RPC acharuka mbele ya MAKONDA Kigoma, bila woga awachana makavu....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 31

  • @abuujihad8411
    @abuujihad8411 7 หลายเดือนก่อน +2

    big up rpc unajiamini sana napenda polisi kma hawa

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 7 หลายเดือนก่อน +4

    RPC uko Sahihi sana.

  • @azizimtege
    @azizimtege 7 หลายเดือนก่อน +6

    Ghafla naichukia kigoma yaaani wanaendekeza sana Imani za kichawi

  • @constantinochalle856
    @constantinochalle856 7 หลายเดือนก่อน +5

    Good boss umeelezea vizuri sana wameelewa

  • @user-gv4jx2fp4u
    @user-gv4jx2fp4u 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenezi uko vizuri UNAONGEA kwa hekima

  • @KitejaMwangi
    @KitejaMwangi 5 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli Sheria ifatwe

  • @deodatusmagagura6793
    @deodatusmagagura6793 7 หลายเดือนก่อน

    Kigoma mnamwihitaji YESU Kristo. Okokeni. Ni aibu sana

  • @ramadhanmzee7113
    @ramadhanmzee7113 7 หลายเดือนก่อน +3

    Daaah Rpc katema nyongooo

  • @alexsimon5576
    @alexsimon5576 7 หลายเดือนก่อน +2

    Big UP SANA RPC,komesha kabisa hii kitu,inavuruga sana ndugu, wananchi wengi ni wajinga hivyo wafuate sheria kwa nguvu

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 7 หลายเดือนก่อน

    Wanaelimwishwa wanazoea,,likiwakuta jambo watajuta

  • @bakariibrahim8971
    @bakariibrahim8971 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni kiongozi sahihi unaestahiki kuiongoza NCHI

  • @KitejaMwangi
    @KitejaMwangi 5 หลายเดือนก่อน

    Ukweli ufatwe

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl 7 หลายเดือนก่อน

    RPC anaijua Kaz yake ipasavyo

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa kuna maana ghan ya kutoka uko nakujakuwasikiliza wananch ilo suala la wachaw nyie hamlijui kwasababu hamjakaa uswailini nyie lakin uchaw upo

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 7 หลายเดือนก่อน

    Hii imeonyesha wazi kwamba Police wote ni CCM RPC kujibu maswali ambayo ni waziri wa ndani.

  • @SALEHSALEH-lk5jr
    @SALEHSALEH-lk5jr 7 หลายเดือนก่อน

    Kumbe kigoma wanapenda uchawi, daaaaah shkamoo kigoma

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yuko vizuri

  • @BenardSambilo
    @BenardSambilo 7 หลายเดือนก่อน

    Hao wanafichua wachawi ni bora waendelee kuwepo

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ndio maana mnaitwa polisi ccm

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 7 หลายเดือนก่อน

    CHECK HAPO NI KINA MAMA TU NA IMANI HABA ZENU PUMBAF SANA

  • @BakariKibauri-qh7gf
    @BakariKibauri-qh7gf 7 หลายเดือนก่อน

    Wachawi wanafurahia kisenge😂😂😂😂

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 7 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu niwashirikina kweli

  • @alexsimon5576
    @alexsimon5576 7 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wameuawa kwa jili ya huu wendawazinu,mbaya zaidi usipofungamana nao nawe unaitwa mchawi

  • @user-mt1ep9eu4e
    @user-mt1ep9eu4e 7 หลายเดือนก่อน +1

    RPC umeenda hapo mkutano wa chama kutafuta nn, huyo sio boss wako

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 7 หลายเดือนก่อน

      Mmh mikutano si inalindwa jamani angekuwa mwanajeshi hapo tungeshangaa ila polisi hata mbowe angeenda angekuwepo pia.

    • @user-mt1ep9eu4e
      @user-mt1ep9eu4e 7 หลายเดือนก่อน

      @@isaacmwaseba9972 kutoa ulinzi sawa ila sio kushuriki kama mjumbe jukwaa kuu. Na hapaswi kumuita mwenezi mheshimiwa, hii inafanya vyama pinzan kuona jeshi linapokea maelekezo ya chama, haiko sawa brother

    • @avogadroskasembe4841
      @avogadroskasembe4841 7 หลายเดือนก่อน

      Ni vyema kuuliza kabla hujatoa hoja sehem yyte unayoona mkusanyiko mpira mkutano, au makongamano yyte maandamano police lazima awepo bila kujali cheo chake wala madaraka yake majukum tu ndio yatatofautiana kwamba huwezi mkuta RPC kashika Ak47 akiwa analinda

    • @user-mt1ep9eu4e
      @user-mt1ep9eu4e 7 หลายเดือนก่อน

      @@isaacmwaseba9972 RPC halindi mkutano, askari wake wadogo wanazunguka huko tena kwenye outlayer

    • @user-mt1ep9eu4e
      @user-mt1ep9eu4e 7 หลายเดือนก่อน

      @@avogadroskasembe4841 brother naelewa hayo yote lakin my point ni kwamba RPC hapaswi kuwa miongon mwa wajumbe wa mkutano bali anakuwa msimamiz wa usalama kupitia askari wake. Ushaona mikutano mingine au mihadhara ya kisiasa na kidin ukitoa ccm RPC anahutubia???

  • @anthonytido
    @anthonytido 7 หลายเดือนก่อน