Hongera sana Muheshimiwa Rais kwa kuweza kusogeza sikio kwa wananchi ambao mara nyingi tunazo changamoto lakini tunashindwa kuziwasilisha kutokana na kukosa njia rahisi ya mawasiliano
Nyinyi viongozi mnafanya nini yaani kila siku dhiki Zanzibar yazidi baada kupungua kueni UZALENDO wezi wanyongeni ndani ya serikali yenu mkiwa hamuwachukulii hatua wezi na wazembe nyinyi itakua ni kikundi sio serikali
Maigizo matupu, tunaambiwa yamefanyika Mapinduzi tupate kujitawala Lkn bora mngewaacha hao Warabu Zanzibar ingekua ipo mbali kweli, mana hakuna Mabadiliko yoyote Tangu mfanye hayo Mapinduzi zaidi ya Uhongo na Haadi zenu zisisoisha Mabarabara yote mabovu Zanzibar nzima
Ina maana huko Z"bar hakuna kiongozi mpk Rais awaulize mmoja baada ya mmoja na number zenu kazijuaje au number ya Rais kila mtu anayoo ? Jee watu wabaya wakimutrack Rais kutoka kwenje cmu yake ambayo Ina GPS ci watajuwa yuko wapi mm naona kiusalama ci vizuri
Kweli wasanii tena wakubwa hii ni Kampeni inaanza hawana moja walifanyalo Zanzibar kila siku inazidi kudidimia mabarabara yote Mabovu ziki zinaongezeka Njaaa kali
Daa safi.sana ila mwambi mama saimi mie namwambia watu wengi wamesoma awana ajila wanakaanga mabisi inaumiza sana.ukiangalia pesa alizosomeshewa baba ameuza minazi na mashamba kaa inauma anaitwa mbwana Nassoro mbwana anaomba ajira amesoma mzumbe chuo
Akiwa amesomeshwa kwa pesa za minazi na mashamba kaa baba mpaka amepata marazi ya bipii kwa mwanae kuto pata kazi kaa jamani inauma kweli nii anaitwa mbwana Nassoro mbwana amesoma mzumbe
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Maashallah, hongera sana Mh: Raisi Mwinyi kwa kujali kero za wananchi wako. Allah akujaalie Kila la kheri katika uongozi wako na maisha kwa ujumla
Hongera sana Dr. Mwinyi, Allah akuongoze kwenye uongezi wako
Mashaallah tabaraka Allah hongera DR mwinyi una fanya vizuri Sana kaka allah akupe afya njema inshallah
Hongera sana Muheshimiwa Rais kwa kuweza kusogeza sikio kwa wananchi ambao mara nyingi tunazo changamoto lakini tunashindwa kuziwasilisha kutokana na kukosa njia rahisi ya mawasiliano
Iko vizuri sana hii ni nyayo za mwendazake hizi hongera rais hussein mwinyi
Nimekukubali sana mkubwa we ni Jembe, Nyundo,Jambya, hiki kipindi umewaza kitu kizuri sana Ongera sana Rais Mwinyi
Kero za mahakamani mawakili sisi wengine hatuna uwezo wa kuweka mawakili pesa nyingi raisi zanzibar imeozaaaa
hii imekaa vizuri Kwa kweli binafsi nimeipenda sana
Allah akubarik dr rais kipenzi
Hongera sana mkuu wa nchi
Hayo ni mambo ya kupanga kama anataka kujuwa kero ya wananchi apite mitaani au atowe no yake siku maalum kwa wananchi watowe yao ya moyoni
Hongera Rais kwa kuanzisha kipindi hicho, tukitumie vizuri.
