"MKE WANGU HAJUI KAMA MIMI NI ALBINO, MIMI MWENYEWE SIJUI KAMA NI ALBINO" HAJI MANARA AFUNGUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 77

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 9 วันที่ผ่านมา +12

    Kwa hili nimezidi kumheshimu huyu bwana. Mungu akubariki mpaka ushangae❤🎉

    • @mwajuma-lr6hg
      @mwajuma-lr6hg 6 วันที่ผ่านมา

      Ameen ameen ameen...

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 10 วันที่ผ่านมา +13

    Manara nakuombea Pepo ya mwenyz mungu nakupenda sana nahis mm na wew hatuna tofaut yyte kwanza naomba serikal iondoe neno ulemavu wa ngoz watafute neno nzr sana hongera sana

    • @mwajuma-lr6hg
      @mwajuma-lr6hg 6 วันที่ผ่านมา

      Ameen ameen ameen...

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 10 วันที่ผ่านมา +12

    Safi sana manara kuwatia moyo wezio..ALLAH KAKUCHAGUA WW ALKUA ANAJUA❤❤

  • @DEEP.WORSHIP
    @DEEP.WORSHIP 10 วันที่ผ่านมา +9

    Wanadamu wote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu ..
    Well Said Manara kujikubali kwenye maisha ndo ushindi No moja .

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 9 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu hajafanana na yoyote mpuuzi wewe

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 2 วันที่ผ่านมา

    Good bro ww nitajire wamoyo sio rahesia moyo wako wapekee mungu akuzidishia Imani watu wote wana moyo lakinia siyoyote ana moyo

  • @MsabahAli-d6u
    @MsabahAli-d6u 9 วันที่ผ่านมา +6

    Manara hongera ni mtu wa Watu na kiukweli namkubali sana anajiamn na anajikubali sana

  • @KHAMISMOHAMMED-fj4bs
    @KHAMISMOHAMMED-fj4bs 10 วันที่ผ่านมา +30

    Hili la losheni ya hawa wenzetu wapewe bure kwa vitabulisho vyao na serikali iharamie ama iwekwe sehemu maalumu serekalini mradi wapate bure

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 9 วันที่ผ่านมา +2

    Be blessed kaka Manara na ndugu wote mliokuwepo hapo
    Mungu yu mwema na ibariki Afrika yote🙏🏼🙏🏼

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 วันที่ผ่านมา

    Kabisa uko strong sana BUGHATI

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs 9 วันที่ผ่านมา +9

    Kujiamini ni kitu kizuri sana.

  • @LizenMaker
    @LizenMaker 3 วันที่ผ่านมา

    Kama Trippie Redd mwana muziki mkubw na anakimbiza sana. Asante sana manara.

  • @WinfridaBruno
    @WinfridaBruno 4 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana,haji manara kwa kuonesha haji manara

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 10 วันที่ผ่านมา +3

    MashaAllah mabrook mabrook jazzakaalllahu fikii

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 5 วันที่ผ่านมา

    Subhanallah. Mungu ndie muumbaji, Alhamdulillah

  • @quranumaif5182
    @quranumaif5182 7 วันที่ผ่านมา +1

    Speech nzuri mashaallah ❤

  • @Mikeys-m9w
    @Mikeys-m9w 7 วันที่ผ่านมา +2

    Hili ni Kubwa MashaaAllah 😍

    • @mwajuma-lr6hg
      @mwajuma-lr6hg 6 วันที่ผ่านมา +1

      tabarakAllah...

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 4 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤ mungu akubariki

  • @hassanmussa7664
    @hassanmussa7664 8 วันที่ผ่านมา +1

    Powerful speech

  • @justinmwenda7449
    @justinmwenda7449 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉

  • @justinmwenda7449
    @justinmwenda7449 วันที่ผ่านมา

    Safi

  • @WitinessJoseph
    @WitinessJoseph 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu atawasaiidia uzuri tunae mama mwenye uruma na upendo ninaimani nae atafanya kitu

  • @AngelMbaga
    @AngelMbaga 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu akujalie lililo la kheri Manara.

  • @NasreenYussuf
    @NasreenYussuf 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubaliki kwa hili ❤❤

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mkeo kwa mtazamo wake ameona hiyo kofia imekukaa sawa kabisa akaridhika 😂😂😂😂

    • @jamilahabibu3527
      @jamilahabibu3527 5 วันที่ผ่านมา

      imebidi niludie kuitazama😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅matako yako😅😅😅😅

  • @MamaHanisa-i8z
    @MamaHanisa-i8z 9 วันที่ผ่านมา

    Kabsa me nimepnda speech yako dady ❤❤❤

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 7 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa mungu atakupa kila wkt

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso 9 วันที่ผ่านมา

    Hongera manara

  • @KHAMISMOHAMMED-fj4bs
    @KHAMISMOHAMMED-fj4bs 10 วันที่ผ่านมา +8

    Wapewe buru pesa zetu za serokali ziwalipie hawa ni ndugu zetu wa damu

    • @BarakaMsukuma-g1q
      @BarakaMsukuma-g1q 9 วันที่ผ่านมา

      Alb8no siyo wengi wagawiwe Bure KABISA mwiguru kwenye bajeti

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 9 วันที่ผ่านมา

      Na mipira viwanja kwa akili zao

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete 7 วันที่ผ่านมา

    Sana unacho sema kweli Kabisa

  • @mashakaSelemani-t1q
    @mashakaSelemani-t1q 10 วันที่ผ่านมา +2

    Allah awe nawe

  • @ummukuluthumikoki7002
    @ummukuluthumikoki7002 10 วันที่ผ่านมา +2

    Alhamndulilah ala'kuli hal

  • @am2323tze
    @am2323tze 10 วันที่ผ่านมา +2

    Aaa kama mna cha cha Albino basi zipitishwe through hiyo Organisation yenu. Serikali ishughulikie hili

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 10 วันที่ผ่านมา +5

    Serikali ingetoa sun screen bure kwa albino

  • @BinSultan-t5g
    @BinSultan-t5g 8 วันที่ผ่านมา

    Hahahahahahah. Hajui?????

