Nimefurahi kumsikia kiongozi wa ZANZIBAR akiendelea kuiita MASK kwa jina lake la asili la MASK na sio barikowa kama ambavyo wazanzibar wasiojielewa wamekuwa wakitumia jina hilo lisilofahamika hapa ZANZIBAR! Hakika Uvaaji wa MASK ni hatuwa moja ya kujikinga na maabukizi ya haya maradhi ya covid-19
Asl. Nashkuru nilivyofikiria kidogo imekuwa bado upande wa bububu wekeni soko nako kupunguza tafran japo kuwa hakuna mipaka ya wauzaji lakini wanunuzi ni walewale. Baada ya yote aje mtaalam afukunge afukuze alete zake.
Manispaa ondosheni kile kibao cha alama ya X pale posta, kituo kiendelee km zamani, siyo kuondosha kituo na kutusumbua wananchi kupata usafiri, maana tukitoka hapo hatujui tungojee gari sehemu gani, Askari wamekuwa na kero kuzuia daladala zinazopakia abiria posta, msitizame barakoa na sanitizer, tunahaha abiria juu ya usafiri. Kituo kipo wapi👿
Sisi tutachukua maoni ya huyo mfanyabiashara aliesema kwamba iwapo wafanya biashara wengi wataulizwa basi watasema wabaki hapo milele. Kwa hisia inaonyesha wafanyabiashara wamepapenda hapo kwa mazingira ya biashara kuwepo. Faida zake; Imepunguza msongamnao soko la Darajani. Uwepo wa soko umekipatia muarubaini kituo cha dalalala kwa mzunguko wa watu. Watu wa sehemu hiyo wanahitaji soko pia, badala ya kulifuata mjini. Mji unapata kufunguka zaidi. Hapa tutoe pongezi kwa Manispaa kwa kuja na fikra ya kuweka economic activities ama shughuli za kichumi katika sehemu hiyo. Tutoe wazo la usafi tu kuweka makontena ya taka makubwa na madogo na kuhakikisha yanaondoka kila siku.
Mana maeneo yakuwapa wananchi wakafanya biasha yapo mfano wa hapo ama mabwawa ya malindi yakazeni fusi pia wananchi wapate kufanya biashara lakini halifikiriwi ilo apomlipowapa saivi badae mtawafukuza pia
Hiii nchi Raisi wakupewa sio mzanzibariii Ayoub duuuu umewazaje ndio unautaka uraisi wewe? Kuna watu watanipakazia sasa hivi kumtaja Ayoub asingewaza mawazo kama yya Mmakunduchii Hana shangwe
Waziri wa serikali za mitaa Mungu anakuona kwa unayo yafanya pia salamu kwa mkuu wa mkoa kusini wajue hii nchi sio yao peke yao utawekaje kituwo cha daladala pale???
na umemshika jamaa wa watu yeye sio malaika ni binaadamu kama binaadamu wengine kwa hiyo atakuwa na mapungufu yake kama ulivyo wewe cheo ni dhamana tu maumbile yapo vilevile
Shukran Ktv tz online hakika hii ni FAHARI yetu
Hilo soko mkuu w mkoa aliepita akiona hapo ataumia sanaaaaa...Hongera mkuu mpya kujali wananchi wako kwa kuzingatia mazingira
Ktv jitahidini mtembelee na soko la shimoni mombasa hakufai
Hapo kidooogo mumenifurahisha kuweka soko hapo kijangwani,maana hapo center na pako vizur kibiasharaa,na liwe endelevu hapo..lisiwe la mudaa
Mwanzo tu mgumu..Ila baadae mambo yatakuwa mazur hapo,subira tu..sehemu nzuri..ila kuwape gohead ya uhakika kutulia hapo.
Vizuri sana
KTV nauliza tu vp mawaidha cku izi naona kimya au mm tu hayannifikii.ramadhan hii naona cyapati.shukran
Hili eneo zuri kwa biashara lipo center kwa njia zote kuu kasoro wa kaskazini watashukia daladala mbali kdg na watu wa ngambu wataenda kwa miguu
Hongera sana mtu wangu
In shaa Allah wateja watazoea
Halafu wakisha zowea hapo badae wafukuzeni muwapeleke jumbi
Abdulla Abdulla hahaha kweli hawa wanaweza nwakorofi
🤣
Subuhanallah😷
Muwaekewe na vyooo cyo kuwapeleka huko tuuu mtu akwishikwa na tumbo la kuhara waende wapi na vyooo hamn?
