Spika Tulia Mara nyingi uwa uko SAHIHI katika uendeshaji wa bunge bila upendeleo kwa kufata sheria za uendeshaji wa bunge. Huwa nakuelewa Sana. Blessed!
Spika hongera sana kwa maswali mazuri kwa Mwigulu,Watanzania tunafuatilia sana bunge maswali na majibu,hoja nk,hapa tunaona kabisa Wizi unamhusu waziri wa Fedha na aliyemteua wote wanahusika na tuhuma hii,wazi kabisa Mwigulu amesema mwenye uwezo wa kuidhinisha itoaji pesa kubwa kama hii ni Rais sasa hapa tunatafuta mchawi yupi tena? Endelea spika,Ole Sendeka wewe mtu makini.
Kitendo cha mwigulu kuharibu alafu anawaambia watanzania kuhamia Burundi Hiyo pia ni laana kama laana zingine yaani ndo atazidi kuharibu zaidi labda ahame yeye.
Nadhani Mwigulu apishe hiyo wizara. Rais ni wajibu wake kuweka watu wansojitambua. Malipo yanaidhinishwa na katibu wa wizara sawa ila waziri lazima ajue hivyo nae anahusika
Ni sahihi rais ndiye uhidhinisha, maana utaratibu huo ulianza kwa mwendazake. Kila siku tunasikia mama katoa pesa za .....na hajawahi kukanusha. Leo ikionekana upigaji eti awekwe pembeni? Spika ni chawa anajaribu kupaka mafuta kulinda tumbo lake, anakumbuka kilichompata ndungai.
Mimi sio mwanasheria. Ila hili suali la Mh Olesendeka ilikuwa ni ya kimtego sana. Ilihitaji mtu mwenye elimu ya kutosha ya sheria na uwezo wa kuikokotoa na kuinyambua na kuinyambulisha kama Dr. Tulia. Nampongeza sana Dr. Tulia kuliweka sawa. Nadhani Mh Mwigulu anajambo la kujifunza juu ya namna nzuri ya kujibu maswali yake.
Akiongea Mwigulu kuwa kabla ya tar 10 anaomba kibali,wabunge makofi.Spika akifafanua kuwa Rais hahusiki kwa mjibu wa katiba kuidhinisha malipo wabunge makofi.Mmenichanganya
TRAB NA TRAT acha kabisa kumhusisha Mama kwenye uozo wenu. Mimi nadhani kama kuna ongozeko ambalo halikuwa kwenye mkataba na sio justifiable kwanini lipelekwe kwa Raisi. Watendaji mlipaswa kuputia hilo ongezeko na kuchuja chochote kilicho nje ya mkataba. Kwanini mkubaliane na kila ongezeko??
Sijaririshwa na maelezo ya waziri wa Fedha alivyoitetea hoja , Utetezi wake waurizishi kabisa. Nashauri kamati ya uchunguzi iteuliwe kufanya uchunguzi. Na takukuru wahusike ktk sakata hili.
Imedhihirika ki ukweli yeyote aliyetiliwa shaka na kuondolewa na JPM wamekuwa waborongaji kweli kweli, wanamuangusha Rais wetu Jamani hakuna wengine????
Kwann Tulia Alain unamtengenezea huyo Mwigulu njia ili ajitetee vizur? Kwann unampa njia nyepes apite Aise unazngua sana! Mwache ajikanyage mwenyew kwny matapish yake aliyoyaptapika kabla ili umnase
JAMANI MAVUNO YA MCHELE YAPO MBIONI PLEASE PLEASE PIGENI MARUFUKU KUUZA MCHELE NJEE GHALA ZIPO TUPU HUKU WAFANYABIASHARA WANASUBIRI WAPELEKE MCHELE UGANDA KENYA RWANDA SUDANI NA BURUNDI PLEASE TUNAWAOMBA MZUIE MCHELE USIENDE NJEE MAANA MWAKA HUU TUMETESEKA SANA .
