Sawa Prof pamoja na maelezo yako mazuri uliyoyasema nimesikia ukisema kuhusu kubomoa hospitali ya muhimbili na kujenga upya,swali langu ni kwa nini msiache hayo majengo yatumike kwa matumizi mengine mkaenda kununua eneo huko kibaha au eneo lingine mkajenga muhimbili mpya hiyo ya kubomoa nafikiri mlifikirie upya
@@barakamsungu5260hapo umenisaidia, kutafuta eneo kibaha si wazo baya sana maana hospitali ikijitenga na movement za mjini ni bora zaidi ila ni ngumu kuihamisha maana uwekezaji uliowekwa hapo ni vile wengi hawajui tu zipo mashine zimefungwa hapo ni zaidi ya mabilioni sasa useme ubomoe na kupeleka sehemu nyengine ni changamoto yatayobomolewa na kuboreshwa ni baadhi ya majengo na si hospitali yote
Prof ana akili sana huyu namkubali sana huyu mzee 🙌🙌
asante Dr mafunzo ni mazuri sana
Asante sana Prof
Kwa upande wa madaktari hapo muhimbili amani tupu. Ila baadhi ya manurse wana stress hadi zinawafikia wagonjwa
Sawa Prof pamoja na maelezo yako mazuri uliyoyasema nimesikia ukisema kuhusu kubomoa hospitali ya muhimbili na kujenga upya,swali langu ni kwa nini msiache hayo majengo yatumike kwa matumizi mengine mkaenda kununua eneo huko kibaha au eneo lingine mkajenga muhimbili mpya hiyo ya kubomoa nafikiri mlifikirie upya
Huo ni uwekezaji uliotumia miaka na miaka sio rahisi kama unavyodhani, ni sawa na kusema Dar iache tutafute eneo jingine tukaijenge upya
@@barakamsungu5260hapo umenisaidia, kutafuta eneo kibaha si wazo baya sana maana hospitali ikijitenga na movement za mjini ni bora zaidi ila ni ngumu kuihamisha maana uwekezaji uliowekwa hapo ni vile wengi hawajui tu zipo mashine zimefungwa hapo ni zaidi ya mabilioni sasa useme ubomoe na kupeleka sehemu nyengine ni changamoto yatayobomolewa na kuboreshwa ni baadhi ya majengo na si hospitali yote
Kuanza clip inachujua dak moja unusu? Na sio tangazo la biashara.