

    • @dorcasreuben5955
      @dorcasreuben5955 6 หลายเดือนก่อน

      Iyo preservative unaweka ukishakuwa umechanganya au unaweka mwanzoni naomba nisaidie kujua

  • @theclamarealle6052
    @theclamarealle6052 29 วันที่ผ่านมา +2

    Ubarikiwe sana naomba hongera sana asante kwako darasa Mungu akubariki sana naomba kujua hizi maligafi za kutengeneza nazipataje kipenzi na marashi unachukua yoyote dukani au zipo kwa ajili ya utengezaji wa sabuni

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  29 วันที่ผ่านมา

      @@theclamarealle6052 Karibu tuwasiliane ili upate kitabu utajifunza mengi 0687786576.

  • @user-be8td2ss9g
    @user-be8td2ss9g 8 หลายเดือนก่อน +4

    Ahsante sana dada nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwako Mungu akuongezee maarifa zaidi na zaidi pia malengo yako unayoyatamani uyafikia, ngoja nami nifanye practic

  • @EvodiaThomas
    @EvodiaThomas 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante nimewiwa kujifunza ubarikiwe.

  • @UpendoMwakyusa-hp6lg
    @UpendoMwakyusa-hp6lg 22 วันที่ผ่านมา +1

    Asante Sana dada mi nitakutafuta na je sabuni ya kunawisha mikono inatengenezwaje

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  22 วันที่ผ่านมา

      @@UpendoMwakyusa-hp6lg kuna video nilishapost angalia dear.

  • @EveCharles-f9i
    @EveCharles-f9i 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongeraaa mdada ,,,na Asantee kwa elimu nimejifunza kitu Mungu akutunze

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      Amina, asante kwa kutazama.

  • @YusuphPaulo-md8ys
    @YusuphPaulo-md8ys 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dada nashukuru sana kwa elimu nzuri Mungu azidi kukuinua katika ndoto zako na maono yako ya kusaidia vijana

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      Amina 🙏🏾 tubarikiwe sote.

  • @theclamarealle6052
    @theclamarealle6052 8 หลายเดือนก่อน

    Asante sanaa mpendwa Mungu akubariki sanaa anaomba unisaidie hizo maligafi inapatikana wapo mpendwa

  • @praxedachenya4101
    @praxedachenya4101 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa ubunifu nzuri je usipoweka gricelin haitakata mikono na je unnaweza kuoshea vyombo

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@praxedachenya4101 asante, glycerine ni muhimu sana kuweka. Inafaa ndio.

  • @MariamEzekiel-ks3lc
    @MariamEzekiel-ks3lc 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asnte Sana dad's mnzuri hauna hauna choyo nimekuelew nimefanya nikapat matokeo ma nzuri kaisa Mungu akubariki

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  5 หลายเดือนก่อน

      Amina dear, Mungu akubariki pia.

  • @franzoonlinetv3641
    @franzoonlinetv3641 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mali ghafi zinapatikana kwa bei affordable au ni ghari

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  9 วันที่ผ่านมา

      @@franzoonlinetv3641 bei nafuu

  • @faustazacharia9470
    @faustazacharia9470 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nimependa malighafi ni chache sabuni bora kabisa asante

  • @LilianMollel-d8i
    @LilianMollel-d8i 20 วันที่ผ่านมา +1

    ❤ Mungu akubariki saana....

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  20 วันที่ผ่านมา

      @@LilianMollel-d8i amina dear ❤️ karibu pia ujipate mafunzo ya sabuni hii na bidhaa nyingine nyingi za viwandani kwenye kitabu. Wasiliana nami kwa namba 0687786576.

  • @loicymwakyanjala2828
    @loicymwakyanjala2828 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera. Sana Mungu akubariki sio mchoyo

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@loicymwakyanjala2828 amina dear, asante na Ubarikiwe.

