Mimi ni Hussein Mbaraka mahambi ninakipaji cha kucheza mpira katika nafasi tofauti ninamiaka 15 nasoma kidato cha kwanza shule ya sekondari kalimaji ninaomba msaada wa kujiunga nanyi katika program zenu kwakua kwetu kunashida kifedha ninaomba msaada wenu natumaini maombi yangu yatakubaliwa INSHAALLAH napatikana ARUSHA njiro mtaa wa egosengiu
Inapendeza sana wakuu,Mimi naitwa baba JOHN Mimi mwanangu anapenda mpira naa anakipaji hivyo nitamleta waalimu,Umri wake miaka 15,Asanteni Ila Kama hamtojali ninaomba namba zenu wakuu
Ninakipaji champira Na baazi yawatu Wanasemaga kwe dog unakitu mguuni.. Ila nduguzang Sina Baba pia Nimekosea.. Sapoti.. Shule Nime ishia la 7 Nilikosa wakuniendeleza.. Nimemaliza 2020lasaba.. Ilakwasabu.. Nimekosea wakuniendeleza.. ndotoyangu Nataka iwe mpira
Kwa majina naitwa kelvin paul nina umri wa miaka 18 napenda sana kucheza mpira wa miguu naomben mnisaidie nina ndoto za kuwasaidia wengi kupitia kipaji changu naombeni sana mnisaidie
nahitaji kumleta kijana wangu ajiunge na academy ya azam ili aendeleze kipaji chake cha mpira wa mguu U15 mnielekeze vizuli au mnitumie namba ili tuongee vzuli
Mimi naitwa Abubakar Amri naishi mbezi naweza kucheza kama kiungo lakini wazazi wangu hawana fedha za kutosha hivyo naomba msaada wa kujiunga nanyi tafadhali kwa masharti yoyote
Kwa majina naitwa Michael novatus shayo mwalimu wa michezo wa mpira wa miguu na umri miaka 18 naomba nafasi ya kujiunga na academy sports yeni naombeni niweze kutimiza kipaji nicho nachoo
Naitw haji soud haji maaruf dube ninawaomb sn ten san naomb nafas na mm ya kujiunga na academ ya azam nin kipj il ttz sn mtu tu ilo nd ttz naomb mung akupen iman muwez kunitaft familia yang ni maskin san na ninandot ya mpir il kuitoa familia yang nakuomben san muwez kunisaidia jaman nakuomben sana natekemea mutanisapot kwa hl asanten
Kwa majina naitwa jumma nuhu na kaa mkoa wa manyar na miaka 15 na kipaji Cha kucheza mpir nilikuwa na omba number mama anataka kunileta uko na kipaji San Cha mpira was miguuu
Asanteeh kwa maelezo mazuri, Naitwa Faraja Davis nina uwezo wa kutumia miguu yote naomba utaratibu, Asanteeh
Mwalim wangu mimi ni naitwa Omary Nina miaka 15 Nina kipaji cha kuchez a mpira wa miguu nina omba kujiunga na academy yenu ahsante
Habari walimu wangu wa mpira wa miguu ninaitwa Gerald Nina miaka12 ninaomba kujiunga na academy yenu ahsante
Mwalim mimi naitwa Omary na kipaji cha kuchez mpira nafasi ya beki naishi urambo asante
Mimi ni Hussein Mbaraka mahambi ninakipaji cha kucheza mpira katika nafasi tofauti ninamiaka 15 nasoma kidato cha kwanza shule ya sekondari kalimaji ninaomba msaada wa kujiunga nanyi katika program zenu kwakua kwetu kunashida kifedha ninaomba msaada wenu natumaini maombi yangu yatakubaliwa INSHAALLAH napatikana ARUSHA njiro mtaa wa egosengiu
Azam njoon kigoma🎉tutafanikiw mm Agustihno sokola nippo kigoma mwanga
Mm no Agustihno sokola nippo kigoma mwanga mtaa wa shaurimoyo
Ni vizuri saana na mnafanya jambo jema saana sasa je vip kwa wale walioko mbali na Dare es salaam, wanapataje hizo nafasi.
MUNGU azidi kuichipusha AZAM ,Amiin.