  • @oyay2821
    @oyay2821 9 วันที่ผ่านมา +3

    Manara wewe ni kiongozi wa kuzaliwa.

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 10 วันที่ผ่านมา +4

    Serikal iwapunguzie kod hawaa watuu jaman

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kwel zna bei kubwa sana

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 9 วันที่ผ่านมา

    From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys Jikubaliii jinsi ulivyo ktk hali yoyote❤❤🎉🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM

  • @JumaKatara-r2b
    @JumaKatara-r2b 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mafuta iwe ni wajibu Kwa selikali

  • @arafaomari1832
    @arafaomari1832 10 วันที่ผ่านมา +2

    Asalam alykum manara mie nakupongeza sana ila ninawajukuu zangu na mie albino naomba unisaidie

    • @KalicKaguz
      @KalicKaguz 10 วันที่ผ่านมา

      Manara umemsikia bibi /babu ana wajukuu zake anaomba msaada

    • @Mohamed-j5w6w
      @Mohamed-j5w6w 10 วันที่ผ่านมา

      Serikali fanyeni kitu mpunguze pesa ya goli la mama iwaangalie ndugu zetu. Dr.Aly posi mwalimu wangu wa business law namkumbuka xana. Ila iundwe taasisi ya imara ya watu wny albinism iratibu misaada ya mafuta nk

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona haujamuoba na boss wako GSM

  • @RamadhaniLibumba
    @RamadhaniLibumba 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mi Niko uku Nanjirinji nashindwa nauli yakwenda kuchukua mafuta

  • @KhamisHadji
    @KhamisHadji 4 วันที่ผ่านมา

    uongo haitaji pochi hiyo

  • @japheteliatosha4710
    @japheteliatosha4710 10 วันที่ผ่านมา +1

    Serikali uone mchangowa wabunifu tuwawekee hayo mfuta kwa bei nafuu hiyo ni kazi ndogo sana kwa wabunifu wazawa kama wakipewa nafasi mimi mwenyewe nafahamu kiasi kuhusiana na suluhisho la ngozi karibuni kama kuna mtu atakuwa na uhitaji

  • @MuhemeliChikoti
    @MuhemeliChikoti 9 วันที่ผ่านมา +1

    wapewe bure kiukweli liangaliwe na serikali

  • @PeterLuhende-p7j
    @PeterLuhende-p7j 10 วันที่ผ่านมา

    Jamaa huyu anajua kuiteka jamii

  • @WinfridaBruno
    @WinfridaBruno 4 วันที่ผ่านมา

    Hongera kwa kuonesha ushirikiano wako mkubwa

  • @KalorosiaMtani
    @KalorosiaMtani 4 วันที่ผ่านมา

    Katika siku uliyo ongea makubwa nileo

  • @Tatty-u8p
    @Tatty-u8p 9 วันที่ผ่านมา +1

    Akiona pesa anakuona black

  • @hassanrutabuka9119
    @hassanrutabuka9119 10 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona zungu wa chado simuon

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 วันที่ผ่านมา

      Ulitaka kumpa nini?

  • @BobJohn-q9f
    @BobJohn-q9f 9 วันที่ผ่านมา

    Wewe kaziyako nikuconganisha watch Sasa unaingiliya ablinos wenzako

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 10 วันที่ผ่านมา

    ❤️🥺🥺🥺❤️

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 9 วันที่ผ่านมา

    Muendelezo vp

  • @mahirmauly3664
    @mahirmauly3664 10 วันที่ผ่านมา +2

    Kipifu?

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu 9 วันที่ผ่านมา

    Wew ni tajir tokaa apaaaaa

  • @mahirmauly3664
    @mahirmauly3664 10 วันที่ผ่านมา

    Kipofu?

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 10 วันที่ผ่านมา

    Huyo zai kwa manala kafwata pesa

    • @Xuxu-f7j
      @Xuxu-f7j 10 วันที่ผ่านมา

      Kwan wew mbona unadinywa na unalipwa

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 วันที่ผ่านมา

      Inakuhusu nini na husuda wako

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 9 วันที่ผ่านมา

      Tafuta Heraaaaaaaaaa😂😂😂😂😂

    • @fortunatafelician5625
      @fortunatafelician5625 9 วันที่ผ่านมา

      Kwa pesa gani acha watu wapate Raha ya Duniani wakati mama anatnza kitovu kisidondokee kulikuwa hujui

    • @ProJays
      @ProJays 9 วันที่ผ่านมา

      Kwani vibaya kila kitu hela ungekua watoa wew ndio ungepanga vile utakavyo

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂 mtumzima ovyoo bado hujielewi ksho utamuacha mkeo

    • @MariamMwamwenda
      @MariamMwamwenda 10 วันที่ผ่านมา

      Utaolewa wwe😊

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 10 วันที่ผ่านมา

      @MariamMwamwenda Cha kuowa owa na kuwacha😆😆aje na mabilioni simtaki Bora dagaa kwenye aman kuliko wali nyama kwenye vita

    • @khajumkhamis7910
      @khajumkhamis7910 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@HvhVvb-k3i izo ni bifu na chuki zako binafsi ndio maana Mungu aliwakosesha kuwapa uwezo