Mimi naona tanzania atuna uaba wa wachumi kama tunao tunao ambao Awaaminiki sio wapiga dili ndio maana awapati nafasi kuinusuru nchi yetu ni kumurudisha mzee izidoli mpsngo kwani mwiguru sio mchumi wa kulitoa taifa wala mshauri wa uchumi yeye ni mshauri wa kuuza kilichopo na kukopo au tukodi waziri toka nje
Ndio mana JPM aliamua kufanya mambo KWA amri yake mwenyewe maana alikua anajua mijitu inapo pigia pesa nyingi.ila tu itoshe kusema mwigulu hatoshi kwenye hio wizara na kama ni kuwaroga wanao mteuaga alisha faulu akafaulu tena kwenye urogaji wake😬😬😬
Waziri Mwigulu Tunaomba uachie ngazi ,pamoja na pesa kutoka kwa Rais ,wewe ndo mpokeaji wa pesa na unafanya yote hayo katika ngazi za utekelezaji maana mambo yote yanatoka kwako .
mwigulu anamkozi watanzania wengi hatumpendi hata wabunge hawamtaki majinga hawamtaki halafu huyu ndie anayepunguza kula za rais eti aligombea urais ndio tungekua na rais gani hatufai sisi watanzania
Rais ameshakataa wasaidizi wake kukimbia majukumu yao na kushindwa kuitetea serikali. Hakuna cha kusema fulani ndio anahusika. Waziri ni ngazi ya juu ndani ya serikali. Anatakiwa kutoa maelezo kwa kujihusisha yeye(waziri) tu.
Kwani Mama anasubiri Nini kumtoa huyu mwigulu kwenye hicho kiti apelekwe kitengo kingine hata ukuu wa wilaya huko ama mtendaji wa kata akajifunze upya 😏
Mwigulu maneno yamemponyoka kaweka wazi kuwa wizi mkubwa unaotokea ni kwa idhini ya Rais manake wanamtumia mwigulu kuiba yaani wanaiba wote.,,kwishenei
@@hadijamandanje6189 Nimekuelewa sana Hadija. Kwa darasani ni kweli jamaa ni mkali namfahamu. Ila katika utendaji ndiyo ana shida na kudhani sisi ndiyo tuna shida.
Hakika hawa mawaziri wa fedha ni kwa nini huwa wanachelewesha malipo ya fedha kwa WAKANDARASI katika miradi mbalimbali na kuisababishia serikali yetu HASARA KUBWA SANA kama PENALTI ya kucheleweshewa MALIPO ya FEDHA ZA MIRADI, UKWELI TUNAUMIA SANA sisi watanzania kwani ni JASHO LETU NA DAMU YETU WATANZANIA !!!
Magufuli tu ndo alijua kupambana na mafisadi. Huyu hana huo uwezo. Anasubiri mafisadi watupishe watoke maofisini! Wewe unadhani hilo linawezekana kujitoa wao wenyewe na kufunga mizigo bila kutolewa? Huyu mama sijui anakwama wapi? Hakujifunza lolote kwa Rais Magufuli? Mama fanya kazi, hizi sifa unazopewa za "mama, mama, mama" hazisaidii. Tunataka kuona kazi inafanyika kama ilivokuwa kwa Magufuli. Siyo washenzi wachape pesa zetu alafu na wewe unajiunga nasi kulialia.
Wanaoharibu Tz ni mawazir, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kama vp wasiwe wanateuliwa na RAISI nao wapgiwe kura na wananchi maana tukiaza kuwapigia kura watakua na adabu
Huyu waziri kimaaadili tu ukishakuwa unahisiwa Tena na mhimili kama huu na kulitumia jina la mkuu wa nchi kutiliwa mashaka ningekuwa Mimi rais nakutoa siku hiyohiyo
Hongera saaana Mh Spika. Kweli umeiva kwenye Sheria. Umevaa kiatu na kimekutosha. Kwa kweli binge limempata Spika. Big up sana Dr. Ujaliwe maisha marefu, afya njema na mafanikio zaidi.
laana ya kuwatukana watanzania waende burundi mara unawaita wabunge wenzako waganga wa kienyeji kama alivyo mbunge wa Igalula mh venant, mh katani alisema mwigulu ana academic arrogance ndio maana unajikuta unamtaja hadi rais kuhusika na wizi wako mtaendelea kutajana mmoja baada ya mwingine na wallah nakuhakikishia mwigulu laaana hiyo ya watanzania itakutafuna sasa na hadi akhera....