Habari mwalimu naitwa Catherine kisomba naishi mbezi beach mm napenda kcheza mpira na nafas ya kiungo
Shikamoo mwalimu wangu wa mpira wa miguu ninaitwa ethan martin nina miaka 23 ninaomba kujiunga na academy yenu asante
shikamoo.mwalim.wangu.wa.mpira.miguu.ninaitwa.karim.ramadhan.nina.miaka.16.ninaomba.kujiunga.na.akadem.yenu.asante
Inapendeza sana wakuu,Mimi naitwa baba JOHN
Mimi mwanangu anapenda mpira naa anakipaji hivyo nitamleta waalimu,Umri wake miaka 15,Asanteni
Ila Kama hamtojali ninaomba namba zenu wakuu
Fei toto ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
big up , By meru warriors football project TANZANIA
Ninakipaji champira Na baazi yawatu Wanasemaga kwe dog unakitu mguuni.. Ila nduguzang Sina Baba pia Nimekosea.. Sapoti.. Shule Nime ishia la 7 Nilikosa wakuniendeleza.. Nimemaliza 2020lasaba.. Ilakwasabu.. Nimekosea wakuniendeleza.. ndotoyangu Nataka iwe mpira
Naitwa Omary naishi urambo napenda mpira naomba kujiunga na academy yenu ila wazazi wangu Hawa a uwezo naomba mnisaidie
Mim mzazi wa said khamis kapembe nilikua naomba nafasi yakujiung katika a academy ya mpira wa miguu
Kwa majina naitwa kelvin paul nina umri wa miaka 18 napenda sana kucheza mpira wa miguu naomben mnisaidie nina ndoto za kuwasaidia wengi kupitia kipaji changu naombeni sana mnisaidie
Mi naitwa adan nime furahi nakupendezwa natim hiyo ya Azam fc naeza penda mtoto wangu ajiunge na Tim hiyo y a under 17 so naeza pata location vipi
Naitwa athumani issa niko mwanza nataka kujinga nanyie ila wazazi wangu awana uwezo naomba mnisaidie
Naomben nimlete mwanangu naomben msaada wenu maana anakipaj kikubwa
Mwalimu mm naitwa elia utenga nina miaka 15 napenda xana mpila
nahitaji kumleta kijana wangu ajiunge na academy ya azam ili aendeleze kipaji chake cha mpira wa mguu U15 mnielekeze vizuli au mnitumie namba ili tuongee vzuli
Ninaitwa deo msacky Nina miaka 17 naomba kujiunga na academy yenu ahsant naombeni mnisaidie
Hi coach mm chriss emmanuel naomba kujiunga na sports acadomy ya azam
Jaman naombben nafasi ya kujiunga na azam academy umri naitwa Julius sospeter selema umri miaka 18
Mimi naitwa Abubakar Amri naishi mbezi naweza kucheza kama kiungo lakini wazazi wangu hawana fedha za kutosha hivyo naomba msaada wa kujiunga nanyi tafadhali kwa masharti yoyote
Nataka kujiunga happy assuming inakuaje
Nata man I kujiunga na academy Hi yo ya azam
Kwa majina naitwa Michael novatus shayo mwalimu wa michezo wa mpira wa miguu na umri miaka 18 naomba nafasi ya kujiunga na academy sports yeni naombeni niweze kutimiza kipaji nicho nachoo
Mwalimu wa michezo wa Azam academy naomba msaada wenu
naomba kjiunga
Naitwa barak Shaban nina mika 18 ninaomb kujiunga kweny timu yenu
naomba vigezo nameme nije au namba zenu ahsante
Kama kutakuwa na Mambo mengine tujurishane ndugu zangun ntafuata utaratibu wote na nidham kwa sana
Ntafurah Sana mkuu nisaidie mdogo wako
Eeeenshallahou taaalaaa...🙏🏻Mola azid kuipa nguvu taasis nzima ya #azambakhresa
Kwa majina naitwa Patrice yuda natokea mkoani manyara kwa sasa nipo mlandizi natamani sana kujiunga Na academ naomba maelekezo samahani kwa usumbufu
Kuhusu maombi ya academy umepata mwelekeo gani Hadi kufkia saizi?
