Mmmmh eeeh 😅😅😅 yani umetisha mimi nimtu wakwanza nikiangalia dolden boy haswa napenda upande wa hagaa mbwembwe zake haki unaweza hadi raah mungu akujalie kabisa
@@amosmemba9926 najua nini sasa wajina, wewe kama amekuvutia na sauti ile ni sawa. Lakini sisi tulioona series yenyewe kabisa, tunaona kuna chumvi nyingi ambayo pengine inawavutia watu wa aina kama yako.
Cjui mnapongeza nn ikiwa lafudhi original ya muhisika haendani na hiyo Mnaharibu sana moview Yaani umahir wa kuingiza sauti uendane na original lafudh , mm si amini km mwenyewe anaongea kwa rafudh hiyo
Mmmmh eeeh 😅😅😅 yani umetisha mimi nimtu wakwanza nikiangalia dolden boy haswa napenda upande wa hagaa mbwembwe zake haki unaweza hadi raah mungu akujalie kabisa
Safi sana,,, tulitamani sana kumuona mnakilishaji wa sauti ya Kazim😃👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Daah!!! Nimefurahi kumuona mwenye hyo sauti, aisee umejua kutufurahisha 🌼🌼🌼🌼
Hongera kaka hyo sauti ya kazim Aga Sio rahisi
Huyu ndo mwenye sini ngumu na ya kuvutia kuliko wote.
Huyu alipwe pesa ndefu maana tamthilia kaipa hadhi.
Yan mm naangaliaga kwaajil y kazim na farit😂
Nilikuw nataman kumjua aliyeigiza sait ya kazim bee hatimae nimemjua honger kwako
Hakika anajua zaidi ya kujua 🌹
Big Up watu tunaifuatilia kufata sauti hiyo tu
Hongera kwa kazi nzuri 🎉
Amenogesha sana tamthilia aisee
Mzome wa mzome unajua,ulipwe Hela nyingi
❤❤ respect I lov it
Yaani wooiiii oiiii!! Ndo msemo wangu siku hizi.... Much love❤
🤣🤣🤣🤣
Woiiiiiiii woiiiiiiiiii😂😂😂😂
Hand Sam kichogo , chongo ndingoo, mlembo mzeee , kengeee weee, aiseee umetishaaa aaaaa mkuuu
Mbarikiwe Ndugu Zangu Bongo Touch 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Jamaa anajua
Jamaa kaua
Big Up 👊👊
Oii oiii nyumbani na wapangaj wenzangu ndo msemo wetu kifupi ndo tunaongea kikazim aghaaaaa woiiiiii❤
Kareem wa desire .
Yaani hii sauti nilikuwa natafuta ni nani kumbe ni wewe. Yaani nachekaga mpaka nalia hii sauti. Hongera sana sana
Mmmmh eeeh 😅😅😅 yani umetisha mimi nimtu wakwanza nikiangalia dolden boy haswa napenda upande wa hagaa mbwembwe zake haki unaweza hadi raah mungu akujalie kabisa
Woiiiiwoiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera kaka umetisha jamaniiii
Aliua kwenye saut ya kibaraka wa hurrem kwenye sultan ila na humu kaua
Umeona ee
❤
Oh alkuaga sumbra 😂😂😂😂
sumburaaa
Pale kweny sumbula aliua noma sana
Umetisha Kaka umeipa hadhi tamthilia hii inapendwa na wengi
Anaweza sana,saluti kwake
Kaka unatufurahisha mmno😊 'we kuweza'
Umetisha ❤
A😅😂 ahaha aha jamn me nakupenda Bure Yan kwel me uyo Mzee ndo anae nivutia kutizama mana lazima nicheke kwakwel ..hongera sana
Katishaa sanaaa😊
❤❤❤❤❤ndie alienifanya niipende na kuifatilia gold boy😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i lov him
Sumbulaaaa
Mm angalia kwaajili ya kasm aga
Yaan familia yetu wote tunaongea km mzome wa mzomeeeeee yaan tunampenda sana
😂
😂❤
Kaka mkubwa mpe sifa mungu nashukuru kwa kitu kikubwa
Sultanaaaaaaa
Huyu c ndo wa yule wa sultana kimanumanu..