  • @liliankayuni6997
    @liliankayuni6997 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana dada kwa upendo wakujitoa kutufundisha kupitia mtandaoni. Nimependa sana maana maligafi ni chache ambazo haziwezi kumchanganya mwanafunzi. Nataka nianze biashara ya kutengeneza sabuni dumu la lita 5 natakiwa niuze kwa shilingi ngapi?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  7 หลายเดือนก่อน

      Asante dear. Lita 5 uza elfu hadi elfu 11 ndio bei zake.

  • @Clements8814
    @Clements8814 หลายเดือนก่อน +1

    wow!👏👏👏

  • @AshaNyanga
    @AshaNyanga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nashukur dada Kwa daras zur mungu akupe uwezo na kipato Zaid ila naomba msaada kuusu rebo nazipataje

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@AshaNyanga Amina 🙏🏾 tuwasiliane

  • @CHESCONYAMBE
    @CHESCONYAMBE 6 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa umenitoa mahar good bless you

  • @praxedachenya4101
    @praxedachenya4101 20 วันที่ผ่านมา +1

    Asante je nikitengeneza lt 20 naweza kutumia coastic soder kg 1 na je nahitajikankuweka glyceline ilikizui kuchubua ngozi

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  20 วันที่ผ่านมา

      @@praxedachenya4101 karibu ujipate mafunzo ya sabuni hii na bidhaa nyingine nyingi za viwandani kwenye kitabu. Wasiliana nami kwa namba 0687786576.

  • @sabinandunguru1422
    @sabinandunguru1422 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Chumvi umesema nusu, mfuko mzima Ina ujazo gani?

  • @yaholakuyi7986
    @yaholakuyi7986 หลายเดือนก่อน +1

    Asante dada ila nlkua nauliza hizo marighaf zinapatkan kweny maduka yapi??

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@yaholakuyi7986 kwenye maduka ya malighafi. Kwa mafunzo zaidi karibu ujipatie kitabu 0687786576.

  • @UmmuSara-s9p
    @UmmuSara-s9p 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana, Tunaomba pia utuandalie darasa la kutengeneza Shampoo kwa malighafi chache kama hizo

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  5 หลายเดือนก่อน

      Sawa dear. Nitabuni ya design hiyo.

  • @mpelwahenry6277
    @mpelwahenry6277 หลายเดือนก่อน

    Hii njia rahisi sana ila cjackia ukiitaja glycerin na DMH au sio lazima?

  • @esthergerald5941
    @esthergerald5941 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sn dear, nimejifunza kitu kizuri barikiwa mumy.

  • @fraviavalentine
    @fraviavalentine 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana Somo ni zuri mno

  • @AZIZAKAPITA-hn4dy
    @AZIZAKAPITA-hn4dy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Preservative unaweka wakati gani?
    Ahsante sana,nimejifunza

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน +1

      @@AZIZAKAPITA-hn4dy Asante kipenzi, unaweka mwishoni kabisa. Karibu pia ujipatie kitabu kina mafunzo mengi zaidi ya bidhaa za usafi na urembo 0687786576.

  • @JaneOnyango-fb7li
    @JaneOnyango-fb7li หลายเดือนก่อน +1

    Costic si ndio sodash dada auuu

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@JaneOnyango-fb7li hapana

  • @toidamagoyo5416
    @toidamagoyo5416 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana dada kwahii elimu, naomba kuuliza malighafi hizi zinapatikana ktk maduka gn

  • @UrsulaAurelian
    @UrsulaAurelian หลายเดือนก่อน +1

    Nzuri sana dada na nimejaribu imekuwa nzitooo ila haishiki rangi cjui kwann ipo rangi ya gold

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@UrsulaAurelian Hongera kwa kujaribi dear, karibu ujifunze zaidi kwenye kitabu cha jinsi ya kutengeneza bidhaa za viwandani za usafi na urembo 0687786576.

  • @ilhamhaji1125
    @ilhamhaji1125 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana dada.kwa elimu uliotupatia .

