Dada amesema ukweli kuhusu mwaada wa pesa ulikuwa ufanye maisha yapande na kuwa ngumu zaidi.. Lakini mambo memgi yalikuwa yakichemka chini chini kama uporaji wa pesa za uma na maofisa wa serekali ya Ruto. Kiburi Madharau urongo ,majivuno kwa wananchi na wale wandani wa ruto ambao wamekuwa ma bilionea maea moja wakitembea na magunia ya pesa kila weekend wakijionesha na magari makubwa na mahelikopta wamenunua na pesa zetu wametuibia. Uchungu mwingi ni kwamba hospitali, shule vyuo bikuu kila kitu kime fail kenya na kusimama. Hakuna madawa,shule hazina virabu walimu, na karo.iko juu sana na bado wanazidi kutuibia na kodi.
Ruto na wandani wake hawawezi kuwa wanakopa pesa inje wakidangabya ni za maendeleo nchini na kuweka kwa benki zao. Tumekataa.Kenya tunataka kujua kodi zetu zinafanya nini. Pesa ziliyo kopwa zilifanya nini. Period. Hiyo ndiyo inatuumiza roho zetu. Tunataka audit ya deni ya nchi tujue tunalipa nini na kama ruto alokopa na kuiba hiyo si deni ya wakenya.
Hawa vijana wanadanganywa na viongozi mana huwezi sema mkate unapanda akae ajue mkate huo huo miaka ya nyuma ni tofaut na sasa na huo mkate utakua bei ya juu miaka ijao hili lipo wazi na hakuna mtu anaweza kulipinga .makundi kama haya yalikuepo enzi za jomokenyatta na walipotea iwe hao ,wajue yule raisi ruto yuko na akili nyingi sana kushinda hao GEN Z mana alikua toka enzi za raisi moi ,mwai kibaki ,uhuru yuko na mbinu nyingi sana .bei zitapanda watake wakatae iyo ni lazima kwa taifa lolote ikiwa dollar ya American huwaga inapanda iwe chakula chenu hapo kwa taifa lenu,ikiwa American chakula kinapanda iwe kenya acheni ugwese huo
Huyo hajuwi lolote wenzake hawajafanikiwa yeye ameanza kutuhamasisha SS Tanzania Bado munashiba mpaka 2030 Tanzania covid19 wasila musingwa Dr silaa wanasanifu watu ipo siku
Mbona ameacha matako wazi ko amekimbilia kuharibu.Tanzania amekuja kuiharibu wameiharibu kenya wanakimbilia.Tanzania.anacheka na kucheka ana laha gani nchi.yake imehalibika
😢uyo ntangazaji anauliza
Maswali nikama haelewi
Haoni vile hali ziko kenya
Sio huyo uongo tu mwenye mulompost na huyu ni wawili tofauti
Mimi ni mkenya Niko Nairobi huyo dada ni mwuongo sana hakuwa Kwa madamano
Uyo cyo yy.. Yani majitu humu mmepangwa mkapangika
Walahi tena
Msanii wa Kicheche huyu nimemkumbuka
Nakataa huyo hawafanani na mwenye kupambania haki zetu
Dada amesema ukweli kuhusu mwaada wa pesa ulikuwa ufanye maisha yapande na kuwa ngumu zaidi.. Lakini mambo memgi yalikuwa yakichemka chini chini kama uporaji wa pesa za uma na maofisa wa serekali ya Ruto. Kiburi Madharau urongo ,majivuno kwa wananchi na wale wandani wa ruto ambao wamekuwa ma bilionea maea moja wakitembea na magunia ya pesa kila weekend wakijionesha na magari makubwa na mahelikopta wamenunua na pesa zetu wametuibia. Uchungu mwingi ni kwamba hospitali, shule vyuo bikuu kila kitu kime fail kenya na kusimama. Hakuna madawa,shule hazina virabu walimu, na karo.iko juu sana na bado wanazidi kutuibia na kodi.