Hili ni jizi miaka yote, linaanza kumwingiza rais kwenye wizi wake, huna aibu wewe iba sana Mungu anskuona trap wewe unajulikana kwa watanzania wote kwa wizi ,
Rais alikuwa anafahamu hela za kimarekani milioni 37 lakini hii iliyorudi ya 86 na mtoa invoice kutaka ilipwe haraka haraka na serikali ndio wanatafutwa hao wachawi walioichepusha na kufikia 86, lazima watatajana tu
Nchi hii ni ya watanzania wote na ndio maana inaitwa nchi ya wananchi wa Tanzania. Shida yako unakengeuka mara tutaenda Burundi mara TRAB na TRAT na leo umekuja na mwenyenchi. Hakuna msamiati mwenyenchi bali mwananchi au wananchi. Huyu mzee hatoshi kwenye kiti chake labda achunguzwe
Spika Tulia Mara nyingi uwa uko SAHIHI katika uendeshaji wa bunge bila upendeleo kwa kufata sheria za uendeshaji wa bunge. Huwa nakuelewa Sana. Blessed!
Namkubali sana supika wa bunge anaijua kazi yake dada mungu akulinde
Yaani hicho kiti Cha uspika kimekutosha Hadi kimekubana
Mwigulu ni mzigo, JPM aliwajua hawa akawaweka pembeni, Kuna shaka sana Kwa huyu mtu
Huyu mama Yuko boraa aisee hata ngazi ya juu anaweza Sana namkubali Sana very tallented.
Wenye nchi ni wananchi watanzania.
Ati mwenye nchi utafikiri nchi ni mali ya mtu mmoja
Wananchi hawana mamlaka yoyote na tanzania zaidi ya rais
Spika hongera sana kwa maswali mazuri kwa Mwigulu,Watanzania tunafuatilia sana bunge maswali na majibu,hoja nk,hapa tunaona kabisa Wizi unamhusu waziri wa Fedha na aliyemteua wote wanahusika na tuhuma hii,wazi kabisa Mwigulu amesema mwenye uwezo wa kuidhinisha itoaji pesa kubwa kama hii ni Rais sasa hapa tunatafuta mchawi yupi tena? Endelea spika,Ole Sendeka wewe mtu makini.
P😊😊😊😊
Mwanamke wakitanzania big brain kutoka Mneya
Spika Tulia umetulia sanaaaaaaaa
Mnajishangaa wenyewe mbona mnaposifu Mh Rais katoa pesa mlikuwa hamulioni hilo? Fuateni kanunu za pesa jamani. Mtakuja kumpaka matope Rais.
Ongera Sana Mhe Spika kwa Uwelewa wako na utashi wa kiMungu uliokuwa nao,
Endelea kuliongoza Bunge lako kwa kuongozwa na Hekima Na Busara za kiMungu.
Sijui rais anampendea nini ni mwigulu.mwigulu ni mzigo,haenei ktk wizara hiyo.
Hivi mama kwa nini amemweka huyu mtu, hawezi hicho kiti ni kikubwa sana kwake.
Pia hana nidhamu
Pili muda mwingi anatumia kufikiria biashara na foundation zake
Mama huyu mtu anamharibia sana
Spika wetu ni nondo Mungu akunze miaka mingi
Ajiuzulu mchembaa aitakii Manisha mzuri
Mwigiru ni muongo sana na anajiamini sana
Hongera Sana spika mm nisamora laiser her
Mambo ya TRAT na TRAB😂
😅
Enzi za mkuu jasiri wa nchi hii huyu sasa hivi angekuwa anachunga mbuzi kwao
😂😂😂😂😂😂
huyu ni miongoni mwa tatizo kubwa kwenye nchi yetu sema mnachelewa kulitambua hilo
Mpaka leo mwingulu anaamini inchi ni ya rais hajui inchi ni yawananchi ila rais ni kama mwajiliwa tu aliyeajiliwa na wananchi.
Mh spika hongera sana,Nina zawadi yako nzr sana.
Kwahiyo katiba inamlinda rais
Anatumia offce ya Rais kujisafisha ufisadi wake
Spika wabunge Mimi naona uko sawa mama yetu, koma tu maake siku hizi kuna machatu Yana zowazo hera ya wanchi,!!!!😂
Wazeee wa busara hao waziri mwigulu aache uhuni
Toa muongoza ,jibu swali la sedendeka
Mwigulu mbona muongo muongo hivi Mheshimiwa Rais hamuoni hiyo si amtoe hafai kua waziri wa fedha huyo
Likija swala la kujibu hoja mwigulu huwa anatamani ardhi ipaduke aingie
😆😆😆
UNANENEPA TU KWA JASHO LA WATANZANIA WANYONGE PUMBAVU
Yani huyu mwigulu Ni mzigo kwa Taifa hafai hata kidogo Arafu Kuna watu wanamuona anafaa kuwa Rais huyu MUNGU tuurumie laaaah!!