HONGERA. YA kUOIGiA SIMU RAIA KHERI SANA ALHAMNDULILAAH
Hii nzuri sana maana Rais najua Kila kitu 😍😍😍
Nimeipenda hii
Safi husen mwinyi Zanzibar oyee
Dr Hussein nasie shida ya maji mwera mtufaani
Mi5 tena Kwa daktari husein mwinyi
Da! Hii mzuri sn sisi watu wa balaa huku ha! Maraisi wetu tunawaona kwenye picha tu
Tunaomba mtuletee mwinyi jamani uku mumchukue Hadija kopa a.k.a.mama.mikopo na mwigulu
Nyinyi viongozi mnafanya nini yaani kila siku dhiki Zanzibar yazidi baada kupungua kueni UZALENDO wezi wanyongeni ndani ya serikali yenu mkiwa hamuwachukulii hatua wezi na wazembe nyinyi itakua ni kikundi sio serikali
Huyuu ndiyoo laisi hata mm nimekuelewa piga kazi Hussein unajua sana kuishi na watuu
Mashallah
Mnaongea sana mpaka simu inamuubguza sikioni
Usanii ni tuu huu umepangwa
Tunaomba nacc hiyo namba jaman
Naaam,,mwinyi
Maigizo matupu, tunaambiwa yamefanyika Mapinduzi tupate kujitawala Lkn bora mngewaacha hao Warabu Zanzibar ingekua ipo mbali kweli, mana hakuna Mabadiliko yoyote Tangu mfanye hayo Mapinduzi zaidi ya Uhongo na Haadi zenu zisisoisha Mabarabara yote mabovu Zanzibar nzima
Huyu raisi niraisi wawatu hongera raisi huseni mwinyi umechaguliwa nawatu nawewe watendee haki watu wako
Duh🚶🚶🚶
number yake na wengine tupigesumu
Tanzania bara kwetu 😭😭😭😭😭
Africa ni shida kweli , viongozi wanajua wizi tuu
2025 awe wajamhuri huyu yule Mama mmmhhhh
team magufuli uyu mzee
hatali usipime
Sio team dikteta mwendazake magu huyo.
Hausudishi kuua wala kupoteza kusikojulikana, uwe unatoa mifano hai sio kufananisha embe na kashata.
@@gulionigulioni3234 wewe ni nyoko kweli wivu unakusumbua
@@rosetreffert4179 tuliza kisimi wewe shamkupe, ninachoongea kipo sawa 100%
Huwezi kufananisha Mwinyi na dikteta Magu muuwaji ambae hasahauliki hadi kiyama.
Kuna kero ya kuunganishiwa umeme ni shida tupu kupigwa kalenda kila siku
Hata huku Dar mvua ili kunya Jana 🙄
CCM wajanja wanabadilisha ajenda za watu wasahau njaa inayo wasumbuwa nakujadili mitaro
Ina maana huko Z"bar hakuna kiongozi mpk Rais awaulize mmoja baada ya mmoja na number zenu kazijuaje au number ya Rais kila mtu anayoo ? Jee watu wabaya wakimutrack Rais kutoka kwenje cmu yake ambayo Ina GPS ci watajuwa yuko wapi mm naona kiusalama ci vizuri
Hamna hao ni watu wake ndo wanampigia simu
Sio kiivo
CCm wasanii piga wewe akipokea niite mbwa nimekaa pale😃
Kweli wasanii tena wakubwa hii ni Kampeni inaanza hawana moja walifanyalo Zanzibar kila siku inazidi kudidimia mabarabara yote Mabovu ziki zinaongezeka Njaaa kali
😂😂😂😂
Hamna lenu kazi ni DHULMA NA UNAFIKI.
ila mwiny ana palala daaaa hkma nying sana ww baba
Mh atupe no yake tumpe madudu ya watu wa umeme wanavyosumbua
Hata faina ni kero
Mwinyi akili nyingi sana.kama alivyokuwa anafanya polepole
Daa safi.sana ila mwambi mama saimi mie namwambia watu wengi wamesoma awana ajila wanakaanga mabisi inaumiza sana.ukiangalia pesa alizosomeshewa baba ameuza minazi na mashamba kaa inauma anaitwa mbwana Nassoro mbwana anaomba ajira amesoma mzumbe chuo
Akiwa amesomeshwa kwa pesa za minazi na mashamba kaa baba mpaka amepata marazi ya bipii kwa mwanae kuto pata kazi kaa jamani inauma kweli nii anaitwa mbwana Nassoro mbwana amesoma mzumbe
Anaitwa mbwana Nassoro mbwana anaomba kazi na ameshoma mzumbe kwa pesa za minazi na mashamba leo hii anauza bisi kaa mama samia ujumbe wako uwo
Mama samia ujumbe wako kutoka kwa mbwana Nassoro mbwana baba ameuza mashamba ili mwanae asome ili apate kazi mpaka sasa ajapata
@@kamlkaml4509 mwambie alime tu kwani ukisoma ni lazima upate kazi serikalini? Acheni uboya nyie.
Tunaomba nacc hiyo namba jaman