Huyu si yule Dem,yule ni muislamu hufunga kichwa,..pili hicho kiswahili si Cha mkenya,..ni Safi Sana
Huyo takataka tuu anataka na Tz waje watupandikize roho za hovyo sisi
Wewe mtangazaji hujuwi police ni mulinzi wetu tunamulip Kodi zetu
Hapo sawa kabsa maisha inaenda sana mafuta pia
😂😂😂Jifunze kutamka vizuri jina la Gen-Z kaka. Unaonyesha kutofanya research
Huyu dem sio yule kwanza yule Mrefu na hata iyo ddye kwa kichwa
WaKenya ni Wakurya waliochangamka zaidi..
Ruto na wandani wake hawawezi kuwa wanakopa pesa inje wakidangabya ni za maendeleo nchini na kuweka kwa benki zao. Tumekataa.Kenya tunataka kujua kodi zetu zinafanya nini. Pesa ziliyo kopwa zilifanya nini. Period. Hiyo ndiyo inatuumiza roho zetu. Tunataka audit ya deni ya nchi tujue tunalipa nini na kama ruto alokopa na kuiba hiyo si deni ya wakenya.
Chunga sana dada,unajua serekali yetu kenya,wakati wowoto unaeza "potezwa"
😂😂 kweli uwa mnakorongeka kwel uyu c mwenye alikuwa kwa maandamano.
Wakenya wana ushujaa wa hali ya juu 💪
Fidd kim Kenya 🔥🔥🔥🔥
Aliyekuwa kwenye maandamano ni luhya
huyo si yeye buanaaa😅
Kama anawacha mwili yake nje nje anauza nini hapo kwa studio ?🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Kumbe hizo kofia na scarf zilificha mengi.Ukiangalia picha ya maandamano ako fiti lakini hapo kwa mahojiano hamna kitu
Huyo sio mkenya ni manzanita manono anavyo tamka kiswahili sie wetu
Mmmmmmmm hiyo sure yenyewe haifanani kabisa nayule dema sheki
Huyu sio yeye ata sura na sauti haziambatani,aache kujificha kwa kipaji/ Ujasiri wa "Shujaa Shakira Wafula"..
Sio huyu uongo ❌❌❌❌ uongo uongo uongo uongo uongo uongo ❌❌❌❌
Achen ushamba cy yy mnatulisha matango pori
Usitulishe matango pori sasa mbona humuulizi kaja fanya nini huku TZ wakati maandamano hayajaisha ?
Nyie mna matatizo, yaani huyu ni mrembo! Duuh.
Maandamano ya amani wakati mnavunja maduka mnaiwaibia raiya wenzenu
watanzania ujinga ndio inawasumbua huyo dada labda alikuwa maandamao dar es salaam lakini sio Kenya
Hawa vijana wanadanganywa na viongozi mana huwezi sema mkate unapanda akae ajue mkate huo huo miaka ya nyuma ni tofaut na sasa na huo mkate utakua bei ya juu miaka ijao hili lipo wazi na hakuna mtu anaweza kulipinga .makundi kama haya yalikuepo enzi za jomokenyatta na walipotea iwe hao ,wajue yule raisi ruto yuko na akili nyingi sana kushinda hao GEN Z mana alikua toka enzi za raisi moi ,mwai kibaki ,uhuru yuko na mbinu nyingi sana .bei zitapanda watake wakatae iyo ni lazima kwa taifa lolote ikiwa dollar ya American huwaga inapanda iwe chakula chenu hapo kwa taifa lenu,ikiwa American chakula kinapanda iwe kenya acheni ugwese huo
Ruto ana lolote and he must go
Huyo sio yeye 😢😢
Huyoo niwamganga kicheche bana acheni mchezooo
Huyo anehoji nae aende akajifunze tena hamna kitu
ama kwel huyo ni mrembo..hongera zako mdada mzuri
Huyu si yeye
@@jum4771ni kwel ila hata yee pia ni mrembo sema tu hiyo blich ndio cjapenda huko kichwan but very beautiful
Uko sure mliandamana juu ya vitu kupanda hama ni financial bill?
Huyu c mrembo wa kenya bro usitupime wewe😂
Huyoo n familia ya mzeee kicheche bana
Huyo siye ni yule msichana mwenye alicheza kama mtoto wa kicheche kutoka kenya
Mkamba original
Alikua akae ukouko aandamane si haogopi, kilichomleta Tz kitu gani?