HALI MTAANI KULIVYO NA TUNAYOYASIKIA MUNGU AMSAMEHE MTU MWEUSI KUNA TATIZO KUBWA AFRIKA😢😢😢
UFISADI TU UMEWAJAA
Kitendo cha mwigulu kuharibu alafu anawaambia watanzania kuhamia Burundi Hiyo pia ni laana kama laana zingine yaani ndo atazidi kuharibu zaidi labda ahame yeye.
Mungu anisamehe, sijawahi kumpenda mwigulu
Yaani hunishindi mimi
😂😂😂😂😂
Tatizo lake hana UZALENDO ni mchumia tumbo.
😂😂😂😂😂
Mwiguru kaidhinisha kuwa mama ndo kaiba pesa zetu.
Kabisa
Kabisaaaaaaa.
Nadhani Mwigulu apishe hiyo wizara. Rais ni wajibu wake kuweka watu wansojitambua. Malipo yanaidhinishwa na katibu wa wizara sawa ila waziri lazima ajue hivyo nae anahusika
Anatafuta uchochoro wa kukwepa kuwajibika
@@makongorowassira6593 hawezi kumtoa kwa sababu Mwigulu wanashare keki na akina Musoga
Hapo ndipo utalazimika kumkumbuka hayati jpm mzalendo aliyeyatowa maisha yake kwa ajili ya mambo Kama haya pumzika kwa amani jpm
Wew naye! Akh!
Alitoa maisha yake kwako...Yesu pekee ndio alitoa maisha yake kwajili ya wanadamu. Acha bang
@@labankisunga1567 👍🏾🤝safi sana ngoja umjibu huyo asiyejielewa. Hao ndo walikuwa wanamuita mungu wao.
Magufuli alizuia binge live lazima tumkumuke kwa sababu alitunyimwa uhuru
@@lidyakisoka-is4ru 😀😀👍🏾🤝
Ni sahihi rais ndiye uhidhinisha, maana utaratibu huo ulianza kwa mwendazake. Kila siku tunasikia mama katoa pesa za .....na hajawahi kukanusha. Leo ikionekana upigaji eti awekwe pembeni? Spika ni chawa anajaribu kupaka mafuta kulinda tumbo lake, anakumbuka kilichompata ndungai.
Haukuanza Ila ulijuwepo kwa mujibu wa katiba na kanuni za fedha. Hata jpm aliukuta.
TRAP na TRAC una bahati mbaya sana na Spika wa sasa
Raisi anajua hayo malipo haiwezekani akose kujua, Mwigulu Yuko sahii mama alikuwa anajua hizi pesa
Kabisaaaaaaa.
Mimi sio mwanasheria. Ila hili suali la Mh Olesendeka ilikuwa ni ya kimtego sana. Ilihitaji mtu mwenye elimu ya kutosha ya sheria na uwezo wa kuikokotoa na kuinyambua na kuinyambulisha kama Dr. Tulia. Nampongeza sana Dr. Tulia kuliweka sawa. Nadhani Mh Mwigulu anajambo la kujifunza juu ya namna nzuri ya kujibu maswali yake.
Kabisa huyo Jamaa wa kinyiramba hafai kwenye hiyo nafasi ni kilaza kwa kweli
Mimi naona nibora ujiuzulu mwenyewe Kama hautaki utaondoka kwa nguvu ya Mungu
Maunga mkono hoja.
Kwa hiyo wanamchomekea na yeye anasign bila kujiridhisha, Magu alikuwa anakesha na mafaili...ndio maana..
Yeye anazunguka kukopa,wenziwe Wana piga tu😏
Akiongea Mwigulu kuwa kabla ya tar 10 anaomba kibali,wabunge makofi.Spika akifafanua kuwa Rais hahusiki kwa mjibu wa katiba kuidhinisha malipo wabunge makofi.Mmenichanganya
Mama mtoe huyo mtu hicho kiti hakiwezi jamani 😭😂
Ifike mahali tuwe wakweli mwigulu achunguzwe kuhusiana na malalamiko yaliyopo wizara ya fedha mmmh.....
