Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.
Daaaah hakika npenda Sana kulifatilia we ni noma mwajina urud na ifakara kutembelea shule yako ya msingi kibaon,site mtanki matatu mtaa wako huu Enzo hzo
Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
Lesson; siku zote usiwe wakwanza kuzungumza kwenye kikao sikiliza kwanza maoni ya watu kisha tafakar ndo uchangie 🙏🙏🙏big up nishai
Kweli wewe ni kioo cha jamii,ubarikiwe sana Joti!!!We are together from Msumbiji
Heavenly Father I pray you keep the person reading this alive, safe, healthy & financially blessed. Amen
Amen
Amen
Amen
Godbless u tooo
With due respect, likewise
Leo nimewai sijawai kupata like jamani.
Hivi huyu zuu namtamani Sana mjue bac tuuu daaaaah ...... 😂😂😂 Nikimtia mikononi huyu lazima atulie
Kazi mzuri kaka twakuombea maisha marefu uzidi kutufraisha
Hichi kidada kilichokuaga na Mr bigbig kina kipaji sana sijui anaitwa zuu
Kasha feli uyo kwenda kwa joti
Anaitwa zuu
@@mwahamedychilungu8981 kwakweli awezi toboa joti mbi nafsi
Busara kweli. Keep educating the community
Mashwaini nyinyi, mnang'atwa nini? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Joti na enjoy sana with love from Toronto
Hahahahahahaaaaa Joti ni htr ametumia akili ya kiutuuzima kuwatoa nje
The most crazy comedian in Tanzania....
Inafurahisha na kuelimisha.....safi sana.....👏👏👏👏
More than educating
Yarabi mbavu znguu we jotiii bc inatoshaaa
🤣🤣🤣🤣🤣kaka we ni nomaaaa sio comedy tu pia kuna elimu kubwa ndan
🤣🤣😆😆heti babu tutauza kuku hata ukiuza mapupu 🔥🔥
MNANGATWA NIN" hahaha😂😂😂 big up joti bonge moja la meseji
nimeiona iyoooo
Joti your the best😁😁😁😁😂😂 i real like tjis commedy
Et babu tutauza kuku 🤣🤣 joti kazi nzur inaelemisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jot jot mbavu zangu zikivunjika utalipa🤣🤣🤣
Further from comedy, this video also teaches...well done Joti, I really like this more
People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.
Well said 🤝
Nimecheka sana joti 😄😄😄😄😄😄🔥🔥🔥🔥🇹🇿.
Gud Sana Ila sopa na akina kipande fanya warudi bhana
Kabisa naona sasah kumepoa ata ainog
Kipande mwizi
Watched this clip 5 times😂😂😂😂joti I really love your work 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😁😁😁😁 Mashwaini nyinyi yaani hela yangu Mimi mkafanyie anasa
Kazi ya pesa, lazima kigugumizie kiwepo😂🤣😍 wajukuu wegine washezi
Akyammaaa kama babu yangu naeii ivvv waalah walitokea vilazaa kama iv aliwatimua homeee😅😅😅😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunaorudia mar 2 mbil tujuaneeee🤣🤣
Hahahahaa daah joti😂😂🙌🏻
😀😀😀😀😂😂Babu nitakuwa nauza ndizi😂😂huyu mwingine nae nitakuwa nauza kuku JOTI: HATA MKIUZA MAPUPU😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti wewe ni hatareeeee wa comedy 🙌🏾❣️
Babu mjanja Sana... Bora kilimo😂😂😂😂😂
Juwa linawaka mpaka kwenye mifuko 😂😂😂
Eti mnang'atwa nini, Shwaini zenu 😂😂😂
Mimate yanini🤣🤣🤣
hata mkiuza mapupuuuu 🤣🤣🤣🤣
Napenda sana joti aki act mzee
Hahahahaha da babu una wajukuu wanawaza anasa hahaha ila unaakili
Hii naikubali. Busara nyingi na wosia mzuri. Watoto wa kileo ni ovyo sana.
