BILA UWOGA TUNDU LISSU, AKOSOA KAULI YA RAIS SAMIA KUHUSU SIASA YA MARIDHIANO/SIPENDI UONGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 77

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba หลายเดือนก่อน +15

    Lissu maneno yako huwa nayafuatilia sana,,maneno yako huwa yana unabii,,nakukubali mwamba,,wewe mi nabii

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam หลายเดือนก่อน +8

    Uko sahihi Lissu!

  • @w4058
    @w4058 หลายเดือนก่อน +9

    Kwenda huko na maridhiano ya uwongo toka lini CCM wakaridhia kweli kweli Hongera Lissu

  • @abelmghana2843
    @abelmghana2843 หลายเดือนก่อน +7

    lisu mungu akulinde sasa ili watanzania wapate elimu yako wengi wanafata mkumbo tu uwe na maisha marefu ili wajionee

  • @InnocentBakengesa
    @InnocentBakengesa หลายเดือนก่อน +9

    Sisi makamanda tunaojitambua na kungamua mambo tuna kukubali tundu lisu

  • @AsteriaMasika-st5pk
    @AsteriaMasika-st5pk หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mheshimiwa namfuatilia sana,ni mtu wa haki tangu akiwa sec, hapendi uonefu hapendi zuluma, bg up bos,

  • @AllyMwambilinge
    @AllyMwambilinge หลายเดือนก่อน +6

    Upo vizur kamanda

  • @AsteriaMasika-st5pk
    @AsteriaMasika-st5pk หลายเดือนก่อน +4

    Jamani huyu mheshimiwa anaona mbali, bg up mkuu

  • @maximillianmagesa6585
    @maximillianmagesa6585 หลายเดือนก่อน +6

    Napenda ujasiri wako

  • @EmmanueliBaltazari
    @EmmanueliBaltazari หลายเดือนก่อน +4

    Leo tume elewa ukweli. Kumbe wewe ulitoa tamko la kipaumbele kwanza, kuhusu uhai wa wanachama wa upinzani. Na haki zao

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 หลายเดือนก่อน +4

    HUYO MAMA NI MUONGO SANA. Kuwaambia Waarabu njooni huku niwape mali yote ili akisha wakabidhi akimbilie kwao Zanzibar au Waarabu wenzie.

    • @nassormohammed9742
      @nassormohammed9742 หลายเดือนก่อน

      Udini utakuua

    • @maase2023
      @maase2023 หลายเดือนก่อน

      @@Gaynor1234 ww ropoka ropoka matusi tu utayaona matokeo

  • @Mussaphanuel-p1q
    @Mussaphanuel-p1q หลายเดือนก่อน +4

    Lisu tunakutegemea.na tunaimani na wewe.hao wandishi wa habali.waoga sana.ndo maana wanauliza maswali ya kuwatetea selikali.kwani wao hawaoni kama Demokrasia imebakwa?

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 หลายเดือนก่อน +4

    MH. LISU, UKO SAHIHI KABISA. MFUMO MBOVU WA NCHI NDIO UNAOSABABISHA NCHI KUTOKWENDA VIZURI.

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t หลายเดือนก่อน +6

    OOH MAMA TANZANIA....NCHI IMEPASUKA....CHUKI KUBWA KATI YA WATANZANIA NA WATANZANIA KWA SABABU YA VIONGOZI WA CCM NA SERIKALI YAKE KUJIONA 'MIUNGU WATU'.

    • @issakazi2758
      @issakazi2758 หลายเดือนก่อน

      @@MiriamAziz-z5t hapana ikulu inataka kuingiliwa na vibaka wa chadema

    • @gadielmungure9711
      @gadielmungure9711 หลายเดือนก่อน

      ​@@issakazi2758chadema inaingiliaje lkulu?

  • @SeifYusuf-jf7bn
    @SeifYusuf-jf7bn หลายเดือนก่อน +1

    ANAITWA TUNDU LISSU KIPENZI CHA WATANGANYIKA.

  • @ValerianiPaskali
    @ValerianiPaskali หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba pambana sana ase maana hii nchi inakoenda siyo

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn หลายเดือนก่อน +3

    Mliyataka wenyewe. Maridhiano ya kufanya mikuano? Kweli?
    Kwani mikutano siyo haki yenu ya kikatiba?

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 หลายเดือนก่อน +6

    Jambo la msingi ni katiba mpya tuu,

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w หลายเดือนก่อน +2

    Ccm inatumia nguvu nyingi bila kariba mpya kuitoa ishu

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi หลายเดือนก่อน +1

    Tundulisu kwanza ni mtu alie na msimamo ,akiwa mwenyekit chadema itakua hatar zaid

  • @ValerianiPaskali
    @ValerianiPaskali หลายเดือนก่อน +1

    Ccm watakukoma ase ukipata nafasi ata yakuwa uenyekiti nakumbuka ulipo kuwa bunge wal

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 หลายเดือนก่อน +2

    One of the politician never fear deeth in Tanzania national out of been shoot 16 bullet move with the bullet on body but tundundulisu never fear has been continue crush reality underground consern ccm leadership that why ccm need nigoshoting with the chadema not crush chadema doing that is to let chadema grow every single day this is what ccm dasnt know behind curtains

    • @JimokuMhela
      @JimokuMhela หลายเดือนก่อน +2

      You don't know English

    • @herbertnzowa8657
      @herbertnzowa8657 หลายเดือนก่อน

      ​@@JimokuMhela😂
      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @greydonalds4286
      @greydonalds4286 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanini usiandike kwa lugha unayoijua ndugu yangu? Maana ni wazi kingereza hukijui, na hii ni forum ya waswahili, sasa kingereza butu cha nini?

