Zaburi torat injili ndo ikaitwa bible so ktk ivi vitabu kuna mitume yotee ya Mungu na aliongea nao kwa wkt wao soma uelewe....sote tumezaliwa na kuikuta na wanatafsri tuu kwa lugha tofauti
Amedeus Modesti Kimey . Mimi ni mkongo wa DRC . Nilijaribu kuuliza wanatheologia kazaa hawakupata wazazi wa Ayubu lakini wanahisi kwamba Ayubu ni Mharabu.
Mbona waislam hawacomment chochote kwa wingi? Maana huwa wanasema wanakubali torati, zaburi na Injili na quran inaitambua biblia, sijui kwanini hawacomment??😂
@@scobarleeboss4558 mavi ww, ukiondoa ww ukaweka mm ni sawa tu. Kwahiyo hakuna maana kutukana mwenzako ila jibu kwa busara. Huoni ukimtukana asiyekutukana ni sawa na kichaa anayewatukana wasiokuwa kichaa? Ila najua kinachokuforce utukane hivyo hunipi shida. Au siyo ndugu wa majini 😂
Ee MUNGU nijalie moyo kama wa AYUBU nisikutend zambi👐
Ee mwenyezi mungu nipe moyo wa hekima
Asanteni sana kwa simulizi hizi maana tunapata matumaini na imani yetu ndan ya nafsi zetu inakuwa kubwa zaid
IMANI TIMILIFU NA KUMWAMINI MUNGU MKUU NI USHINDI MKUU. AMEN.
Hakin Iman yangu izid kumtafuta mungu
Barikiwa sana mtu wa mungu.. Nimependa unavyo tusogeza mbele za mungu
Nzur
kweli mungu unajua na ukileta mitihani migumu ivo ivo unayo njia ya kutolea mitihan hiyo😢
Ubarikiwe sana
I LOVED IT SO MUCH THAN HOW YOU THINK👍😍
Asante kwa masomo mazuri ,tunabarikiwa sana kwayo #nenoelimutv naomba utizame na unipe maoni katika comment zangu
Kazi nzuri sana, ahsante.
Asante tunaamini kupitia maandiko ya mungu
Iyo umu kirisito cyangwa umuntu yizera uko abana ni Imana, ibiba byose arabyacyira. Uho muntu ashobora kujyira kwihangana kuko we abona byinshi mbere yuko biba cyimwe kucyindi. Abyacyira mbere kandi agashobozwa byose no kwizera Imana. Kuko uwo muntu abana nayo. 4:17
I always love this story of Ayub
Barikiwa sana
Napenda si mlizi zako kutoka marecan!!
Mungu nipe uvumilivu amina
Amen
Woooow
Hao wana wa Mungu waliojihudhurisha mbele za Bwana ni wap
Thank you
This is good movie
Eee mungu wa mbinguni nipe moyo kama wa Ayubu
Hakika ayubu alikuwa mkamilifu sana
I like the movie
Unaongea haraka haraka unakimbilia nini jifunze kwa wenzio
MUNGU WANGU NA BWANA WANGU TUNAOMBA HURUMA YAKO NA UPENDO WAKO KATIKA MASIHA YETU.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
God is Awesome.
Nanake Nini kwa kishwahili
Nataman siku moja nijue aliyeandika biblia alisikiaje mazungumzo ya Mungu na shetani huko mbinguni
Biblia haiandikw kam kitabu cha hadith
@@queennoah1251 Mwambie akitaka kujua awe Mkristo, aje tumfundishe ❤.
Zaburi torat injili ndo ikaitwa bible so ktk ivi vitabu kuna mitume yotee ya Mungu na aliongea nao kwa wkt wao soma uelewe....sote tumezaliwa na kuikuta na wanatafsri tuu kwa lugha tofauti
@@euniceeunice7680 Waislamu huwa wanafikiri biblia imeandikwa na mtu mmoja. Ndiyo maana anasema eti anatamani kumjua aliyeandika biblia.
@@yesunialamayakiama.9013 xio kweli hawaamin hivy jifunze kuhusu wao na uach kuwaatack ndugu xio jamb zuri
th-cam.com/video/vUHJ5D9TJus/w-d-xo.html
👆👆👆👆👆👆
Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole kisha vinazikwa 😭
Imekaa njema Sana
Ivi mungu kwann simuerew shetani km wanakutana ivyo jmn
Amen nashukuru nabarikiwa sana nasimulizi nzuri mungu awabariki sana amen
Hata kama wanakutana adhabu ya shetani iko pale pale tu! Pia shetani yupo ili kupima imani za watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu kinafiki...
Wazazi wa Ayubu wanaitwajee ukipata jibu nitafute 0747072447
Amedeus Modesti Kimey . Mimi ni mkongo wa DRC . Nilijaribu kuuliza wanatheologia kazaa hawakupata wazazi wa Ayubu lakini wanahisi kwamba Ayubu ni Mharabu.
Mbona waislam hawacomment chochote kwa wingi? Maana huwa wanasema wanakubali torati, zaburi na Injili na quran inaitambua biblia, sijui kwanini hawacomment??😂
YESU NI ALAMA YA KIAMA. Acha ufala ww nyie ndie wachochez wa dini maviiiiiiiiii ww comments kinacho kuhusu sio kuingiza udini kwa mtandao fala ww
YESU NI ALAMA YA KIAMA. Mavi ww
@@scobarleeboss4558 mavi ww, ukiondoa ww ukaweka mm ni sawa tu. Kwahiyo hakuna maana kutukana mwenzako ila jibu kwa busara. Huoni ukimtukana asiyekutukana ni sawa na kichaa anayewatukana wasiokuwa kichaa? Ila najua kinachokuforce utukane hivyo hunipi shida. Au siyo ndugu wa majini 😂
Katika maisha jifunze kutoa mawazo ya kuelimisha sio kuchochea Na jifunze kuwa mwalimu na sio mpotoshaji
@@scobarleeboss4558 fact
Ubarikiwe sana
Amen