  • @AvelinaRobert
    @AvelinaRobert 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante dear kwa kufundisha vzr lkn naomba kuuliza presevertiv ambayo umetumia ni ipi ili kuhakikisha sabun haiharibika

  • @InviolathaMbuya
    @InviolathaMbuya 8 หลายเดือนก่อน +1

    Aksante kwa darasa lenye manufaa. Naomba jina la hiyo preservative

  • @irenem-jd4tz
    @irenem-jd4tz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa somo zurii, naomba kuiliza isipoweka glycerine haiwez kakamaza mikono?? Na kuifanya sabuni isiwe soft??

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  7 หลายเดือนก่อน

      Ila glycerine inapausha mikono kwahiyo ni muhimu kuongezea.

  • @LoyceBugalama
    @LoyceBugalama 8 หลายเดือนก่อน +1

    Upooo vizur mungu akiinue saana na zaid

  • @KisemvuleAbdallah
    @KisemvuleAbdallah 4 หลายเดือนก่อน +2

    Unaweza weka glycerin nkiac gan

  • @EvodiaThomas
    @EvodiaThomas 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba majina ya vifaa ulivyoyumia ili na mimi nijaribu kutengeneza

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@EvodiaThomas tafadhali, jipatie kitabu kina mafunzo mengi ya bidhaa nyingi zaidi na vipimo vyote. Gharama ni elfu 30, wasiliana nami kwa namba 0687786576.

  • @ElissaMweli-pb1pp
    @ElissaMweli-pb1pp 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hivyo vitu vinapatikana sehem gan

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  6 วันที่ผ่านมา

      @@ElissaMweli-pb1pp tafadhali wasiliana nami kwa namba 0687786576.

  • @snowfrost9473
    @snowfrost9473 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dada asante kwa formular nzuri. Sabuni ni nzuri na nimefuata steps zote kama wewe....ila in less than 24hrs sabuni ilibadilika from Apple green to brown.....texture iko nzuri povu lipo vizuri preservative nimeweka nusu kopo kama ulivosema ila imebadilika rangi sasa...should i be worried? Au ndo nimepata hasara ivo😢😢

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน +2

      Karibu dear. Caustic inatabia ya kupausha rangi hata ikitumika kwenye sabuni za vipande, sasa inategemeana na rangi na rangi nyingine hazipauki. Nashauri ongeza rangi na ukiona usumbufu kuhusu rangi, utakapotengeneza tena usiweke rangi.

  • @dayanahancygao
    @dayanahancygao 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa asante sana my dear,je ungekua umetengeza kwavipimo hivoulivo lakini kwabiashara ungeweka maji lita ngapi ?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  4 หลายเดือนก่อน

      Nashauri maji hayo yanatosha ili sabuni iwe na ubora, pia usisahau kuweka glycerine ili sabuni isichubue mikono.

  • @glorisialyimo7007
    @glorisialyimo7007 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mno mpenz nimekuelewa hasa mwalimu wangu. Ombi langu naomba unielekeze sehemu ama duka la kununulia material plz dear

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  3 หลายเดือนก่อน

      Zinapatikana kwenye maduka ya malighafi. Nenda ofisi za SIDO Mkoa uliopo.

  • @benadetamasanja3966
    @benadetamasanja3966 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzr, inshallah nami niandae mtaji Ili nianze kijibiashara.

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  9 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu dear na endelea kufuatilia channel hii kwa mafunzo mengi zaidi. Ubarikiwe.

  • @SophiaShelukanya
    @SophiaShelukanya หลายเดือนก่อน +1

    Hata Mimi nimeipenda sana na ni nzur sana

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@SophiaShelukanya asante sana dear.

  • @annashoo7688
    @annashoo7688 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sn na ubarikiwe sn ndo naenda kununua hayo malighaf

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  6 หลายเดือนก่อน

      Amina dear. Kila la heri. Utaongezea glycerine ili sabuni isipaushe mikono.

  • @monicamoshi4870
    @monicamoshi4870 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimedurahi sana nitajitahidi kutengeneza asante sana. Vifaa navipqta wapi my 0⁸

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu sana dear. Utapata kwenye maduka ya malighafi na ofisi za SIDO kwenye Mkoa ulipo.

