Lisu tunakutegemea.na tunaimani na wewe.hao wandishi wa habali.waoga sana.ndo maana wanauliza maswali ya kuwatetea selikali.kwani wao hawaoni kama Demokrasia imebakwa?
OOH MAMA TANZANIA....NCHI IMEPASUKA....CHUKI KUBWA KATI YA WATANZANIA NA WATANZANIA KWA SABABU YA VIONGOZI WA CCM NA SERIKALI YAKE KUJIONA 'MIUNGU WATU'.
One of the politician never fear deeth in Tanzania national out of been shoot 16 bullet move with the bullet on body but tundundulisu never fear has been continue crush reality underground consern ccm leadership that why ccm need nigoshoting with the chadema not crush chadema doing that is to let chadema grow every single day this is what ccm dasnt know behind curtains
Nyie yenu yakubaliwe tu ya kwetu yaskubaliwe napenda hoja zako lkn hiyo hapana sizan kama yote yakikataa nyie mnataka upande wenu tu faten na yetu MUNGU ibarik Tanzania aman itawale
@NiazonBukoke nani afanye maridhiano na chama kisicho na viti bungeni nyie??? Hivi mnajua siasa ya maridhiano ikoje au mnadhania kama mpira tu??? Chama kisicho na viti bumgeni maridhiano hayapo dunia nzima inatambua hivo
Lissu maneno yako huwa nayafuatilia sana,,maneno yako huwa yana unabii,,nakukubali mwamba,,wewe mi nabii
Uko sahihi Lissu!
Kwenda huko na maridhiano ya uwongo toka lini CCM wakaridhia kweli kweli Hongera Lissu
lisu mungu akulinde sasa ili watanzania wapate elimu yako wengi wanafata mkumbo tu uwe na maisha marefu ili wajionee
Sisi makamanda tunaojitambua na kungamua mambo tuna kukubali tundu lisu
Huyu mheshimiwa namfuatilia sana,ni mtu wa haki tangu akiwa sec, hapendi uonefu hapendi zuluma, bg up bos,
Upo vizur kamanda
Jamani huyu mheshimiwa anaona mbali, bg up mkuu
Napenda ujasiri wako
Leo tume elewa ukweli. Kumbe wewe ulitoa tamko la kipaumbele kwanza, kuhusu uhai wa wanachama wa upinzani. Na haki zao
HUYO MAMA NI MUONGO SANA. Kuwaambia Waarabu njooni huku niwape mali yote ili akisha wakabidhi akimbilie kwao Zanzibar au Waarabu wenzie.
Udini utakuua
@@Gaynor1234 ww ropoka ropoka matusi tu utayaona matokeo
Lisu tunakutegemea.na tunaimani na wewe.hao wandishi wa habali.waoga sana.ndo maana wanauliza maswali ya kuwatetea selikali.kwani wao hawaoni kama Demokrasia imebakwa?
MH. LISU, UKO SAHIHI KABISA. MFUMO MBOVU WA NCHI NDIO UNAOSABABISHA NCHI KUTOKWENDA VIZURI.
OOH MAMA TANZANIA....NCHI IMEPASUKA....CHUKI KUBWA KATI YA WATANZANIA NA WATANZANIA KWA SABABU YA VIONGOZI WA CCM NA SERIKALI YAKE KUJIONA 'MIUNGU WATU'.
@@MiriamAziz-z5t hapana ikulu inataka kuingiliwa na vibaka wa chadema
@@issakazi2758chadema inaingiliaje lkulu?
ANAITWA TUNDU LISSU KIPENZI CHA WATANGANYIKA.
Mwamba pambana sana ase maana hii nchi inakoenda siyo
Mliyataka wenyewe. Maridhiano ya kufanya mikuano? Kweli?
Kwani mikutano siyo haki yenu ya kikatiba?
