Acheni ushamba kuna wanao kufatilieni wameishia lasaba tena shule za kimaskin tena ndioweng zaidi sasa icho kizungu chenu cha zezeze !!..afu huo ni ushamba tena ulopitiliza kwani kama unajua kizungu ukakitumia sehemu husika utababuka au? Hoooovyooo....
Jamani Kipindi nikizuri Saaana ila sasa ivyo vingereza Vingereza Vyenu Duuuh Acheni Kujipendekeza na Vingereza Jamani ila BING UP kwako AALIYAH Uwa napenda Sauti yako
This lady must have gone to school in international school. Very bright and knowledgeable. Kudos Aliah
Huyu interviewer kuna kitu anatafuta😂😂..but aaliyah is so smart
She's very matured...I love her
Waiting for the interview 💃💃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo umepatikana?
Kinge🙌🙌🙌🙌,tunaomba tutorial class
Combination Nnzuriii sanaaa Aliya na huyuu mtangazaji
I love you Mackenzie that was being very professional. Big up to àaliyah as well it was so mature of you
Katisha sana
Aaliyah kawa very emotional kwernye swali la kapata mtoto nje ya ndoa. moreover she seems open minded and able to contain herself brilliantly.
Myself I realize that there is something going on .. 😌
Nimeona ktu kwa Aaaliya ajarb kuigza ..!👌
Wooow she a genius
MAKOPA KWA AALIYAH ❤❤❤❤❤
🧡❤💛🧡❤❤❤💗💘
Nice interview..bt kweli mafahari wawili?....there was tension btn these 2 at the beginning..If u don't get it forget abt it🤗
Aliyah mzuri Jamani sweet ❤❤❤
Ma sha Allah
Excellent journalist
Mtangazaji ana juwa kingereza huyo mgeni anajishaua Sana
😂😂😂very tough game 😂😂pole sana Aaliyah 😂😂
Hadi huku my 💞
@@stellah3844 yote mitaa yangu my dear 😘😉
@@Dhahira16 🌺🌺
Huyu mpuuz kasemaje😂😂😂 hapo mwisho😂😂
Yn host your so talented I like ❤️
Zuchu forever ❤❤❤
Asa hapa zuchu kausikaje
anakaa na matharau huyu sijui nialia ,ama sijui yukoje ukiangalia uso anakaa anamathatau sana ,
Umeona ee..mimi huwa spendi kuangalia wakimuinterview. Hata hii sijaangalia nimeona tu ulivyocoments
Yaan wazungu watangazaji hawafanyi vipindi kwa kiswahili Ila sisi wabongo kujifanya kingereza km vile tumeishi nacho
Ndo ukoloni wenyewe huu ,
Ndio raha ya shule bro!!!!!
@@jenahando2747
Mwambie huyo
Yaani hapo kwa Harmonize Aliharibu kwa Kweli Yaani wasafi mnamchukua snaa Mwenzenu na Anafanya Kazi nzry sanaa
I love Aliyah
Na madam host you take a sip from a drink not a puff,a puff ni from smoking..
Huyu mwanamke anajua Aliya na Zuchu ni WA Mondi
Nimeipenda😅
Kwavile unakazwa na domo unromantic umtaje harmonize 😂
Nirangitooo
I love you guys
Harmo 🥰🥰is the best n vile wasafi hamwezi mchoose .inaeleka pia
Una akili sana
Lia sababu ni wcb, thus y she hate harmonize, coz boss at apunguze mihela
Mtu na mke mwenzie
kipindi kizuri idea kali sana ispokua u need to put time they take too long to answer
Haya maswal lazima utakunywa ty😂😂😂
Take out from the position of boss and sell ice cream.
ONGEENI KISWAHILI BWANA MSITUZINGUWE. WACHENI USHAMBA HUWO.