  • @DavisKenyolwa
    @DavisKenyolwa 19 วันที่ผ่านมา +1

    Asantekwa mafunzo mazuri

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  19 วันที่ผ่านมา

      @@DavisKenyolwa karibu sana.

  • @OnestaZablon
    @OnestaZablon หลายเดือนก่อน +1

    Hongeraa sana dada mungu akubariki sana

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@OnestaZablon Amina dear 🙏🏾

    • @latwintz
      @latwintz วันที่ผ่านมา

      Naomba no yako my dear

  • @NuratNgeeni
    @NuratNgeeni 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana dada mungu azdi kukupa afya njema

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@NuratNgeeni Amina dear 🙏🏾🙏🏾

    • @khadijahhyder1449
      @khadijahhyder1449 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@annaclaireshijanaomb contact zako plz

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@khadijahhyder1449 0687786576.

  • @FatmaAhmed-rs2hh
    @FatmaAhmed-rs2hh 21 วันที่ผ่านมา

    Asante FD ibarikiwe

  • @CosmasMlelwa
    @CosmasMlelwa หลายเดือนก่อน

    Nikwann hujatumia chumvi ya mawe?

  • @irenem-jd4tz
    @irenem-jd4tz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pia dada naomba kujua kama umefundisha sabuni ya kunawia mikono na ile ya vyombo tu. Nimejarbu kuangalia video zako sijaona.
    Mungu akubarik sana kwa elimu hii nzuri

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  7 หลายเดือนก่อน

      Hiyo sijafundisha bado dear. Nitaleta video.

  • @JuliethChambi
    @JuliethChambi 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana kwa darasa dada.

  • @ShikoPeter-wi7qc
    @ShikoPeter-wi7qc หลายเดือนก่อน +1

    Sante sana dada kwa mafunzo mazuri naomba utuonyeshe kutengeneza soap Base

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@ShikoPeter-wi7qc hello dear, kwa mafunzo mengi zaidi karibu ujipatie kitabu 0687786576.

  • @GENOVEVARAFAELNDAMCHO
    @GENOVEVARAFAELNDAMCHO 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani dada ubarikiwe unafundisha vizur sana nimekuelewa sana

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  3 หลายเดือนก่อน

      Amina dear, nashukuru kwa kutazama.

  • @sikindemunyama6218
    @sikindemunyama6218 5 หลายเดือนก่อน +1

    ❤uko wap dada mzuri

  • @adelinakyombo1702
    @adelinakyombo1702 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakushukuru pia Sana nimekuelewa

  • @christinasanga2993
    @christinasanga2993 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana dada nakupenda sana

  • @MwajumaDickson-rg6pz
    @MwajumaDickson-rg6pz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo ulichangaya maji Lita tatu na caustiki soda, lakin kwenye maelekezo Yako unasema umetumia nusu ya caustiki kivipi? Wakati ulichangaya kilo Moja yote kwenye maji hayo ya Lita tatu.sijaelewa vzr.

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  4 หลายเดือนก่อน

      Nimetumia nusu lita ya maji ya yaliyochanganywa na caustic.

    • @hajrakalunda
      @hajrakalunda 19 วันที่ผ่านมา

      Nikweli ungetufafanulia plz

    • @hajrakalunda
      @hajrakalunda 19 วันที่ผ่านมา

      Nikweli ungetufafanulia plz

  • @charlotteminani7046
    @charlotteminani7046 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@charlotteminani7046 karibu pia ujipatie Kitabu kina mafunzo mengi zaidi.

  • @RosemariaKabula
    @RosemariaKabula 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa somo, samahan malighafi hz znafaa kwa hair shampoo?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@RosemariaKabula Hapana dear, jifunze zaidi kwenye Kitabu changu kuna mafunzo mengi zaidi ya bidhaa mbalimbali za usafi na urembo. 0687786576.

