JINSI YA KUJIUNGA NA TIMU ZA VIJANA ZA AZAM FC

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 128

  • @user-ec2ur3ut8e
    @user-ec2ur3ut8e 15 วันที่ผ่านมา

    Asanteeh kwa maelezo mazuri, Naitwa Faraja Davis nina uwezo wa kutumia miguu yote naomba utaratibu, Asanteeh

  • @AminaSultan-g5v
    @AminaSultan-g5v 9 วันที่ผ่านมา

    Mwalim wangu mimi ni naitwa Omary Nina miaka 15 Nina kipaji cha kuchez a mpira wa miguu nina omba kujiunga na academy yenu ahsante

  • @janethmasakia-yq1pf
    @janethmasakia-yq1pf 6 หลายเดือนก่อน +2

    Habari walimu wangu wa mpira wa miguu ninaitwa Gerald Nina miaka12 ninaomba kujiunga na academy yenu ahsante

  • @AminaSultan-g5v
    @AminaSultan-g5v 9 วันที่ผ่านมา

    Mwalim mimi naitwa Omary na kipaji cha kuchez mpira nafasi ya beki naishi urambo asante

  • @yuzarzifhazard9465
    @yuzarzifhazard9465 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni Hussein Mbaraka mahambi ninakipaji cha kucheza mpira katika nafasi tofauti ninamiaka 15 nasoma kidato cha kwanza shule ya sekondari kalimaji ninaomba msaada wa kujiunga nanyi katika program zenu kwakua kwetu kunashida kifedha ninaomba msaada wenu natumaini maombi yangu yatakubaliwa INSHAALLAH napatikana ARUSHA njiro mtaa wa egosengiu

  • @user-pq8pu5vs3z
    @user-pq8pu5vs3z 7 หลายเดือนก่อน

    Azam njoon kigoma🎉tutafanikiw mm Agustihno sokola nippo kigoma mwanga

    • @user-pq8pu5vs3z
      @user-pq8pu5vs3z 7 หลายเดือนก่อน

      Mm no Agustihno sokola nippo kigoma mwanga mtaa wa shaurimoyo

  • @hermansasuri9743
    @hermansasuri9743 2 ปีที่แล้ว +4

    Ni vizuri saana na mnafanya jambo jema saana sasa je vip kwa wale walioko mbali na Dare es salaam, wanapataje hizo nafasi.

  • @TillionsMon
    @TillionsMon 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU azidi kuichipusha AZAM ,Amiin.

  • @CatherineKisomba
    @CatherineKisomba 16 วันที่ผ่านมา

    Habari mwalimu naitwa Catherine kisomba naishi mbezi beach mm napenda kcheza mpira na nafas ya kiungo

  • @user-ev1bt4lj4w
    @user-ev1bt4lj4w หลายเดือนก่อน

    Shikamoo mwalimu wangu wa mpira wa miguu ninaitwa ethan martin nina miaka 23 ninaomba kujiunga na academy yenu asante

    • @LenadiShini
      @LenadiShini 17 วันที่ผ่านมา

      shikamoo.mwalim.wangu.wa.mpira.miguu.ninaitwa.karim.ramadhan.nina.miaka.16.ninaomba.kujiunga.na.akadem.yenu.asante

  • @TillionsMon
    @TillionsMon 3 หลายเดือนก่อน

    Inapendeza sana wakuu,Mimi naitwa baba JOHN
    Mimi mwanangu anapenda mpira naa anakipaji hivyo nitamleta waalimu,Umri wake miaka 15,Asanteni
    Ila Kama hamtojali ninaomba namba zenu wakuu

  • @AzizaHussein-wq8ql
    @AzizaHussein-wq8ql 6 หลายเดือนก่อน +1

    Fei toto ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @meruworriorsfootballprojec9494
    @meruworriorsfootballprojec9494 ปีที่แล้ว

    big up , By meru warriors football project TANZANIA

  • @ElikanaEmanweli
    @ElikanaEmanweli 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ninakipaji champira Na baazi yawatu Wanasemaga kwe dog unakitu mguuni.. Ila nduguzang Sina Baba pia Nimekosea.. Sapoti.. Shule Nime ishia la 7 Nilikosa wakuniendeleza.. Nimemaliza 2020lasaba.. Ilakwasabu.. Nimekosea wakuniendeleza.. ndotoyangu Nataka iwe mpira