Jambo la msingi ni katiba mpya tuu,
Ccm inatumia nguvu nyingi bila kariba mpya kuitoa ishu
Tundulisu kwanza ni mtu alie na msimamo ,akiwa mwenyekit chadema itakua hatar zaid
Ccm watakukoma ase ukipata nafasi ata yakuwa uenyekiti nakumbuka ulipo kuwa bunge wal
One of the politician never fear deeth in Tanzania national out of been shoot 16 bullet move with the bullet on body but tundundulisu never fear has been continue crush reality underground consern ccm leadership that why ccm need nigoshoting with the chadema not crush chadema doing that is to let chadema grow every single day this is what ccm dasnt know behind curtains
You don't know English
@@JimokuMhela😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwanini usiandike kwa lugha unayoijua ndugu yangu? Maana ni wazi kingereza hukijui, na hii ni forum ya waswahili, sasa kingereza butu cha nini?
Kina kinana kumbe ndiyo wanalipeleka hilitaifa kubaya kwakuwa wao wamesha zeeka 🤔
Kweli maridhiano ni kupamba keki tu kwa icing sugar
Maridhiano ndio uliofanyika kwenye chaguzi ya serikali vitongoji, vijiji na serikali za mitaa
Kunakucha
Aipeleke kwao zanzibar au yumbani kwake kwani samia ananguvu kushida syria subutu
Mwamba huyuu
Ni wakati wa kuwa makini na viongozi wasio Aminika,Samia haaminiki na hatakaa aaminike,
Uko sahihi
Hawa wahuni na walevi wa chadema ndo wanaweza kuongoza nchi? chadema ni genge la vibaka na mataperi wa kisiasa
Mpumbavu. Mama yako. Acha tusikilize .akili kubwa
Tundulisu unaongea.pwenti nimependaiyosaingine ukovizuri😮
Mwandishi umetumwa?? Maridhiano for who's benefits
Mlinyamazishwa musieke kelele watu waendelee kuwatawala kimabavu
Kweli lakini watu walikuwa wahalifu? Na waliouawa ni boko haramu?
👊👍✌️.
Maridhiano haukuwa utashi wa mtu mmoja mlikubaliana kama chama 😂 nimeona clip
Nyie yenu yakubaliwe tu ya kwetu yaskubaliwe napenda hoja zako lkn hiyo hapana sizan kama yote yakikataa nyie mnataka upande wenu tu faten na yetu MUNGU ibarik Tanzania aman itawale
Bowe
Lissu acha ujinga wewe huna lolote la maana
We kikojozi ndio fala
@MukhutarAbdulshakur mnaimani kidogo ikulu haiwezi kuingiza wahuni na wauza madawa ya kulevya wa chadema
Pambafu tu veve
Wewe rudi kwa mashoga zako ulaya hupati nchi hata kwa nini
Kwann umesema hapat nchi kaka yahaya
@@fahamnitwahir9249Hana haya kama jina lake lisu mwamba imara sana
Kwani hii ni ya nani
Mama piga kazi hatutishwi na hao
One day tutafika tu brother
Lisu wewe mwenyewe mdanganyifu
Huwezi kutishwa si wewe una mama mzazi sii sawa na watoto wa kambo.
Neno hatutishwi na hao" ni uchochezi huo. Machafuko yakitokea tz utafaidika Nini? Kusikiliza watu ndio uongozi utawala Bora.
Na nani atakae maridhiano na nyie ambao hata viti bumgeni hamna??? Mbn mnajidanganya nyie
Kwani wewe ni nani nchi hii?Huo uelewa wako mdogo una faida gani kwenye hii nchi?
@yassinnabwera4273 tuna faida kubwa na ya maana mno ndani ya nchi yetu! Kila kukicha maneno maneno tu yanachosha
Mbona unaonekana mpumbavu sana wewe ??
Chizi wew@@maase2023
@NiazonBukoke nani afanye maridhiano na chama kisicho na viti bungeni nyie??? Hivi mnajua siasa ya maridhiano ikoje au mnadhania kama mpira tu??? Chama kisicho na viti bumgeni maridhiano hayapo dunia nzima inatambua hivo