Mabibi harusi wa zamani full kuinamisha USO kwa adabu na unyenyekevu . Laki wasasa hivi mmmmh! Full umapepe. Jamani vibe zaidi linatakiwa liwe kwa muoaji na sio muolewaji! Mmeipata hiyo!!😂😂😂
Bibi harusi wa zamani walikuwa wanainamisha vichwa chini wanawaza huyu anae nios mzigo wake nitauwezaaaa? Walio wengi siku hizi wanakuwa wameshajuana na mumewe hivyo vibe kama loteee
Mabibi harusi wa siku hizi ndio wanachachawa kuliko ma bwana harusi . Inaoneka huwa mnalazimishia ndoa na mkizipata ndio inakuwa hivi. Kazi kweli kweli 😂😂😂😂
Ndo ishatokea fundi kafanya yake utafanyajee???? Hakuna anayependa kitu kibayaa, Pia kama hujawah kuharibiwa nguo na fundi bs hongera Kikubwa Mungu amefanya
Pambee kwel kweli bi HARUSI WETU BINTI YETUUU❤❤❤❤❤ MAAAAAA MWAAAAA🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🥰🥰😍😍❤️❤️❤️ asantee sanaa
Singles continue clapping until our time❤❤❤
Wakat wa Mungu utafika kipenz🥰🥰
Mabibi harusi wa zamani full kuinamisha USO kwa adabu na unyenyekevu . Laki wasasa hivi mmmmh! Full umapepe. Jamani vibe zaidi linatakiwa liwe kwa muoaji na sio muolewaji! Mmeipata hiyo!!😂😂😂
Wivu tu zaman hizo vp, kwan lzm ukoment😏😏 kwendraa
Na umesema zaman Mambo yanachange
@@user-wd7xw6dl8b ❤️
@@user-nt9jt1uf3p😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo Ni Siku maalumu kwa mwanamke lazima awe na vibe lakini Siku ya ndoa lazima machozi yamwagike
Mambo ni moto,
Nikwel Mungu amefanyaa... asante kwa picha kali na video kalii upo vzr @johnjo
Asanteh sana tunashukuru pia kwa kutuamini
MC Mungu akutunze daima nimekuelewa vizuri Sana unajua kusimama kwenye kazi Yako.
MashaAllah yuko vizuri kwa kumtukuza mungu
Bibi harusi wa zamani walikuwa wanainamisha vichwa chini wanawaza huyu anae nios mzigo wake nitauwezaaaa? Walio wengi siku hizi wanakuwa wameshajuana na mumewe hivyo vibe kama loteee
Kwaiyo mtu unapaswa ununue usifuraie chochote wazamani ulikua unalazimishwa
Wamefanya umalaya mpaka wakachoka,,walikata Tama zakupata ndoa ndio mana hata hawana haya hawaoni aibu kabla jawajafika mji wa wenyewe
😂😂😂😂😂😂 ndio maana nko hapa na heshimu Ile kitu husema usiwahi pea mtu zawadi imefunguliwa glory be to God 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 ndio maan wew utakua unafikiria tyu unakoenda waenda kukutana na mtu ambae humjui sasa huyu kakiachia mno @@linahmlay8512
Sasa aibu ya Nini maana wakwe wakitaka kukuaibisha wanakuaibisha tu
Mabibi harusi wa siku hizi ndio wanachachawa kuliko ma bwana harusi . Inaoneka huwa mnalazimishia ndoa na mkizipata ndio inakuwa hivi. Kazi kweli kweli 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
bibi arus wa siku hiz hawana uturivu ata kidogo
Mie huwa sifurahiswi ata kidogo
Uko vizur kwel mungu amefanya but iyoooo gaun apo kifuan hapana kpenz wameharbu ipo juu juu tyu
Ndo ishatokea fundi kafanya yake utafanyajee???? Hakuna anayependa kitu kibayaa,
Pia kama hujawah kuharibiwa nguo na fundi bs hongera
Kikubwa Mungu amefanya
Hongea uzampendeza zumbe
Waoooo alijua kuyaludi bi harusi jamn nimemupend bule
Mtukuze mungu sana dada
kweli kabisa hawapati shida kwa sababu wanajuana kabla ya kuoana daah
🎉bibi harus kapendeza lakn gauni juu ka over role
😂😂😂😂 sanaa yn ila nashukuru mwaya imeshaisha salama
ongera my clatemat wng
Hongea n,gweshu
Amen 🙏
😂Jiachie maaa haijirejei tn❤
❤️
Ameen
Barikiwa
Oyooooooooooo ❤❤❤❤❤❤❤
Atar sanaaaa 😍😍🥰
Kkariiyo
Cograts
Kweli unaringa
Uko'vzr
Asante diaa
🥰
Gauni😢😢😢
Na iko kigodoro kimetuna
Yan wew 😂😂😂 nimecheka kwa saut wakati Niko peke yangu😂😂😂
😢😢😢
Nguo mbona Kama oversize kifuan
Amen 🙏🙏🙏