  • @AminaSultan-g5v
    @AminaSultan-g5v 9 วันที่ผ่านมา

    Naitwa Omary naishi urambo napenda mpira naomba kujiunga na academy yenu ila wazazi wangu Hawa a uwezo naomba mnisaidie

  • @HamisKapembe
    @HamisKapembe หลายเดือนก่อน

    Mim mzazi wa said khamis kapembe nilikua naomba nafasi yakujiung katika a academy ya mpira wa miguu

  • @NemenceTesha43k
    @NemenceTesha43k 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa majina naitwa kelvin paul nina umri wa miaka 18 napenda sana kucheza mpira wa miguu naomben mnisaidie nina ndoto za kuwasaidia wengi kupitia kipaji changu naombeni sana mnisaidie

  • @AishaSafia-iz9qb
    @AishaSafia-iz9qb ปีที่แล้ว +1

    Mi naitwa adan nime furahi nakupendezwa natim hiyo ya Azam fc naeza penda mtoto wangu ajiunge na Tim hiyo y a under 17 so naeza pata location vipi

  • @AthamanIssa
    @AthamanIssa หลายเดือนก่อน

    Naitwa athumani issa niko mwanza nataka kujinga nanyie ila wazazi wangu awana uwezo naomba mnisaidie

  • @JullyMaira-if6kd
    @JullyMaira-if6kd 8 หลายเดือนก่อน +2

    Naomben nimlete mwanangu naomben msaada wenu maana anakipaj kikubwa

  • @EliaUtenga
    @EliaUtenga 13 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu mm naitwa elia utenga nina miaka 15 napenda xana mpila

  • @user-pf7tb5og5d
    @user-pf7tb5og5d 7 หลายเดือนก่อน +1

    nahitaji kumleta kijana wangu ajiunge na academy ya azam ili aendeleze kipaji chake cha mpira wa mguu U15 mnielekeze vizuli au mnitumie namba ili tuongee vzuli

  • @SakhoJohn
    @SakhoJohn 3 หลายเดือนก่อน

    Ninaitwa deo msacky Nina miaka 17 naomba kujiunga na academy yenu ahsant naombeni mnisaidie

  • @ChrissShani
    @ChrissShani 4 หลายเดือนก่อน

    Hi coach mm chriss emmanuel naomba kujiunga na sports acadomy ya azam

  • @MayaraMssa
    @MayaraMssa 3 หลายเดือนก่อน

    Jaman naombben nafasi ya kujiunga na azam academy umri naitwa Julius sospeter selema umri miaka 18

  • @user-ez3qj8tm2k
    @user-ez3qj8tm2k 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi naitwa Abubakar Amri naishi mbezi naweza kucheza kama kiungo lakini wazazi wangu hawana fedha za kutosha hivyo naomba msaada wa kujiunga nanyi tafadhali kwa masharti yoyote

  • @user-dp7tl5dx9j
    @user-dp7tl5dx9j 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nataka kujiunga happy assuming inakuaje

  • @jacksonernest-g4r
    @jacksonernest-g4r 24 วันที่ผ่านมา

    Nata man I kujiunga na academy Hi yo ya azam

  • @MichaelShayo-rt1gm
    @MichaelShayo-rt1gm 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa majina naitwa Michael novatus shayo mwalimu wa michezo wa mpira wa miguu na umri miaka 18 naomba nafasi ya kujiunga na academy sports yeni naombeni niweze kutimiza kipaji nicho nachoo

    • @MichaelShayo-rt1gm
      @MichaelShayo-rt1gm 2 หลายเดือนก่อน

      Mwalimu wa michezo wa Azam academy naomba msaada wenu

  • @ImanWilliam
    @ImanWilliam 9 หลายเดือนก่อน +1

    naomba kjiunga

  • @HashimuShaban
    @HashimuShaban หลายเดือนก่อน

    Naitwa barak Shaban nina mika 18 ninaomb kujiunga kweny timu yenu

  • @isahawolee
    @isahawolee วันที่ผ่านมา

    naomba vigezo nameme nije au namba zenu ahsante

  • @MayaraMssa
    @MayaraMssa 3 หลายเดือนก่อน

    Kama kutakuwa na Mambo mengine tujurishane ndugu zangun ntafuata utaratibu wote na nidham kwa sana

