UONGO WA BROTHER K KUWA KASOMEA MASUALA YA GEREJI WAMUUMBUA, ASHINDWA KUJUA SPANA NAMBA 12.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ธ.ค. 2020
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Inanikumbusha day one. Nilipo anza kushika spaner Wanafunzi wenzangu ambao walikuwa wazoefu tayar walikuwa kilakitu wananituma mmi mwenyewe nilikuwa cjajua aina za Spaner ilikuwa nimtihani kwangu nilitukanwa sana na walikuwa wana nijoke sana. Nilitamani kuacha Gereji lakini kwakuwa nilikuwa naipenda hiyo fani niliamua kuvumilia. Namshukuru Allah kwakweli kazi hiyo ndio imenipa kilakitu nilicho nacho kwa ssa akiwemo na my Beautiful wife na kwa ssa tuna mtto moja Alihamdulilah. Shukrani zimfikie fundi Maulidi akiwa mtaa wa Legeza mwendo Mwanga Kigoma ndio kanifanya ssahiv nina heshimika kwenye jamii
Uliulzwa
Naqbaliiii home boy
eh hongera!
Alomuona dogo kavaa jezi ya Yanga twende na like😂😂
Alieona raba ya engineer twende sawa!!
Kama unamkubali brother K gonga like hapa
You're the best comedy in East Africa
Oy jaman naomba kila alhamisi mnitumie futui kila ciku plz
Ety hao watakuwa ni vibarua hao siyo wafanyakazi hawajui kila Mara wanakuuliza🤣🤣🤣🤣🤣
Hizo shati za braza K. Ukichana unatoa shuka 2 za vitanda vya 6×6 🤣🤣
🤣🤣🤣
@@salumabdallah6680 hahahahaha atar broher k
Nakubali sana brother k
#Tujitaidi kujituma #Gongalai alikua anatuigizia Vichekesho LIWALE-LINDI tukawa tunampa Tsh 50/= Leo yupo StarTv du🤔🤔🤔
liwale nimesoma naluleo
Brother k wewe ni motoooo💥💥💥
Hahahaha
Eti futurement !! Huyu jamaa sio mzima😆😆😆
Braza k
Kwenye somo la spana akuwepo 😆😆😆😆😆
Kwenye soma la spanner sikukuwepo 😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣😔😔😔😔😁😭😊😆😔😆🤣🇹🇿👀🧠💖🕯️🐕
Noma sana
bro k.nomaaa mnooo
Haawa watu nawakubar saanaaaa
Aaaàaaaaaaaaaaaaah!
Brother k kwamba nyumbigwa ndo wanatoka washamba kwel unatuzingua Sana kaka
SOMO LA SIPANA SIKUWEPO🙄😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Kashida3
Kashida3
mwambie naijia redio yangu😂
Futuhi Very Nice no one like you brother k
Nzuri
Nakukubali braza
Noma sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daahhh ikulu gereji
hiyo nyimbo inaitwaje ni nzuri sana na kaimba nani\
Somo la spanner sikuwepo hahahahaaaaaa
Hahaàaaa
Sawa kabisa
We gonga punguza maneno
😂😂😂 nimecheka sana
Somo la spana hakuwepo dah🤣🤣🤣🤣
Hatayali iyoo😀😀😀😀😀😀😀😀😀🔥🔥🔥🔥🔥
😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂lkn hajakosea wamesema spana 12
Somo la spana sikuwepo🤣🤣
Chuo Sasa hahaha hotel management garage dah🤣🤣🤣🤣🤣
Kusoma kote huko wamemkosesha kazi jamani ni fitna!.
Hatarii sana
Unatisha sana breather k makubali
Wachaah weehh iyo babalao mzehe wa ubongo sana
Nmesoma mm Garage Entertainment 🤣🤣🤣
napenda sana mnatuelimisha sana
😂😂😂😂 mbavu zanguu mieeeer uwiiiii
Hi
Gongalai uliwai kupigwa na boom la gunia la mkaa au ulijificha kwenye vumbi la mkaa,
Henirik thomas
Somo la spana alikuwepo 😂😂😂😂
Mkojani
Duh
Somo la spana sikuepo hahaaaaa
Mawenge ndugu yangu!!!!!
😇😇
Atali
Span number12
Brother k yupo sahihi kwasababu hawajasema spana saizi ngapi wamesema spana kumi na mbili wangesema spana saiz kumi na mbili
Lugha za mechanical hizo mzee.
Kwendraaaaaa
Noma na nusu
Hahaha 😂😂😂😂😂
Brother k noma sana kachukua injini🤣🤣🤣
Brother k wewe hapana bwana yaani duuuu
🙉🙉🙉🙉
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Hahahaaaaa, imenikumbusha siku moja kijana aliagizwa filageji, akaambiwa achukuwe toroli akabebee, akachukuwa akaenda Kwa fundi mkuu akamuomba filageji, akaulizwa na hili toroli akasema la kubebea filageji, wakati filageji ukubwa wake hata ukiweka mfukon haionekan, tulicheka hadi machoz
🤣🤣😅😅😅😅😅😅🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 brother k asipokurupuka usiangalie futuhi 🤣🤣🤣
Mtanga weeeeeeeeee!!!!!!
UBUNIFU MKUBWA SANA.
😂😂😂
Et uzalendoooooo futuhi weww
MNM
😀😀😀😀😀😀
Ms
Kila saa kwa injinia hiinihinini
Yunusi
Smokenator
Hahaha
😂😂😂😂 jina lako tafazali
Hahaha sasa ingini namna gani 😂 ni ndege.ao. yani
Nyumbigwa na mobimba
😂
Mhh toto
Yan hapo ningemtia bonge la banzi akili ingemkaa sawa
😁😁😁😁😁🤒🤒
🤣🤣🤣🤣🤣vbarua kila saa wanakuuliza
Somo la spana sijasoma
hahahahahaha fitinaaaa
Hawa jamaa mmewapeleka wap dah tunakosa raha jmn
Fitina 🤭🤭🤗🤪🥰
Somo la subana sikuwepo 🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆
Du aise mmejipanga
Njanja we dogo jaja jaja jaja
Somo la sipana sikuwepo
Hhhhhhh
Wasambaa
Hapo kwenye spana Kumi na mbili kati ya nyie na waganda nani kaiga idea ya mwenzie?
Kila saa wanakuuliza wewe tu kwani wao siyo mafundi?
Jamaa anataka kuwachonganisha mapemaaa😅😅😅
😂😂😂😂 Kosa lake nini sasa nanyie ndo mnamuweka mtegoni
Duh
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