  • @KastoryYohana
    @KastoryYohana 8 หลายเดือนก่อน

    Congratulations for good Idea

  • @nurumvungi2210
    @nurumvungi2210 6 หลายเดือนก่อน +3

    Je formula hii naweza kuitumia kutengeneza hand soap?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  6 หลายเดือนก่อน

      Hapana. Video ya hand soap ipo nilishapost.

  • @dastansimpanzye4019
    @dastansimpanzye4019 2 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kwa darasa zuri

  • @bethamwasenga4834
    @bethamwasenga4834 หลายเดือนก่อน +1

    ubarikiwe sana dada,, formula yako imenisadia sana.
    shida yangu ni kwenye rangi.. nikiweka rangi ya blue inabadirika kuwa pink baada ya mda fulani..
    ninashindwa wapi?? naomba nisaidie

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  หลายเดือนก่อน

      @@bethamwasenga4834 Asante dear, nashauri sabuni zenye caustic bora usiweke rangi maana inatabia ya kupausha rangi au kuibadili.

    • @bethamwasenga4834
      @bethamwasenga4834 หลายเดือนก่อน

      asante sana

  • @livyachami
    @livyachami 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana. Binafsi naomba kitabu kama kipo tayari

  • @ChristinaMathias-xr3tk
    @ChristinaMathias-xr3tk 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sanaa imenisadiaa Mungu akubariki sana, na je naweza tumiaa perfume hata zile za nguo au ipo special?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  5 หลายเดือนก่อน

      Amina dear. Perfume unaweka maalum za sabuni za maji.

    • @ChristinaMathias-xr3tk
      @ChristinaMathias-xr3tk 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@annaclaireshija anhaa Asante na mtu anaweza akakutafuta what's up binafs?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  5 หลายเดือนก่อน

      @@ChristinaMathias-xr3tk Ndio dear 0687786576.

  • @DorisClement-zg5yy
    @DorisClement-zg5yy 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante kwa somo zuri

  • @FatumaKatende-c7b
    @FatumaKatende-c7b 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  3 หลายเดือนก่อน

      Amina 🙏🏾 Ubarikiwe pia.

  • @euphrasiaignas9450
    @euphrasiaignas9450 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna rangi maalum au hata hizo za unga kama niliyoona ya kufungia barafu?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@euphrasiaignas9450 rangi maalum za kutengenezea sabuni.

    • @euphrasiaignas9450
      @euphrasiaignas9450 หลายเดือนก่อน

      @@annaclaireshija Asante

  • @agnesskihamba6807
    @agnesskihamba6807 8 หลายเดือนก่อน +1

    leo nimejifunza njia mpya ya gharama nafuu sana asante sana mwl wangu

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      Ni nzuri mno. Tumia chumvi ya mawe.

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dada sina zaidi ila Mwenyezi Mungu akupe umuombalo hapa duniani na akhera,ubarikiwe sana nakizazi chako kibarikiwe pia

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      Amina dear. Asante kwa maombi haya. Napokea baraka hizi.

  • @GtrudaUtenga-es4pq
    @GtrudaUtenga-es4pq 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amina dada Ubalikiwe

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  7 หลายเดือนก่อน

      Amina dear.

    • @GtrudaUtenga-es4pq
      @GtrudaUtenga-es4pq 7 หลายเดือนก่อน

      @@annaclaireshija tufungulie dalasa my sijawai ona sabun kama hii nzur

  • @ShinunaHabibu
    @ShinunaHabibu 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dada nakushukuru sana wallah allah akulipe kher lakin naomba unijibu tafadhali je hizo malighafi zinapatkana kwenye maduka ya aina gani

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      Amina dear, yanaitwa maduka ya malighafi na pia kwenye ofisi za SIDO huwa yanakuwepo.