  • @MayaraMssa
    @MayaraMssa 3 หลายเดือนก่อน

    Ntafurah Sana mkuu nisaidie mdogo wako

  • @_maseed
    @_maseed 2 ปีที่แล้ว

    Eeeenshallahou taaalaaa...🙏🏻Mola azid kuipa nguvu taasis nzima ya #azambakhresa

  • @PatriceYuda-vy1rg
    @PatriceYuda-vy1rg 10 หลายเดือนก่อน

    Kwa majina naitwa Patrice yuda natokea mkoani manyara kwa sasa nipo mlandizi natamani sana kujiunga Na academ naomba maelekezo samahani kwa usumbufu

    • @BethodyBogias
      @BethodyBogias 10 หลายเดือนก่อน

      Kuhusu maombi ya academy umepata mwelekeo gani Hadi kufkia saizi?

  • @JUMANUHU-do8ll
    @JUMANUHU-do8ll 3 หลายเดือนก่อน

    Shkamokni kocha me naitwa juma nuhu na miaka 15 nilikuw Naomba kujiunga na academy yen nakipaj asante

  • @user-ww7tz2ke2l
    @user-ww7tz2ke2l 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mzazi wa maliki ramadhani naomba nafasi yakujiunga katika academy ya Azam fc

  • @GoodnesHamis
    @GoodnesHamis 2 หลายเดือนก่อน

    Naitwa azz rajab nimchezaj mzuri pia nimewah kuchezea kwenye academy ko namba nafas

  • @user-eq4uy8vg9v
    @user-eq4uy8vg9v 5 หลายเดือนก่อน

    Habari mwalimu Nina mwanangu anaitwa kasim anaumri was miaka 12 anakipaji kikubwa Cha mpira was miguu naomba ajiunge na academy yenu

  • @WazalendoMeneja
    @WazalendoMeneja 5 วันที่ผ่านมา

    Kwema

  • @RonginoKitalika
    @RonginoKitalika 3 หลายเดือนก่อน

    Mtoto anajiungaje

  • @user-si2ih9pu7u
    @user-si2ih9pu7u 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwa naomba naamba

  • @ZainaMshana-gn9is
    @ZainaMshana-gn9is 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba nipo mkoani Nina kijana wangu nahitaji kumleta

  • @FabianNghwani
    @FabianNghwani 4 หลายเดือนก่อน

    Mm nina itwa festo naomba kujiunga na academy yenu

  • @YussufYussuf-pu1ie
    @YussufYussuf-pu1ie 6 หลายเดือนก่อน

    Naitw haji soud haji maaruf dube ninawaomb sn ten san naomb nafas na mm ya kujiunga na academ ya azam nin kipj il ttz sn mtu tu ilo nd ttz naomb mung akupen iman muwez kunitaft familia yang ni maskin san na ninandot ya mpir il kuitoa familia yang nakuomben san muwez kunisaidia jaman nakuomben sana natekemea mutanisapot kwa hl asanten

  • @user-wq8kw3hm5n
    @user-wq8kw3hm5n 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa majina naitwa jumma nuhu na kaa mkoa wa manyar na miaka 15 na kipaji Cha kucheza mpir nilikuwa na omba number mama anataka kunileta uko na kipaji San Cha mpira was miguuu

  • @hermansasuri9743
    @hermansasuri9743 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninapenda saana mpira na mwanangu natamani asome huku akicheza mpira lakini niko Geita nafanyaje ili kumuweka mtoto hapo

  • @user-et3kf9yg9e
    @user-et3kf9yg9e 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi Ezra naomba kujiunga na academy Naomba namba ya wsp

  • @elifurahachuri9917
    @elifurahachuri9917 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji kujiunga na azam under 17 naomba maelezo zaidi kuhusu kategori hiyo,

