TAJIRI WA DARASA LA SABA MWANZA/ ANAMILIKI ZAIDI YA MALORI 100: Episode 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- #TEXAS
Mfanyabiashara Tajiri wa Darasa wa la Saba Mkoani Mwanza Jonex Joel Kinyanyi asimulia alivyofanikiwa kwa miaka 9 tu, Ni Mkurugenzi wa Kampuni ya TAXAS HARDWARE LIMITED kwa sasa anamiliki Malori zaidi ya 100 ana magari kibao ya kifahari.
###########
@niccomedia
Siku moja namim ntakua nimeajiri watu wasio pungua laki moja
Waandushi hawajui chochote kuhusu uandishi hawajui kuuliza maswali kusomi, Jina, mke, watoto, elimu, ametokea na kuzaliwa wapi
Boss uko sawa ikiwa umeweza kuajili mia na kitu ata mia nane inawezekana Mungu akupe wepesi insha allah
Elimu na biashara ni vitu viwili tofauti kbisa
Nice motivation 🙏💯💯
hongera sana kaka
Namkubali mzew
Darasa la Saba la zamani ni Kama form four ya sasa
Iyo inafahamika matajiri wengi Tanzania hii niwatu wenye elimu ya kawaida kama anavyojieleza uyo ndugu,nan mwwnye elimu ya juu akauza miwa karanga na vitu vingine vidogo vidogo
Ndy mzee
Texas zipo mpaka songea zina beba makaa ya mawe
Blessed indeed 🙏🏻🙏🏻🙏🏿
Natamani cn kufanya kazi kwenye kampuni ya Texas
Mh!