ESMA KUHUSU AALIYAH KUBEBA MIMBA YA DIAMOND, UKARIBU NA ZUCHU KUPUNGUA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2022
- ESMA KUHUSU AALIYAH KUBEBA MIMBA YA DIAMOND, UKARIBU NA ZUCHU KUPUNGUA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Nimeguduwa esma anamweshima queen darline
Queen hapendi shobo ndio maana Esma hamuelewi🤣
Hu
Kidogo hicho esma nakuunga mkono wanaume ovyo hawajijui,wala, hawajitambui wanaoa wake wenye àkili .ili wafiche mapungufu yao,halafu , wanataka kujipendekeza Kua wao ndio Watu wakutoa ujuba n'a ilhali mke ndie anasota kutafuta maisha yéyé avimbe kichwa n'a kujifany a n'a kujitunisha kua ATI yéyé dumé!! ovyyyooo !!! Umenifurahisha sana esma ❤️❤️
Umeongea ukweli kabisa hapo👏👏👏👏👏👏👏
Huyu dada munamuita yuda lakini mm nampenda esma anasema kweli Hana Cha kuficha ficha Toka alivyosema ukweli wa msizwa nilimpenda Sanaa 🥰
Leo tu ndio kaongea kweli
Huyu anayesaili ananibamba sana love from 🇰🇪😅
Wanawake wapambanaji piga kelele💕💕💖❤️💖 nimekupenda esma kalibu UAE
😀😀😀eee fetty wee nimeshakuona
@@ashuuuaisha9122 da shuuu haaaaaa siunajua hapo ndio home
Women struggling make noise 💞💕💗♥️💖 I have admired Esma welcome to UAE
Napenda sana sauti ya Esma jamani kutoka Kenya nakupenda bure
I love the answers that Esma gives confidently 😂😂😂😂wambea wakomeee
Hahaha...and the guy kept on insisting.
@@blessedemily3652 y
@@blessedemily3652 yyyuiuukjumykyy
Kyykyymykyykyyiyiykyyniyyiykkyyo
Kyjniyyyik
Aliyah na Zuchu wanamgombea mondi ,,sasa apo lazima mmoja wao ataondoka wasafi,,hasa hasa Huyu Aliyah ,,sioni kama atadumu apo wasafi,,hiyo kampuni ina wanafiki wengi sana ,,diamond akifunga ndoa na Zuchu ,,Aliyah lazima ataondoka wasafi,,hatoweza vumilia kupolwa bwana
Kwani Aaliyah amefata kazi au bwana?
@@exoticsomalibantuhistory9476 alifata kazi,, kisha aka changanya na mapenzi ,,sasa inamtokea puani ,,Siku zote ,boss akitembea na mfanyakazi wake lazima kazi iharibike ,,Aliyah angejali kazi yake ,,yasinge mkuta hayo
@@exoticsomalibantuhistory9476 wanawake wana jirahisisha sana
@@aminaqatar5041 TRUE
I wish they didn't cut hizo parts wame edit😂😂😂😂😂😂
Kiboko ya wambea
Esima ESIMA yangu macho 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Ankula mizgo
Nakupenda bure dada Esma
Na hapo ninyi kujiona mnaweza ndipo mnapoingia ujeur na kutukosa
Good girl ❤️❤️❤️
🤣🤣🤣🤣🤣oya nakubali unavo fanya interview mwanangu. BIG UPPPPPPPPP
Nimekupenda sana Esma kwa majibu yako,wanawake hoyeee
Esma amejua kusuta watu
Mwenye nyumba wetu ni mmoja!!
Esma nampenda Mimi 🤣🤣🤣🤣
Hapo sijaelewa. Yani wamepanga nyumba.Haiwezekan..Mapesa yote wasiwe qanamiliki mijengo.It cant be🤔
@@nataemsuya ata mimi ndicho kilichonishangaza 😂😂😂😂
Mamaee
Jamani duuu
Good esma...
🤣🤣🤣Esmah waah
Duwe❤️
Esma umeongea 💯🔥🔥🔥
Dada Hovyo nyooooooo!
Hapo Esma Nimekupenda Buree
We esma una mimba au🤪
Lissa nilijua macho yangu to
🔥🔥🔥
Hello Esma plantumz
Vous jette très janti machallah ❤️❤️❤️😍
Ton français tu l’as enterré où ?
Tu voulais dire quoi?on vous êtes très gentille.
Play don't worry by hakim sasha
Esma mtangazaji mbea 😅😅😅
😂😂😂😂 leo sio Aliya anae tangaza,theza wewe
Esma umekosea ungemvua lemba hilo km ana donda....!!!
Asma 😘😘😘
Esma umeongeya kweri kabisa wanawak wapambanaji hawapndi kuendeshwa..ila wanaume wa izi siku wajuwaji wengi wanapenda kutrend mbona wanawak niwengi wastarabu kwanini wasiwawowi aca wayaone wamezidi.
