TAREIKH YETU MSIMU WA KWANZA (SILSILA 8): Maisha na Nyakati za Sultan Barghash - Part 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Miaka miwili baada ya kuishi kifungoni India, alikopelekwa na Muingereza, Sayyid Barghash bin Said alirejea tena nyumbani na kupatana na kaka yake, Sultan Majid, kabla ya kifo cha mtangulizi wake huyo, naye kushika rasmi madaraka ya Dola la Zanzibar. Leo Sheikh Riadh Al Busaidi anasimulia jinsi Sultan Barghash alivyoleta mageuzi kwenye utawala wake.
Hii channel ni bora sana iinaelimisha na wale wanaopotosha historiia ya Zanzibar ni mwiba ,,,,,,,,,hongera
MA SHA ALLAH ELIMU HII NI NADRA SANA KUIPATA SEHEMU NYINGINE ,, JAZAKALLAHU KHEIRAN JAZAA SHEIKH MOHAMED GHASSAN NA SHEIKH RIAZ
Maashallah Shukran kwa Gumzo tupo pamoja Allah akupe nguvu uzidi kutuelimisha
Maashallah umependeza naweza pata mawasiliano yako
جزاك الله خيرا على هذا السرد التاريخي العظيم لزنجبار
Kwakweli hatuna maswali ya kuuliza ila tumebaki tu kushangaa jinsi Zanzibar ilivyo kua kiuchumi! Na kama alivyosema mzee wetu hapo! hadi inahamakisha kwamba Zanzibar ilikua tajiri hadi basi kwamba hawajui waufanyie nn.
InshaAllah Tutapambana na maisha.
Nikushukuruni sana sheikh Riaz na Bw Mohohammed Ghassani... Elimu bila mipaka
MASHALLAH ALLAH BARIK
MASHAALLAH, JAZZAKALLAH KHERI KWA KUTUJUZA HISTORIA ILIYO YA KWELI SIO PROPAGANDA ZA BAADHI YA WATU WASIOSEMA UKWELI ILIVYOKUWA
Yasalam nchi ilikua tajiri sana kumbe
Utumwa ulifanyika katika sehemu au mabara mbali mbalili africa, kwa mfano utumwa uliofanyika
east africa ni tofauti na uliofanyika central africa. Kwa upande wa Zanzibar, wakati huo
waarabu ndio walikuwa wakitawala na wenye fedha za kufanya biashara hiyo kwa wingi japokuwa
wafrika wachache pia walishiriki kama vile ma chifu. Madhali unazungumzia zanzibar usichanganye na
marekani au uingereza. Ndio maana mapinduzi yakafanyika kuwakomboa waafrika waliokuwa wakinyanyanswa
kwenye nchi yao na waarabu.
Watu wa oman ni watu wana utu sana pili dini yetu ya kiislaam inaharamisha kabisa utumwa walio fanya utumwa ni wazungu NA kuwapeleka amerka kukata miti ama waoman wameleta utajiri huko zanzibari NA sultani alikua anapendwa NA wazanzibari NA serekali ilikuwa ya halali sultani amzaliwa pemba NA chama chake ilichaguliwa NA wazanzibari lakini chuki ya ungereza imefanya fitna ikaja uvamizi kutoka tanganika kwa msaada ya uangreza NA wayahudi NA nyerere wakaja usiku wa manane wameasha watu kwenye nyumba zao NA kuwakusanya pamoja barabarani NA wakawapiga risasi bila ya huruma watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa risasi wangine wamekimbilia bshari waarbu waliteswa kinyama bila thambi raia tu wala sio askari kabisa wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wewe ingia Google youtu.be utaona maajabu waarbu ni watu wawema sana wala hakunyanyasa watu bali misada yao mpaka leo inamiminika kwa zanzibari NA hii dini yetu ya kiislaam imetufundisha hivi
@@alialamoudi9729 ndugu yangu hii fitna imetengenezwa na wazungu ili warabu wachukiwe na ni east Afrika tu wanafundishwa hivyo,angalia wareno walichuku watumwa mamillioni kwa mamillioni waliopelekwa brazili angalia Brazil zaidi ya nusu inawatu weusi angalia nchi za Latino walivyopelekwa huko angalia marekani walivyopelekwa huko watu weusi wakati huo Europe pamoja na england kulikuwa na minada ya hadhara ya kuuzwa watumwa ila yote hayatajwi wanapakwa matope waraabu
Rahaa wallah
Hiyi mishenzi ya kiafrika ilituharibia nchi na kututia kasumba
Ukienda broksel Belgium kuna AFRICA MUSEUM inaonesha vipi walivyokuwa wanatesa WAAFRICA bila kuona haya na WANASIYASA WETU AFRICA HAWATAKI KUSOMA KUJUA NANI ALIWAADHIBU WAAFRICA
Tunashukuru kwa elimu kubwa kutoka kwenu
Shukraan sn
TUNATAKA KIPINDI VIPI NYERERE NA WAZUNGU WALIVAMIA WARABU ZANZIBAR NA KUWAUWA WATOTO NA WANAMAKE NA WATU WAZEE BILA MAKOSA YEYOTE