  • @elishabomba9063
    @elishabomba9063 6 หลายเดือนก่อน

    Habali mimi nina uwezo wa kucheza pila naomba muni saidie ninamyaka 17

  • @KasimAli-fn1zh
    @KasimAli-fn1zh ปีที่แล้ว

    Vp sis ambao tupo katika wilaya ya lushota na tuna vipaj mnatusaidiaje

  • @elishabomba9063
    @elishabomba9063 6 หลายเดือนก่อน

    Naombeni munisikiye jamani minipo

  • @user-eq4uy8vg9v
    @user-eq4uy8vg9v 4 หลายเดือนก่อน

    naomba mwanangu kassim ahmad ajiunge

  • @user-mf5pn4ee4n
    @user-mf5pn4ee4n 8 หลายเดือนก่อน

    Habali mkuu mm naitwa twalibu ni mkazi wa dar ningependa kujiunga na academy yenu nina miaka 17 boss nawaomben jaman ninamaisha yatabu sn mkuu

  • @halimasalum8894
    @halimasalum8894 ปีที่แล้ว

    Ishaallah

  • @user-yb6nh9fd8z
    @user-yb6nh9fd8z 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba unisaidie mwanangu aje azam mwakani nitafanyaje uder 15

  • @lilianmakula2399
    @lilianmakula2399 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ntapataje namba zenu mwanangu ajiunge

  • @johnhosea6389
    @johnhosea6389 2 ปีที่แล้ว +1

    Karibuni kwa mechi

  • @ogaoga2385
    @ogaoga2385 ปีที่แล้ว

    Naitwa good luck naomba kujiunga na academy yak inafanya vizur sana

  • @user-fj4np4oe5c
    @user-fj4np4oe5c 6 หลายเดือนก่อน

    Habari

  • @user-rd9hl1df9v
    @user-rd9hl1df9v 10 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani Kuna nipen maelekezo

  • @MathayoJuma-dy9pj
    @MathayoJuma-dy9pj ปีที่แล้ว

    Naitwa mathayo nipo mwanza napanda sana kucheza mpira mawezaje iupata maelekezo ya kufka huko ama kujiunga tafadhari

  • @MshoshaCharles
    @MshoshaCharles หลายเดือนก่อน

    Kuanzia umli gan

  • @user-ek4sn3ib2m
    @user-ek4sn3ib2m 7 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wang anahitaj kujiunga na academy ya azam nawapataje

    • @FrankRichard-qn9id
      @FrankRichard-qn9id 6 หลายเดือนก่อน

      Hallo,Nina mtoto wangu anapenda sana kujiunga nanyi Niko tabora je mna shule hapohapo nimlete na vp gharama na mahitaj mengine

  • @jacksonernest-g4r
    @jacksonernest-g4r 24 วันที่ผ่านมา

    Napataje nafasi ya kuja

  • @jacksondalushi3865
    @jacksondalushi3865 2 ปีที่แล้ว

    Ninavijana wangu wanapenda mpira sana tupo Mwanza

  • @PatriceYuda-vy1rg
    @PatriceYuda-vy1rg 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba maelekezo jumamosi nataka nije nikuanzia SAA ngapi mnaanza

  • @user-et3kf9yg9e
    @user-et3kf9yg9e 6 หลายเดือนก่อน

    Naomba kujiunga na academy

  • @EMANUELASSENGA
    @EMANUELASSENGA 6 หลายเดือนก่อน +1

    MY name is emanueli need tojoin with Azam academy, i have talent number 3,6 and 8

  • @ABASSAGHA-zk3nu
    @ABASSAGHA-zk3nu ปีที่แล้ว

    Ni mfano wa kuigwa kw timu nyingine azm fc bizaa bora timu boraaa

  • @PatriceYuda-vy1rg
    @PatriceYuda-vy1rg 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba maelekezo

  • @user-rm3mq9jj4h
    @user-rm3mq9jj4h 6 หลายเดือนก่อน

    nina miaka 15 toninahitaji kujiunga nahitaji namba zenu

  • @user-wb4cx8jh9w
    @user-wb4cx8jh9w ปีที่แล้ว

    Naitaji kujiunga na academy naomba sana

  • @user-rc9ih9hg2w
    @user-rc9ih9hg2w 6 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kujiunga na academy

