NIMESHUHUDIA WATU WENGI WAKIKATA ROHO |JELA IMENIHARIBIA MFUMO WOTE WA MAISHA YANGU|
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Hamfanikiwi kwasababu hamuwasiliani na wazazi wenu mara kwa mara ili mpake bless nyinyi mnajifanya masela kwa sana na ilo ndilo tatizo kubwa
Yaani unaogopa kurudi kwenu kwasababu huna kitu,alafu unasema hujazoea wakati ulizaliwa huko huko na ulizaliwa huna kitu.... Hilo ni tatzo la afya ya akili. Pole sana
pole Sanaa kaka Angu kwachangamoto🔥,hila Usikate Tamaha enderea kupambambana Uku Ukimshirikisha Mungu,Naamini Atokuacha🙏
Be strong 💪
Watatu hapa
Yupo chwiiiiiiiii
presenter ajui kuoji
Jamaa hajui kujielezea kazi nikucheka
𝐖𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐧𝐳𝐚 𝐧𝐣𝐨𝐨𝐧 𝐮𝐤𝐮