wewe shida yako ni mchanga wakiroho mnaangalia yanayoonekana yote yanayotokea Tanzania yameruhusiwa Bwana Jasusi Gwajima anaijua kesho na anajua majira na wakati
Achemacho ni ukweli. Aliposhinda uchaguzi kule kulistik wa kura feki. Mpaka leo yuko feki. Kamteua feki mwenzake feki Nabii mwenzake amwenezee na kumpigia debe.. Debe tupu haliachi Kütika.
Hujui unacho kisema achana na Gwajima
Kwani Baraka aliyopata Yakobo kwa Isaka ilikuwa ya halali
Mfuate kwake ama bungeni .
Atakuwa aliitwa kwenye kamati...
Gwajima umuache, usiamishe gori ndugu, huyu ndio kiongozi wetu. Mwandishi hama wewe sisi tumeridhika na CCM yetu.
wewe shida yako ni mchanga wakiroho mnaangalia yanayoonekana yote yanayotokea Tanzania yameruhusiwa Bwana Jasusi Gwajima anaijua kesho na anajua majira na wakati
Umejinajisi mwenyewe shenzi
Achemacho ni ukweli. Aliposhinda uchaguzi kule kulistik wa kura feki. Mpaka leo yuko feki. Kamteua feki mwenzake feki Nabii mwenzake amwenezee na kumpigia debe.. Debe tupu haliachi Kütika.