    • @zainabumtubwi1055
      @zainabumtubwi1055 8 หลายเดือนก่อน

      Kariakoo duka la wajasiliq mali

  • @mimimina1487
    @mimimina1487 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana dada na hizo malifhafi zinapatikana wapi kwa dar

  • @MimaKaspar
    @MimaKaspar 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana barikiwa

  • @joinanganunga6985
    @joinanganunga6985 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera madam nimeipenda

  • @williamnguridada3734
    @williamnguridada3734 8 หลายเดือนก่อน +2

    Habari dada...Mimi nataka kutengeneza sabuni ya maji Ila ni ya biashara na mtji wangu ni 100000 naomba nimpe ushauri nianze na Lita ngp?vifungashio viwe na ujazo wa kiasi gn? Rangi gn na parfurm gn inayo pendwa na wateja na nitumie dawa gani ya kuzuia isiharibike na je naomba unisaidie kudizaini nembo ya biashara. Asante mi Niko morogoro naitwa William mwaka huu 2024 nataka nitoboe mapema snsn

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      Nashauri anza na ya majaribio ya lita 20 kwanza ili uwe na hakika kuwa umejua vizuri kutengeneza. Nashauri kama utatumia formula hii utumie chumvi ya mawe badala ya dukani. Rangi ya bluu ni nzuri pia kwenye perfume lemon inapendwa kwenye multipurpose soap. Dawa ya kuzuia isiharibike tumia DMH. Nembo ya biashara wapo wataalamu wa hizo kazi.

    • @RameenTabranee
      @RameenTabranee 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@annaclaireshijaplease nifafanulie hiyo DMH unaitumiaje yaani vipimo vyake

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      @@RameenTabranee Hello dear, nimeeleza kwenye video, please tazama.

    • @husnahassan9756
      @husnahassan9756 7 หลายเดือนก่อน

      Hello! Naomba kuuliza hy castic soda sio km itakuwa kali kw hy liquid soap? Mie navyojua ni kw ajili ya sabuni ya vipande! Plz naomba nieleweshe! Ok shukrani madame

  • @AmidaMohammed-rh7bv
    @AmidaMohammed-rh7bv 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsant dad ang nmeelewa kidg make umeniacha apo kwnye maji imekuaje litre kumi akat mwnzo tumeona ulivoeka caustic ilkua ni litre3

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  3 หลายเดือนก่อน

      Hujaelewa sikiliza video yote utaelewa dear.

  • @EvodiaThomas
    @EvodiaThomas 2 หลายเดือนก่อน

    Nagarama zake maana ata bei sizijui vinapatatikana wapi

  • @AbdallahJambia-fo1tn
    @AbdallahJambia-fo1tn 5 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana maana Sio. Mara ya kwanza kuanagalia Ila nimechukua namba yako madam nitakupigia kwa Maswali msaada na maelezo zaidi asante

  • @AmidaBihilwe
    @AmidaBihilwe 22 วันที่ผ่านมา +1

    Unapatikana wapi nataka kujifunza zaidi🙏

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  22 วันที่ผ่านมา

      @@AmidaBihilwe Karibu uwasiliane nami kwa namba 0687786576.

  • @johnlwiva-hx8pk
    @johnlwiva-hx8pk 4 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzr dada,materio yanapatikana wap

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  4 หลายเดือนก่อน

      Asante dear. Kwenye maduka ya malighafi.

  • @charlotteminani7046
    @charlotteminani7046 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana na Mungu

  • @SabinaDudiveek
    @SabinaDudiveek 6 วันที่ผ่านมา +1

    Malighafi 3 bei ngani dadaang natamani pia

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  6 วันที่ผ่านมา

      @@SabinaDudiveek tafadhali wasiliana nami kwa namba 0687786576.

  • @mwakahaji8943
    @mwakahaji8943 2 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kwa Somo nzuri lakini ningependa kufahamu spelling ya ingredients ya kwenye chupa hiyo ya lita moja

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  2 หลายเดือนก่อน

      @@mwakahaji8943 karibu ujifunze zaidi kwenye kitabu 0687786576.