Vyoo vipo pale tena vizuri sana tu
Hivi serekali inajaza matumbo yao inashindwa kujenga soko malum apo hali so nzuri ikija mvua karibu n sheli hatri
Nimefurahi kumsikia kiongozi wa ZANZIBAR akiendelea kuiita MASK kwa jina lake la asili la MASK na sio barikowa kama ambavyo wazanzibar wasiojielewa wamekuwa wakitumia jina hilo lisilofahamika hapa ZANZIBAR! Hakika Uvaaji wa MASK ni hatuwa moja ya kujikinga na maabukizi ya haya maradhi ya covid-19
Asl. Nashkuru nilivyofikiria kidogo imekuwa bado upande wa bububu wekeni soko nako kupunguza tafran japo kuwa hakuna mipaka ya wauzaji lakini wanunuzi ni walewale. Baada ya yote aje mtaalam afukunge afukuze alete zake.
Pakishaa kaa sawa watafukuzwaa au
Nyinyi wafanya biashara wacheni unafiki mkihojiwa mnasema pazuri mkiwa beneti mnalalamika hemu kuweni wakweli
Manispaa ondosheni kile kibao cha alama ya X pale posta, kituo kiendelee km zamani, siyo kuondosha kituo na kutusumbua wananchi kupata usafiri, maana tukitoka hapo hatujui tungojee gari sehemu gani, Askari wamekuwa na kero kuzuia daladala zinazopakia abiria posta, msitizame barakoa na sanitizer, tunahaha abiria juu ya usafiri. Kituo kipo wapi👿
shida apo vituo vya kushuka gari viko mbali fikirieni kusogeza vituo ili kuwapa wepesi wateja na mizigo yao
Sisi tutachukua maoni ya huyo mfanyabiashara aliesema kwamba iwapo wafanya biashara wengi wataulizwa basi watasema wabaki hapo milele.
Kwa hisia inaonyesha wafanyabiashara wamepapenda hapo kwa mazingira ya biashara kuwepo.
Faida zake;
Imepunguza msongamnao soko la Darajani.
Uwepo wa soko umekipatia muarubaini kituo cha dalalala kwa mzunguko wa watu.
Watu wa sehemu hiyo wanahitaji soko pia, badala ya kulifuata mjini.
Mji unapata kufunguka zaidi.
Hapa tutoe pongezi kwa Manispaa kwa kuja na fikra ya kuweka economic activities ama shughuli za kichumi katika sehemu hiyo.
Tutoe wazo la usafi tu kuweka makontena ya taka makubwa na madogo na kuhakikisha yanaondoka kila siku.
Inshu sio kuhama soko,hata huku darajani twaweza kaa mbali na mikusanyiko pia
Sasa ile nguvu kubwa iliyotumika ya kujenga stendi ya daladala vipi
Mana maeneo yakuwapa wananchi wakafanya biasha yapo mfano wa hapo ama mabwawa ya malindi yakazeni fusi pia wananchi wapate kufanya biashara lakini halifikiriwi ilo apomlipowapa saivi badae mtawafukuza pia
Mm hata sisemi nimelala 😷🛌🙋♀️
Sas mbn mnatofautian maon?
Nyinyi zoweeni tu haliyamageuzi zanzibar ni kawaida tu then wafanya biashara wachen kasumba marapabaya mara hawahawea
Hiii nchi Raisi wakupewa sio mzanzibariii Ayoub duuuu umewazaje ndio unautaka uraisi wewe?
Kuna watu watanipakazia sasa hivi kumtaja Ayoub asingewaza mawazo kama yya Mmakunduchii Hana shangwe
Hiki c kituo chetu cha daladala jamani?????
Waache watu wa biashara wafanye
Naona wanajinyea tu jitayarisheni hapo skuli kuzowa vinyesi
🤣
Baada ya hapo tutapelekwa wapi cjui,sisi wafanyabiashara ndogondogo cjui lini tutapata eneo la uhakika
haha hapo wanataka njia ya kujipatia kipto tu bada hapo watafukuzwa
Waziri wa serikali za mitaa Mungu anakuona kwa unayo yafanya pia salamu kwa mkuu wa mkoa kusini wajue hii nchi sio yao peke yao utawekaje kituwo cha daladala pale???
Hapo mbona msongamano bado upo kwa hio hamna mabadiliko
Punda ndio yule yule.. Utamaliza🤣🤣
Ingekua mkuu wa mkowa Ayoub asingewaza mawazo kama haya ✍️✍️✍️✍️
Safi sana
na umemshika jamaa wa watu yeye sio malaika ni binaadamu kama binaadamu wengine kwa hiyo atakuwa na mapungufu yake kama ulivyo wewe cheo ni dhamana tu maumbile yapo vilevile
Serekali yetu haijielewi wapumbavu