Keep the good work always 😅😅😅♥️
Ila joti hamnazo kweli😍😍😍😍😍
Nakubali..... Xku hiz kipande cmuoni
Malaka kaskadiano farukulu madona 😂😂😂😂😂 jot bhna
Hivi mnakubali King Joti ku join Original Comedy Show ao abaki hapahapa? The best Joti’s Congolese fan ever🇨🇩🇬🇧
Ajiunge tu kule pengo lake linaonekana bado na huku aendelee tu kama kawaida
Kwakweli afanye kote❤️❤️❤️❤️
Mkataba unambana
Abaki huku huku
Aendeleze chake
Inakaribia b inachungulia b inaenda kwenye b🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂unajua takwimu hz ziache hvhv usiombe
Kweli huyu alikuwa analibeba kundi la the comedian kazi mzuri amestahili tuzo
Ahahaha Yaani Ela yangu ukafanyie Hanasa 😂😂😂😂😂
Joti Fala saana😁😁😁
Aisee hii inafunza sanaaaaaa vijana lika kuanzia 22 kwenda mbali
Babu tuta uza Supu labda ukauze Mapupu 😂😂😂😂😂
Babu hizo hela mawe😂😂😂😂😂😂💯
Mzee wajukùu wa mchongo hao🤣🤣
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 💥💥💥
Mataifa gn
Nchi which😂😂
We hamnazo kabsa
Imechanganyikiwa
Umechanganyikiwa
😂😂😂😂😂😂😂😂safi sana😍😍😍
Hahaha..et mnang'atwa😂😂
Joti ni genius kwenye content creation,,
Mpoki amecha baki mbali
Ahaaaaaaaaaaaaa hela yangu mm mkafanyie anasa
Respect Broo joti
🤣😂🤣🤣 Really appreciate
Ahsante babu hao n mashuwain kabsa dadeq c🤣🤣🤣🤣
Mm character wa joti namkubali Sana ni Babu leo nimefurahi Sana kumuona huwanacheka Sana 😂😂😂😂
Hahaha joti noma ety Kishungii😂😂😂😂
Mjuukuu kauliza babu hizo Hela.babu kajibu haya mawe😀😀
Hahhaaha et jua linawaka adi kweny mifuko
Mill 60 biashara ya vumbi la mkongo🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha much love and respect from USA
Jotiiiii.......
Hahahaha..... Safi saaana
😀😀alooo nimecheka sana Mnagunaguna nini kama mtu kajamba😁😁
Joti atareeeee!! Mzee🔥🔥🙏
hera yangu mm mkafanyieh Anasa ira joti
ahahahahahahahaha ila we jamaa wewe hahahaha
Yaan ela yako wakanunulie bia ,vumbi la congo ,guest kweli mashwaini peleka ndan begi la elaa😄😄😄😜
Nakubali sana brother joti
Hahahaha 🤣😂🤣 Babu hutaki vumbi la congo, unywe bia zako za kuisabu , umalizie guest room bora usiwe kifuwani 💃💃💃
🤣🤣🤣🤣 Suzie Ka ongea point
😀😀😃😃
Ila bro big up..this is more than a talent..big up sana
Hawa wawili wamefanana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣AMA ndugu jamani haya idea ya business sasa
Mmmh basi zuu uwe unabadilisha hilo shati Duh toka ujulikane unalo tu au masharti
Daaaah hakika npenda Sana kulifatilia we ni noma mwajina urud na ifakara kutembelea shule yako ya msingi kibaon,site mtanki matatu mtaa wako huu Enzo hzo
Kazi nzuri kaka
Daah bonge la fundisho Suzzy katupatia..
🤣🤣🤣🤣et @inachungulia B🤣🤣🤣
Eti mnang'atwaaa😀😀🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Hahaha 😂mchongo pesa Marundo 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 babu njoo tuyamalizee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️Bora kilimo kabisaa
Hata mkiuza Mapupuu😂😂
Haahah😂🤣🤣JOTI king of TANZANIAN comedie
Eti unaguna nn kam mtu kajamba nimecheka kam mazuri joti leo hii kali eti pale vumbi ls congo eti mm nimelima tok mpo kwny viuno vy mama zenu🤣🤣🤣🤣
Joti umeshindikana🤣🤣
Babu..na kiboga hawachezewi...😂🤣wachezee tu nishai na andunje nataman siku moja hii familia iact pamoja 🤣😂
🤣🤣🤣 wtf did he say in the end? Baraka kaskajala falkun madona
Nmependa Apo mwisho Mlioongea point wote watatu twenden tukapange ..
😂😂😂😂
Kanyinyi🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mtu kajambaA
Babu msikilize huyo anaesema atauza kuku😂😂
🤣🤣🤣wamekosa yote
Nilijua tu hili 😂😂😂
Mguu kwa beg ya mahela🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo hatimae nimekuwa wakwanza baada jamani nipigieni makofi kidogo jaman
😎
Joti on fire 🔥🔥🔥🔥🔥
Kabisa
Show time watu wanapindua meza 😂😂 Congo dust hii sio OG kama ya kule
Nimewahi leo 💃👌🤣
Umewahi wap