Nenda kaangalie za kiswahili mbona zipo nyingi ..!!Kuna watu wa kimataifa wanaangaliaga sasa wataelewaje
Huu ujinga watanzania awako real unamuweka mtu awezi kuongea ukweli
Hamna lolote ongea lugha moja tatizo mnajua ukiongea kiingereza uko juu kumbe ujinga tu na ulimbuken
Mbona aki ulizwa kuhusu familia ya Diamond anakwepa ila kwawengine nimwepesi kuyajibu!?
Wakwe zake katoa mimba tena na tena na bado kaachwa
Acheni ushamba kuna wanao kufatilieni wameishia lasaba tena shule za kimaskin tena ndioweng zaidi sasa icho kizungu chenu cha zezeze !!..afu huo ni ushamba tena ulopitiliza kwani kama unajua kizungu ukakitumia sehemu husika utababuka au? Hoooovyooo....
Kwani umeitwa uangalie. Pita kushoto.
@@dannylinguist15 ndio ushamb tu waongee lugh ya taifa ushamb mwing
Kipindi kizuri mnoo
Mnafiki tena umbwa eti harmonize hafai kuwa msani bola wa mwaka acha bangi
My advice SHOW YAKO INA UTIMU KATIKA MUZIKI. YOU HAVE TO BE PROFESSIONAL. MGENI ANAKUHARIBIA SHOW YAKO
Kila mtu alijua tu utasema Harmonise tu
Ongea Kiswahili au muende kuishi Kenya
IRIT O SPILIT
Oya nyie ongeani bn kenge nyny kingeredh chann mfyuu mijitu yenyew hpo inanuka miupapa
Jamani Kipindi nikizuri Saaana ila sasa ivyo vingereza Vingereza Vyenu Duuuh Acheni Kujipendekeza na Vingereza Jamani
ila BING UP kwako AALIYAH Uwa napenda Sauti yako
Wewe mwenyewe una official hapo nikiswahili
@@edinakyaruzi9226 🤣🤣🤣🤣🤣
@@edinakyaruzi9226 😄😄😁
@@edinakyaruzi9226 🤣🤣nimependa
Anam kejeli aliyaa openly ndio maana anakuchekacheka hovyo.
Kama mnamchukia harmo msimtaje taje wapuuzi nyie
Jitahidi show yako isilete uteam itakuwa upumbavu tu
Nilijuwa utamchaguwa hamo ili umrizishe mond.
Na ukweli ana utimu
Mbona haujamuuliza Aliyah ni kabila gani?
Kabila litakusaidia nn? Ni mchaga, umeridhika?
lol@@shabanihamisi115
I assume you want people to drink instead of answering
Hapo kwa harmonize wewe ni muongo
uyo alia akikaa utampenda ainuke sasa kama ubao wa menyu shi food 😅😅😅
😂😂😂😂😂
@@iradukundamike5370 🤣🤣
😂😂😂😂
Sio vizur
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣shishi was just chilling
Kwani aliyah ni mkenya...she talks nice and fluent English
Kwani kenyans tu ndo wanaongea fluent english
Vingereza vingereza vingerezaaaaa wabongo mpka tunakeraaa kwa vingerezaa vyakijinga jingaa ebu ongeeni kiswahili banaaa ruga ya taifaaa mnakeraaa banaaa Kwani ukiongea kingerezaa ndo unaonekana unamaendeleooo 🤣🤣🤣🤣 au ukiongea kingerezA unaonekana unamafamikio sanaaa ?🤣🤣🤣mnakeraaa sanaa
Kipind ni kizuri lkn,na wanajua🤭🤭
Nenda shule dada acha makasiriko
@@tatuomari781 🤣🤣
Anajichetua shape yenyewe ya kabati
😂😂😂 jamani watz mna mambo
Punguzeni vingereza wakati nyie wabongo piwa
😂😂😂😂
Mjinga kumtaja harmonize kwenda huko na hivyo vimacho vyako sio bure zuchu kakunyanganya boss wako
Kipindi kizuri mnoo