Shkamokni kocha me naitwa juma nuhu na miaka 15 nilikuw Naomba kujiunga na academy yen nakipaj asante
Mimi ni mzazi wa maliki ramadhani naomba nafasi yakujiunga katika academy ya Azam fc
Naitwa azz rajab nimchezaj mzuri pia nimewah kuchezea kwenye academy ko namba nafas
Habari mwalimu Nina mwanangu anaitwa kasim anaumri was miaka 12 anakipaji kikubwa Cha mpira was miguu naomba ajiunge na academy yenu
Kwema
Mtoto anajiungaje
Nilikuwa naomba naamba
Naomba namba nipo mkoani Nina kijana wangu nahitaji kumleta
Mm nina itwa festo naomba kujiunga na academy yenu
Naitw haji soud haji maaruf dube ninawaomb sn ten san naomb nafas na mm ya kujiunga na academ ya azam nin kipj il ttz sn mtu tu ilo nd ttz naomb mung akupen iman muwez kunitaft familia yang ni maskin san na ninandot ya mpir il kuitoa familia yang nakuomben san muwez kunisaidia jaman nakuomben sana natekemea mutanisapot kwa hl asanten
Kwa majina naitwa jumma nuhu na kaa mkoa wa manyar na miaka 15 na kipaji Cha kucheza mpir nilikuwa na omba number mama anataka kunileta uko na kipaji San Cha mpira was miguuu
Mimi ninapenda saana mpira na mwanangu natamani asome huku akicheza mpira lakini niko Geita nafanyaje ili kumuweka mtoto hapo
Mimi Ezra naomba kujiunga na academy Naomba namba ya wsp
Nahitaji kujiunga na azam under 17 naomba maelezo zaidi kuhusu kategori hiyo,
Naomba nafasi yakujiunga
Habali mimi nina uwezo wa kucheza pila naomba muni saidie ninamyaka 17
Vp sis ambao tupo katika wilaya ya lushota na tuna vipaj mnatusaidiaje
Naombeni munisikiye jamani minipo
naomba mwanangu kassim ahmad ajiunge
Habali mkuu mm naitwa twalibu ni mkazi wa dar ningependa kujiunga na academy yenu nina miaka 17 boss nawaomben jaman ninamaisha yatabu sn mkuu
Ishaallah
Naomba unisaidie mwanangu aje azam mwakani nitafanyaje uder 15
Ntapataje namba zenu mwanangu ajiunge
Karibuni kwa mechi
Tutakilibia
Congratulation
Naitwa good luck naomba kujiunga na academy yak inafanya vizur sana
Vp
Habari
Natamani Kuna nipen maelekezo
Naitwa mathayo nipo mwanza napanda sana kucheza mpira mawezaje iupata maelekezo ya kufka huko ama kujiunga tafadhari
Kuanzia umli gan
Mtoto wang anahitaj kujiunga na academy ya azam nawapataje
Hallo,Nina mtoto wangu anapenda sana kujiunga nanyi Niko tabora je mna shule hapohapo nimlete na vp gharama na mahitaj mengine
Napataje nafasi ya kuja
Ninavijana wangu wanapenda mpira sana tupo Mwanza
Nami niko mwanza
Naomba maelekezo jumamosi nataka nije nikuanzia SAA ngapi mnaanza
Naomba kujiunga na academy
MY name is emanueli need tojoin with Azam academy, i have talent number 3,6 and 8
Ni mfano wa kuigwa kw timu nyingine azm fc bizaa bora timu boraaa
Naomba maelekezo
nina miaka 15 toninahitaji kujiunga nahitaji namba zenu
Naitaji kujiunga na academy naomba sana
Nahitaji kujiunga na academy
napataje nafasi ya kuleta vijana wangu napenda sana awe hapo azam
Nipo tayali kuona jinsi kipaji changu kinapo kuwa
Naomb kujiunga tim ya azam under 17
Nina mtoto wangu ana Lilia nimlete azam nipen maelekezo
Katika wilaya ya lushoto mkoa watanga ipo timu inayo itwa mbugusi f.c inavipaji vya kutosha mnatusaidiaje hawa vijana Ili waweze kutimiza ndoto zao
Mm lakson ruga naomba nafasi apo
nataka nijiunge
Namb ya sim nilikuw naomb
Namba. Ya. Simu
Naomben mnielekeze namba ya kujiunga
Naomben mnielekeze namba zenu Ili nimlete mwanangu
Naomben mnielekeze namba zenu Ili nimlete mwanangu
Free session jumamosi inaanza sangapi?
Free session jumamosi inaanza na kuisha saangapi?
Ninawezaje kupata namba zenu Ili nimlete mwanangu hapi
Nawezakupanaba
Hakika mtafka mbali
Wa mikoani inakuwaje
Mimi nina kipaji nafanyaje
Mwaka huu trial link?
Nataka kujiung naakadem yenu
Mtoto wangu anataka kujiunga na azam yawatoto nipen maelekezo
Mtu akitaka kujiunga atua gani afate
naomba namba zenu
Naitwa frans naomba kujiunga na kituo chenu
Nataka kujiunga
Natamani kujiunga na club ya azam naomba nijue utaratibu ukoje
Naomb namba zenu
Naomba namba yako ya wasapa