  • @saidyiddy8512
    @saidyiddy8512 ปีที่แล้ว

    napataje nafasi ya kuleta vijana wangu napenda sana awe hapo azam

  • @elishabomba9063
    @elishabomba9063 6 หลายเดือนก่อน

    Nipo tayali kuona jinsi kipaji changu kinapo kuwa

  • @laizerstephen4927
    @laizerstephen4927 8 หลายเดือนก่อน

    Naomb kujiunga tim ya azam under 17

  • @obedeliza2475
    @obedeliza2475 ปีที่แล้ว

    Nina mtoto wangu ana Lilia nimlete azam nipen maelekezo

  • @KasimAli-fn1zh
    @KasimAli-fn1zh ปีที่แล้ว

    Katika wilaya ya lushoto mkoa watanga ipo timu inayo itwa mbugusi f.c inavipaji vya kutosha mnatusaidiaje hawa vijana Ili waweze kutimiza ndoto zao

  • @AlachuFamily-bh6sg
    @AlachuFamily-bh6sg ปีที่แล้ว

    Mm lakson ruga naomba nafasi apo

  • @neemarehani5941
    @neemarehani5941 7 หลายเดือนก่อน +1

    nataka nijiunge

  • @SuleimanMrisho
    @SuleimanMrisho 4 หลายเดือนก่อน

    Namb ya sim nilikuw naomb

  • @ElizabethLackson-wt7rx
    @ElizabethLackson-wt7rx 9 หลายเดือนก่อน

    Namba. Ya. Simu

  • @zamdadedela297
    @zamdadedela297 ปีที่แล้ว +1

    Naomben mnielekeze namba ya kujiunga

    • @zamdadedela297
      @zamdadedela297 ปีที่แล้ว

      Naomben mnielekeze namba zenu Ili nimlete mwanangu

    • @zamdadedela297
      @zamdadedela297 ปีที่แล้ว

      Naomben mnielekeze namba zenu Ili nimlete mwanangu

  • @samachampion7268
    @samachampion7268 2 ปีที่แล้ว +1

    Free session jumamosi inaanza sangapi?

    • @galaxyboe5762
      @galaxyboe5762 2 ปีที่แล้ว

      Free session jumamosi inaanza na kuisha saangapi?

  • @zamdadedela297
    @zamdadedela297 ปีที่แล้ว

    Ninawezaje kupata namba zenu Ili nimlete mwanangu hapi

  • @user-ps9zv8he3k
    @user-ps9zv8he3k ปีที่แล้ว +1

    Nawezakupanaba

  • @cashmoneytz2759
    @cashmoneytz2759 2 ปีที่แล้ว

    Hakika mtafka mbali

  • @neemakumbuaeli2168
    @neemakumbuaeli2168 7 หลายเดือนก่อน

    Wa mikoani inakuwaje

  • @sahimameir1099
    @sahimameir1099 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nina kipaji nafanyaje

  • @feristeranthony-ec3qs
    @feristeranthony-ec3qs ปีที่แล้ว

    Mwaka huu trial link?

  • @user-gb9gs1dd5w
    @user-gb9gs1dd5w 7 หลายเดือนก่อน

    Nataka kujiung naakadem yenu

  • @sijalimwampenza4786
    @sijalimwampenza4786 2 ปีที่แล้ว

    Mtoto wangu anataka kujiunga na azam yawatoto nipen maelekezo

  • @AminaAthumani-yf5qz
    @AminaAthumani-yf5qz หลายเดือนก่อน

    Mtu akitaka kujiunga atua gani afate

  • @ImanWilliam
    @ImanWilliam 9 หลายเดือนก่อน

    naomba namba zenu

    • @SangaSefania
      @SangaSefania 9 หลายเดือนก่อน

      Naitwa frans naomba kujiunga na kituo chenu

  • @perusiezekiel1758
    @perusiezekiel1758 ปีที่แล้ว

    Nataka kujiunga

  • @Cliffordwilliam-du7ch
    @Cliffordwilliam-du7ch 11 หลายเดือนก่อน

    Natamani kujiunga na club ya azam naomba nijue utaratibu ukoje

  • @user-gb9gs1dd5w
    @user-gb9gs1dd5w 7 หลายเดือนก่อน

    Naomb namba zenu

  • @eliassaruni3719
    @eliassaruni3719 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako ya wasapa