Mama mwenyewe ananufaika na upigaji wa mwigulu ataanzaje kumutoa
Wamnyang'anye hiyo kazi ,huyo
Mwigulu pamoja na udaktari wake duh!!! Mbona kujibu maswali dhoful hali😂😂😂kazi ipo kweli, hapo bila Dr Tulia sijui
TRAB NA TRAT acha kabisa kumhusisha Mama kwenye uozo wenu. Mimi nadhani kama kuna ongozeko ambalo halikuwa kwenye mkataba na sio justifiable kwanini lipelekwe kwa Raisi. Watendaji mlipaswa kuputia hilo ongezeko na kuchuja chochote kilicho nje ya mkataba. Kwanini mkubaliane na kila ongezeko??
Mwigulu kaongea kiprofessional siyo kisiasa
Mh spika wa binge upo vzr Sana mungu Akusimamie katika kazi zako hongera sana
Nashauri, watumishi wa umma wanapokiuka maadili ya kiutumishi na ikaonekana kuna ubadhirifu "wataifishwe mali zao".
Yaani kufanya hivyo ndio kungepunguza kiasi fulani wizi wa fedha za umma,,,,
Kweli
Kuhamishwa,ni kuhamisha maradhi 😳😏
Unahisi mali zao zinatosha kufidia kias cha ubadhilifu.acha wivu .sheria ipo wazi
@@nhoutyeddycole7506 itasaidia wengine kuwa na hofu
Sasa kuna wivu kwa watu wanakula pesa yetu 😳😳😳😳😳😳
Naunga mkono hoja
Ajiuzulu tu Huyo.
Hiyo nafasi ya uwaziri wa Fedha imemshinda.
Tena asirudie kumpaka RAIS wetu matope,
Eti mama anajua.
Sijaririshwa na maelezo ya waziri wa Fedha alivyoitetea hoja ,
Utetezi wake waurizishi kabisa.
Nashauri kamati ya uchunguzi iteuliwe kufanya uchunguzi.
Na takukuru wahusike ktk sakata hili.
Imedhihirika ki ukweli yeyote aliyetiliwa shaka na kuondolewa na JPM wamekuwa waborongaji kweli kweli, wanamuangusha Rais wetu Jamani hakuna wengine????
Mwiguru, Samia, wote mafisadi,kwasababu hata kwenye teuziyake alisema,nimemchagua kwa sababu anapenda pesa kwa hiyo Hawa wote wanajuana
Umeongea point mpenziwanguuu ndiomaana samia hataki kumtoa mwigulu
Kweli kabisaaaaaaa.
Kwann Tulia Alain unamtengenezea huyo Mwigulu njia ili ajitetee vizur? Kwann unampa njia nyepes apite Aise unazngua sana! Mwache ajikanyage mwenyew kwny matapish yake aliyoyaptapika kabla ili umnase
JAMANI MAVUNO YA MCHELE YAPO MBIONI PLEASE PLEASE PIGENI MARUFUKU KUUZA MCHELE NJEE GHALA ZIPO TUPU HUKU WAFANYABIASHARA WANASUBIRI WAPELEKE MCHELE UGANDA KENYA RWANDA SUDANI NA BURUNDI PLEASE TUNAWAOMBA MZUIE MCHELE USIENDE NJEE MAANA MWAKA HUU TUMETESEKA SANA .
Mimi naona tanzania atuna uaba wa wachumi kama tunao tunao ambao Awaaminiki sio wapiga dili ndio maana awapati nafasi kuinusuru nchi yetu ni kumurudisha mzee izidoli mpsngo kwani mwiguru sio mchumi wa kulitoa taifa wala mshauri wa uchumi yeye ni mshauri wa kuuza kilichopo na kukopo au tukodi waziri toka nje
Ndio mana JPM aliamua kufanya mambo KWA amri yake mwenyewe maana alikua anajua mijitu inapo pigia pesa nyingi.ila tu itoshe kusema mwigulu hatoshi kwenye hio wizara na kama ni kuwaroga wanao mteuaga alisha faulu akafaulu tena kwenye urogaji wake😬😬😬
Waziri Mwigulu Tunaomba uachie ngazi ,pamoja na pesa kutoka kwa Rais ,wewe ndo mpokeaji wa pesa na unafanya yote hayo katika ngazi za utekelezaji maana mambo yote yanatoka kwako .
