@@isaacmwaseba9972 kutoa ulinzi sawa ila sio kushuriki kama mjumbe jukwaa kuu. Na hapaswi kumuita mwenezi mheshimiwa, hii inafanya vyama pinzan kuona jeshi linapokea maelekezo ya chama, haiko sawa brother
Ni vyema kuuliza kabla hujatoa hoja sehem yyte unayoona mkusanyiko mpira mkutano, au makongamano yyte maandamano police lazima awepo bila kujali cheo chake wala madaraka yake majukum tu ndio yatatofautiana kwamba huwezi mkuta RPC kashika Ak47 akiwa analinda
@@avogadroskasembe4841 brother naelewa hayo yote lakin my point ni kwamba RPC hapaswi kuwa miongon mwa wajumbe wa mkutano bali anakuwa msimamiz wa usalama kupitia askari wake. Ushaona mikutano mingine au mihadhara ya kisiasa na kidin ukitoa ccm RPC anahutubia???
big up rpc unajiamini sana napenda polisi kma hawa
RPC uko Sahihi sana.
Ghafla naichukia kigoma yaaani wanaendekeza sana Imani za kichawi
Good boss umeelezea vizuri sana wameelewa
RPC anajielewa sana
Mwenezi uko vizuri UNAONGEA kwa hekima
Ni kweli Sheria ifatwe
Kigoma mnamwihitaji YESU Kristo. Okokeni. Ni aibu sana
Daaah Rpc katema nyongooo
Big UP SANA RPC,komesha kabisa hii kitu,inavuruga sana ndugu, wananchi wengi ni wajinga hivyo wafuate sheria kwa nguvu
Wanaelimwishwa wanazoea,,likiwakuta jambo watajuta
Wewe ni kiongozi sahihi unaestahiki kuiongoza NCHI
Ukweli ufatwe
RPC anaijua Kaz yake ipasavyo
Sasa kuna maana ghan ya kutoka uko nakujakuwasikiliza wananch ilo suala la wachaw nyie hamlijui kwasababu hamjakaa uswailini nyie lakin uchaw upo
Hii imeonyesha wazi kwamba Police wote ni CCM RPC kujibu maswali ambayo ni waziri wa ndani.
Kumbe kigoma wanapenda uchawi, daaaaah shkamoo kigoma
Yuko vizuri
Hao wanafichua wachawi ni bora waendelee kuwepo
Ndio maana mnaitwa polisi ccm
CHECK HAPO NI KINA MAMA TU NA IMANI HABA ZENU PUMBAF SANA
Wachawi wanafurahia kisenge😂😂😂😂
Hawa watu niwashirikina kweli
Kuna watu wameuawa kwa jili ya huu wendawazinu,mbaya zaidi usipofungamana nao nawe unaitwa mchawi
RPC umeenda hapo mkutano wa chama kutafuta nn, huyo sio boss wako
Mmh mikutano si inalindwa jamani angekuwa mwanajeshi hapo tungeshangaa ila polisi hata mbowe angeenda angekuwepo pia.
@@isaacmwaseba9972 kutoa ulinzi sawa ila sio kushuriki kama mjumbe jukwaa kuu. Na hapaswi kumuita mwenezi mheshimiwa, hii inafanya vyama pinzan kuona jeshi linapokea maelekezo ya chama, haiko sawa brother
Ni vyema kuuliza kabla hujatoa hoja sehem yyte unayoona mkusanyiko mpira mkutano, au makongamano yyte maandamano police lazima awepo bila kujali cheo chake wala madaraka yake majukum tu ndio yatatofautiana kwamba huwezi mkuta RPC kashika Ak47 akiwa analinda
@@isaacmwaseba9972 RPC halindi mkutano, askari wake wadogo wanazunguka huko tena kwenye outlayer
@@avogadroskasembe4841 brother naelewa hayo yote lakin my point ni kwamba RPC hapaswi kuwa miongon mwa wajumbe wa mkutano bali anakuwa msimamiz wa usalama kupitia askari wake. Ushaona mikutano mingine au mihadhara ya kisiasa na kidin ukitoa ccm RPC anahutubia???
❤