Wanawake mnajisahau...wanaume tunapenda unyenyekevu pia huwa hatupendi ku-argue sana na mwanamke....wanawake onesheni unyemyekevu kwa wanaume zenu pia muache tabia ya ku-argue
Mwanamke akiwa mtafutaj hawez kuwa kubabaishwa na mwanaume
Kweli
umeonaee
Nampenda esma
Aliyaah hapa nimefurahi sana
Huyu dada nampenda
hii family ya hovyo sana
❤❤😍
llll
llll
kkkk
Bora kwini hasemi
✌
Hahaha Esma,nimekupenda sana🥰🥰
😍😍😍😍😍😍👌👌👌
Waziiiiiiii Esma
ESMA nakupenda Sana,by the way Niko SINGLE
Mmmh pesa zenu ila mheshimu Mume
Kwan alya keanda wap mbona ghafla 😂
Uyu esma aongea ajiamn na anakaa ako na ugomv na uyu ndo analeta ugomvi katka hii familia n choko kiupande wake 🤣🤣🤣
Innalilah waina illah rajiun msiba huu dada zetu na nyinyi ni waislam amuzieshimu ndoa zetu sababu ya dunia mtaenda chomwa mpaka kope zenu innalilah waina illah rajiun mnatakiwa muwaeshimu waume zenu kwani ndio pepo zenu dunia ni mapito tu 😭😭😭
Hizi ndio zama za fitna za masih dajjal, mifumo ya feminism imefanikiwa, na ndio dimbwi la moto na Allah anawazidishia hayo maradhi
Pepo yangu mamaangu
@@barbie5052 haya bs usiolewe
Esma my crush
True wanaume wasitutawale💯
Esma amekuwa na akili ,😂😂
Wanapo feli siaseme tuu tunapo feli 🤣🤣
Wadada kama nyiyi ndo mnataka ku control ma bwana zenu, single is gonna be yr forever status.
Esma kwenyewe kashachoka muache aropokwe kwa sasa🤣
😆😆makasiriko
We Esma umekasirika
Kkkkkk Duo.....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Makubwa dunia iyi good interview
Big World great interview
😂 Utakua uvai nguo zangu tena ukija dukan nakufukuza🤣🤣we Esma wee 😂
Edna kiboko umkantage zuchu vizuri❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sio kweki
Nalipenda Sana hili lidada lizuri Sana jamani CALIPSO
Calipso mimi ananimaliza yuko wapi jamani?
Tangu Esma apigwe character development,, amejua kumind her business ya watu waachie..
Uyo anaejielewa sasa😂😂😂
Kweli esima umeshakuaa wake Wa Kaka ako achana nao
WAY EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
6:35🤣🤣🤣🤣
Atazaa kama wakina misa zari na wengine
🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Apa tutaulia kilasiku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanaume meskia esm uwekee sanam
Takataka
SEMA mama SEMA wasikie
6
Duwe Santana✌️
Yaani kila demu anayehusishwa na Diamond ni mjamzito pia zuchu mmesema hivyo hivyo hivi hamchoki kutamka flani ni mjamzito
Kweli dada Esma angalia yako yakaka yako muwachiye mwenyew mana wanasema wewe ndo sababu kaka yako kuwacha wanawake
Diamond sio mstaarab.. anawaala wafanya kazi zake tuuu.. ni uzalilishaji
Waah! Esma nilidhani umejenga nyumba ya kwako ama kanunua? Mungu abariki kazi ya mikono yako
Hahaha ESMA nakupenda
Yuda ana mimbaaa😳leo kafurugwaaa
Ila yuda sasa umekua umejirekebishaq
Chezea dada wa taifaa wewe kakuchamba mpka umenyooka..ila Aaliyah ni kweli mnaficha nn.mimba itakua ytu machoooo.lisemwalo lipooo....
Ongea nao hao wanaume maana wengine hawajielewi 🚶🚶utakuta ana pesa ya mawazo mwanaume huyo halafu unakuta mwanaume ana masharti kama mganga wa jadi, Astaghfirullah laadhwim 🚶🚶🚶
Hahahaaaa.....wanawake banaaa...!!
Hivi hii kauli ya kusema eti (mna maisha yenu) mmeipata wapi."
Yani siku hizi mwanamke akiwa hata na kitanda na godoro utasikia ooooh kanikuta nina maisha yangu..!!
Na wasio na maisha wanakuwa wafu au??
Hahahahaha
😂😂😂😂
Esma usiseme unajiweza kwa pesa zip ulizonazo bibi weweeee hujakutana na wanaume wenye mahelaaa ungekua mpoleeee
wako wapi
Pesa za kaka ake dmond😂😂😂
Huyu mtangazaji anapenda kuficha sura yake mbona
Nahisi ana upuju😂😂😂
Kawaida ya mnafki🤣
Mpo naye kwa ajili ya ku "mtreat' 🤣🤣
Uyu mnafki mnafk ucmuulize kuhusu darleen maana hyo majibu yake tu yanatosha hampendi mwenzk
Huyo dada n k
Esma kajibu vizuri
Maneno mengi kujishaua mnaela kumbe umepanga
Kama amepanga kwani ana nakwambia ana nyumba wivu tu
Mbona aliah atangazi tena?
Tabu ya wasichana wa sasa hv wakiwa wanapata vijisent tu jeuri kwenda front
Haya sisi tupo walimwegu unajiweza eti Ok jua likipiduka tutaona 🤔
Hata huyo Kaka yako mzee misifa ameshindwa kukujengeaaa hahahahahaaa mjini school
Ana kiburi sana huyo mama
Mkundu wa mama yako
Kiburi chake nikip sasa hpo
Amechoka na umbea
Sasa kama unajiweza au unajua kutafta pesa,usiolewe hili usitawaliwe yaan wew ishi kivyako,kiualisia ukitaka kukua fata background ya familia yao
Esma nimekupenda wakati huu umeongea mama
Esma amakuwa 💪💪💪
Nimecheka esma bwana et ww mbeya😀😀mtangazaj anasutwa
Hahahahah
Esma wivuuuu