mwigulu anamkozi watanzania wengi hatumpendi hata wabunge hawamtaki majinga hawamtaki halafu huyu ndie anayepunguza kula za rais eti aligombea urais ndio tungekua na rais gani hatufai sisi watanzania
Rais ni Kiongozi mkuu siyo mwenye nchi! Mwenye nchi ni Wananchi... tuwe waangalifu na hizi narratives tunaziunda
Rais ameshakataa wasaidizi wake kukimbia majukumu yao na kushindwa kuitetea serikali. Hakuna cha kusema fulani ndio anahusika. Waziri ni ngazi ya juu ndani ya serikali. Anatakiwa kutoa maelezo kwa kujihusisha yeye(waziri) tu.
Halafu Dr. Mwiguli uwe unajua kutofautisha. Rais hana nchi wenye nchi Ni wananchi, Rais yake Ni serikali
Kwani Mama anasubiri Nini kumtoa huyu mwigulu kwenye hicho kiti apelekwe kitengo kingine hata ukuu wa wilaya huko ama mtendaji wa kata akajifunze upya 😏
Mwigulu maneno yamemponyoka kaweka wazi kuwa wizi mkubwa unaotokea ni kwa idhini ya Rais manake wanamtumia mwigulu kuiba yaani wanaiba wote.,,kwishenei
Mm Mwigulu simuelewagi kabisa.
Hata chembe
@@petermwacha9909 ana dharau sana jamaa,anajiona yy ndo msomi kuliko wote
Hatumelewi wengi na yeye anaona kwa kuwa ni msomi wengine hatuelewi kwa kuwa hatuna akili za kuelewa
@@hadijamandanje6189 Nimekuelewa sana Hadija.
Kwa darasani ni kweli jamaa ni mkali namfahamu. Ila katika utendaji ndiyo ana shida na kudhani sisi ndiyo tuna shida.
Hakika hawa mawaziri wa fedha ni kwa nini huwa wanachelewesha malipo ya fedha kwa WAKANDARASI katika miradi mbalimbali na kuisababishia serikali yetu HASARA KUBWA SANA kama PENALTI ya kucheleweshewa MALIPO ya FEDHA ZA MIRADI, UKWELI TUNAUMIA SANA sisi watanzania kwani ni JASHO LETU NA DAMU YETU WATANZANIA !!!
Nchii inaitaji viongozi wenye kumuogopa mungu nakuweshim binadam wengne uongo hata ujibu vip unaonekana two
Yawezekana kabisa PENALTI MONEY zinazopatikana huwa ni zao hao WIZARANI, tunaumia sana jamani kuweni waadilifu japo kidogo!!!
Kama watu umewateua wakasabisha hasara yote hiyo bila kiongozi uliyewateua kujua hatua zilizochukuliwa ni zipi?
Huyu mwigulu Mimi simuelewi
Naona anajichanganya tu
Maelezo yake inaonyesha hata yeye anahusika kbs Katika wizi
Mmeona wenzenu kotoka bara wanavouliza masuali wabunge kutoka zanzibar mnawawasikia wenzenu unasikia rahaa wanavouliza masuali
Kwa kweli Mwigulu hutoshi kwenye kiti chako. Spika big up to you
Hiuyu.waziri.anacheza.na.na.akili.za.wtz
Mama. Tumbua. Hawa
Spika.nakuelewa.saaana.ubarikiwe
Waziri wa fedha awajibike
Hawa ndio wanakuwa na maslahi binafsi hata anavyo jibu tu maswali yanayo husu wizara yake miuwa simuelewi anatosha kweli uyu !
Magufuli tu ndo alijua kupambana na mafisadi. Huyu hana huo uwezo. Anasubiri mafisadi watupishe watoke maofisini! Wewe unadhani hilo linawezekana kujitoa wao wenyewe na kufunga mizigo bila kutolewa? Huyu mama sijui anakwama wapi? Hakujifunza lolote kwa Rais Magufuli? Mama fanya kazi, hizi sifa unazopewa za "mama, mama, mama" hazisaidii. Tunataka kuona kazi inafanyika kama ilivokuwa kwa Magufuli. Siyo washenzi wachape pesa zetu alafu na wewe unajiunga nasi kulialia.