  • @EsauLorri
    @EsauLorri 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante dada kwa elimu nzr sana " ila haujatuambia Jina la dawa inayotumika

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  8 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana. Dawa ya kuzuia sabuni isiharibike ni DMH.

  • @merryshemghodo9380
    @merryshemghodo9380 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana sister nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  6 หลายเดือนก่อน

      Amina dear. Asante sana.

  • @lulumkinga
    @lulumkinga 5 หลายเดือนก่อน

    Ili nitoe lita 30 costic soda inatakiwaa iwe kias gan dada??

  • @isacksumun4463
    @isacksumun4463 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante natamni xan kufany hii biaxhar

  • @NduwimanaZena
    @NduwimanaZena 4 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba utuandiye ibyo vifaa vya kutengeneza sabuni za maji

  • @DalilaDalila-wv4pg
    @DalilaDalila-wv4pg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe dada

  • @user-SULEIMAN_FF
    @user-SULEIMAN_FF 9 หลายเดือนก่อน +1

    Salaam Dada ahsante sana na mie mdg wk nataka kutegeneza niuze naomba msaada wako hvy vitu nitavipata wapi ... naomba nisaidie.

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  9 หลายเดือนก่อน

      Kwenye maduka ya malighafi dear.

  • @Qadue-hw3vr
    @Qadue-hw3vr หลายเดือนก่อน

    Inadumu kwa muda gani?

  • @teddyharuna8592
    @teddyharuna8592 4 หลายเดือนก่อน +1

    Habari, samahani vifaa napataje np arusha

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  4 หลายเดือนก่อน

      Kwenye maduka ya malighafi au nenda ofisi za SIDO mara nyingi maduka ya malighafi huwa yanakuwa hapo.

  • @tabithaelisha3718
    @tabithaelisha3718 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli sabuni ni nzuri

  • @MathewMathulino
    @MathewMathulino 3 หลายเดือนก่อน

    Mm ningeenda kujua maduka ya aina gan vinapatikana vifaaa hivi vya kutengeneza sabuni za maji

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  3 หลายเดือนก่อน

      Karibu ujipatie kitabu, utajifunza vitu vingi sana.

  • @celinemtui8795
    @celinemtui8795 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shower jell za kuogeaa dear

  • @Husna-xs9fp
    @Husna-xs9fp 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante kwa darasa naweza kupata wap hayo matrio

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  4 หลายเดือนก่อน

      Kwenye maduka ya malighafi.

  • @felichinakihaga509
    @felichinakihaga509 4 หลายเดือนก่อน +1

    Samahani dear hii huweki giliseline kwa ajili ya kuleta ulaini au kuzuia mtumiaji mikono kupauka?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  4 หลายเดือนก่อน

      Muhimu sana kuweka mpendwa. Hata mimi niliweka ila nilisahau ku record.

    • @felichinakihaga509
      @felichinakihaga509 4 หลายเดือนก่อน +1

      Shukrani saana

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  4 หลายเดือนก่อน

      @@felichinakihaga509 karibu sana.

  • @MarryJoseph-gz8ir
    @MarryJoseph-gz8ir 6 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwaaa Sana Dadangu ,Je naweza kutumia sabuni hiyo pasipo tumia sabuni ya mche katika kufua nguo chafu ? Mimi natengeneza sabuni ya mche hivyo naweka caustic kg 3na gm 400 .maji lita 10 . sasa je, naweza tumia hiyo caustic sonl yangu ktk kutengeneza sabuni ya maji uliyoielekeza?

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  5 หลายเดือนก่อน

      Hii unatumia bila kuhitaji sabuni ya kipande.

    • @ShabaniMkwasa
      @ShabaniMkwasa หลายเดือนก่อน

      Naomba unielekeze

  • @RomanaLala-h7l
    @RomanaLala-h7l 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nashukuru sana sister lakini nilikuwa naomba nisaidie upatikanaji na hivo ingredients

    • @annaclaireshija
      @annaclaireshija  6 หลายเดือนก่อน

      Unapata kwenye maduka ya malighafi.