Oioi wee
Waooow
Nampenda ila kuna wakati lazima avuruge. Ila yuko vizuri sana
Anamuwezea sana
Brooo unajua sanaa
Jaman mzome😂😂😂😂
🤣😂😂😅😁 Yaani ww Mbavu zangu unazivunja siku zote ila ww ndo umeipendezeaha ile kazi
Aisee mwamba kauwa mbaya yani sauti imefanana na kazim mwenyewe 😅
Hahahahahaha nampemdaa jamanii kazim bila huyu sijisikii rahaaa
😁😁naenjoy sana
Astagavirulah ulikunywa maji kwa ajili ya kitu cha kipuuz 😢
Kazi nyengine mtihani, sasa hapo aliharibu funga yake kwa ajili upuuzi
Muombeeni afe😂😂 km kawaida yenu
Alikuwa kazini lakini alivunja swaumu yake kwa mpango wa kuilipa baadae
kaka upewe mauwa yako jamani bila wew movi hainog kabsa
Natamani nimjue alieigiza sauti ya Mzee Fikri wa kwenye Our story
Ni yule baba mrefu kwenye mizengwe ya ITV
Anaitwa sumaku wamizengwe
Kaka yetu huyo
Safi sana
Wooi woooi hatuchi wangu haraka saaanaa habibt kipenzi
Woiiiiiwoiiiiwoiiiiii
Alichokivaa mkononi nikijiko
Ndio😂😂
Me nampenda bure
Hatari
❤❤❤❤❤❤❤
Itabidi aongezwe mshahara woi woi woi
Wamemkosea sana sauti ya kazin
Kumbe ni kermal soidere
Kusema kweli huwa ninacheka saana haswa kwa manjonjo anayoongeza kama kugunaguba.
Bila hyu ile tamthilia nikama chakula bila chumvi
Broo iyo imekaa poa sanna
Yaani nilikua nawish kumjua sana maana katisha
Nachekaga sana😂
Ni noumaaaa
Huyu pia amefanya sauti ya KEMAL
Daaah 😂😂😂🙌
Hata mm naona huyu ameuwa apewe mauwa yake
Hundsome kichogo ferit hahhahahhhHHHHHHH😂😂😂😂😂😂😂
Nimefurahi mwenzio 😂😂😂😂😂😂
Kemal wa kara sevda
Yani huyu kaifanya thamthilia iwe tamu
Sio nabii mswahili huyu nambie kama ni yeye?
Umeacha kufunga .fanya toba
Lipa kama hujafunga anko upo na afya yako funga Haina msamaha jamani
Woooy hoooy ohhy 😂😂😂
Mimi nataka kuigiza nifanyeje
KWANINI KIJIKO LAKINI😂😂😂😂😂
😂😂😂❤❤❤❤
❤❤❤😂😂
😂😂😂
😂😂
Htri😂😂
Kuigiza sauti siyo issue hasa kwa wale wanaolengwa..(Walaji) lakini kwa mawazo yangu ni bora angeigiza sauti ya Aga mwenyewe.
Wewe hujui lolote yaani Bora unyamaze
@@amosmemba9926 najua nini sasa wajina, wewe kama amekuvutia na sauti ile ni sawa. Lakini sisi tulioona series yenyewe kabisa, tunaona kuna chumvi nyingi ambayo pengine inawavutia watu wa aina kama yako.
Cjui mnapongeza nn ikiwa lafudhi original ya muhisika haendani na hiyo Mnaharibu sana moview
Yaani umahir wa kuingiza sauti uendane na original lafudh , mm si amini km mwenyewe anaongea kwa rafudh hiyo
Wwe mwenyewe ujui kuandika rafudh ndio nin? kama kiswahil kinakutesa iv english inakuaje?af acha wivu kila mtu na kipaji chake 😅😅😅
@@rynesawaya7043wivu unamsumbua tu huyo achan naye
Mwambie huyooo.. kama yeye akaigize sauti tumsikie...
eti anajifanya mswahili...
😂😂😂😂😂sasa si na wewe ukaeke sautiyako wewe handsome chogo😂😂😂
Huyu si NI WA Jambo na vijambo
😂😂eee
Mmmmh eeeh 😅😅😅 yani umetisha mimi nimtu wakwanza nikiangalia dolden boy haswa napenda upande wa hagaa mbwembwe zake haki unaweza hadi raah mungu akujalie kabisa
❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂
😂😂
Jamaaa kauwa yani tamthilia bila uyu mimi nakuaga kinyonge sana yn
Kauwasana
😂😂😂
Nyie mbona naona wameanza kufanana 😂
Kazimu akulipe bwana unemtambulisha sana huku bongo kwetu 😂
😂😂😂😂😂natqman nikutame nae nna zawad yake
Kaka unatufurahisha sana , duh tamthilia bila huyu jamaa bado haijawa nmzuri bado
Ba mkwe wa ferit😂😂😂mzee wa faida🎉
Yan wee acha napenda tuu anavo nogesha