  • @EmmanueliBaltazari
    @EmmanueliBaltazari หลายเดือนก่อน +2

    Kina kinana kumbe ndiyo wanalipeleka hilitaifa kubaya kwakuwa wao wamesha zeeka 🤔

  • @w4058
    @w4058 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli maridhiano ni kupamba keki tu kwa icing sugar

  • @JohnS.mwafubo
    @JohnS.mwafubo หลายเดือนก่อน

    Maridhiano ndio uliofanyika kwenye chaguzi ya serikali vitongoji, vijiji na serikali za mitaa

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 หลายเดือนก่อน +3

    Kunakucha

  • @NgendandumweAlouise
    @NgendandumweAlouise หลายเดือนก่อน +1

    Aipeleke kwao zanzibar au yumbani kwake kwani samia ananguvu kushida syria subutu

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 หลายเดือนก่อน +3

    Mwamba huyuu

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 หลายเดือนก่อน +5

    Ni wakati wa kuwa makini na viongozi wasio Aminika,Samia haaminiki na hatakaa aaminike,

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 หลายเดือนก่อน +1

      Uko sahihi

    • @issakazi2758
      @issakazi2758 หลายเดือนก่อน

      Hawa wahuni na walevi wa chadema ndo wanaweza kuongoza nchi? chadema ni genge la vibaka na mataperi wa kisiasa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 หลายเดือนก่อน +1

    Mpumbavu. Mama yako. Acha tusikilize .akili kubwa

  • @AlhajiMadai
    @AlhajiMadai 29 วันที่ผ่านมา

    Tundulisu unaongea.pwenti nimependaiyosaingine ukovizuri😮

  • @joanitamedard5105
    @joanitamedard5105 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi umetumwa?? Maridhiano for who's benefits

  • @omarramadhan5111
    @omarramadhan5111 หลายเดือนก่อน +1

    Mlinyamazishwa musieke kelele watu waendelee kuwatawala kimabavu

  • @AweMagdalena
    @AweMagdalena 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli lakini watu walikuwa wahalifu? Na waliouawa ni boko haramu?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +2

    👊👍✌️.

  • @mpendamema3694
    @mpendamema3694 หลายเดือนก่อน +1

    Maridhiano haukuwa utashi wa mtu mmoja mlikubaliana kama chama 😂 nimeona clip

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 หลายเดือนก่อน

    Nyie yenu yakubaliwe tu ya kwetu yaskubaliwe napenda hoja zako lkn hiyo hapana sizan kama yote yakikataa nyie mnataka upande wenu tu faten na yetu MUNGU ibarik Tanzania aman itawale

  • @mussasaidi7369
    @mussasaidi7369 หลายเดือนก่อน

    Bowe

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 หลายเดือนก่อน

    Lissu acha ujinga wewe huna lolote la maana

    • @MukhutarAbdulshakur
      @MukhutarAbdulshakur หลายเดือนก่อน +1

      We kikojozi ndio fala

    • @issakazi2758
      @issakazi2758 หลายเดือนก่อน

      @MukhutarAbdulshakur mnaimani kidogo ikulu haiwezi kuingiza wahuni na wauza madawa ya kulevya wa chadema

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 หลายเดือนก่อน

    Pambafu tu veve

  • @YahayaMgaza
    @YahayaMgaza หลายเดือนก่อน

    Wewe rudi kwa mashoga zako ulaya hupati nchi hata kwa nini

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 หลายเดือนก่อน

      Kwann umesema hapat nchi kaka yahaya

    • @jescageorge-fv8yt
      @jescageorge-fv8yt หลายเดือนก่อน

      ​@@fahamnitwahir9249Hana haya kama jina lake lisu mwamba imara sana

    • @reginas1832
      @reginas1832 หลายเดือนก่อน

      Kwani hii ni ya nani

  • @JamesSichimata
    @JamesSichimata หลายเดือนก่อน

    Mama piga kazi hatutishwi na hao

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 หลายเดือนก่อน

      One day tutafika tu brother

    • @HassanAthuman
      @HassanAthuman หลายเดือนก่อน

      Lisu wewe mwenyewe mdanganyifu

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 หลายเดือนก่อน

      Huwezi kutishwa si wewe una mama mzazi sii sawa na watoto wa kambo.

    • @gadielmungure9711
      @gadielmungure9711 หลายเดือนก่อน

      Neno hatutishwi na hao" ni uchochezi huo. Machafuko yakitokea tz utafaidika Nini? Kusikiliza watu ndio uongozi utawala Bora.

  • @maase2023
    @maase2023 หลายเดือนก่อน

    Na nani atakae maridhiano na nyie ambao hata viti bumgeni hamna??? Mbn mnajidanganya nyie

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani wewe ni nani nchi hii?Huo uelewa wako mdogo una faida gani kwenye hii nchi?

    • @maase2023
      @maase2023 หลายเดือนก่อน

      @yassinnabwera4273 tuna faida kubwa na ya maana mno ndani ya nchi yetu! Kila kukicha maneno maneno tu yanachosha

    • @NiazonBukoke
      @NiazonBukoke หลายเดือนก่อน

      Mbona unaonekana mpumbavu sana wewe ??

    • @MukhutarAbdulshakur
      @MukhutarAbdulshakur หลายเดือนก่อน

      Chizi wew​@@maase2023

    • @maase2023
      @maase2023 หลายเดือนก่อน

      @NiazonBukoke nani afanye maridhiano na chama kisicho na viti bungeni nyie??? Hivi mnajua siasa ya maridhiano ikoje au mnadhania kama mpira tu??? Chama kisicho na viti bumgeni maridhiano hayapo dunia nzima inatambua hivo