Safi sana sendiga jembe letu yaani tanzania tukiwa na wakuu wa mikoa kama huyu hakika nchi itanyooka. Kwanza huyo mama anayejibizana na mkuu wa mkoa angekuwepo magufuli hapo japo angekuwa hana kazi. Mh sendiga umemlea huyo yaani mara moja ungempa mkono wa kwaheri kabisa anaonekana ana kiburi huyu
Mafundi hawana makosa tena wakati mwingine hata hawalipwi pesa zao woneeni huruma nawao wanaweza kusema ukweli kuhusu huyo eng mafundi wanazulumiwa sana ila hawana wakuwatetea ,shida ipo kwa mnao wapa usimamizi wa miradi ya serkal ,wameshindwa kusimamia familia zao wataweza kusimamia familia ya mwingine? Ebu tutafakari hii na mafundi naombeni like zenu zote
Mama samia rais wetu msikivu tunajua umeiona hii clip mwangalie huyu dad's aliyevaa nguo ya dark blue anakiburi sana toa huyo yeye ndio anafanya mchezo kwenye pesa za miradi ondoa kabisa anakiburi huyu
Hata Mimi naona,hao ni vibarua tu hawaelewi chochote,siku zote hufanya wanachoelekezwa,aende adili na wakubwa mwenzake na si hao mafundi maskini kama mimi😢
Fukuda hao ndo wanachelewesha miradi ili watu wajuu waonekane hamjui kaz makusudi tuu .fukuza wote hap au hamisha leta wengine .sasa pesa wanakaa nazo wanataka nini?
Tunaitaji viongozi na watendaji bora (VRT) MAGUFULI..💪💪
Mkuu wa mkoa uko vizuri huwa nakupenda sana mimi
Tunapenda viongozi WA mfano wako,kufuatilia majukumu , hongera mama ,usichoke !! Kazi mbele kwa mbele
Safi sana sendiga jembe letu yaani tanzania tukiwa na wakuu wa mikoa kama huyu hakika nchi itanyooka. Kwanza huyo mama anayejibizana na mkuu wa mkoa angekuwepo magufuli hapo japo angekuwa hana kazi. Mh sendiga umemlea huyo yaani mara moja ungempa mkono wa kwaheri kabisa anaonekana ana kiburi huyu
Piga kazi mama na mungu akubariki kwa kusimamia iran ya chama
Unachekesha tata
Hongera mkuu kwakuwachangamsha vichwa vyao
Mafundi hawana makosa tena wakati mwingine hata hawalipwi pesa zao woneeni huruma nawao wanaweza kusema ukweli kuhusu huyo eng mafundi wanazulumiwa sana ila hawana wakuwatetea ,shida ipo kwa mnao wapa usimamizi wa miradi ya serkal ,wameshindwa kusimamia familia zao wataweza kusimamia familia ya mwingine? Ebu tutafakari hii na mafundi naombeni like zenu zote
Hongera madam kwa kazi nzuri
Hao ndio wa tz hawafanyikazi mpaka wasimamiwe.
Dada queren nakupenda sana kutoka ujerumani
Watoto wetuuuu wote
Mama samia rais wetu msikivu tunajua umeiona hii clip mwangalie huyu dad's aliyevaa nguo ya dark blue anakiburi sana toa huyo yeye ndio anafanya mchezo kwenye pesa za miradi ondoa kabisa anakiburi huyu
Makini sana huyu Mama
Dada wewe ni makonda na 2 hongera sana .
Kimewalamba 😂😂😂😂 hongera muheshimiwa
Rc wengine wafanye hivyo wanalala sana
Safi sana
Fukuza takataka hao
Mnaingea sana sijasikia mtu kaliwa kichwa. Kazi iendelee😂😂😂😂
Naomba uniajiri Mimi niwe mkuu wa wilaya waone Cha mtema kuni
SASA NI UPIGAJI TU
Mipekazi mkuu
Mafundi unawaonea
Hata Mimi naona,hao ni vibarua tu hawaelewi chochote,siku zote hufanya wanachoelekezwa,aende adili na wakubwa mwenzake na si hao mafundi maskini kama mimi😢
Fukuda hao ndo wanachelewesha miradi ili watu wajuu waonekane hamjui kaz makusudi tuu .fukuza wote hap au hamisha leta wengine .sasa pesa wanakaa nazo wanataka nini?
Mkandarasi kalipwa?
Sasa hao ni watanzania, umewasikiliza wanachangamoto gani ? Kwann usipate chanzo hata ufukuze vibarua au mafundi wkati wao wanasimamiwa na Eng.
Serikali ya chra kiziwi..😂 naona shetani la Uncle magu limeanza kuitekenya Tz upya..saaafi😂
Mbona mafundi wanatembea kama mashoga
Sasa fundi anamakosa gan asukumwe😂😂
Mama sendiga niit3 nije nifanye hiyo kaz chap au wameshakula hizo pesa?
Mnawachekea hayo ndiyo matokeo yake...
Umefanya sahihi kosalako umekurupuka kufukuza mafundi navibarua wakati hakizao hawajalipwa badala kukuza wasimamizi na wakandarasi
Fukuza wakandarasi nawasimamizi
Nahenden maswali yako
Engineer 😂😂😂😂