Wanaoharibu Tz ni mawazir, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kama vp wasiwe wanateuliwa na RAISI nao wapgiwe kura na wananchi maana tukiaza kuwapigia kura watakua na adabu
Ipo siku mwigulu atamshauri mama wauze mlima kilimanjaro ili wapate ela ya kuendesha serikali..uyu jamaa sio mbunifu kabsa kiukweli
Et mwenye nchi khaaa kwani mwenye Nchini nani hahahaha , mtaan Kuna kamsemo hvi mama anaupiga mwingi kumbe wapigaj mpo kimya???
Mwigulu,anamhalibia raisi kwenye mamichango, anavuluga Sana anatamaa Sana,
Jipu hilo lilishakubuhu ili kutibu aliyelibeba anastahili kunyongwa maana anamshahara lakini hatoshi walipakodi hatutaki kumuona
Huyu waziri kimaaadili tu ukishakuwa unahisiwa Tena na mhimili kama huu na kulitumia jina la mkuu wa nchi kutiliwa mashaka ningekuwa Mimi rais nakutoa siku hiyohiyo
Kwanini huyu Mwigulu hakamatwi.? All the body language speaks it all
Hongera saaana Mh Spika. Kweli umeiva kwenye Sheria. Umevaa kiatu na kimekutosha. Kwa kweli binge limempata Spika. Big up sana Dr. Ujaliwe maisha marefu, afya njema na mafanikio zaidi.
Yaani Tulia Yuko vizuri kwakweli,,,
RAISI HAWEZI KUWA MUIDHINISHAJI HARAFU TENA ASHANGAE NA KUTUKANA,HAPO KUNA NAMNA.AWAMU HII UFISADI NA WIZI UMETAMALAKI.
Nyie wenyewe ndyo mlianza kusema rais anatoa pesa badala ya serikali ni kweli wote ni mafisadi hakuna aliye msafi
Shikamoo mh sendega nakujua vema kweye kuwanyosha wapotoshajji tang uko mkuu wa mkoa njombe
Mtani wangu Dish limeyumba kwa mara nyingine tena !
🤣🤣😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Upepo mkali
Hivi kwa Nini mwigulu asijiuzulu? Hizo kashfa zote hazioni au ya ya ya ya ya ya yaaa ya ya yaaa
Ingekuwa nchi zilizoendelea waziri wa fedha angeshajiudhuru. Lakini nchi zetu hizi za kiafrica hasa tanzania wanalindana!
Kama nitaeleweka naomba mama amtoe mwiguru ana anachokifanya kama hatomtoa itakua niuongozi wa kupeana.
laana ya kuwatukana watanzania waende burundi mara unawaita wabunge wenzako waganga wa kienyeji kama alivyo mbunge wa Igalula mh venant, mh katani alisema mwigulu ana academic arrogance ndio maana unajikuta unamtaja hadi rais kuhusika na wizi wako mtaendelea kutajana mmoja baada ya mwingine na wallah nakuhakikishia mwigulu laaana hiyo ya watanzania itakutafuna sasa na hadi akhera....
😂
Hili ni jizi miaka yote, linaanza kumwingiza rais kwenye wizi wake, huna aibu wewe iba sana
Mungu anskuona trap wewe unajulikana kwa watanzania wote kwa wizi ,
Spika hoyeeee
Rais magufuli toka atutoke nchi imerudi kule kule kwenye ufisadi
Rais alikuwa anafahamu hela za kimarekani milioni 37 lakini hii iliyorudi ya 86 na mtoa invoice kutaka ilipwe haraka haraka na serikali ndio wanatafutwa hao wachawi walioichepusha na kufikia 86, lazima watatajana tu
Huyu waziri hafai ila arubaini yake itafikatuu simpendi alisema watu wahamie burundi
Nchi hii ni ya watanzania wote na ndio maana inaitwa nchi ya wananchi wa Tanzania. Shida yako unakengeuka mara tutaenda Burundi mara TRAB na TRAT na leo umekuja na mwenyenchi. Hakuna msamiati mwenyenchi bali mwananchi au wananchi. Huyu mzee hatoshi kwenye kiti chake labda achunguzwe
Huyu jamaa ni waziri mzigo hajitambui magufuli alimtumbua...
Tusigombane bali tujenge hoja ili tutatue matatizo ktk nchi yetu
Tanzania nitaznia kuwa hali ingebadilika kumbe shimoni tumetupwa