Polisi Kenya n raia km mm n sare 2 ndo zatutofautisha 2 n pia Askari w Kenya wanaishi nje y vituo vya polisi n so lazima kila m2 awe n heshima
Uongo ata Leo tuko kwa mahandamamo 😂Waja uongo
Good job
Hata kama hatuna macho huyu ziii
Muongo sio hyo wacheni habari za uongo shenzi nyinyi
Gen Z Tunakuja tz tuesday ole wenu
Karibuni mnakaribishwa😂😂😂😂
😂😂😂some people love camera
Ruto njoo uchukue 'mrembo' wenu kakimbilia Tz huku
🤣🤣🤣
Huyo apana hakuwa maandamano
Wewe ni TZ
Ni mkenya na anaikiza na kacheche familia clip
Sio huyo, please huyo ni mkamba
Huyu sio mwenye mnadhani
Huyu si yeye hamuoni picha ni tofauti??? Ubaya ya TZni Kiki,, yule wa kenya hana matiti makubwa na huyu ni mubonge na mweusi
Yule Hana cowbel kama hizo 😛😛😛
hyo ni mkenya namjua anakaa kule kilifi mtwapa lakini akua yeye kule kwa mamdamano
Sio yeye hiyo ni uongo,
😂😂watu na content kizungu cha huyu si kama cha mrembo wetu....kwani watu mbona mnakua ovyo hivi
Ni kweli kabisa umoja ni nguvu
Huyo hajuwi lolote wenzake hawajafanikiwa yeye ameanza kutuhamasisha SS Tanzania Bado munashiba mpaka 2030 Tanzania covid19 wasila musingwa Dr silaa wanasanifu watu ipo siku
Huyu sio shakiraa😂
huyu NI mkenya Ila n msanii wake #kicheche
Nyie mwangalieni kichwa kama Laweka madawa ya kulevyo😂😂😂
Huyo msichana hafai kakimbia kwao arudi kwao
Bac kama huyu ni mrembo wa Kenya ,bac Kuna wanawake wabaya sana 😂😂
Uko na umama sana unatusi dada wetu
mtangazaji anataka kupigwa😂😂
Huyo sie Shakira MBWA ww
Wee wakenya tusoma tujia haki zetu baba
Acha kuharibu kazi yako huyo siyo yeye
Shes not the one .....wacha kudanganywa!!!!!!
Lafudhi ya wameru wa kenya
Huyo siyo yeye anatafuta kikitu
Uyo mwongo mwone na kope kama nyau
Huyu dada siyo shakira
ww hatukujui 😂😂😂 nogwe ww
Mbona anaonyesha paja huyo?
Uongo. Huyu si ameigiza na kicheche movie ya familia ya kicheche
Huyu sio yule mrembo shujaaa nilitamani angekuwa yeye
Uyu mwandishi yan aelewi anfny nn
sio hyo
ni kweli ila ni mumeru si wasikia lafuthi yake ya kimeru
Sura km azizi mifunguo
Kusema kweri pirisi moja hawezi kunishika kamwe
Huyu sio yule dada alafu mtangazaji bwana sio genzii ni Gen z
Mbona ameacha matako wazi ko amekimbilia kuharibu.Tanzania amekuja kuiharibu wameiharibu kenya wanakimbilia.Tanzania.anacheka na kucheka ana laha gani nchi.yake imehalibika
Musanii wa kicheche huyo,
Unaanzisha vita watu wamekufa wewe umekimbia rudi ukajibu ulichotaka kufanya
Wakenya weeh balaa
😅😅😅😅huyu si yeye ni msanii wa kicheche acheni uongo
Sivyo eyeee
Huyo dada ni chawa wa luto Hana lolote ni musaliti yeye maisha mazuli wewe mtangaziji wewe ni ccm sisi hatuna wandishi vyama wote machawa
Funika kwaza mapaja muchenzi
Kwendeni huko uyu si wa kwetu.
Si yeye
Huyo paja iko nje au naona vibaya ?
Ni kweli 🤣🤣🤣
Alf anaongea vibaya kiswahili
Yule alikua bukusu
Sio yeye.mafala nyinyi😅
hata kiswahili enyewe siyo
Sio yeye nyo